Allah atujaalie mwisho mwema na tusisahau kueka sadaka zenye kuendelea kama hizi za misikiti na madrasa apunzike kwa amani majuto Allah amrahisishie njia yke iwe nyepec. Mbele yke nyuma yetu
Mashallah mzee majuto alijenga msikiti na madrasa tulikuwa hatujui tumejuwa leo ashakufa hivyo ndivyo inavyotakikana.ingekuwa watu wengine kina mwafulani duniya nzima ingekuwa washajuwa.r.i p mzee wetu mungu akulaze pema na akuepushe na adhabu ya kaburi.
Nasisi mungu atupe uwezo tujenge vituo vya yatima na nyumba za ibada ili tutakapo ondok ktk mgongo wa dunia tuwe tumetanguliza amali zetu njema inshaallh
Tujifunze waislaam na wale wa dini nyingine mwenzet katangulia nac tunafata kikubwa tuandae amali mzur mbele ya Allah..mwenzetu kajenga msikiti na madrasat ..Inshaallah Allah amrehem.kwa kutimiza yaloagizwa kulingana na uwezo wake..tusiangalie kumilik magar mengi tukasahau kujenga nyumba za Ibada inshaallah.
Nurat Malembe kabisa Allah atupe mwisho mwema atujalie nasi tuache kumbukumbu njema kama mzee wetu jina lake alitopotea kamwe Allah atupe nasi sadaka tujaalia
daaaaaa asee nimelia sana kwakwli alicho kizungumza kijna apa daa King ulikuww umewka azina yako kubwa ata usipo tegemea sanaa unavitega uchumi vyako daa eemungu ss wajawako na kwako tunarejea mpokee MZEE amri ATHUMAN pia awe miongn mwawalio fuzu siku ya kiama ameen lale pema king daima tutakuenz daaaa😢😢😢
Mashaallah inauma kweli kazi ya mungu haina makosa ulale pema peponi bba yetu kaburi lako liwe kati ya bustani za pepo umewe kitabu chako kwa mkono wakulia uwe na kauli thabiti ujibu maswali kaburini ipasavyo mbele yko nyuma yetu Allah tujalie nac mwisho mwema Allah humma maamini Allah takbal duwaa
hkk umeacha amali njema mbele ya mwenyezimungu Allah atakulipa inshaallah kabri lako liwe na harufu ya micki tuwe peponi p1 na mtume wetu Muhammad tena firdauth inshaallah (rabbi taaqabbal duaaa)
Atakapokuf mwanaadam hukatika Amal zake illa minthalatha swadakatunjaria (Swadak yeny kuendelea)nayo hio mzee majut kaiona akhera yake kama hio yakujenga masjid Mashallah mashallah ya Allah tuwezeshe na cc waja wako tuwez kuyafanya mazir kama hayo na madrasa kila watu wakisoma anapat thawab na yeye muanzishi wa jeng Mashallah mashallah iwe funz kwa wwngine inshaaallallah
Allahu akbaru majuto awe ni mfano mzuri wa kuigwa na jamii.. Watu wengi wakifanikiwa hukimbilia mambo ya kidunia oneni mzee majuto kaacha vitu ambayo ktk uislamu... Mungu akujalie pepo ya firdaus mzee majuto
ufanye haya yote alafu ufe ukute Mungu huyo ndo yeye wa kweli. huo ndo mtihani tulionao sanadamu, fikiria unaibiwa mtihani na kuambiwa jaza majibu huu ndo mtihani wenyewe alafu unajaza kisha mwisho wa siku unajua ulikuwa mtihani feki.. Mungu atusaidie..
Allah akbaru yani amejiwelea azina ya kesho ahera Allah anlipe kheri wallah sasa wacha ss tulio baki tuendekeze mateam mitandaoni na kupeteza muda kutukana watu malipo yetu tutayakuta kesho kwa Allah na badara kuweka bando kwajili ya mambo ya kheri yatakayo mpendeza Allah tunafanya mambo ili tupate kusifiwa na waja ambao awawezi kutunufaisha wala kutuzuru wallah Allah anipe mwisho mwema mm na family yangu Aamiiny
naitwa Khadija Sepetu Fani yangu msoma Qaswida Unanipata UA-cam khadijasepetu nampenda Mzee majuto kupita maelezo ninachoomba Ndugu Wa waigizaji ilikumuenzi Mzee wetuu mukaubwereshe msikiti Na ile madrasa napia tarehe Yake alozikwa ndio kilamwaka kufanya maulid mawazo yangu mm tuh
Innaillah wainnaillah rajiun masha Allah kwa kujenga masjidi Allah akupe kitabu chako kwa mkono wa kulia na tunamuomba Allah akubalie matendo yako ya rabbi
mirrad ayo umeanza kupotea ushaanza kuwa mtu WA kiki tayar kuna haja gani ya kuongelea haya wakati ashakufa acheni hizooo bana mnapoteza radha ya habari hamufuatilii maisha ya MTU hadi Afeee
Mzee Majuto inaelekea alikua mtu mwenye roho safi sana Mwenyezi Mungu amuweke mahala pema peponi.
Allah atujaalie mwisho mwema na tusisahau kueka sadaka zenye kuendelea kama hizi za misikiti na madrasa apunzike kwa amani majuto Allah amrahisishie njia yke iwe nyepec. Mbele yke nyuma yetu
Mashallah mzee majuto alijenga msikiti na madrasa tulikuwa hatujui tumejuwa leo ashakufa hivyo ndivyo inavyotakikana.ingekuwa watu wengine kina mwafulani duniya nzima ingekuwa washajuwa.r.i p mzee wetu mungu akulaze pema na akuepushe na adhabu ya kaburi.
MAYA GK... Umeongea ukweli.. Ndio tu nasikia leo ya msikiti NA madrasa.. Kisima sadakatul jaariya.. Allah mpokee mja wake
Allah na sisi atujaalie tuwe ni wenye kufanya mema bila ya kutangaza matendo yetu
Yani kafanya mambo yake bila kujitangaza Ndio najua leo ...pumzka baba
Wewe ndo unasikia leo mbona ishu ya msikiti inajulikan kuazia kitambo
@@allymorata9452 دبا ارن
Nasisi mungu atupe uwezo tujenge vituo vya yatima na nyumba za ibada ili tutakapo ondok ktk mgongo wa dunia tuwe tumetanguliza amali zetu njema inshaallh
Yaallah twakuomba umpe kitabu chake kwa mkono wa kulia umpe kauli sabiti
Khalid United amiin
Allah akufanyia wepesi huko uendako mzee wetu
Khalid United ..Amiin yarraby
Ameen
mashallah..mzee..majuto..munguu.alilaze.rohoyake.peponi
hizi ndizo habari safi masha ALLAH NIMEIPENDA YAA RABBY MSAMAHA WAKO UMEENEA KILA KITU MSAMEHE MZEE WETU MUONDOLEE ADHABU YA QABUR
Smaih Smaih Allahumma aamiin
amiiin
Mungu akupe kauli thabit king majuto ulijenga nyumba ya allah na madrassa mungu akukumbuke kwenye ufalme wale
Tujifunze waislaam na wale wa dini nyingine mwenzet katangulia nac tunafata kikubwa tuandae amali mzur mbele ya Allah..mwenzetu kajenga msikiti na madrasat ..Inshaallah Allah amrehem.kwa kutimiza yaloagizwa kulingana na uwezo wake..tusiangalie kumilik magar mengi tukasahau kujenga nyumba za Ibada inshaallah.
Nurat Malembe mashallah.... Amefanya jambo la kheri II... Allah ampe safari ya kheri
Nurat Malembe point sana mkubwa
Nurat Malembe kwel kabsa
mbele ake nyuma yetu
Nurat Malembe kabisa Allah atupe mwisho mwema atujalie nasi tuache kumbukumbu njema kama mzee wetu jina lake alitopotea kamwe Allah atupe nasi sadaka tujaalia
Mbele yako nyuma yetu msanii mwenzangu mkongwe mungu akurehemu tutazidi kukuombea na kukukumbuka babu by Rick music
daaaaaa asee nimelia sana kwakwli alicho kizungumza kijna apa daa King ulikuww umewka azina yako kubwa ata usipo tegemea sanaa unavitega uchumi vyako daa eemungu ss wajawako na kwako tunarejea mpokee MZEE amri ATHUMAN pia awe miongn mwawalio fuzu siku ya kiama ameen lale pema king daima tutakuenz daaaa😢😢😢
Mashaallah Mungu akupe qaur thabit mzee wetu
Mashaahll mzeeee wetuuu
Ma sha Allah
Amin Yarabi
Mashaallah inauma kweli kazi ya mungu haina makosa ulale pema peponi bba yetu kaburi lako liwe kati ya bustani za pepo umewe kitabu chako kwa mkono wakulia uwe na kauli thabiti ujibu maswali kaburini ipasavyo mbele yko nyuma yetu Allah tujalie nac mwisho mwema Allah humma maamini Allah takbal duwaa
R.I.P!King majuto daima tutakukumbka sana!Tulikupenda Mungu amekupenda zaidi.
Allahumma ameen
mashallah mwenyezi mungu aike roho yako pema peponi
hkk umeacha amali njema mbele ya mwenyezimungu Allah atakulipa inshaallah kabri lako liwe na harufu ya micki tuwe peponi p1 na mtume wetu Muhammad tena firdauth inshaallah (rabbi taaqabbal duaaa)
JIMMU Abdul,Aamin yarabi
Amen inshaallah
JIMMU Abdul Ameen thumma Ameen
Akiba haiozi baba vitakufaa ulipo inshallah Allahu akupe qaul thabit
ya Allah mpekauli njema mzeee wetu
Aameen
Wallah mzee majuto alikua na bidi sana mema ulio yafanya yatakufaa ulipo inshaallah Allah akujalie kauli thabit yaraab
Atakapokuf mwanaadam hukatika Amal zake illa minthalatha swadakatunjaria (Swadak yeny kuendelea)nayo hio mzee majut kaiona akhera yake kama hio yakujenga masjid Mashallah mashallah ya Allah tuwezeshe na cc waja wako tuwez kuyafanya mazir kama hayo na madrasa kila watu wakisoma anapat thawab na yeye muanzishi wa jeng Mashallah mashallah iwe funz kwa wwngine inshaaallallah
Huyu mzee majuto kumbe alikuwa tajiri
mashallah Mzee majuto amefanya kazi ya Allah, na ametangulia mbele ya haki, sisi tuliobaki tumefanya nini cha kuongeza mizani zetu??
ndio njia yetu sote .. Allah atujaalie nasi tuwe na mwisho mwema in shaa Allah
Innalilah wainnailayh rajiuun,Hakika ulijitahd mzee wetu kujiwekea akiba Allah akupe kauli thabt ktk kabuli lako akuwekee na mwanga
Swadakt yenyekuendly Mashaallah lord blss u inshaallah 🙏🙏🙏
Ya Allah msamehe alipoteleza na apewe kitabu kwa mkono wa kulia Aamin yaa rabb
Allahu akbaru majuto awe ni mfano mzuri wa kuigwa na jamii.. Watu wengi wakifanikiwa hukimbilia mambo ya kidunia oneni mzee majuto kaacha vitu ambayo ktk uislamu... Mungu akujalie pepo ya firdaus mzee majuto
Mwana Amisa Allahuma ameen
Ewe mola wetu mrehem mzee majuto pia wape nguv familia yake inshaallah
Nurat Malembe Allahuma ameen
Nurat Malembe til you
Nurat Malembe In sha ALLAH
Mashaallah....Allah amfanyie kher kaburin na siku ya kiama.
Masha Allah mzee majuto may Allah grant him janaatul fridaus aamin
ufanye haya yote alafu ufe ukute Mungu huyo ndo yeye wa kweli. huo ndo mtihani tulionao sanadamu, fikiria unaibiwa mtihani na kuambiwa jaza majibu huu ndo mtihani wenyewe alafu unajaza kisha mwisho wa siku unajua ulikuwa mtihani feki.. Mungu atusaidie..
mungu amurehemu mzee majuto inhshaallah
allah ampe kauli thabit amiin
Allah akbaru yani amejiwelea azina ya kesho ahera Allah anlipe kheri wallah sasa wacha ss tulio baki tuendekeze mateam mitandaoni na kupeteza muda kutukana watu malipo yetu tutayakuta kesho kwa Allah na badara kuweka bando kwajili ya mambo ya kheri yatakayo mpendeza Allah tunafanya mambo ili tupate kusifiwa na waja ambao awawezi kutunufaisha wala kutuzuru wallah Allah anipe mwisho mwema mm na family yangu Aamiiny
Mungu Mkubwa anachokikadiria katu hakibadiliki In sha lla Mola atujaalie nasi tulio nyuma mwisho mwema km wwe Mzee wetu.
kajitahidi sana mungu amuweke wepesi na nimfano kwetu waislam.
Poleni sana family ya MZEE majuto kwa msiba MKUBWA uliotukuta
allah ampe safar ya kicheko na in sha allah allah atavipokea kwa ulivovitanguliza
Allah amuhifadhi inshaalah
Mwenyezimungu akupunguzie adhabu za kaburi mzee wetu
Msikiti pia ni mali ya marehemu duh... acheni kufuru nyinyi... mungu ampe makazi mema
Allah amlipe kila la Kheri na majalie qawli thabit Amiiin
Allah ampe hifadh mzee wetu
Asia Mwarabu kabsa
Mambo vp mzima ww
Poa vip ww
Ebu nichek 0679921501
Maa Shaa Allah, Allah akulaze pema ln shaa Allah,
Mungu.
Ampe..qauli..thabiti....inshaallah.....mbele yske..nyuma..yetu
.
Mungu ilaze roho ya mzee wetu mahala panapo staili kulazwa amiin
Jamani alikua amejitaidi mzee majuto rip babu
naitwa Khadija Sepetu Fani yangu msoma Qaswida Unanipata UA-cam khadijasepetu nampenda Mzee majuto kupita maelezo ninachoomba Ndugu Wa waigizaji ilikumuenzi Mzee wetuu mukaubwereshe msikiti Na ile madrasa napia tarehe Yake alozikwa ndio kilamwaka kufanya maulid mawazo yangu mm tuh
Manshaallah kwa kulumbuka nyumba ya allah mungu ampee ksuli njema
R.ip mze majuto
Might Allah's peace and blessings be upon you
Masha Allah
Masha allah allah atamlipa amali yake in sha allah
Allah amueke mahali pema kwenye wema..Ameen
mung ailaze roho ya marehem amin pia awe mjaa wa kher ktk makaz yko
Allah akupe kauli thabiti mzee wetu
Mashalla Mungu akuwe mahali pema peponi
MashaAllah
Inallah wainalillah rajiun, tangulia babu nasi njia 1 kila nafsi itaonja umauti
MashaaAllah
Allah ailalaze roho ya marehem mahali pema
mungu amlaze mahal pema pepon
Masha Allah safiri salama baba.
Hiyo ni sadakatul jaaria,, Allah amlipe kheri, amn.
Wallah nimejifunza sn kwa mzee wetu
Manshallah munqu akupe amali njema
Daah tujifunze kwayale mema aliyoyafanya
Alhamdulillah sadakatul jaria yake hiyo
Mwenyezi mungu akupe uwepesi kwa kaburi yako ameen
Allah amlipe kheri
Mashaallah
Innaillah wainnaillah rajiun masha Allah kwa kujenga masjidi Allah akupe kitabu chako kwa mkono wa kulia na tunamuomba Allah akubalie matendo yako ya rabbi
Sharifa Khamis Allahuma ameen
Yaalaby mjalie pepo iwe makazi yake Ameen in shaa Allah
Latifa Hussein Allahuma ameen
Masha Allah m/ almlehemu
Zahida Abdullah Ameen ya Rabby
MashAllah
Ooooo fanyen haraka madrsa ipate mwalim tafadhal
Mashallah
Dah so sad mzee majuto alijitahid na alikuwa hajikwez
Ameen #sada khamis
R.I.P,king majuto
God bless
Allah amfanyie wepec uko aliko
Amina Rajab ameen ya Rabby
mirrad ayo umeanza kupotea ushaanza kuwa mtu WA kiki tayar kuna haja gani ya kuongelea haya wakati ashakufa acheni hizooo bana mnapoteza radha ya habari hamufuatilii maisha ya MTU hadi Afeee
kwetu kiruku tunamuomba apumzike kwa amani
Umeacha arama babu yetu hakika tutakukumbuka
maashaallah
RIP
mambo vip
Hahahaaa et yeye hawez kuolewa
R .I.p king
taifa imepoteza msani mahili poleni jamani ndugu na jama na marafiki
Inamana 😀😀😀
R.I.P
Mtangazaji subir kidogo hapo sio chumbageni
Kata: Mabokweni
Mtaa: Kiruku
Yani w kaka umenichek adi nasungula umetaja
MAMBO MEMA ARIJIANDARIA
Wandishi nanyi wanafik.
Kwann hamjawahi kumfatilia mpk afariki??? Inakuwa sio poa
ua-cam.com/video/Rd0I7EIbDbA/v-deo.html
Hutoamini mtaalam wa maajabu
Rip
mashallah
Hu ni ushirikina na udevil worship. Sasa ww na ushirikina wako mzee majuto kabla kufa katukanya na watu nyie.
unavuta bangi sio
unavuta bangi sio
Wallah mzee majuto alikua na bidi sana mema ulio yafanya yatakufaa ulipo inshaallah Allah akujalie kauli thabit yaraab