JAMAA WA MBWA WA MILIONI 100 AIBUKA TENA AFUNGUKA MAPYA
Вставка
- Опубліковано 11 вер 2024
- Oscar Nondo ni kijana wa kitanzania anayeishi Arusha aliyejichukulia umaarufu mkubwa ambaye mwaka mmoja uliopita aliingia kwenye headline baada yakuwa na mbwa ambao walikuwa na thamani ya millioni mia moja ambapo kwa sasa ametuambia ameweza kujiongeza nakufikisha mbwa 80 ambapo kati yao yupo ambaye aliyemnunua million 13.
Una mpango gani wa kuwasaidia mbwa wa mitaani (Mbwa koko)...!? Maana jamii imeshawatenga (Yatima)
Nataka namba ninunue mbwa😊
Hongera kaka mm mwenyewe nimeanza mwaka juz lakin matunda nimeanza kuyaona mm nipo mwanza
Nashida na wewe kaka minipo geita nataman kufanya hio biashara
Kiongozi naomba kuwasiliana nawe
Nataka namba
Hongera Nondo nilikuona mwaka jana hapahapa kwa milady hongera naomba namba zako nataka kununua mbwa
Hongera ajira nzuri.I have to 🙏
Mi mwenyewe maisha yangu changamoto ndio nka nunue mbwa 🤣🤣🤣
Hayatauhusu hayo nimaisha yako
Nataka namba ninunue mbwa
Hongera sana kijana, wewe ni mfano wa kuigwa kwa vijana
Pgugljbh n. Jkhne,q
Pgugljbh n. Jkhne,q
Nyama zipikwe siku moja zisije kuwalarua ninyi sababa ya nyama mbichi brooo
Nikweli kabisa ajira nikujiajiri
big up SANA, uthubutu ni kitu kizuri.
Wafuga mbwa tujuane hapa
Naitwa deus nikodemu nipo kageratz nikiitajimbwanampataje?
Good job nataka mbwa wangu apate mafunzo
Oyooo
Nataka German Shepherd mmoja
Jmaa anazingua sasa mimi ntatoa wap hyo m4 ya mtaji watoto wakishua wanazalau sanaa
Yachukie Maisha yako,,,usichukie mtu,,,acha roho mbaya Kaka!!alafu ni dharau na sio zalau!!
Angalia kilicho mhimu kwako kwa uchumi wako.
Kwa hiyo mpaka ushawishiwe ndio ufuge
Nondo kma nondo dampo hapo...
Naitaji na mm uyo mbwa ndg me nipo dsm nyi mko wap
Eti vijana wajiongeze wajiajiri, nyie msitudanganye kama wewe ulianza Kwa kununua mbwa wa nne na Kila mbwa umesema ulinunua Kwa milion 4 hapo jumla ni .Ilion 16, inamaana ulikuwa na kazi nyingine inayo tumika kulisha hao mbwa
Napenda pia mbwa na mm
Niko nae german shepherd miezi kumi namuuza laki 7 tu
Number za simu
Nampataje uyu..I need a BULL DOG🙌🏻
Haoo mbwa kweli wanalipa
upo sahihi serikari haiwezi kukuletea pesa nyumbani big up sana
Safi sana kaka
Namba ya simu
Vitu vingine wacha vipite.
Wasipofundishwa watakuwaje?
Hueleweki. Unasema umepata faida,nani mnunuzi wa mbwa na kwa bei ngapi ili wengine wafuge
wanunuzi wa mbwa wapo na mbwa wa na hela nzuri tu
Acha uvivu wa kufikiria ww
Duh
Tupe namba yako
Ayna ya bigol hamna
Watoto wa simba ulaya wanauzwa bei ya bajeti ya maji Tanzania, wawekezaji w vitaru vya uwindaji wanalijuwa hilo.
😂😢😢😢
💓💓harmonize na alikiba wame achia kionzo cha ngoma yaoo mpia jionee apa uta furahi💓💓💏
👇👇👇👇👇👇👇👇👇
ua-cam.com/video/OHTWe6oh4Qo/v-deo.html
Nataka namba ninunue mbwa😊
Nataka namba ninunue mbwa