ARUSHA NI NGOMBE KUU YA WASAGAJI TANZANIA /WACHUNGAJI MASHOGA WATAJWA LIVE BILA WOGA "PASRT ONE"
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
UA-cam : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Kati ya wazee wa kitanzania wanaozeeka vizuri Mwakyembe ni namba one.
Mungu azidi kumlinda
True
Baba Mwakiembe tunakupenda ,tutakuombea,Mungu atakulinda,hujaogopa kuisema kweli na kukosoa upotofu uliofichwa na viongozi wa nchi, You're clean God is with you everytime.!
Mbona haikemei serikali kwa kusuport huo ushoga
@@mohamedothman5792wao wenyewe mashoga na wasagaji. Mikataba mingi wameingia ya kishetani
Anauliaa mbona serikali haikemeii? Jibu ni haikemei kwa sababu inasheria zakitwahuti na nae kaa madarakani anatakiwa kufata yalio pangwa
Mwakyembe, umejitoa zaidi ya Watumishi wa Kiroho,Mungu akulinde
Sure
Hii vita ni kubwa aisee
😢😢 kabisaaaa..
Kweli aisee maana hao wamekaa tu kufuga vitambi😂😂
Mzee Mwakyembe Mungu akulinde akupe baraka zote kwa kuiamsha jamii yetu dhidi ya ushoga na usagaji tembeeni mpaka mashuleni na vyuoni mpaka misikiti muungane imani zote muiokoe nchi yetu.AMIN
Mwakyembe na Cathelin Mungu awape tuzo za utumishi mkuu pia
Kupinga ushoga hakuna udini waislamu tunaungana na nyinyi kupinga ushoga Tanzania mungu awape nguvu ktk hilo.
Mungu ni mwema
❤❤❤❤❤❤❤ psmoja San udin pemben
Muheshimiwa mungu awalinde Na team yako kwa kazi ngumu ingekua utume unaendelea wewe ingekua ni mtume Mimi ni muislam Lkn nakuombea sana Kwa mungu akufanyie wepesi wakila hatua.
Mwenyeenzi Mungu awalinde.Litaisha tu Mungu ni mkuu hapendi kutukanwa. viongozi wakisimama hili litaisha kwa jina la Yesu🙏
YESU watie nguvu wasichoke hawa watumishi wako.Amina.YESU imalisha ulinzi juu ya watu wako hawa adui asiwazuru shetani azulike mwenyewe in Jesus name.shikamoo mwankyembe.jmn ndugu zangu naombeni tuendelee kuwaombea hawa watumishi wa Mungu.maana Mungu anatumia vinywa vyao kupinga dhambi kubwa ya ushoga .
MUNGU ALIYE MUUMBA YESU NA SISI WOTE NDIYE AWATIE NGUVU SIYO YESU KWA SABABU YEYE NI MTUME KWA WANA WA ISLAEL.
YOHANA 20:17 Luka 18:18
Mwakiyembe anastahili Kuwa Rais
Bravo Mwakyembe
@@hamzaswaibu9470 tuondolee umajini wenu
Mzee mwakyembe na Dada yangu catherine mungu awatie nguvu kwa kazi kubwa mnayo fanya kuokoa taifa letu na kizazi chetu hichi
Mungu akulinde Babu yangu na kundi lako katika jina la YESU KRISTO BWANA WETU
SULUHISHO JINGINE NI KUACHA KUPOKEA MISAADA YA VYAKULA NA DAWA ZA MENO NK KWA SHULE ZETU ..SISI SIYO MASIKINI TUNAJIMALIZA WENYEWE.
Marehemu Magu Mungu amrehemu alikataa ivyo vitu ila kizazi cha luta kinaona sawa tuu hadi kutishia watu wasikosoe serikali😢😢😢
Mbona wasema ukweli
Serikali ya CCM ndo wanapitisha maombi ya msaada wa vyakula.
KAMA ULIIPOKEA DINI PENDA NA MAMBO YAKE
@@upendoeliya9329serikali Haina dini.watu binafsi ndio walipokea mapokeo ya mioyoni kupitia dini na wakaacha kumtaka Mungu na nguvu zake sasa nae amewadhihirishia uovu WAO kwa kuwaacha wafuate akili zao hata kuwakiana tamaa watu wa aina moja
Mungu akubariki sana Mzee wangu mwenye hekima busara na msema ukweli
Ewe Mwenyezi Mungu tulinde na hili janga sisi waja wako tuepushe tuepushe tuepushe 🤲🏾🤲🏾
Mungu awakumbuke kwa kazi nzuri mnayoifanya. Inaumiza sana; Yesu ingilia kati
Mzee Mwakyembe Mungu Akulinde na Nakufunika Kwa Damu ya Yesu Christo Wa Nazareth Aliye Hai Amen ✝️🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Duh hii ni zaidi ya laana....Mungu tusaidie
Saidia kizazi chetu hiki na kijacho...uwalinde wote wenye nia njema kwa taifa letu na dunia kwa ujumla.
Mwakyembe hongera wachungaji kuweni makini elimisheni waumini
Mimi nashauri mikutano hii isifanyike kwenye kumbi ombeni kibari mfanye mikutano ya hadhara ili kuliponya Taifa hili kwa haraka
Hiii roho ya ushoga na usagaji ninaikataa ktk taifa langu la tanzania kwa jina la yesu kristo wa Nazareth aliye hai na kwa damu ya yesu.
Nimemuona baba yetu kabese anahuzunika tu Mungu aliponye taifa letu hakika tunamuhitaji Mungu mno
Mungu ni wa Pekee wala hana msaidizi..MASHA ALLAH KWENU...LAANA IWE JUU YAO WANAHARIBU NCHI SANAA..NA WATU WAKE 😮
Hongera sana mzee wetu mpendwa Mheshimiwa Harrison Mwakembe Mwenyezi Mungu akulinde mile na milele, Amin.
Mwakiyembe anafaa kuwa Rais wetu tunataka watu wanajiamini na wazalendo wa kweli ktk Taifa bila kujari wala uoga kwa mataifa yalioendelea
Asubutuuu ndoto hio😅😅😅
Serikal hataki wasema ukweli
Damu ya Yesu iwafunike watumishi wa Mungu mnaofichua maovu haya
Mashoga
Mungu Akubariki Doctor mwakyembe
Jamani jamani jamani machozi yananitoka natamani kulia dah dah sielewi nianzia wapi Niko tayari kwa vita hii inasikitisha Sana mungu awabariki Sana wote mliofanya uchunguzi huu nakubaini huu upuuzi wa wazungu.
Asanteni kwa kujitolea. Nchi bado haijawa serious kupambana na ufirauni huu!
Mwakyembe unachokifanya kupinga ufiraji, ulawiti ni jambo la msingi sana. Wahusishe nchi za jirani km Rwanda, Uganda na watu wanaokubalika kama Prof. LUMUMBA
Uo ndio ukwer
Mungu akawalinde watoto wetu, Dr Mwakyembe na Dada Catherine Mungu awabariki na kuwalinda
Mh. Mwakyembe anafanya kazi nzuri kuihabarisha Jamii, serikali ichukue hatua stahiki haraka
Tanzania tumebarikiwa sana Mungu ameichaguwa hii nchi Mungu awatie nguvu na kuwalinda Muendelee na kurudisha misingi yetu ya Kumpenda Mungu wa kweli na kuchukia maovu
Mwakyembe usichoke mungu atakulinda
Kusaga Tv Mungu amusaidie saana,kiukweli hz habari huwez kuzikuta millard Ayo, SNS, Wasafi Tv, hata Clouds
Kweli
Wanaogopa kufungiwa vituo vyao
E mwenyezi mungu tuondolee hili Balaa Tanzania
Mwakyembe aungwe mkono watanzania tuungane katika hii vita,
Amen mtumishi wa MUNGU mwakyembe🎉
Tuiombee nchi yetu na watoto wetu ,kwa kuwa kwa mungu hakuna lisilowezekana.
Ikiwa watu wangu walioitwa kwa JINA langu atajinyenyekesha nakutubu nakuziacha njia mbaya mungu wa mbinguni ataiponya nchi yetu na watoto wetu.tuombee watanzania
VIVA MZEE MWAKYEMBE....HII VITA YA KUPINGA USHOGA NI VITA YETU WOTE WATANZANIA NA WAAFRIKA WOTE.
Kusikiliza hili jambo ni ngumu sana inaumiza serikali msiogope ufunuo wa yohana 18 imeandikwa Mungu atawapinga sana biashara zao utaanguka selikari yetu msiogope Mungu ana baraka ya nchi sio ya dunia imeandikwa heri nchi ambayo Mungu ni Mungu wao hivo Tanzania iking'ang'ana na Mungu itatoboa sio dunia Tanzania tujitahidi kufanya kazi kwA bidii tuachane na kukopakopa hela shetan kajificha kwenye hela kila mtanzania ajitahidi kufanya kazi.kwa bidii
Huyo sio mtumishi wa Mungu! Huyo ni UZAO wa nyoka!!! We will not be quite! Salute to you Mr Mwakyembe!
Maombi yangu kwako ni kumuomba Mwenyezi Mungu akulinde watanzania wanahitaji kukuunga mkono kwa kweli umejitolea kuokoa kizazi kinachoangamia
This is very good ideas to teach others what are going to happen to future generations
Mungu akulinde mzee Mwakyembe
Nafunika taifa la tanzania kwa damu ya yesu kristo aliye hai
Kumbe ndiyo maana huyu jamaa mimi niliwaambia huyu anajiita mzee wa neema kuna shida. Ahsante sana kuibua huu uovu
Liko Arusha sehemu gani
Asante mungu muacheni alale kwa kuwaamasisha watoto wa wenzao Laana tu LLAH
Mungu awabariki sana ndgu zangu yaani nawapenda sana Wala msiogope kusema ukweli nawapenda sana
Wachungaji wetu tusaidieni mwache kufurahia hata mambo yaviduku na sebene kanisani
Wanapendezwa na ndombolo ya solo wanaacha kukemea maovu!
Kucheza na kusifu hakuna uhusiano wowote na ushoga labda kama unatumia usichopenda kupotosha
TUNAPINGA USHOGA KTK JINA LA YESU KRISTO
Nyie ndio wakubwa mnawalinda
Kwanini mnaruhusu makanisa mengi hivyo Kila Kona mpaka kwenye vichochoro KERO kero
@abduljuma7807 hili janga hili halibagui dini. Tumia busara
Mwakyembe ubarikiwe sana Mungu awatunze mnaisadia Tanzania yetu sana navijana wetu
Yani upo vizur sana na Mungu atakulipa kwa kupambania hili taifa ushoga ukiwepo ni kuiangamiza nchi na kuipa janga kubwa nakufa vifo vibaya uku tunajiona.
Mungu akasimame na uzao wangu eeh mungu bariki na hawa watumishi wako wape hekima na miaka mingi ya kupambana na hili
Hongera sana watu wa Mungu maana watumishi wa kanisa wanakazia kwenye i receive huku wengine wananyanduana
Mungu akulinde mwakyembe
Laana ya Mungu iwaangukie mashoga wote duniani. Amiin
Ammin
Mungu aturehemu
@@Nim68182 Amiin
Eee Mungu baba yangu, naomba ukumbuke uzao wa tumbo langu😭😭😭, naomba uwakimbuke watoto wetu wa Tanzania
Mungu akubariki Sana Mwakembe pamoja na Dada muzidi fichua izo sori zaayo mashetani,
Mbarikiwe watu waMungu nijambo zuri Mungu awatie nguvu
Kweli Leo nimefurahi saana kuona tena hii channel..KWELI ENDELEENI..MSIENDESHWE...
Mh. No ya mawasiliano upate visa zaidi.
Mungu AKUBARIKI sana DR. MWAKYEMBE NA HUYO DADA MWANDISHI WA HABARI, MACHACHARI KABISA. MUNGU ANA NAMNA YA KUWAKOMESHA HAWA WATU NA KUWATOKOMESHA KABLA UHARIBIFU MKUBWA HAUJAJITOKEZA NA KUHARIBU MAADILI NA TAMADUNI ZETU.
L
Mzee Mwakyembe Mungu akupe Nguvu za ujana zaidi uweze kutusaidia
WANAKUJA KABILA HIZO WANAPEWA VYEO SANA HATA KAPITA TU! THE NAME IS BOSS.MADAM..wanapita wenye mapenzi na nia na bidii za wazi,wanakuwa sio wazurii
Mungu akupe maisha marefu kiongozi
Yesu akutunzee mzee na Yesu aitetee Tanzania 🇹🇿 yetuu🙌
Ee Mungu tusaidie, nchi yetu inaangamia, Kwa sababu ya watu wachache wasiokuamini Mungu wetu, Mh mwakiembe na Dada yetu na wengine wanaopigana na uchafu huu unaoenea duniani ,
Malzia sntensi yko chini pale haijkmlika.Sema Mungu walinde na Mh.Mwkyembe na dadaake mwzeshaji Mungu uwalinde katika kuupinga huo mpango wa kishetani
Congratulations kwa serikali ya Tanzania kwa kulifunga hilo kanisa.
Safi sana mwakyembe wewe kweli ni Gwandumi Gwa kyala ,nakuelewa sana
Huu utawala wa samia kwanza mwenyezi mungu aung'owe manaumetuletea shida kubwa Sana,,,, MTAKUMBUKA enzi za magufuli ambye mlimuuita dikteta haya lakni enzi za utawala wa mzee magu haya haya kuwepo... Sisemi kwamba ushoga ulikuwa haupo lahasha ulikuwepo lakni aisee si kama kwenye hu utawala wa samia
kweli jamani.Magu hata kujipendekeza kwa safari za kila mara hakufanya hivo.
@@bakarifakih4228 ndio mana nna sabbu ya kusema kuwa samia na kikwete wametuletea mtihani mno kwenye taifa letu... MSIKILIZE mwakiembe alivyosema kuna kijana alimwambia lakni ujue makamu wa rais wa Marekani anakuja sasa inaingilianaje mwakimbe aache kufanya kazi zake za kukataza mauvu eti kisa makamu wa rais wa Marekani ana kuja. Ana maana gani kusema hivyo kama hi nshu sio njama na, serikli naweza sema hizi serikali ndio zinazo tusababishia klia kitu majanga Mafuriko kwenye taifa letu hususani huu utawala wa samia kwakweli mungu aingilie kati hi ninjama na serikali lakni mwenyezi mungu atawaadhibu sana hawa watu inshalah kutuharibia watoto wetu kisa tamaa zao kwakweli inauma mimi kama mzazi 😭😭😭siishi kulia na mungu ju ya haya yanayoendelea my.... Wazungu hawawezi kuja kuiharibu nchi yetu bila kuwa na mwenyenyeji wakupeana mchongo yote hiyo kitu haiwezekani kuna watu wa NAUNGANA na hawa vibaraka kuja kulichafua taifa letu tena niwakuu wa serikali hata yule kikwete hakosekani kwenye hayo makundi ndio mana ana kazi yakuuwa wenzie ili awe huru na taifa letu na vibaraka vyake kulichafua tz mungu atamlaani sana yule baba wapo wengi lakni jakaya hakosekani kwenye hilo kundi yule baba akija kufa yule kidogo amani ya nchi yetu itakuwa shwar japo sio sana lakni kidogo itakuwa na nafuu nasema hivyo kwa sabbu naamini JAKYA hilo kundi lake sio dogo
EWE Mungu simama na watoto wetu uwaokoe na huu uovu.
Omba na usome biblia usiishie kuongelea hapa tu
Tusisahau kuwapa watt kaz mbali mbali ili wajenge ukakamavu. Pia tuwaombeeee
Catherine Mungu akuweke tuko nyuma yako Mdogo wangu.
Tupinge ushoga kwa jina la Yesu. Mwakyembe Mungu awabariki sana kwa mapambano hayo na huyo Dada
Hii ni hatari Sana Kwa maisha ya kiroho hapa Tanzania Hongera Sana Dr.H.Mwakyembe
Baba mwakiembee Mungu azidi kukupa Afya
Hongera sn Mh Mwakyembe, Huyu chungaji Hafai kabisa, Hata products zao Sabuni lotion Dawa za miswaki Shampoo sitakaa nitumie , Washenzi sn
Mungu awapige hao walimu.
muheahimiwa mungu akulinde.
MWENYEZI MUNGU SIO MJOMBA WA MTU.. KWAKWELI NAUMIA SANA NA HUU USHENZI UNAOENDELEA KWENYE NCHI YANGU ILA SINA JINS NISHAWAHI KULIA SANA MWISHO NIKAMSHUKU MUNGU 😢
HONGERAA SAANA DADA MDOGO MUNGU AKUPE UWEZO MKUBWA NA UWAZII ZAIDI..NILIKUONA PALE ULIPOANZAA TU HAYAA❤
Mungu ni mwema sana ahsante kwa hayo majibu ya kupalalaizi
hongereni sana kwa kupinga ushoga watumishi, tunatakiwa tupipinge kwa pamoja
Hawa ndio watu wa kupewa tuzo kwa kuvaa ujasiri wa kupiga vita hili suala maana hii issue is very critical.Mwenyezi mungu awatie Nguvu na kuwaongezea ulinzi wa malaika zake.
Mzee mwakyembe hata kama lilitakuta baya basi mungu akulinde sana tena sana kwakweli tunapotea kwa hizi tamaduni za kizungu
Amina ndg zangu tushikane na kushirikiana kukemea ushetani huu kwetu haitawezekana hatuwataki
Na mungu awabariki sana nyinyi na vizazi vyenu vyote❤
Mungu awalinde na kuwapa nguvu, kemeeni maovu
Mungu atusaidie watanzania inabidi tuombe na tupambane pamoja juu ya jambo hili
Mungu awatie Nguvu watumishi wa Kristo hakuna kurudi nyuma.
Nipo kenya. Nakuombea mola akulinde
Uhusiano dola na ibilisi nguvu ya pesa jamani usikubali kwambia imemzidi mungu,Mungu ananguvu
Kama mwakyembe na Katherine wameifanya kazi hiyo nzuri na bora jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania liko wapi?
Pongezi kwenu waeshimiwa kwa kuliona ili Mwenyezi Mungu hashindwi na jambo izi tabia ovu zitakoma kwa jina la Yesu
Mfalme Yesu Kristo Anarudi this is end time sign Church Of Christ Pray
Mh. Nakupongeza sana kwa kukemea hadharani jambo hili la aibu mbele ya umma.
Allah awape ulinzi katika njia yenu yakutokomeza ushoga🙏
Mh Mwakyembe Mungu akubariki sana unaokoa watanzania maelfu kwa maelfu
Mungu awabariki sana awatunze awalinde siku zote za maisha yane
Mbona hilo kanisa kwasasa limefunguliwa na wamekuja kwa kasi kubwa tofauti na mwanzo.... Ni mtihani mkubwa sana....
Jamani hizi ni siku za mwisho hayo lazima yatimie maana maovo hayanabdi kutokea muda umekwisha YESU KRISTO anarudi ni muda kutubu
Mungu awabariki kwa matoleo yenu pia awalinde🙏🙏🙏
Noma