BARUA YA KUOMBA KAZI/KIKAZI KWA KIINGEREZA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025
  • #barua #english #letterwriting #kazi

КОМЕНТАРІ • 41

  • @barutiboniphace4335
    @barutiboniphace4335 Рік тому +4

    Nimekusoma sana kiongozi. Jana tu Tar 07June ,2023. Lecture wa UD katuelekeza jinsi ya kuandika barua. Na alielekeza kama ulivyo elekeza isipo kua TU hapo kuandika jina kwenye anuani ya mwaombaji wa kazi alisema haitakiwi kuandika jina kwenye anuani isipo kua jina utaandika chini kama ulivyo sema so hii imekaaje?

    • @yourportal
      @yourportal  Рік тому

      Karibu sana Baruti, Tunajivunia wewe. Nadhani msamiati mzuri ni "sio lazima" so ukisema "haitakiwi" ni Kama kanuni au sheria wakati ni kitu ambacho hakiathiri lengo kuu la hiyo barua yako.

  • @classicmediaenter10ment44
    @classicmediaenter10ment44 Рік тому +1

    Ahsante mkuu

    • @yourportal
      @yourportal  Рік тому

      Karibu sana, Tunajivunia wewe. Usisite kushare na wale unaowajali.

  • @mussathomas7421
    @mussathomas7421 7 місяців тому +1

    Asante sana imenisaidia sana hii barua 🙏🙏🙏

    • @yourportal
      @yourportal  7 місяців тому

      Karibu sana Mussa, Tunajivunia wewe. Usisite kushare na wale unaowajali.

  • @JumaMussa-nr2zr
    @JumaMussa-nr2zr Рік тому +1

    Nmependa ahsante Sana kiongozi kazi nzury

    • @yourportal
      @yourportal  Рік тому

      Karibu sana Juma, Tunajivunia wewe. Usisite kushare na unaowajali.

  • @rozinakomba3968
    @rozinakomba3968 2 роки тому +2

    Asante sana teacher

    • @yourportal
      @yourportal  2 роки тому

      Karibu sana Rozina, Tunajivunia wewe. Usisite kushare na wale Unaowajali.

  • @ivanibra9861
    @ivanibra9861 3 роки тому +1

    Excellent!

    • @yourportal
      @yourportal  3 роки тому

      Welcome Ivan, share to your fellows as you care for them.

  • @priscagabriel5647
    @priscagabriel5647 2 роки тому +2

    Samahani si unaweza tumia kiswahili au kingereza kati ya izo lugha 2 zinakubarika?

    • @yourportal
      @yourportal  2 роки тому +1

      Karibu sana Prisca, Lugha zote mbili zinakubalika isipokuwa labda Sehemu unayoomba kazi Wawe wamekutaka utumie Lugha mojawapo kama sharti mojawapo. Habari njema ni kuwa katika hii channel yetu upo mfano wa Uandishi Bora wa Barua kwa kiswahili, tafadhali utizame pia. Karibu tena.

    • @priscagabriel5647
      @priscagabriel5647 2 роки тому +1

      @@yourportal shukran sana

    • @CuteNahzahara
      @CuteNahzahara Рік тому

      @@yourportal kishwahili

  • @richardmachibya4543
    @richardmachibya4543 6 місяців тому +1

    Kwa Mfano, labda Chuo kimetoa post ya Lecturer au post yoyote lakini kupitia Ajira Portal kwenye anuani ya Mwandikiwa inakaaje..!?

    • @yourportal
      @yourportal  6 місяців тому +1

      @@richardmachibya4543 Karibu sana, Katika tangazo la kazi LAZIMA utapewa muongozo na anuani ipi barua yako ielekezwe huko. Ukisoma vizuri tangazo HALISI na sio habari iliyosambazwa mitandaoni.

  • @denisernest1147
    @denisernest1147 Рік тому +1

    Boss vipi kuhusu barua ya kuomba internship.

    • @yourportal
      @yourportal  Рік тому

      Karibu sana Denis, Tunajivunia wewe. Muundo ni huohuo ila utajielekeza kwenye ombi la internship.

  • @charlesphilipo-cs3xt
    @charlesphilipo-cs3xt Рік тому

    Sasa kama nikiandika barua yangu kwa kiswahili, vp kuhusu cv nitaiandikaje? Kisw au english

    • @yourportal
      @yourportal  Рік тому

      Karibu sana Charles, Lugha yoyote ile inaruhusiwa...lakini kwa ushauri CV tumia lugha ya kiingereza.

    • @GodfreyMkuchu
      @GodfreyMkuchu 7 місяців тому

      @@yourportal ndg mm nashida na namba yako

  • @germanahaule276
    @germanahaule276 2 роки тому +2

    hapo kwa reference hapo ndio pananichanganya samahani ref no napata wapi?

    • @yourportal
      @yourportal  2 роки тому +1

      Karibu sana Germana. Kama hawajaweka kwenye Tangazo achana nayo sio tatizo.

    • @barutiboniphace4335
      @barutiboniphace4335 Рік тому

      Reference Nu unaipata pale kwenye tangazo la kazi. Online au kwenye gazeti. Au sehemu ingine

  • @NatureLover2502-UE
    @NatureLover2502-UE 2 роки тому +1

    Vipi kama umesave the same info za academic twice unafuta vipi apo?

    • @yourportal
      @yourportal  2 роки тому

      Karibu sana Janeth. Jaribu kulog out kisha log in tena na kisha nenda kwenye kipengele husika upande wa kulia utaona option ya kukifuta.

    • @obed_artz5418
      @obed_artz5418 2 роки тому +2

      @@yourportal Mimi nimesave cheti cha degree mara mbili kimakosa nikajari kuondoa kibaki kimoja hakuna option ya kudelet ila ipo tu ya kuedit hapa nafanyeje chief?

    • @yourportal
      @yourportal  2 роки тому +1

      @@obed_artz5418 Karibu sana Obed, Unatumia kifaa gani unapoingia AjiraPortal?

    • @obed_artz5418
      @obed_artz5418 2 роки тому +1

      @@yourportal Natumia simu (smart phone)

    • @Annie-i4m
      @Annie-i4m 2 роки тому

      Na mm nnashida hiyo hiyo naweza vp kufuta mana hakuna option

  • @zakariasamwel7145
    @zakariasamwel7145 2 роки тому +1

    Ivi ajira portal ni lazma vyeti uweke mihuri

    • @yourportal
      @yourportal  2 роки тому

      Karibu Zakaria. Ndio, kutokana na matakwa ya sasa katika mfumo inakupasa kupitisha nakala za vyeti vyako kwa mwanasheria aweke muhuli wa kuvithibitisha.

    • @rosemtaita164
      @rosemtaita164 Рік тому +1

      @@yourportal samahani na kama mwanzoni ulieka vyeti ambavyo havina mhuri wa mwanasheria na Sasa unataka ueke vyenye mhuri unafanyaje?! Mana ukienda kwenye edit ukiuplod vyeti inakataa,na hakuna sehem ya kudelete

    • @yourportal
      @yourportal  Рік тому

      @@rosemtaita164 Karibu Rose! Ipo sehemu ya kudelete. Angalia vizuri.

    • @rosemtaita164
      @rosemtaita164 Рік тому

      @@yourportal sehem ya ku-delete hamna ipo edit tuu