Ni inchi yeyote inayodhulumiwa hapa afrika kwa maslahi ya mzungu marais wote wa afrika wanaogopa kusema alafu baadaye washatoka madarakni ndo utawasikia wanazungumza
Wakiristo wengi wanaungana na wayahud katikati mauaji ya dhuluma kwa sababu ya chuki yao dhid ya waislam ila wapo wakiristo Masha Allah, Allah atawalipa kheri zao wamesimama na haki kupinga mauaji ya dhuluma wapo pia wa Israel wanapinga kabisa mauaji ya gaza na wanaslogan yao, NOT IN OUR NAME FREE FREE PALESTIN, mnaounga mauaji ya gaza take this, Wats goes around comes around wallah ipo siku Allah atayaleta kwenye majumba yenu
Sidhani kama vita Ile inahusu udini,Ila inaonekana nisiasa,hasa katika wizi wa ardhi,wenye nguvu wanawaonea wasio kuwa nanguvu!!,Ila pia nimegundua waarabu niwanafiki Sana, ilitakiwa wasimame nakuungana ili waisaidie Palestina, lakini nimefatilia kuona watafanya nini lakini Hawaja jibu bado,wakati Wanawake na watoto wengi sana Zaidi ya watu elfu tatu wamekufa!😢
@@raymondjohn3798 ile sio vita yale ni mauaji, sababu hakuna sheria ya vita inayofuatwa, baadhi ya nchi za kiarabu hawaungi mkono Palestine sababu zina protection na depency agreement na Uingereza Kwamba zipo zinazolindwa na zipo zinazotegemea Uingereza Oman, Kuwait, Bahrain, Saudia protection agreement tangu 1798, Dubai, abudhab na zingine dependency agreement so usishangae Kwa nini hawajigusi kwa chochote hata kupeleka maji
Ukweli unauma, ila ulichoeleza ndivyo ilivyokua. Mi nawaombea dua binaadam wenzetu wanateseka na mauwaji huko gaza. Na laana kubwa iwaendee waliounda mzozo huu mpk dunia inakosa aman kupita wao. Amerika na uingereza
GENESIS 12:2-3 And I will make of thee great nation and I will bless thee name great and thou shall be a blessing 3 And I will bless them that bless thee: and curse him that curseth thee: and in thee shall all families of the earth be a blessing.
Popote walipo Israel ,wauwawe kwa njia yoyote na Mungu hawajathamini km baadhi ya wajinga walivyodanganywa kwenye vitabu walivyoviongeza maneno ya uongo
Yaan mara nyingi unaongeaga pumba lkn Leo umepita ktk vazi lako halisi la kutetea haki kuwazindua wasiojua ukweli Mungu akuongoze ktk haki daima pamoja nasi.
Yani mwana Historia kweli unasema tatizo la hapo Palestine limeanzia mwaka 1948?😢😢😢. Ni muhimu turudi mwanzo kabisa mwa asili yao, uvamizi wa utawala wa Empires mbalimbali kama Rumi & Ottoman, tuchambue hadi hapo sasa kwenye 1948. Hao wadau wana mgogoro wenye mizizi mirefu bas tu😢😢
Hivi nyie ndugu zetu si ndomnatukana Lisu,badala ya kusokiliza anachozungumza mnakimbilia kutukana tena matusi machafu bila sababu leo mnambariki.Tumieni akili ya kusikiliza kinachoongelewa.
Seals la Israel na Hamas halianzii 1948 ,Gaza imetajwa kabla ya yesu Samson alifia Gaza ,alipo waua serikali nzima ya wafilisit,seals juli no Mungu mkuu Yehova anajifunua kwa watu wote kupitia Yesu Kristi wasiangamie juli siyo swala la kisiasa,Wala la kisheria watawla wote,wanasiasa wote,wanasheria wote wamgeukie Yesu Kristi la sivyo wote pia wataangamia
Historia ya Israeli ulipaswa kuizun gumzia walau kuanzia mwaka 1800(K.k)Rafiki yangu nakuomba ili la Israeli nakuomba ukae mbali kabla hujatafuta laana" upesi acha huo upotoshaji
Hakuna laana hapo acha uzuzu Lisu kasema kweli, kwa taarifa yako ukweli ni kwamba baada ya muda sio mrefu sana America itaanguka atakuja mtawala mwingine atakae ifuta Israel
NDUGU TUNDU LISSU- KWELI wewe NI mwanasheria unaesimamia NA kuheshimu SHERIA. Nyerere aliwafukuza Israeli NA kuvunja uhusiano NAO KWA SABABU ya matendo YA waisraeli yalikuwa sawa NA yale YA makaburu WA Afrika Kusini. Mauaji NA madhila wanayoyapata wapalestina, Tanzania imeogopa hata kukemea tu
Hamas hawajauwa watoto wala wanawake muheshimiwa hakuna ushahidi wowote ulioneshwa ktk chombo cha habari chochote Duniani kilichoonesha Hamas waneuwa watoto na wanawake
6 Haya ndiyo asemayo Bwana; Kwa makosa matatu ya Gaza, naam, kwa manne, sitaizuia adhabu yake isimpate; kwa sababu waliichukua katika hali ya kufungwa kabila nzima, wawatie katika mikono ya Edomu; Amosi 1:6 7 lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Gaza, nao utayateketeza majumba yake. Amosi 1:7 8 Nami nitamkatilia mbali mwenyeji katika Ashdodi; na yeye aishikaye fimbo ya enzi katika Ashkeloni; nami nitaugeuza mkono wangu uwe juu ya Ekroni; na mabaki ya Wafilisti wataangamia, asema Bwana MUNGU. Amosi 1:8
NDG ZANGU TUSI TUKANE ,SANA SANA MUELIMISHENI TU KWA UPENDO,ÑADHANI HATA NYINYI NI MASHAHIDI, MLIPO ANZA DARASA LA KWANZA ,JE! MLIENDA MKIWA NA UFAHAMU WA KUTOSHA BILA MWALIMU??
TUNDU LISSU: hebu atusomee hapa (MWANZO 15:15-18) ATUAMBIE NCHI HIYO ILIKUWA CHINI YA WAARABU AU WAISRAELI WAKATI WA MAJUZI YESU AKIWA HAI? NDIYO MAANA HAELEWWKAGI HATA KWENYE KAMPENI ZAKE. (JE, ENZI ZA YESU NCHI YA ISRAELI ILIKUWA WAPI KAMA HAIKUWA NA WAISRAELI?) .
Ao wayahudi hawaamini kitu initially yesu. Nenda kawahubiri uko kama utarudi hai.mbona hamuelewi bibilia imechakachuliwa soma toorat. Korohani tukufu Huiwezi nayo ungesoma ungeelewa nini bibilia kitabu ya wazungu wa magharibi.
Sio kweli sio kweli kwamba Israel ilichukua ardhi ya waarabu !! Waarabu walivamia ardhi ya waarabu,, historia ya Israel hai anzii mwaka 1948 ,, na taifa la Israel lilikuwepo miaka mingi kabla!!!
Nyamaza kimya haraka sana hujui HISTORIA ya waisraeli wewe , inawezekana husali kabisa, nani kakwambia foundation ya Israel ni ya miaka 70 , hakika unajua Elimu dunia ila ktk Imani ya Ukristo we ni kipofu kabisa, nimalize hv kwaulopokaji wako huu leo utabaki unapiga kelele Mungu hatakupa kiti kuongoza nchi hata dakika moja.
Nilikuwa na kuheshimu sana kumbe na wewe unampinga Mungu wayahudi hiyo Nchi wamepewa na Mungu kupitia Ibrahim,Isaka na Yakobo na ufahamu kuwa Israel wataukamata mji wa Yerusalemu Ili wajenge Hekalu.wewe umeigusa Israeli umekwisha kisiasa huwezi kuinuka na chama chako Biblia inasema atakayeilaani Israel naye atalaniwa CCM idumu milele.
Thanks Lisu. But can we call umoja wa Mataifa- international Community? I think it’s community of imperials who own overfill weapons. There should be a community of global South.
Serikali ya ccm Tanzania inaunga mkono serikali haramu ya kizayuni ya israil Serikali ya Tanzania aitizami haq iko wapi Watinzama tu koloni lao linaunga mkono wapi
Well spoken Tundu you're among few clever people we have got in Tanzania
Safi sana lisu nakupenda sana kamanda wangu
Daah Leo mzee wangu tundo ameongea mambo ya maana sana mungu ammbariki🙏
SAFIIIIII SANAAA TINDU LISU WEWE NDIO UNAJUWA HISTORY
You are an honest man.
Dah!walah sikutegemea kama tundu lisu ungeongea ukweli huu mungu akuongoze Kwa Kila la kher
Huyo mwamba huwa mkweli hajaligi dini penye ukweli!
Leo Mh niko pamoja na wewe yani umejilipua hakuna kiongozi anaweza sema hayo asante mheshimiwa
Ni inchi yeyote inayodhulumiwa hapa afrika kwa maslahi ya mzungu marais wote wa afrika wanaogopa kusema alafu baadaye washatoka madarakni ndo utawasikia wanazungumza
Asante kamanda lisu. Watu wengi hawaelewi ukweli
Leo ndo nimekuelewa LISU ubalikiwe umesimama kwenye kweli na haki
Tatizo la watanzania hawapendi kusoma vitabu Lissu waaleze ndugu yangu mungu akubariki
Mungu akubariik
Wakiristo wengi wanaungana na wayahud katikati mauaji ya dhuluma kwa sababu ya chuki yao dhid ya waislam ila wapo wakiristo Masha Allah, Allah atawalipa kheri zao wamesimama na haki kupinga mauaji ya dhuluma wapo pia wa Israel wanapinga kabisa mauaji ya gaza na wanaslogan yao, NOT IN OUR NAME FREE FREE PALESTIN, mnaounga mauaji ya gaza take this, Wats goes around comes around wallah ipo siku Allah atayaleta kwenye majumba yenu
Watalipwa kwa matendo Yao mema Siyo kwa kuunga mkono. Israel and Palestina.
Hata ukiwalilia Palestine Kama una dhambi unapotea bado 😭😭💔
Mmm jambo Moja achaneni na hao watu kuwachkozawatawamaliza 😅😅
Sidhani kama vita Ile inahusu udini,Ila inaonekana nisiasa,hasa katika wizi wa ardhi,wenye nguvu wanawaonea wasio kuwa nanguvu!!,Ila pia nimegundua waarabu niwanafiki Sana, ilitakiwa wasimame nakuungana ili waisaidie Palestina, lakini nimefatilia kuona watafanya nini lakini Hawaja jibu bado,wakati Wanawake na watoto wengi sana Zaidi ya watu elfu tatu wamekufa!😢
@@raymondjohn3798 ile sio vita yale ni mauaji, sababu hakuna sheria ya vita inayofuatwa, baadhi ya nchi za kiarabu hawaungi mkono Palestine sababu zina protection na depency agreement na Uingereza
Kwamba zipo zinazolindwa na zipo zinazotegemea Uingereza
Oman, Kuwait, Bahrain, Saudia protection agreement tangu 1798, Dubai, abudhab na zingine dependency agreement so usishangae Kwa nini hawajigusi kwa chochote hata kupeleka maji
Wakristu wachache wajinga ndio wanaeza kuunga mkona mauaji yanayofanywa na israel.rekebisha kauli.
Mungu nimkubwa ❤
Kiongozi imara kiongozi bora Mungu akutunze milele daima tundu lisu kiongozi mwenye upendo wa kweli
Jamaa unanyooshaga sana, ila bongo wajuaji wasiojua ni wengi ndio maana hawakuelewagi
Watamuelewaje mataahira kibao nchi nzima
Uko sawa kbsa mzee
Uonevu mkubwa sana!!
Very nice lisu that's true.
Wewe Mnyaturu mwongooooo!!!!!Waisraeli walipopelekwa Kanaan Waarabu hawakwepo. ISRAEL ❤❤❤❤❤❤
Tundu lisu uko SawA kabisal laxima kuwe na mataifa mawili
Well said Sir Tundu Lissu my president,true kabisa ,wale waisrael fake Wana discrimination Sana Kwa wapalestina,.
waislamu tanzania mchagueni asubuhi na mspema
Anayo haki ya kikatiba kuchaguliwa na wala sio vinginevyo
Mimi ni muislam tayali nishampa kura yangu jamaa anajuwa sana na nampenda
Ukweli unauma, ila ulichoeleza ndivyo ilivyokua. Mi nawaombea dua binaadam wenzetu wanateseka na mauwaji huko gaza.
Na laana kubwa iwaendee waliounda mzozo huu mpk dunia inakosa aman kupita wao. Amerika na uingereza
Lissu a man of truth
Hongera ❤
Ndio maana
Mwl nyerere
Haja fungua
Ubalazo nchini
Hadi amefariki
Ubarikiwe Leo Mara yakwanza kuongea ukweli nimekusoma
Huyu huongea ukweli kla siku sema hua hamumsikilizi vizuri kwa sbb ya vyama
Kwani siku nyingine? 🤔
Very good lissu
Katika Siku Zoooote Leo Umeongea Point
Humuelewagi tu,
Hiki kichwa ni level nyingine
@@williammbuzimai5744 Labda kwako Weww
kweli kabisa tundu risu wambie wajinga wasijua histolia. ya palestina watu hawa majizi tu
Huyo lisu lini watu wakamsikiza huyo😊😊
@@annasolomon9855ndy Leo Sasa watu tunamsikiliza
Lisu naomba tupambanie Tanzania
Hapa nakuunga mkono❤
GENESIS 12:2-3
And I will make of thee great nation and I will bless thee name great and thou shall be a blessing
3 And I will bless them that bless thee: and curse him that curseth thee: and in thee shall all families of the earth be a blessing.
Unaakili sana
Nakushauri umuulize Yesu aliye mhamisha Ibrahimu kutoka Iraki hadi Israeli
Hapa tuko pamoja lissu, unaongea points tupu
Kweli kabisa
Saf sana kwa kutoa history
Hajui hiyo history amedakia juu juu tu hajui chanzo
Good
Lisu kumbuka Rehema & Neema (Grace & Mercy) ni zaidi ya Sheria (Law) GALATIANS 3:10
Umeongea kweli mheshimiwa hao wanajiita wakiristo hata yesu mwenyewe hawamjui vizuri ni chuki za kidini zimewaingia katika damu zao.
Pole sana kwa bahati mbaya ukristo sio dini sasa,
Ukipigana na Israel ni kwamba unakuwa unapigana na Mwenyezi Mungu mwenyewe wa mbinguni aliyeishinda miungi yote.... Kwahyo kuweni makini sana
Popote walipo Israel ,wauwawe kwa njia yoyote na Mungu hawajathamini km baadhi ya wajinga walivyodanganywa kwenye vitabu walivyoviongeza maneno ya uongo
Yani hii dunia isingekuwa na wajinga kama wewe pamgekuwa sehemu salama kabisa, bora mzee wako angetumia tu hata kinga
Uko sahihi mwanashelia wetu.
Safi sanaa nmekuelewa tundu lisu❤
LISSU. A MAN OF TRUTH🇹🇿
Waambie wajue
Yaan mara nyingi unaongeaga pumba lkn Leo umepita ktk vazi lako halisi la kutetea haki kuwazindua wasiojua ukweli Mungu akuongoze ktk haki daima pamoja nasi.
LISU KAONGEA KI SIASA ZAID,ILA HUU MGOGORO NI WA ZAMANI SANA,TANGU ENZI ZA AKINA SAMSON NA DELILA,SASA KWA WALE WAFIA DINI AWAWEZI KUNIELEWA
Sadakta
Upo vizuri sana
Kwa hili tundu huko sawa kabisa
Siku moja moja huyu jamaa huwa anaongea vitu vya maana sana😮
Kila siku huongea vya maana ila tu tumeeka mbele uvyama hatuwezi kumuelewa
Daah hiii dhulma ipo siku itafika mwisho
Waarabu wakupa mpunga naona.
Israel na parestina sio siasa
Pumbavu ww
Hujielewi wewe mwenye roho mbaya
Chukiiiiiii punguza
Umeelewekka
Tundu lisu umenena watu wameandamana wamekamatwa
Lisu nilikuwa simuelewi.
Ila hapa nimemuelewa sana.
Naomba, hata hapa nchini chambua nchi yetu tupate kukuelewa.
Siyo kulaumu tu!
Yani mwana Historia kweli unasema tatizo la hapo Palestine limeanzia mwaka 1948?😢😢😢. Ni muhimu turudi mwanzo kabisa mwa asili yao, uvamizi wa utawala wa Empires mbalimbali kama Rumi & Ottoman, tuchambue hadi hapo sasa kwenye 1948. Hao wadau wana mgogoro wenye mizizi mirefu bas tu😢😢
We mpumbavu
mazuzu kweli yapo mengi waulize wenyewe zionist watakwambia hivyo na mkoloni mwingereza ndio aliyowapa ardhi ya palestina
Zote ni za waarabu hawa wazungu wLikuja tu ni nchi zs kihistoria banu israe
Afadhali kwa kuuzungumza ukweli
Hivi nyie ndugu zetu si ndomnatukana Lisu,badala ya kusokiliza anachozungumza mnakimbilia kutukana tena matusi machafu bila sababu leo mnambariki.Tumieni akili ya kusikiliza kinachoongelewa.
Sasa kama ni historia unataka nini
Swadaqta.
Hapo utapoteza wanachama wako wengi wenye itikadi ya kikristo wanaoisapoti Israel
Umesema kweli kabisa kwa hili nakukubali
Seals la Israel na Hamas halianzii 1948 ,Gaza imetajwa kabla ya yesu Samson alifia Gaza ,alipo waua serikali nzima ya wafilisit,seals juli no Mungu mkuu Yehova anajifunua kwa watu wote kupitia Yesu Kristi wasiangamie juli siyo swala la kisiasa,Wala la kisheria watawla wote,wanasiasa wote,wanasheria wote wamgeukie Yesu Kristi la sivyo wote pia wataangamia
Ongelea nchi yako huku maisha magumu siku
Historia ya Israeli ulipaswa kuizun gumzia walau kuanzia mwaka 1800(K.k)Rafiki yangu nakuomba ili la Israeli nakuomba ukae mbali kabla hujatafuta laana" upesi acha huo upotoshaji
Hakuna laana hapo acha uzuzu Lisu kasema kweli, kwa taarifa yako ukweli ni kwamba baada ya muda sio mrefu sana America itaanguka atakuja mtawala mwingine atakae ifuta Israel
Ujinga mtupu huwezi kushinda na Israel ukabaki salama kwa sababu Iko kiagano pamoja na Mungu unaongea kwa sababu huelewi.
Sasa hapa umenina
Hamas ndio mkombozi wa kweli
NDUGU TUNDU LISSU- KWELI wewe NI mwanasheria unaesimamia NA kuheshimu SHERIA. Nyerere aliwafukuza Israeli NA kuvunja uhusiano NAO KWA SABABU ya matendo YA waisraeli yalikuwa sawa NA yale YA makaburu WA Afrika Kusini. Mauaji NA madhila wanayoyapata wapalestina, Tanzania imeogopa hata kukemea tu
Hamas hawajauwa watoto wala wanawake muheshimiwa hakuna ushahidi wowote ulioneshwa ktk chombo cha habari chochote Duniani kilichoonesha Hamas waneuwa watoto na wanawake
Rejea kwanza kwenye maandiko ya Bible, we Mpka Mungu unambishia dah
Anabishiwa Paulo aliekuleteeni agano jipya na sio Mungu.ivi zile amri kumi Huwa mnazielewa lkn au mnakaririshwa tu.
Hapo umeongea
6 Haya ndiyo asemayo Bwana; Kwa makosa matatu ya Gaza, naam, kwa manne, sitaizuia adhabu yake isimpate; kwa sababu waliichukua katika hali ya kufungwa kabila nzima, wawatie katika mikono ya Edomu;
Amosi 1:6
7 lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Gaza, nao utayateketeza majumba yake.
Amosi 1:7
8 Nami nitamkatilia mbali mwenyeji katika Ashdodi; na yeye aishikaye fimbo ya enzi katika Ashkeloni; nami nitaugeuza mkono wangu uwe juu ya Ekroni; na mabaki ya Wafilisti wataangamia, asema Bwana MUNGU.
Amosi 1:8
Eheee zaidiii ya miaka 3000 sasa
NDG ZANGU TUSI TUKANE ,SANA SANA MUELIMISHENI TU KWA UPENDO,ÑADHANI HATA NYINYI NI MASHAHIDI, MLIPO ANZA DARASA LA KWANZA ,JE! MLIENDA MKIWA NA UFAHAMU WA KUTOSHA BILA MWALIMU??
Tena thulma hii inaongozwa na marekani Kwa Kila kitu
Dear lisu join juliasi malema now to liberate Palestine please
Hujui chochote
Unajua wewe na ndugu zako wayahudi
Ukiionea huruma Gaza bila kusoma biblia unakosea braza lisu
Joshua Mollel ni mtanzania. Aliwakosea nini Hamas?
Bebeni bunduki mkawasaidie kama wanaonewa, kelele nyingi hakuna chochote😂😂😂😂😂
Historia ya Israel huwezi kuianzia mwaka 1948 ni vizr ukanzia 103 baada ya babeli kuivamia jelusalem
TUNDU LISSU: hebu atusomee hapa (MWANZO 15:15-18) ATUAMBIE NCHI HIYO ILIKUWA CHINI YA WAARABU AU WAISRAELI WAKATI WA MAJUZI YESU AKIWA HAI?
NDIYO MAANA HAELEWWKAGI HATA KWENYE KAMPENI ZAKE.
(JE, ENZI ZA YESU NCHI YA ISRAELI ILIKUWA WAPI KAMA HAIKUWA NA WAISRAELI?) .
Ao wayahudi hawaamini kitu initially yesu. Nenda kawahubiri uko kama utarudi hai.mbona hamuelewi bibilia imechakachuliwa soma toorat. Korohani tukufu Huiwezi nayo ungesoma ungeelewa nini bibilia kitabu ya wazungu wa magharibi.
Sio kweli sio kweli kwamba Israel ilichukua ardhi ya waarabu !! Waarabu walivamia ardhi ya waarabu,, historia ya Israel hai anzii mwaka 1948 ,, na taifa la Israel lilikuwepo miaka mingi kabla!!!
kasome viziri Israeli haijawahi kuwa taifa kamsikize Mzee wa upako hata yeye anasema izraeli haijawahi kuwa taifa hapo vip
Unajifanya mjuaji mbele za Mungu wa mbinguni
Kumamako mungu yupi unaesem ww fala ww
Wayahudi ndio mungu wako
Huyu jamaa ni mwanasheria hasemi kwa mihemko ya kidini kama wenzetu wanavyosherehekea kuuwawa kwa wanawake na watoto kisa tu ni wanauliwa ni waislam
Huwezi ielewa Israel Kisiasa, Kidini, Kibiashara, mpaka uondolewe Utaji huo 👉 IMANI, ni kitu Cha mbaaali!!!!! Huwezi kusoma darasani
Pumba ingine hii
Nyamaza kimya haraka sana hujui HISTORIA ya waisraeli wewe , inawezekana husali kabisa, nani kakwambia foundation ya Israel ni ya miaka 70 , hakika unajua Elimu dunia ila ktk Imani ya Ukristo we ni kipofu kabisa, nimalize hv kwaulopokaji wako huu leo utabaki unapiga kelele Mungu hatakupa kiti kuongoza nchi hata dakika moja.
Wewe tuambie
Kama ww ndo unagawa hovyo viti sawa na cjui viti gani unaongelea
Wewetundudulisu hujuwikitu kuhusu hiyovita wewedilitu nasiasa yamekushinda yatanzania utayaweza ya mashalik yakati
Historia unayoongea ww umeanzia mwishoni
Waarabu wapo Kila nchi ktk Afrika , hii inaonesha hata palestina waarabu waliivamia sio kwao pale. Lisu anatafuta uungwaji mkono wa waarabu wengi.
We mjinga hujui chochote we unakaza fuvuu lako hilo.kati ya israel na palestine nan kamvamia mwenzake?
Endelea kubadilisha maneno ya kweli mwishowe utbadilisha jinsia
Kwao wapi?
Ila wa tz wengi hawajui history ya Israel kabisa
Hao wazayuni ni wavamizi tu
Ukilaani Israel umelaaniwa ukibariki utabarikiw ashindanae na bwana atapondwa kabisa
Hii story imepaa
Hujui historia ana bwabwaja tu asome Biblia
Kiongozi utakiwi kuingilia mambo yanayohusiana na udini maana utawagawa wananchi
Ww ndo unatatizo pale akuna udini ni dhuruma ambayo akuna asiye jua ukweli labda ww hao israel wame watesa malangapi palestine kaa kimy kama utaki ukweli.
Ki tanzania ni sawa we unauhusiano gani na dini ya kiyahudi
Nilikuwa na kuheshimu sana kumbe na wewe unampinga Mungu wayahudi hiyo Nchi wamepewa na Mungu kupitia Ibrahim,Isaka na Yakobo na ufahamu kuwa Israel wataukamata mji wa Yerusalemu Ili wajenge Hekalu.wewe umeigusa Israeli umekwisha kisiasa huwezi kuinuka na chama chako Biblia inasema atakayeilaani Israel naye atalaniwa CCM idumu milele.
Thanks Lisu. But can we call umoja wa Mataifa- international Community? I think it’s community of imperials who own overfill weapons. There should be a community of global South.
Serikali ya ccm Tanzania inaunga mkono serikali haramu ya kizayuni ya israil
Serikali ya Tanzania aitizami haq iko wapi
Watinzama tu koloni lao linaunga mkono wapi