KISA CHA KWELI!! Siri ya matajiri wa Korea hii hapa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
    Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time

КОМЕНТАРІ • 110

  • @lusajolamsonmgala6184
    @lusajolamsonmgala6184 2 роки тому +2

    Mchungaji Gwajima ni mstarabu sana mno. Ila mpaka umchokoze au ulitukanishe jina la Bwana wake hapo ana amsha Dude.

  • @Pen960
    @Pen960 2 роки тому +17

    Kumbe huyu mtu ni mzuri hivi bhana!!! Akitulia hivi, Mungu atamuinua zaidi sana. Mungu na am bariki zaidi Ndg. Josephat Gwajima.

    • @hermanstephenntabahungu5310
      @hermanstephenntabahungu5310 Рік тому

      Ukimsikiliza ndio utajua, ila ukisikiliza maneno ya mtaani bila kumsikiliza, utahukumu isivyo haki.

  • @nelsonbreidon6600
    @nelsonbreidon6600 2 роки тому +6

    Mtumishi naomba uniombe nipate kazi ninakazi mshahara mdgo sana arafu ayinipi nafasi yakwenda kanisani nataka niwe nakazi yinayo nipa nafasi yakwenda kanisani nimechok mtumishi mwaka wapili sjati mugu nyumbani mwaBwana naumiya sana nikubukekwenye maombi naitwa Nelson Brydon

  • @shabbyprotus6552
    @shabbyprotus6552 2 роки тому +2

    Alijitoa sadaka kwa mungu na kizazi chake kimeinuliwa na mungu yupo nimkubwa sanaaaa

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 роки тому +12

    Nabarikiwai na mafundisho yako hasa unapoyanena katika utulivu wa Roho Kama unenavyo Leo.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @awefamilyvlogs7936
    @awefamilyvlogs7936 2 роки тому +11

    My brother Bishop. This blind man's sacrifice moved me to tears.

  • @egonmatwiga9102
    @egonmatwiga9102 2 роки тому +5

    Mungu azid kukuinua mtumish

  • @dissankone3425
    @dissankone3425 2 місяці тому +1

    AMEEN AMEEN ASANTE BISHOP NIMETIWA MOYO SANA😭😭😭🤲🏻🤲🏻🤲🏻🙌🙌

  • @michaelmoro4801
    @michaelmoro4801 2 роки тому +4

    Kwali kabisa Askofu matendo mema yanane

  • @pmall8867
    @pmall8867 2 роки тому +3

    mwenyezi MUNGU tuwekee Huyu mtu Bado tuna muhitaji Sana......

  • @muganzomaendeleo735
    @muganzomaendeleo735 2 роки тому +6

    Munguwako na awe Mungu wangu,ubarikiwe baba.

  • @barakamwakapoma2702
    @barakamwakapoma2702 2 роки тому +7

    Umenifariji Sana baba askofu Kumbe shida yetu inakwenda kuisha huwa najiuliza tunakosea wapi

  • @scovianalubega9221
    @scovianalubega9221 2 роки тому +1

    Hallelujah hallelujah hallelujah

  • @gracenyangusi6230
    @gracenyangusi6230 2 роки тому +5

    Imani ya kiwango cha juu sana.

  • @ibrahimuimaniofficial
    @ibrahimuimaniofficial 2 роки тому +3

    Amina bishop somo hili ni ufunguo wa maisha ya mkristo

  • @nativeinfotv9620
    @nativeinfotv9620 2 роки тому +1

    Barikiwa na Mungu wa mbinguni akulinde zaid na zaidi Mtumishi wake🙇🙏🙏🙏

  • @reginamukama7333
    @reginamukama7333 2 роки тому

    Asante baba kws kutunoa juu ya swala hili "" Damu inenayo mema'

  • @emyemy3045
    @emyemy3045 2 роки тому +3

    Amen

  • @chedielmmbuji8844
    @chedielmmbuji8844 2 роки тому +1

    Amina baba ubarikiwe

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 2 роки тому +2

    Amen dady

  • @samwelimwanja4105
    @samwelimwanja4105 2 роки тому +2

    Ameni

  • @neemaleatitia6915
    @neemaleatitia6915 2 роки тому +2

    Amen 🙌🙌🙌🙏🙏🙏nimebarikiwa Sana baba

  • @charlesedson5538
    @charlesedson5538 2 роки тому +1

    Nimekuelewa na Ahsante

  • @servantofalmightygoddranth2511
    @servantofalmightygoddranth2511 2 роки тому +3

    AMINA KUBWA

  • @rahmarahma920
    @rahmarahma920 2 роки тому +2

    Nakuaminia Ukisema imeshakua

  • @pastormashimo3305
    @pastormashimo3305 2 роки тому

    Mungu azidi kukubariki baba yangu

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 2 роки тому +1

    Amen Amen Baba.

  • @danielmkagila7459
    @danielmkagila7459 2 роки тому +2

    Mungu atubarikiiiiii

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 2 роки тому

    Mungu akubariki mtumishi

  • @jossyngumbi1916
    @jossyngumbi1916 2 роки тому +1

    Ameeeen asante Baba Barikiwa Sana

  • @dissankone3425
    @dissankone3425 2 місяці тому

    WAOOO👏👏👏

  • @fredkyara3278
    @fredkyara3278 2 роки тому

    Ameen mtumish

  • @bawhizzy6202
    @bawhizzy6202 2 роки тому

    Ikiwa ni kweli Mungu ainuliwe

  • @clarajulius4477
    @clarajulius4477 2 роки тому +1

    Ameen

  • @graceluvinga190
    @graceluvinga190 2 роки тому +1

    Amn

  • @gladyskiplimoart
    @gladyskiplimoart 2 роки тому +3

    This is worth listening 👍

  • @scovianalubega9221
    @scovianalubega9221 2 роки тому +4

    Glory be God

  • @littlekingregal1723
    @littlekingregal1723 2 роки тому

    Aminaaa

  • @agnessimon2155
    @agnessimon2155 2 роки тому +1

    Ange bernad

  • @jeshimungiki5793
    @jeshimungiki5793 2 роки тому +4

    Tumemis mawe mzee

  • @sablinajabiri45
    @sablinajabiri45 2 роки тому

    Nabarikiwa sana pastor

  • @ngasayoabu1728
    @ngasayoabu1728 2 роки тому

    👏👏👏👏nakuelewa

  • @aminalimu5150
    @aminalimu5150 2 роки тому +1

    Amen 🙏

  • @godwinmunyaga4002
    @godwinmunyaga4002 2 роки тому +1

    Hakika Bwana ni mwema kila siku na fadhili zake ni za milele

  • @pascaljr.5439
    @pascaljr.5439 2 роки тому

    Somo zuri.. shukran bishop gwajima

  • @antoniaemmanuel6754
    @antoniaemmanuel6754 2 роки тому

    😭 Duh mtu katoa hd macho kwaajili ya kazi ya Mungu Mungu tusaidie nasi tuwe watoaji wa Mali zetu.

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 2 роки тому

    Wanakondoo mnaishi kwa Hop, Gwajima anawapoteza huyu ni muhuni amkeni ndugu zangu wa Tanzania.

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 2 роки тому +1

    Sio kwa hapa bongo

  • @elizabethbernard5143
    @elizabethbernard5143 2 роки тому +2

    Hii ndio kazi ulitakiwa ufanye sio siasa

    • @ikupangalla7716
      @ikupangalla7716 2 роки тому +2

      Lakini pia hata kwenye Biblia Daudi alikuwa Mfalme at the same time alikuwa mtumishi wa Mungu,inategemea Mungu amekwambia nini.

    • @obadiamwashambwa1634
      @obadiamwashambwa1634 2 роки тому +1

      Hujui usemalo

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому +3

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍

  • @mwalongojulius1755
    @mwalongojulius1755 2 роки тому +2

    Jitoe ccm mtumishi uje uwe rais wa nchi hii kwa kuwa mgombea binafsi

  • @kelvinchisongela870
    @kelvinchisongela870 2 роки тому

    Nimejifunza kitu hapa nimebarikiwa hapa

  • @mamuyaamina7343
    @mamuyaamina7343 2 роки тому

    Hv kuna watu wanamuamini huy mtu kweli aisee

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 2 роки тому +2

    Kumbuka ahadi kawe chuo cha uvuvi na zile bot

    • @user-ej1et1ic2f
      @user-ej1et1ic2f 6 місяців тому

      Kumbuka Hapo hahubiri kuhusu siasa na uchumi

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 5 місяців тому

    Duh hadi macho watu wanaweka skuizi bana

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 2 роки тому

    Ama hakika yaliyopita hayawezi kubadilishwa, kusahauliwa, kuhaririwa, au kufutwa. Unaweza kukubalika tu

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 2 роки тому +2

    Wew ni wa motoni tu ipo siku watajua

  • @muhammedsuleiman2137
    @muhammedsuleiman2137 2 роки тому

    Mh uongo mweupeeee hauna hata dowa

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 2 роки тому

    Eti shida za Tanzania zinaenda kuisha wakati pamoja na kupata uhuru miaka 50 na iliyopita matundu ya choo bado ni ngumu.Tanzania hata ipewe miaka 1000 hamna kitu kinaweza tokea.

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 2 роки тому

    Gwajima anampenda sana Magufuli mbona haendi kumfufua..? Hamjiulizi swali nyinyi watanzania?

  • @babuchaya1410
    @babuchaya1410 2 роки тому

    Mpaka sasa hakuna technology ya kubadili macho sjajua hii history ni yakimwili au yakimani ..

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 2 роки тому +1

    Gwajima kamfufue Jembe Mangufuli..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 2 роки тому

    Mwongo huyu amewadanganya watu wa Kawe, stori tu.

  • @jembastephen2189
    @jembastephen2189 2 роки тому

    Fred

  • @furahamwaseba7910
    @furahamwaseba7910 5 місяців тому

    Mtumishi nunua sasa tren leli imesha jengwa uliongea ckunyingi kabla hata reli ya umeme ilikuwa hamna timiza maono yako

  • @mrttony1661
    @mrttony1661 2 роки тому

    Haha 😂 kuna mijitu inajua kuunda vitu kweli haha 😂

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 2 роки тому

    Gwajima atakuwa na matatizo ya akili..

    • @emmanuelgyy7232
      @emmanuelgyy7232 2 роки тому

      Kumbuka unavidole vitano...Kimoja kwa gwajima vinne vyakuangalia wewe...

    • @madeintanzania2995
      @madeintanzania2995 2 роки тому

      Hivi huyu jamaa mbona kang'ang'ania?

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 2 роки тому

    Gwajima ahubiri uwongo na anaongea uwongo mpaka uwongo umeisha, anarudia uwongo..huyu anamatatizo ya akili.

    • @parambili1382
      @parambili1382 2 роки тому

      😂😂😂😂acha bangi wewee umeandika pumba ata ivo u si wazee wa kibakuli kuchwani mnao penda kuwa magaidi dini ya kishoga tuu alf uyo mwamedi wenu akulawitiwa kweli mbon watu wake mnaongea kama mashoga🙄🙄🙄

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 2 роки тому +3

    Zile meli za uvuvi ulizotuahidi Kawe, ile treni ya umeme na Ndege viktig wapi wee tapeli, vitu vingapi vya uongo unavyoonge hao masikini wasiojielewa wakuamini..gwajima wewe ni tapeli acha kupotosha watu masikini

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 2 роки тому

      Mnamwamini huyu koro,hata hii story sijui ya jamaa kuuza jicho ili ajitolee anataka waumini wake wauze figo ili wamletee pesa.

    • @ramadhaniomarishauri9905
      @ramadhaniomarishauri9905 2 роки тому

      @@africanmandetraveler2847 kila siku ana Story mpya.😂😂😂😂

    • @muhammedsuleiman2137
      @muhammedsuleiman2137 2 роки тому

      Kasahau anahitaji kukumbushwakumbushwa gwajima ni mkweli sana hadi anasahau ahadi alizozitowa, tunamsubiri 2025 atuletee ahadi za kutupeleka america .

    • @eliyauhaula5224
      @eliyauhaula5224 Рік тому

      Misimu huamua

    • @user-pn1rd1fs9x
      @user-pn1rd1fs9x 2 місяці тому

      Upo sawa Baba yangu barikiwa

  • @enockoward2656
    @enockoward2656 2 роки тому

    Ungemtaja huyu mtu ili yumgoogle
    Tusome taarifa zake kama n kweli mtumish

  • @yudatadeimdoe9215
    @yudatadeimdoe9215 Рік тому

    ASKOFU MFUFUA WAFU 😄😄😄😄

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 2 роки тому +2

    Dugu zangu Waikristo mnakubali kuingia Motoni na huyu mwehu..tunakuwa vipofu na viziwi kiasi hiki..Mungu hafanyiwi Dhihaki, kama alihubiri South korea au japani aweke video tuone na lile treni la umeme, zile boti za uvuvi alizo tudanganya wana wakati wa uchaguzi..🤣🤣🤣

    • @lupaprince1229
      @lupaprince1229 2 роки тому

      Nakusikitikia ww maana huijui njia, bali Yesu alisema yeye ni njia kweli na uzima, lakini shida iko kwako unamuamini mtume Muhammad ambaye alisema hajui aendako.

    • @ramadhaniomarishauri9905
      @ramadhaniomarishauri9905 2 роки тому

      @mGamingMemories. sasa wewe huwezi kumuuliza mtume Gwajima lile treni la umeme, zile Meli za uvuvi ziko wapi.😅😅

    • @evansshirima5279
      @evansshirima5279 2 роки тому

      Huyu Mheshimiwa Nilikuwa Namuelewa lakini baada ya kushiriki na kuingia bunge kwa hila mh! +na huo Mfano jicho alioutoa hapo Ananimaliza kabisa Maana sijawah kusikia Opereshen ya kupandikiza jicho na likaona!

  • @festomayengo1418
    @festomayengo1418 2 роки тому +2

    Amina

  • @scovianalubega9221
    @scovianalubega9221 2 роки тому +1

    Hallelujah hallelujah

  • @sarhkimboi9085
    @sarhkimboi9085 2 роки тому +1

    Amen Baba!

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 2 роки тому +2

    Amina

  • @BoniphaceLuzaria-jx5yi
    @BoniphaceLuzaria-jx5yi 2 місяці тому

    Amen

  • @juliananasari2526
    @juliananasari2526 9 місяців тому

    Amen

  • @lameckvlazaro2423
    @lameckvlazaro2423 2 роки тому

    Amen

  • @nelsonbreidon6600
    @nelsonbreidon6600 2 роки тому +1

    Amen

  • @kibetmiteiezekiel916
    @kibetmiteiezekiel916 2 роки тому +1

    Amen

  • @neematanganika7221
    @neematanganika7221 2 роки тому +1

    Amen

  • @vincentgittu863
    @vincentgittu863 2 роки тому

    Amen

  • @vailethkinabo7961
    @vailethkinabo7961 2 роки тому

    Amen

  • @rwekasimlizi2029
    @rwekasimlizi2029 2 роки тому

    Amen