#CHADEMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • #CHADEMA , MBOWE AVUKA MIPAKA ATOA KAURI CHAFU KWA RAIS SAMIA PAMOJA NA KINANA

КОМЕНТАРІ • 82

  • @harshkirit6780
    @harshkirit6780 Місяць тому +1

    Peeeepozz pawa.. hapo sawa. Mheshimiwa mbowe karibu mwanza tutakuunga mkono. Mwamba wa Chadema yupo hapa

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 2 місяці тому +5

    Mbowe anawaza vizuri

  • @user-vl5xv2xd6e
    @user-vl5xv2xd6e 23 дні тому

    ❤Mh.Mbowe. mwenyezi Mungu Akupe Hekima akulinde na Wabaya wanaoidhoofisha Nchi yetu Pole mdogo wangu uwe na Afya njema

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 2 місяці тому +4

    Hivi wew mpiga picha huyu mbowe katukana wapi? acheni uchawa.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 місяці тому +8

    Kweli kabisa kwa sababu hakuna kazi huku chini. Serikali imejenga mashule lakini watoto hawana walimu. Hapa mjini tunaambiwa tukachangie walimu ili waweze kuongenza vinginevyo watoto wanacheza tu bila kufundisha.

  • @mashakakwembe7482
    @mashakakwembe7482 2 місяці тому +9

    Wenye akili wanakuelewa sana kamanda endelea kutoa elimu ya uraia

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l Місяць тому

    nawa penda sana chadema mungu fanya miujiza yako kipe mada laka chadema ccm wa na tuonea sana mungu pokea dua zetu

  • @KharidyYusuph
    @KharidyYusuph 2 місяці тому +2

    Mwenyekti

  • @LamsonMalenga
    @LamsonMalenga 2 місяці тому +2

    Uyu ndo mwenyekiti bwanaa

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 2 місяці тому +2

    Mbowe unayasema hayo ili uweze kupata dolla. Tafuta agenda ya kuwaunganisha wTz sio hayo unayotueleza.

    • @nabimanyafesto5014
      @nabimanyafesto5014 2 місяці тому

      Hata Mungu mlimushinda kuunganika leo ndo unataka mbowe aunganishe wtzania??

  • @StellaNjau-zd5kn
    @StellaNjau-zd5kn 2 місяці тому +1

    Enyi watanzania mshukuru mungu unaenda shambani kulima unavuna unapata ugali waulizeni majirani zetu kongo somalia, burundi tunatakiwa tumshukuru mungu siku zote tusikubali kushawishiwa ujinga. Ukuona hivyo hata huyo kiongozi naye ni chawa ma mama. Tuweni makini sisi watu wa chini mungu atusaidie watanzania. Hata marekani walikuwa matajiri baada ya miongo sembuse sisi. Mtoto hakui haraka kama unavyodhani huuu ni ushawishi kwani siasa ni mchezo mchafu. Waandamane wao na familia zao kwanza baada ya mwezi nasisi tutaandamana tuwaone watoto wao, wake zao, ndugu zao. Baada ya hapo tutaandamana

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 2 місяці тому +2

    Maneno anayosema ni kweli inatakiwa mwenye akili ndio utaelewa hamnazo na mwandawazimu kuelewa kazi nchi yako especially Sisi wagonjwa wa kuelewa utindio wa akili hafanyi kazi lakini Mie naomba Kwa mungu tuwe maskini wa kutupwa kama Malawi, na Kongo kila sehemu ya manufaa kuuzwe tubaki Sisi kama Sisi nchi yetu lakini wananchi tusiwe na kitu ndio watu watajua nchi ikoje viongozi wako wapi?

  • @phillipmasungwa7365
    @phillipmasungwa7365 2 місяці тому +7

    SAFI SANA KAMANDA MBOWE TUPO PAMOJA.

  • @StellaNjau-zd5kn
    @StellaNjau-zd5kn 2 місяці тому +1

    Hao ndio walimsapoti samia leo hawa ndio wanamsaliti tena wapendwa tuombe mungu atulinde watanzania hawa wote wanakutana jioni wanakula pamoja watanzania tusikubali kushawishiwa kumwaga damu waulizeni watoto wao wanasoma wapi kama wao pia sio hao hao?

    • @user-vd8hs6ue2n
      @user-vd8hs6ue2n 2 місяці тому

      Hapo kuna kumwaga damu wap Acha uchochezi

    • @JackKanyigo
      @JackKanyigo 2 місяці тому

      Natamani kujua elimu yako coz naona vision yako ni ndogo sana

  • @yohanaantony5774
    @yohanaantony5774 2 місяці тому +1

    Hata namna chadema mnavyoendsha chaguz zenu bado hakuna usawa hvyo toa kwnz kibanzi jichon mwako ndpo utoe Cha mwenzko umekuwa mwenyekiti wa chama mda mrf nawe watakiwa kuwapisha wenzko hyo ndio demokrasia

  • @saidimasudi6450
    @saidimasudi6450 2 місяці тому +1

    Wakenya raia aslimia 90 hawana Aridh imechukuliwa na Wacha he na magavana

  • @user-dj7mw5rx5h
    @user-dj7mw5rx5h 2 місяці тому +1

    Mh mmh huyu wakumuogopa kama ukoma maana huyu anataka kuchafua taifa

    • @ABBASIKANDULU-kl8zc
      @ABBASIKANDULU-kl8zc 2 місяці тому

      Achaa ujinga kahaba wewe kuchafuwaa nnchi unajuwà ninii wewe tulia uzae

    • @georgesteven5185
      @georgesteven5185 2 місяці тому

      Akili huna www pole sanan

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 2 місяці тому

    Huo. Mpangomzuri lakini kamaunagawa nchi vipandevipande .......",

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 місяці тому +5

    Ningetamani vijana waweze kukusikilizz na kuondoa uchawa.

    • @LameckZakaria-qg9vv
      @LameckZakaria-qg9vv 2 місяці тому

      Ata wewe jiulize mbona ataki kuachia kiti kama mstarabu

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni 2 місяці тому

    Baba tupo pamoja sana

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 2 місяці тому

    Kweli kabisa mh Mbowe ndo maana viongozi wa kuteuliwa wananguvu kuliko waliochaguliwa na wananchi

  • @sizorstartv6168
    @sizorstartv6168 Місяць тому

    vijana amkeni jamaniiii. Nchi na kizazi chake kijacho inaaangamiaaa

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 2 місяці тому

    Sawa mheshimiwa Mbowe, tulitegemea viongozi watakua waadilfu kama mwalimu Julius K Nyerere, kumbe tumepata Curuta curuta !!

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 2 місяці тому

    Ni kweli kabisa Mh, Mbowe serikali imekuwa dalali mkubwa sana wanazuya Makapuni kuja kununua mazao yetu

  • @GoodluckMichael-hb1bv
    @GoodluckMichael-hb1bv 2 місяці тому +1

    We mbona utoki kwenye uenyekiti

    • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
      @AlphaxardMRusweka-jr1wi 2 місяці тому +1

      Mbona CCM,wakina Fulani tu ndo wao tu wanakula ,na hata wewe hujawi kukumbukwa.angalia familia ya Mzee Fulani wa CCM,yeye,mtoto,mama ndo wanaokula tu,Kwa nini hujawahi kuwaambia na wewe uwe waziri,mama Yako awe mbunge,

  • @BrunoRufulenge
    @BrunoRufulenge 27 днів тому

    Mbowe anataka watananzia masikin wapate tabu zaidi Kwa kuyasikiliza maneno yake

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 2 місяці тому

    Kweli kabisa

  • @user-tz8wq1dj7j
    @user-tz8wq1dj7j 2 місяці тому

    Safi kabisa akili hiyo

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 2 місяці тому +2

    Anza na wewe lini cheo chako kitagombania na wengine DJ Mbowe"

  • @sadicksingogo260
    @sadicksingogo260 2 місяці тому

    Ingependeza sana,lakini katiba

  • @user-sn3py9yz8j
    @user-sn3py9yz8j 2 місяці тому

    Umeongea ukweli tunataka magavana

  • @saidimohamed4357
    @saidimohamed4357 2 місяці тому

    Katiba mpya ndio kilakitu

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 місяці тому

    Umeona mwaba mungu awape ulinzi aende navnyinyi polite tupo nyuma yenu tunawapendabsana msikate tamaa

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 2 місяці тому +1

    Mzeee wa Saccos

  • @user-ss6gy4yy8v
    @user-ss6gy4yy8v 2 місяці тому

    Kweli kabisa mwamba

  • @LaurenceSanga-ft7ou
    @LaurenceSanga-ft7ou 2 місяці тому +1

    Naomba mungu aendelee kuwa mwenyekit mpaka 2o3o

  • @user-sg4vj4ky4y
    @user-sg4vj4ky4y 2 місяці тому

    Sijui Kama yupo sahihi au anatafuta dona

  • @michaelmshighati8432
    @michaelmshighati8432 2 місяці тому +4

    Hongera sana Mwenyekiti

  • @josephbundala1475
    @josephbundala1475 2 місяці тому +1

    Mnataka shari? Toka kwanza wewe kwenye uenyekiti wa milele ndipo na ccm uwaambie watoke.

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 2 місяці тому

    ❤💪✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️👌👌✌️✌️✌️

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 2 місяці тому

    Naona machawa ya mm kilemba mnatepeta kwa jinsi anavyo wakanyaga kwa taarifa yenu mbowe hatoki uenyekiti mbowe mitano tena ya uenyekiti chadema wala chadema msilogwe mkawasikiliza manyang'au na machawa wa chama cha majambazi

  • @user-cu6ol4zb8e
    @user-cu6ol4zb8e 2 місяці тому +4

    huna jipya wa huni tuu nyinyi

    • @user-bx3ko9ft5t
      @user-bx3ko9ft5t 2 місяці тому +2

      Bora wahuni kuliko ccm

    • @godfreymkinga
      @godfreymkinga 2 місяці тому

      Tena vihuni afu mboe una kasauti kazuri ukiigiza kama gashi

  • @user-yx5lv4pn4v
    @user-yx5lv4pn4v 2 місяці тому +1

    Ukosawa

  • @annamnanka-qk1bx
    @annamnanka-qk1bx 2 місяці тому

    Mbona wewe utakikuachia uwenyekiti ili wengine wachaguliwe acha porojo mabadiliko yaazie kwako kwanza

  • @charlesphilipo3533
    @charlesphilipo3533 2 місяці тому

    Magavana peleka boma ng'ombe huko ,,,waachie vijana wapambane utakuja kudondoka stejini umri imeenda huo

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 місяці тому +4

    subiri serikali yako ya ukoo uje ufanye hivyo

    • @JackKanyigo
      @JackKanyigo 2 місяці тому

      Ukiwa mjinga na elimu ya std 7 au form 4 f au d;.huwezi kumwelewa Mbowe

    • @hamudshabani7801
      @hamudshabani7801 2 місяці тому

      Critical thinkers hawaropoki na kubwabwaja UKimsikiliza kwa fikra za ndani yupo sahihi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 місяці тому +3

    Kwahiyo CCM hakuna wanacho fanya ila kujaza matumbo yao tu.

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 2 місяці тому

    Vyama viwili vya upinzani au vya siasa ---- chadema ni Chama cha upinzani,wakati ccm ni Chama tawala -- kosa hilo umekuwa ukilirudia Mara kwa Mara " rekebisha "

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z 2 місяці тому

    Hapo kila mkoa utakua na uchumi wake

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 2 місяці тому +2

    Katiba kweli ibadilishwe kila Raisi aliyefanya makosa na kuhaki serikali washtakiwe wote ndio wanagombania katiba isibadilishwe kutokana maovu wanayofanya ni mengi mbaya dhuluma wanayajua hayo

    • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
      @AlphaxardMRusweka-jr1wi 2 місяці тому

      Wasiishie tu kushitakiwa,bali watahifishwe mali walizojilimbikizia bila kuzitolea jasho.

  • @MichaelNgisirei
    @MichaelNgisirei 2 місяці тому

    Tundu lissu hupo wapi?

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 місяці тому

    Vijana waajiriwe

  • @user-tb8zb4rv6h
    @user-tb8zb4rv6h 2 місяці тому

    Hunampango

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 2 місяці тому

    muhim watanzania fanyeni kazi huyu keshashiba siku nyingi anatafuta kick! wewe umepoteza muda unaacha kazi unalala njaa ukitegemea siasa utaumia!

  • @StellaNjau-zd5kn
    @StellaNjau-zd5kn 2 місяці тому +1

    Walimsema marehemu wakamchukia leo hao ndio walimsapoti mama je leo wanataka nini? Tusikubali kushawishiwa kumwaga damu wao wanatuchochea alafu wao wanaenda angani wanatushangaaa tutakapo uwana. Hiii yote na uchu wa madaraka usikibali kushawishika wapendwa jifunzeni kwa walibya leo hawana hata pa kulala yote hayo ni uchu wa madaraka. Tujiangalie tuache kushawishiwa ujinga.

  • @StevenGendo-vx9jo
    @StevenGendo-vx9jo 2 місяці тому

    Alishamla mama ako? Bas ni baba ako

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 2 місяці тому +1

    HATA MSIGWA ALIKUWA ANAONGEA HIV HIV SAS KIKUWAP LEO😢😢😢

  • @Jal210
    @Jal210 2 місяці тому

    Hiyu muhuni tu

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 2 місяці тому

    User muhuni ni wewe, na humuelew🎉i mbowe