KISA CHA KWELI!! Siri ya matajiri wa Korea hii hapa
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Mchungaji Gwajima ni mstarabu sana mno. Ila mpaka umchokoze au ulitukanishe jina la Bwana wake hapo ana amsha Dude.
Kumbe huyu mtu ni mzuri hivi bhana!!! Akitulia hivi, Mungu atamuinua zaidi sana. Mungu na am bariki zaidi Ndg. Josephat Gwajima.
Ukimsikiliza ndio utajua, ila ukisikiliza maneno ya mtaani bila kumsikiliza, utahukumu isivyo haki.
Mtumishi naomba uniombe nipate kazi ninakazi mshahara mdgo sana arafu ayinipi nafasi yakwenda kanisani nataka niwe nakazi yinayo nipa nafasi yakwenda kanisani nimechok mtumishi mwaka wapili sjati mugu nyumbani mwaBwana naumiya sana nikubukekwenye maombi naitwa Nelson Brydon
Alijitoa sadaka kwa mungu na kizazi chake kimeinuliwa na mungu yupo nimkubwa sanaaaa
Nabarikiwai na mafundisho yako hasa unapoyanena katika utulivu wa Roho Kama unenavyo Leo.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
My brother Bishop. This blind man's sacrifice moved me to tears.
Mungu azid kukuinua mtumish
AMEEN AMEEN ASANTE BISHOP NIMETIWA MOYO SANA😭😭😭🤲🏻🤲🏻🤲🏻🙌🙌
Kwali kabisa Askofu matendo mema yanane
mwenyezi MUNGU tuwekee Huyu mtu Bado tuna muhitaji Sana......
Ameen
Munguwako na awe Mungu wangu,ubarikiwe baba.
Amen
Umenifariji Sana baba askofu Kumbe shida yetu inakwenda kuisha huwa najiuliza tunakosea wapi
Hallelujah hallelujah hallelujah
Imani ya kiwango cha juu sana.
Amina bishop somo hili ni ufunguo wa maisha ya mkristo
Barikiwa na Mungu wa mbinguni akulinde zaid na zaidi Mtumishi wake🙇🙏🙏🙏
Asante baba kws kutunoa juu ya swala hili "" Damu inenayo mema'
Amen
Amina baba ubarikiwe
Amen dady
Ameni
Amen 🙌🙌🙌🙏🙏🙏nimebarikiwa Sana baba
Nimekuelewa na Ahsante
AMINA KUBWA
Nakuaminia Ukisema imeshakua
Mungu azidi kukubariki baba yangu
Amen Amen Baba.
Mungu atubarikiiiiii
Mungu akubariki mtumishi
Ameeeen asante Baba Barikiwa Sana
WAOOO👏👏👏
Ameen mtumish
Ikiwa ni kweli Mungu ainuliwe
Ameen
Amn
This is worth listening 👍
Baba kauli wamekunyamazisha una lolote
Glory be God
Aminaaa
Ange bernad
Tumemis mawe mzee
Nabarikiwa sana pastor
👏👏👏👏nakuelewa
Amen 🙏
Hakika Bwana ni mwema kila siku na fadhili zake ni za milele
Somo zuri.. shukran bishop gwajima
😭 Duh mtu katoa hd macho kwaajili ya kazi ya Mungu Mungu tusaidie nasi tuwe watoaji wa Mali zetu.
Wanakondoo mnaishi kwa Hop, Gwajima anawapoteza huyu ni muhuni amkeni ndugu zangu wa Tanzania.
Acha bangi
MUNGU Akurehemu kwa maana hujui ulisemalo
Sio kwa hapa bongo
Hii ndio kazi ulitakiwa ufanye sio siasa
Lakini pia hata kwenye Biblia Daudi alikuwa Mfalme at the same time alikuwa mtumishi wa Mungu,inategemea Mungu amekwambia nini.
Hujui usemalo
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
Jitoe ccm mtumishi uje uwe rais wa nchi hii kwa kuwa mgombea binafsi
Nimejifunza kitu hapa nimebarikiwa hapa
Hv kuna watu wanamuamini huy mtu kweli aisee
Kumbuka ahadi kawe chuo cha uvuvi na zile bot
Kumbuka Hapo hahubiri kuhusu siasa na uchumi
Duh hadi macho watu wanaweka skuizi bana
Ama hakika yaliyopita hayawezi kubadilishwa, kusahauliwa, kuhaririwa, au kufutwa. Unaweza kukubalika tu
Wew ni wa motoni tu ipo siku watajua
Kwanini, nieleweshe
Mh uongo mweupeeee hauna hata dowa
Eti shida za Tanzania zinaenda kuisha wakati pamoja na kupata uhuru miaka 50 na iliyopita matundu ya choo bado ni ngumu.Tanzania hata ipewe miaka 1000 hamna kitu kinaweza tokea.
Gwajima anampenda sana Magufuli mbona haendi kumfufua..? Hamjiulizi swali nyinyi watanzania?
Mwenye uwezo wa kufufua ni MWENYEZI MUNGU pekeee!
Mpaka sasa hakuna technology ya kubadili macho sjajua hii history ni yakimwili au yakimani ..
Gwajima kamfufue Jembe Mangufuli..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mwongo huyu amewadanganya watu wa Kawe, stori tu.
Fred
Mtumishi nunua sasa tren leli imesha jengwa uliongea ckunyingi kabla hata reli ya umeme ilikuwa hamna timiza maono yako
Haha 😂 kuna mijitu inajua kuunda vitu kweli haha 😂
Gwajima atakuwa na matatizo ya akili..
Kumbuka unavidole vitano...Kimoja kwa gwajima vinne vyakuangalia wewe...
Hivi huyu jamaa mbona kang'ang'ania?
Gwajima ahubiri uwongo na anaongea uwongo mpaka uwongo umeisha, anarudia uwongo..huyu anamatatizo ya akili.
😂😂😂😂acha bangi wewee umeandika pumba ata ivo u si wazee wa kibakuli kuchwani mnao penda kuwa magaidi dini ya kishoga tuu alf uyo mwamedi wenu akulawitiwa kweli mbon watu wake mnaongea kama mashoga🙄🙄🙄
Zile meli za uvuvi ulizotuahidi Kawe, ile treni ya umeme na Ndege viktig wapi wee tapeli, vitu vingapi vya uongo unavyoonge hao masikini wasiojielewa wakuamini..gwajima wewe ni tapeli acha kupotosha watu masikini
Mnamwamini huyu koro,hata hii story sijui ya jamaa kuuza jicho ili ajitolee anataka waumini wake wauze figo ili wamletee pesa.
@@africanmandetraveler2847 kila siku ana Story mpya.😂😂😂😂
Kasahau anahitaji kukumbushwakumbushwa gwajima ni mkweli sana hadi anasahau ahadi alizozitowa, tunamsubiri 2025 atuletee ahadi za kutupeleka america .
Misimu huamua
Upo sawa Baba yangu barikiwa
Ungemtaja huyu mtu ili yumgoogle
Tusome taarifa zake kama n kweli mtumish
ASKOFU MFUFUA WAFU 😄😄😄😄
Dugu zangu Waikristo mnakubali kuingia Motoni na huyu mwehu..tunakuwa vipofu na viziwi kiasi hiki..Mungu hafanyiwi Dhihaki, kama alihubiri South korea au japani aweke video tuone na lile treni la umeme, zile boti za uvuvi alizo tudanganya wana wakati wa uchaguzi..🤣🤣🤣
Nakusikitikia ww maana huijui njia, bali Yesu alisema yeye ni njia kweli na uzima, lakini shida iko kwako unamuamini mtume Muhammad ambaye alisema hajui aendako.
@mGamingMemories. sasa wewe huwezi kumuuliza mtume Gwajima lile treni la umeme, zile Meli za uvuvi ziko wapi.😅😅
Huyu Mheshimiwa Nilikuwa Namuelewa lakini baada ya kushiriki na kuingia bunge kwa hila mh! +na huo Mfano jicho alioutoa hapo Ananimaliza kabisa Maana sijawah kusikia Opereshen ya kupandikiza jicho na likaona!
Amina
Hallelujah hallelujah
Amen Baba!
Amina
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen