Acunguze vizuri ajue paula alikua sehemu gani kwa hizo saa!!!utakuta ni paula.....ndo maana harmo kangangania kajala asioni ninani alokua ndani......ohoooooooo!!
Yuster Mumy kama kweli kajala rafikiako mshauri afanye biashara kwa umri wake hata siyo wa kuhangaika na wanaume tena vibenten unless aolewe kama wezake atulie maana anajiaibisha sana na anawaaibisha familia yake
Nimemsikilizaaa huyu dada mbona kaugomvi ka kawaida katika mahusiano ili yadumu lazima kuwe na samehe alafu ukitaka cha peke yako muumbe wako..au uyo atakuwa malaika...kajala wewe kuwa mpole maisha yaendelee
Stella AGE IS JUST A NUMBER plse. As long the couple 💑 😍 love each other, life goes.Ila TABIA haina dawa hata kama ukiipaka RANGI, haitabadiliika kamwe bali itarekebika kwa muda na kurudia uasili wake.
Sasa wanaume wanafanya, huyu kajala mzee ameona mengi mpaka ana mtoto mkubwa... joto ya mwili ilimpeleka kwa Harmo. zari na kajala wazee wako over 40s na wanajifanya wasichana. Watulie na wajue wanaume hata wawe 70 wanaweza chukua warembo hata wandogo lakini hawa wamama wazee acheni, kushindana na mababa
Safi sana Harmo, we utakuwaje kebenten bwana wakati umri wako ni mdogo na vyombo unavyo? Tafuta kimwana unayeendana naye hayo manung'ayemba ni ya kuyapitia na kuyamwaga yaende yakatafute wazee wenzao huko uwanja wa fisi
Wanawake tujitahidi kujisitiri haswa kiumri vijana hawa wadogo watatudhalilisha.ingawa mnasema it's just a number when it comes to love. Tujitahidi sana kutpenda hovyo hovyo
Hamon anampenda kajala kutoka moyon () na kitendo alichokifanya hamon Kiko kwakila mwanaume wanaume wameumbiwa tamaa Ila wamoyon huwa anabaki moyon. Hamon anampenda kajala) wengine wapita njia tu....
Mnamsema harmo tu eti wanaume tunanini na yule mwanamke alifata nini nyumbn kwa harmo mpaka akaenda nyumban kwakwe hakujua harmo ni wakajala nyie wanawake pia mnamatatizo makubwa tu kwanza yeye mwanamke kukubali kwenda nyumban kwa harmo ni kosa kubwa sana alikuwa anahitaji waachane na kajala kwa akili ya harakaharaka tu lazma uone mwenye makosa makubwa hapo ni nan? Wanawake mgekuwa na ujasiki kukataa kutembea na waume za watu dunia ingekuwa salama
Hakuna kama kajala kwake bona hakuwa na funguo za nyumba mpaka aulize security kama kuna watu ndani. Yakaa Kajala huenda akiwa na joto ya mwili kwa Harmo, kijana.
Mwanamume ndiye mwenye makosa kwanini Unaukataa ukweli? Harmonize ndiye mwenye nyumba, Mwanamke hawezi kuingia kwa ile nyumba bila ruhusa ya harmonize, halafu mwanamke hatongozi, yeye alifanya kutongozwa, na akaletwa kwa nyumba, na hata angekataa mwanamume angeenda kutongoza mwengine tu kwa sababu ashaamua kumsaliti kajala, makosa ya mwanamke Ni gani?
Kumbe kaongovi ako tu mbona ka kawaida Sana ata demu tu akumjua ninani wenzie huwa tunawafuma namajina tunawajua had sura tunawajua Sasa yeye alihisi tu lakini Hana uhakika kubigwa tu kawaida Sana wengine tunaishi na wakina mandoga mtu kazi
Dad tumesikia lakini kwenye mpz Kuna mambo mengi ki kubwa uvumilivu sas kama sis wanadoa tunakosana na wame zetu hatuji mtandaoni labda kajala nimupitaji sio mkeeee
Swali moja tu. Kama nyumba ni kubwa hivyo na Harmo alikuwa na muda vile kwa nini asimfiche huyo kimada wake kwenye chumba kingine. Angemfichaje chooni ambapo lazima Kajala angeingia? Tukumbuke kuwa Harmo alishuka hadi chini kumchukua Kajala hivyo muda na mwanya alikuwa nao kumficha mtu wake. Ni ulevi au?
Kazi nzuri sana! The most comprehensive, almost first-person interview, concerning the Kajala-Harmonize split up. Yusta Mgaya is a very resourceful person on this topic because both the concerned parties are seemingly her very close friends. What insight! Got me subscribing to this channel. Endeleeni hivi hivi.
JAMANI MTAKUJA KUNIKUBALI TUUU.ALIKUA NA PAULI NA ISHA JULIKANA.KWANI KILICHO MFANYA AONDOKE BILA KUJUA ALIYE KUA NAE NINANI??????ANAE NIELEWS LIKE ZANGU HAPA.
Sawa kabisa wameachana. Kajala mzee sana kwa Harmo atafute mzee mwenza...Wamama wajiheshimu waache kulala na vijana wadogo,,,eti my lover..wasichana watoelewa na kina nani
Harmonize hawezi kumtafuta Yusta coz ni kitu alitaka kiwe hivyo coz anajua hata mlinzi anajua kuna mtu ndani na harmonize hakumtahadharisha mlinzi kt chochote incase km Kajala atatokea. Na kama kweli hakua na dhamira mbaya ni tamaa zake tu basi angemfuata Kajala alivyotoka, na pia Kajala kutaka space haipo coz hakuna any effort za harmo kujua anything about Kajala baada ya Hilo saga.,
Kupendana kupo hivyo so hakuna haja ya kung'ang'aniana eti kwa kuwa mlipochumbiana mlitumia muda mwingi kutafutana na kubemberezana, kamba ikikatika imekatika tu kwanza nakushauri we Dada urudi kwa Kajala umshauri atulie huu muda ni wa Paula yeye ni mtu mzima asubirie vijukuu la sivyo ataliwa pamoja tena yeye, mwanae na vijukuu
Kwan huy harmo alilew c angemtoa na mlango mwingne au angempleka mbal na hyo rum y afanye ivo chumbn kwake wanakolal na kajal au nae alikuw amemchoka mwenzie man akufukuzae hakwambii toka
Kama ni kosa ilo wange kaa kuyamaliza hata akiachana na harmo akienda kwa mwingine hakuna jipya angekaa akavumilia tu sis tuna pigwa matukio na tuko ndan ya ndoa na tuna watoto hata ukitafta mwingine bado yale yale dah
Kama ni fumanizi basi hata huyo Harmonize ni mshamba utafichaje mtu chooni sehemu unajua mtu anaweza ingia hata mara tu akiingia ndani ya nyumba, basi itakua alidhamiria kufanya hivyo labda alikua anatafuta Sababu ya kumwacha kwa mda mrefu ss hiyo siku ndio ilikua imefika ila Kajala hakua amesoma alama za nyakati kitambo
Kajala yuko after money na sio anarealy love kwa harmo kishicho riziki hakiliki 😂😂😂😂aje kwangu harmo mm ndio wasaiz ake aachane na mzee anabemendwa tuu kurubembe yule kashazoea kuchuna na sio kutulia
Hamna mwanaume wa mwanamke mmoja hata hivyo, ndio mana Islam ishasema oeni wanne tu. Ila mahusiano ni very complicated. Unaweza usichepuke na bado mkagombana from nowhere
Itakuwa yule dada wa kazi alipoona harmo akashindwa kumuhamisha chumba, yani kufumaniwa ni kufumaniwa tu, lazima akili iyumbe unasahau hata ufanye nini.
Yustar wangu wewe nilikua nakungoja uongee Asante dada❤️❤️❤️❤️
Acunguze vizuri ajue paula alikua sehemu gani kwa hizo saa!!!utakuta ni paula.....ndo maana harmo kangangania kajala asioni ninani alokua ndani......ohoooooooo!!
Wenae fala
Hapna bwan pau c amemtoa mama Ake kampeleka uko kwenda kumueka sawa cy pau bwan
Cjawahi kuchoka kukuangalia yustar unanipaga Raha sana mwenyezi mungu akuweke Yani mwanzo mwisho interview zako huwa aichoki ni kucheka tu ❤️❤️❤️😆
Mr3
Mm nimekupenda mrembo
Asante dada kutuwekeya wazi mana tulikuwa njiyapanda
Makosa sana Harmonize kumpiga mwanamke ngumi,shenzi sana
Kajala pengine alianza juu ya hasira. Watoto wa kiume huonewa sana
Angefanyaje sasa kama unambiwa usiingie uku ww unaingia 😂😂 inatakiwa kifuata maelekezo
Kelele moja kwa yusta ake weuweeeeeeh💃
Weuweeeeeeh❤️❤️❤️
Weeeeeèwwe3ww33 always da yusra👌
huyodogo nimshamba kidem chenyewe nikizee chukua hata Paula
Yuster Mumy kama kweli kajala rafikiako mshauri afanye biashara kwa umri wake hata siyo wa kuhangaika na wanaume tena vibenten unless aolewe kama wezake atulie maana anajiaibisha sana na anawaaibisha familia yake
Mtu asiejitambua hata awe na miaka 60 bado hatajitambua. Akikuwa ataacha
@@julianapeason6254 Najua na ndyo maana nmeshangaa huyu Dada yupo smart lakin anarafik mpumbavu,,,,japo hata chizi huzeeka na uchiz wake
Huyu kajala ni joto ya mwili. Aibu mama mkubwa. Umri hukataa tabia zingine kwanza kwa wamama. Heshimu umri. Kila kitu na wakati wake
Mim si mtu w kfatilia mamb y wasanii il mung ktimiz maomb yng wakom t kil sehm kajal kajal ah 😄
@@stellah3844 nihatari
This lady is talking the truth thanks so much for the update.👍👍
True 👍
Thank you so much for information kumbe harmonize alikuwa na mwanamke kwa nyumba
Yusta nakupenda sana unavyozungumza mash allah upo vizur sana..
Nimemsikilizaaa huyu dada mbona kaugomvi ka kawaida katika mahusiano ili yadumu lazima kuwe na samehe alafu ukitaka cha peke yako muumbe wako..au uyo atakuwa malaika...kajala wewe kuwa mpole maisha yaendelee
Pambana mama huo ugomvi ni wa kawaida nawapenda sana harmonaz na kajala
Yani ataachana na wanaume wote
Waiii tabia haina dawa banaa
Huyu dada huwa ana simama kwenye ukweli.siku zote..pongezi dadaangu
Niko hapa kupata ubuyu haongopagi huyu dada👏👏👏
Ubuyu mtam tena sanna
Kwa kweli Harmo amekuangusha dada yustar umepambana sna harmo atuliye tuu na izo bangi zake
Yustar naku penda sana 😍😍 unaongeya vizuri
Atari sana kabisa Mambo ya harmonize yanahacha watu hoi kabisa.
Harmonize na kajala mafala tuu hao
True lady with real information
Stella AGE IS JUST A NUMBER plse. As long the couple 💑 😍 love each other, life goes.Ila TABIA haina dawa hata kama ukiipaka RANGI, haitabadiliika kamwe bali itarekebika kwa muda na kurudia uasili wake.
Mimi nakupenda wewe Dada kwakweli upo vizuri una rangi nzuri sura nzuri bila mikolokolo unanoga tu ❤️❤️❤️
Yani uyu dada nimemupenda kweri🥰🥰🥰🥰
Munamwitaga aje😁😁 kwahivyo mbosso husema kweli 🥰🥰🥰
Tulipo ambiwa kueni muyaone mulikua mwatarajia muyaone gani sasa hapo ni kuosha uso na maisha yaendelee sikwa ubaya.
Big up yustar,ila hamo nae kwa nn kamficha chooni si umesema jumba kubwa angempeleka mbali basi,au kashamchoka kajala?
Kama ni hivo harmonize anatabia mbaya sana
Ameongea vizuri sana huu dada nampenda sana
Wanaume mungu anawaona ata huwapende VP huwa waridhiki
Mwanaume Mungu anawaona yaani sio watu wa kuamini kabisa tunatakiwa tuishi nao kwa akili
Ni hatar haswa
Sasa wanaume wanafanya, huyu kajala mzee ameona mengi mpaka ana mtoto mkubwa... joto ya mwili ilimpeleka kwa Harmo. zari na kajala wazee wako over 40s na wanajifanya wasichana. Watulie na wajue wanaume hata wawe 70 wanaweza chukua warembo hata wandogo lakini hawa wamama wazee acheni, kushindana na mababa
Sisi ndiyo tuliambiwa tuishi na nyie kwa akili..
Kutoka hapa 254. This is the best interview
Umeona eeeh👏👏
True. The most comprehensive and detailed interview concerning the Kajala & Harmonize break up so far.
@@hukuUJERUMANI Absolutely
@@marrymazengo1315 kabisa
Nakweli anaenenepa analoho safi sana
Sasa hormonize naye ana ujinga jumba lote Hilo n bdo akaeka mwanamke Kwa Choo ya bedroom ako n ushamba huyu jamaa
Safi sana Harmo, we utakuwaje kebenten bwana wakati umri wako ni mdogo na vyombo unavyo? Tafuta kimwana unayeendana naye hayo manung'ayemba ni ya kuyapitia na kuyamwaga yaende yakatafute wazee wenzao huko uwanja wa fisi
Wanawake tujitahidi kujisitiri haswa kiumri vijana hawa wadogo watatudhalilisha.ingawa mnasema it's just a number when it comes to love. Tujitahidi sana kutpenda hovyo hovyo
Hilo nalo neno....... meseje send
Bado mpaka sasa watz kunenepa wanaona deal
Huyo dada nimempenda bureee.
Hamon anampenda kajala kutoka moyon () na kitendo alichokifanya hamon Kiko kwakila mwanaume wanaume wameumbiwa tamaa Ila wamoyon huwa anabaki moyon. Hamon anampenda kajala) wengine wapita njia tu....
ila ulipambana shoga angu😂🤔
Hivi kweli nayale mapezi yote anaompenda bado anamchity eeeh wanaume jaman🤔😥
Bas hapo kulikuwa na kitu ya wezekana kuna mmoja katumia madawa ya mapenzi dawa sasa zimeisha nguvu lazima mtifuano wa nguvu dawa zimeisha nguvu
Pole mwaya yustar ulimpambania sana harmonize kama ameyabananga mwenyewe ataisoma namba
Mnamsema harmo tu eti wanaume tunanini na yule mwanamke alifata nini nyumbn kwa harmo mpaka akaenda nyumban kwakwe hakujua harmo ni wakajala nyie wanawake pia mnamatatizo makubwa tu kwanza yeye mwanamke kukubali kwenda nyumban kwa harmo ni kosa kubwa sana alikuwa anahitaji waachane na kajala kwa akili ya harakaharaka tu lazma uone mwenye makosa makubwa hapo ni nan? Wanawake mgekuwa na ujasiki kukataa kutembea na waume za watu dunia ingekuwa salama
Kweli kabisaa
Hakuna kama kajala kwake bona hakuwa na funguo za nyumba mpaka aulize security kama kuna watu ndani. Yakaa Kajala huenda akiwa na joto ya mwili kwa Harmo, kijana.
Mwanamume ndiye mwenye makosa kwanini Unaukataa ukweli? Harmonize ndiye mwenye nyumba, Mwanamke hawezi kuingia kwa ile nyumba bila ruhusa ya harmonize, halafu mwanamke hatongozi, yeye alifanya kutongozwa, na akaletwa kwa nyumba, na hata angekataa mwanamume angeenda kutongoza mwengine tu kwa sababu ashaamua kumsaliti kajala, makosa ya mwanamke Ni gani?
@@pmwendemusyoka109 yenyewe hapo kuna ukweli
Hapana bwana msitulaumu wadada wale bwan walikuwa Wana makubaliano Yao wenyewe ✌️
Kumbe kaongovi ako tu mbona ka kawaida Sana ata demu tu akumjua ninani wenzie huwa tunawafuma namajina tunawajua had sura tunawajua Sasa yeye alihisi tu lakini Hana uhakika kubigwa tu kawaida Sana wengine tunaishi na wakina mandoga mtu kazi
Dad tumesikia lakini kwenye mpz Kuna mambo mengi ki kubwa uvumilivu sas kama sis wanadoa tunakosana na wame zetu hatuji mtandaoni labda kajala nimupitaji sio mkeeee
Sio akina juma wanaoguess huyu ndo ukweli
Interview nzuri sana.
nampenda huyu dada anasema ukweli
Yuster hamo kamupiga kajala kisa alisikia mkimuita kale kajina mnako mwita hamo mkiwa pekeenu kana kera ety
Nampenda uyu Dada vikali❤
Swali moja tu. Kama nyumba ni kubwa hivyo na Harmo alikuwa na muda vile kwa nini asimfiche huyo kimada wake kwenye chumba kingine. Angemfichaje chooni ambapo lazima Kajala angeingia? Tukumbuke kuwa Harmo alishuka hadi chini kumchukua Kajala hivyo muda na mwanya alikuwa nao kumficha mtu wake. Ni ulevi au?
Nyimbo mpya
Aky WA tz 🤣🤣🤣🤣🤣 mnavochekacheka hapo hahaha from 254
Nampendaga huyu dada interview zake tamuu😆😆
Nikweli kabisa
O9òoòoommò
9
9999
Ò99
Jmn hi camp nilikua naipend lkn kw mamb ya bro daaa hpn
Jamani unashangaa nini??? wakati wanaume wote duniani ndivyo walivyooooooooooooooooooo
Dada umenena ukweli kabisaa,ulitenda mema Kwa roho safi lakini umelipwa mabaya ila sasa wacha wao wenyewe wafanye uamuzi,usijihushishe tena.....
Pole sana yusta jmn wanawake tujifunze ukishaachana na mume au bwana usirudie matapishi ukilazimisha ndo haayoooooo
Alifata tamaa ya pesa
Kazi nzuri sana! The most comprehensive, almost first-person interview, concerning the Kajala-Harmonize split up. Yusta Mgaya is a very resourceful person on this topic because both the concerned parties are seemingly her very close friends. What insight! Got me subscribing to this channel. Endeleeni hivi hivi.
Mnakibarua wakiacha warudianee ina wahusuu nin jamanii simuangalie maisha yenu jamanii
Kumbe kweli aisee Yani hii story nilikua nasikia tu watu wanaongea sikuamini lakini kwa yustar Sasa nimeamin kweli wamezinguana harmo na kajala
Nyumba kubwa ile si angemficha kwa room za upstairs
Dada akksante saaana
Nakumbuka jack wolper alisema harmonize ni fund wa kupritend sana
Nilikuwa namsubiri kusikia neno lake baada ya kuachana😂
JAMANI MTAKUJA KUNIKUBALI TUUU.ALIKUA NA PAULI NA ISHA JULIKANA.KWANI KILICHO MFANYA AONDOKE BILA KUJUA ALIYE KUA NAE NINANI??????ANAE NIELEWS LIKE ZANGU HAPA.
Sawa kabisa wameachana. Kajala mzee sana kwa Harmo atafute mzee mwenza...Wamama wajiheshimu waache kulala na vijana wadogo,,,eti my lover..wasichana watoelewa na kina nani
Yusta nakupenda mama nitafutie kazi huko
Alikuwa ameficha bangi Kwa choo ndo maana hakutaka kajala aingie ndani ya choo
Hio njo tabia ya Wana mziki yaani hawamaliz kupenda hawamaliz kbx njo tatizo lakini sio wote jamn
Kajala alidhani labda ni mtoto wake yupo chooni mana kama mimi wala nisingegombana ningekaa macho hapo kitandani mpaka aliefichwa chooni atoke .
Acha uongo dada
😆😆😆😆😆😆😆😆😆 pole sana Yustar Mgaya ndo mana nakupendaga hunaga mbambamba wewe unasemaga ukweli unaouma.
Harmonize alikuwa na Paula chumbani akaogopa mama asijue hahahhahahahaahahahaha Ila harmonize 🙌🙌🙌🙌🙌
😂😂 acha awatumie wameamua wenyewe 😂😂😂😂😂😂
Wasanii mapenzi yao wanuachie tu nandy na billnass
Harmonize hawezi kumtafuta Yusta coz ni kitu alitaka kiwe hivyo coz anajua hata mlinzi anajua kuna mtu ndani na harmonize hakumtahadharisha mlinzi kt chochote incase km Kajala atatokea. Na kama kweli hakua na dhamira mbaya ni tamaa zake tu basi angemfuata Kajala alivyotoka,
na pia Kajala kutaka space haipo coz hakuna any effort za harmo kujua anything about Kajala baada ya Hilo saga.,
Wewe mwenyewe akili yako kama y’a kajala
Kumbe Mapenzi hayakuwepo kwa sababu ya wao kuridhiana yalifosiwa tu ndo maana ila kumbuka na watu hawapendi mapenzi ya watu Nguvu za Mungu zitumike
Harmonize come for me young man😀😀.
Mimi nitakuentertain😂
🤣🤣🤣akam huku y 254
Dada asante kwa ukweli wako
Sai ni shereh kubwa wcb 🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️
Kajala angali na asira.....ikiisha ..huenda atamsamee
Harmonize hamtaki tena alikua anahitaj tu kumtumia na kumuonyesha jeuli ya pesa
Kupendana kupo hivyo so hakuna haja ya kung'ang'aniana eti kwa kuwa mlipochumbiana mlitumia muda mwingi kutafutana na kubemberezana, kamba ikikatika imekatika tu kwanza nakushauri we Dada urudi kwa Kajala umshauri atulie huu muda ni wa Paula yeye ni mtu mzima asubirie vijukuu la sivyo ataliwa pamoja tena yeye, mwanae na vijukuu
Kwan huy harmo alilew c angemtoa na mlango mwingne au angempleka mbal na hyo rum y afanye ivo chumbn kwake wanakolal na kajal au nae alikuw amemchoka mwenzie man akufukuzae hakwambii toka
Ati mondi anaoa wawili not real n kiki ohhh zuchu😭😭😭😭😭😭😭
Walipitiya ndomana walijuwa nimabovu 😂😂
Yustar nakupenda mno
Kama ni kosa ilo wange kaa kuyamaliza hata akiachana na harmo akienda kwa mwingine hakuna jipya angekaa akavumilia tu sis tuna pigwa matukio na tuko ndan ya ndoa na tuna watoto hata ukitafta mwingine bado yale yale dah
Kwanza kajala mzeee
Wasanii wanaigiza had mapenzi
Yustar nimekupenda sana
kumbe hamrmo ni mshenzi ehhh!!!!
Mpuuzi kweli Yani dada wa watu kumpambania Kisi hicho halafu anakuja kuzingua kijinga kabisa Yani😔😔
Wangeendaje wakati ni ma ex wake?
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@@nzeyimanamwavita1904 wakuoteambal🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥
Yusta msema ukweli sana
watu wenye pesa Wana maamuz magumu
Hivi ndiyo naamini kuwa kweli wameachana,basi Hamonize ana matatizo kila mwanamke ni mbaya kwakwe kweli amefata nyayo za daimond.
hana hata matatizo he is real men mwanaume kamili hatosheki na mke mmoja
Kama ni fumanizi basi hata huyo Harmonize ni mshamba utafichaje mtu chooni sehemu unajua mtu anaweza ingia hata mara tu akiingia ndani ya nyumba, basi itakua alidhamiria kufanya hivyo labda alikua anatafuta Sababu ya kumwacha kwa mda mrefu ss hiyo siku ndio ilikua imefika ila Kajala hakua amesoma alama za nyakati kitambo
Hakuna Hali ya maisha ukiona tu mtu hainepi ni hatari kama nirafiki yako achana nae hawafai ni masnich kuliko kawaida wanakonda na mengi😂😂
Km kajala kashaamua kutoka kwa harmonize basi atoke tu kwa salama na sio kumsilibia mwenzie kila kona
Arudishe gari
Kajala yuko after money na sio anarealy love kwa harmo kishicho riziki hakiliki 😂😂😂😂aje kwangu harmo mm ndio wasaiz ake aachane na mzee anabemendwa tuu kurubembe yule kashazoea kuchuna na sio kutulia
Dada umependeza kwa kweli hasa ukicheka au ukitabasamu
Mwmijaku alionekana mmbea Sasa jee?
Kumbe kweli aisee😂😂😂
Nikweli kabisaa
Mwijaku anaongea ukweli japo nichawa
Hamna mwanaume wa mwanamke mmoja hata hivyo, ndio mana Islam ishasema oeni wanne tu. Ila mahusiano ni very complicated. Unaweza usichepuke na bado mkagombana from nowhere
Kwaiyo nyumba ya harmo inachumba kimoja kwani alishindwa kumficha chumba kingine lbda kuna vitu alikua anavifanya na alikua hataki kajala avijue lkn sio mwanamke nakataa
Mapenzi Yana sirikubwa
Sasa nini alficha chooni Kama siyo mwanamke
Itakuwa yule dada wa kazi alipoona harmo akashindwa kumuhamisha chumba, yani kufumaniwa ni kufumaniwa tu, lazima akili iyumbe unasahau hata ufanye nini.
Hivi hawa ndio wa kwanza kuwa kwenye mahusiano eti wakigombana hiyo cku yanakuwa kwa dunia aache ujinga mtu mzima anajifanya umri wa paula
Jaman faida ya zinaa ndio hiyo.
Dhambi inauwa alafu wengi wanaona mzaha, Yesu anarudi
Kweli utabiri wa mchungaji Mashimo umetimia, Kevin mtafute Mashimo
Pengine kiki
Kabisa