UHONDO: WAKATI NILIPOROGWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 228

  • @SABRINAWANGECI
    @SABRINAWANGECI  4 роки тому +9

    Kumtuza Kungwi Sabrina
    Mpesa Till Number: 5564875
    Mpesa Number: 0115279481 Farzana Mohammed

    • @AishaAli-lk7gh
      @AishaAli-lk7gh 4 роки тому

      kungwi mm ni mgeni kwa channel yako lakini wow asante kwa mipasho

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому

      Karibu darling 😍

    • @AishaAli-lk7gh
      @AishaAli-lk7gh 4 роки тому

      @@SABRINAWANGECI asante sanaa 😗

  • @artisthusnatalal3099
    @artisthusnatalal3099 4 роки тому +20

    *Surah falaq x3*
    *Surah Nnaas x3*
    *Surah Ikhlas x3*
    *Ayatul kursi x3*
    *Surah Baqarah last ten ayas. If you can manage to read it full it's the best and at least twice a week. Blow in water and drink the water. Live while reading these Surahs for the rest of your lives*

  • @daprince7545
    @daprince7545 4 роки тому +18

    Binadamu sio watu wazuri dadangu nilikuja rongwa Kama miaka 3. Yani nilikua nikisinywa Kila siku na kuanza kutembea pekeangu . Kabla ya huo ugonjwa kuanza girlfriend wangu alikuja ota usiku mmoja niko na wazimu . Baada ya mwezi nilikuja zimia nakupelekwa hospital. Basi nilihangaika Sana nilikua siezi tembea kwa ufuo wa bahari mara roho yaenda mbio. Basi nilianza visomo uku na uku alhamdhulilah nilikuja pona . Kiini cha kurongwa ni bidii yangu coz hio time nilikua na business ndogo tu apo nyumbani. Uchawi upo na family zetu ndio zinazo tuonea vijicho.

    • @nooor1120
      @nooor1120 4 роки тому

      Pole nduguyangu Allah akufanyie wepesi

  • @habibamahamed5587
    @habibamahamed5587 4 роки тому +9

    kweli kabisa my dear.all the way frm 🇧🇲🇧🇲🇧🇲my dear mimi nilisukumiwa majini my dear urogi upo l m in london and its happening.and guess what who ever did that was my best friend.n after nilifanyiwa kisomo ilimrudia.she had to confess yani.kikulacho kiunguoni mwako.just experince is a good teacher.love u mami God bless you and your family.lnshallah 🤲🤲🤲

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому

      Subhanallah urafiki mwingine unafiki Tu🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️
      Mungu atulinde sote waja wake....

    • @nasraabdi1529
      @nasraabdi1529 4 роки тому

      Asc habiba ulifanyiwa kisomo wapi maana mimi naishi holland nina jini mahaba linalisumbua sana

    • @daimavlog
      @daimavlog 4 роки тому

      @sherry ali mpenzi angalia kwa carrymastori kuna mama karogewa mtoto wa miezi mitatu Jamani wakakaombee.

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому

      Woiiiii 🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️😭😭😭😭😭

    • @daimavlog
      @daimavlog 4 роки тому

      @@SABRINAWANGECI Yaani ni uchungu nimelia sana. Wachawi hawana hata chembe ya utu jamani

  • @MohamedAhmed-te3qn
    @MohamedAhmed-te3qn 4 роки тому

    Maskini my sister pole sana Nakupenda wewe na story zako lamu number one for future and story

  • @yasminali5789
    @yasminali5789 4 роки тому +5

    Subhanaallah mwenyezi mungu atulinde

  • @SOFTGUYERA2025
    @SOFTGUYERA2025 3 роки тому +1

    This lady is so funny, a very talented narrative teller. I absolutely don’t believe in witchcraft, but this is entertaining. One of the funniest Kenyan UA-camrs I’ve come across, very sexy Swahili accent.

  • @didaabdallahahmed
    @didaabdallahahmed 4 роки тому +5

    I jst fell in love watching u for the first time sister💞 keep it up sister

  • @aminaalli2287
    @aminaalli2287 4 роки тому +3

    Pole dia.. Nakupenda sanaaaa from Tanzania

  • @misssmailyadan2065
    @misssmailyadan2065 4 роки тому +6

    I really love you and your realness I enjoy your story's alot big love 😍

  • @BUCHIVELI
    @BUCHIVELI 4 роки тому +7

    😂 🤣😂 🤣..........Eti huyu ni kama jini mwenzetu.....😂 🤣😂 🤣😂 🤣. Sabrina, you are as crazy as you are REAL.
    Anyway, that was quite a horrific experience that you had. I am so glad you bounced back from it because, to be honest, life would have been boring and depressing without some Sabrina in it. I don't think you will ever know just how much some of us appreciate you. We may not be in a position money-wise to always come through for you but just know that we always anticipate your next video with bated breathe. I only speak for those who love and appreciate Sabrina, haters can take a hyke.

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому +1

      Wow alhamdulillah 😭 this is an amazing comment. I appreciate the love everyone is showing me, it took me a while but alhamdulillah.... You don't have to support me money wise but the fact that you have accepted my raw content is more than enough.😍😍😍😍😍

  • @bettymash6181
    @bettymash6181 4 роки тому +2

    I love your transparent honesty!!!!👏👏👏👏 Keep it up

  • @subiraramadhani5270
    @subiraramadhani5270 2 роки тому

    Dada sabrina asante kwa somo,lkn ukimaliza hayo mambo ,tufundishe na mapishii,nakupenda sanaa allah akutunzee

  • @mohammadabdulrehman4
    @mohammadabdulrehman4 4 роки тому +1

    Inaniuma sana ulivyopitia dadangu swabrina. Namuombea dua sana ndugu yetu marhum Abdulmajid Allah amlaze katika jannatul firdaus( Amiin×3)🙏🙏🙏

  • @leilaalihenry9626
    @leilaalihenry9626 4 роки тому +8

    Sabrina pole for what happened but the story was soooooo interesting wallahi . And hiyo second story was hilarious 😂 I loved it . Keep them coming so your channel can grow . Inshallah it’s going to be something big .

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому +1

      Thanks for the love. In Shaa Allah will keep uploading

  • @itsmimi4135
    @itsmimi4135 4 роки тому +3

    Walaikum salaam..it’s the boyfire for me🤣🤣🤣oshooooooooooooo💞💞💞💞nakupenda bure

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому +1

      Boyfireeeeee hoyeeeeee 😂😂😂👊🏽😍😍😍

  • @HezOmanjo
    @HezOmanjo 4 роки тому +6

    I dont think Id need a TV if I'd be coming home to this drama daily! :)

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому +4

      You need a TV because I look better on a big screen

  • @yusufswaleh9197
    @yusufswaleh9197 4 роки тому +1

    Marafiki waovu Sanah maskni mpaka ilkuwa wakuimbia😥, hawana khery kbsa

  • @nasratwaha610
    @nasratwaha610 4 роки тому +5

    Nakupenda ❤️❤️❤️

  • @ayasultan4925
    @ayasultan4925 4 роки тому +4

    Sabrina dadangu nakupenda bure and i love watching your videos .keep it up .Watching from Zurich Switzerland.

  • @leilamohammed1759
    @leilamohammed1759 4 роки тому +1

    Nnakupeza jamani 😭😭 let me catch up 😣😣 Nyimbo ni 'kwaherini' 😂😂 nnaikumbuka ah wanadamu waovu kweli .

  • @ummuyahya8855
    @ummuyahya8855 4 роки тому +4

    I hope sijachelewa Sana.
    Uko very real I swear.keep up.soon tufikishe 10k subscribers

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому

      Thanks darling 😍😍😍
      In shaa Allah watafika tu polepole

  • @Hajj75
    @Hajj75 4 роки тому +1

    Mungu atawashinda wenye nia mbaya! Nia safi yashinda uchawi

  • @fouziakhalifa8914
    @fouziakhalifa8914 4 роки тому +1

    Thanks for sharing,ur very inspiring i really love ur videos,love u dear

  • @tamarahbabedomino6674
    @tamarahbabedomino6674 3 роки тому +1

    Same story too one day insha Allah I will tell my story

  • @princessluludamour2622
    @princessluludamour2622 4 роки тому +5

    Mm nilirogwa n kurushiwa jini niliteseka for 6 yrs but Alhamdhulilah mungu n mkubwa nmepona n nikitolewa

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому +2

      Maskini pole mwenzangu kuna watu wana mazito 😔

    • @irenemoraa8818
      @irenemoraa8818 3 роки тому

      Princess ata mie dadangu ako na shida sijui tamsaidiaje aki kama unajua mtu nisaidie

  • @marionpotter889
    @marionpotter889 4 роки тому +1

    Napenda story zako Sabrina weh!!

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 4 роки тому +4

    Mashallah

  • @yasminali5789
    @yasminali5789 4 роки тому +2

    Mungu amekusaidia na ww ujisome adkar ya jioni na asubuhi ni vizuri ujikinge

  • @carolmuchiri9921
    @carolmuchiri9921 4 роки тому +1

    Jameni Dada Sabrina waleta Raha, Eti Kasema wa enda kamroga na Mume Mwenyewe hana chochote 😂😂😂😂👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿❤️

  • @yusufswaleh9197
    @yusufswaleh9197 4 роки тому

    Nimecheka yangu yote Yaani, Alhamdulilah

  • @abdillahyabdilkadir4670
    @abdillahyabdilkadir4670 3 роки тому

    Wapenda kuipeleka nyuma alafu mbele weiiy

  • @daimavlog
    @daimavlog 4 роки тому

    Kungwi ur the best yaani am here to stay. Nimekupenda buree

  • @rizaram123yes7
    @rizaram123yes7 3 роки тому

    Aki dada your story like mine,pia mm i belive yangu itaisha soon yanyu siuchawi waugojwa but ni uchamwi,but 100 sure pia mm nitapeana story yangu

  • @somaiyabake4259
    @somaiyabake4259 4 роки тому +1

    Mungu akuhifadhi na pengine mpate wetu

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 4 роки тому +1

    Waalaikum Salam habibty mngu atawashinda mahasidi

  • @spreadlove2119
    @spreadlove2119 4 роки тому +1

    Yaaani weuweee umetoka mbaliiii 😂😂😂😂😂

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому

      Mbali sanaaaa mpaka tumechoka😂😂😂😂😂

  • @annmuthoni3576
    @annmuthoni3576 4 роки тому +2

    My love is here 😍😍😍

  • @ashanurein5403
    @ashanurein5403 4 роки тому +4

    Mamaaa makubwa ya leo Subhanallah 🤭

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому +1

      🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️ usisemeee

  • @khadijanassor7698
    @khadijanassor7698 4 роки тому

    Mungu akujaalie uzae kwa salaama ni mja mzito miezi mingapi

  • @blessedgirl444
    @blessedgirl444 4 роки тому +2

    😍😍😍😍😍

  • @yusufswaleh9197
    @yusufswaleh9197 4 роки тому

    Hahahhh taniuwa at the end of day mama akamkula mblock😂😂😂

  • @faridaali1580
    @faridaali1580 4 роки тому +5

    Kweli lakini rizki yatoka kwa Allah.

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 3 роки тому

    pole sana sabrina

  • @princessluludamour2622
    @princessluludamour2622 4 роки тому +9

    I just love this lady walai 🥰

  • @theresamilanzi9947
    @theresamilanzi9947 4 роки тому

    Pole sana uchawi upo kweli mimi yamenikuta mpaka Sasa wananitafu ndug ndio maduwi

  • @zaynabsalum2142
    @zaynabsalum2142 4 роки тому +1

    Binaadam sio wote wema... mie Mama yangu mzazi anaugua huu mwaka wa 9 sasa amehangaika mahospitalini huko toka 2011 hadi leo hii hajaweza kupona huko kwa waganga pia watapeli dua pia wakisema waitwe wasome wanawahonga ili wasome za uongo... hadi sasa kaamua kumwachia tu Mungu yeye kama atampa nafuu au atamchukua ampumzishe... hatembei Kabisaaa yaani tu nafanya kumnyanyua kitandani ... walimwengu si wema Kabisaaa...

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому

      Subhanallah Mungu atampa shifaa in Shaa Allah usikate tamaa dadangu. Mungu ni mkubwa

  • @theresaelizabethelijah117
    @theresaelizabethelijah117 4 роки тому +1

    Waaleykum msalaam dadangu

  • @doriswangui6114
    @doriswangui6114 4 роки тому +3

    story zako interesting mama

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 4 роки тому +1

    hatujambo tupo powa dear ...tunakupenda sana.

  • @aminasoud3104
    @aminasoud3104 4 роки тому +4

    One love swabri

  • @theresaelizabethelijah117
    @theresaelizabethelijah117 4 роки тому +4

    Eti mrogi wa wanaume 😂😂😂😂😂 mi nilirogwa na mandugu zangu haswa kwakua nilikua na mwanaume mwenye pesa hadi leo iam still struggling to get out of that shit

  • @mamadoublem353
    @mamadoublem353 4 роки тому +2

    Pole dadaa minilitolewa swiss km mjinga nikaja home na wanangu visa na vituko ila Allah pekeyake nipata ustad akaniokoa mwisho ningechizi ila swalah pekee mungu atuepushie

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому

      Subhanallah pole kwa hayo dear.... Mungu atuepushe na atustiri

    • @irenemoraa8818
      @irenemoraa8818 3 роки тому

      Mama double ata mie nisaidie nataka ustad anisaidie help please

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 4 роки тому

    Hatujambo Sabrina.??? Unanikosha ukicheka 😂😂😂😘😘😘

  • @hopewankaa7472
    @hopewankaa7472 4 роки тому +2

    Mmh da Sabrina pole Tena pole haswa jmn wanadamu hawa

  • @fatushabdi2786
    @fatushabdi2786 4 роки тому +1

    SabOG mm nilirogwa uso wangu wote ikawa ni vidonda tu kwa uso aliniharibu uso msima ila muili wangi wote uko sawa . Nikamjua ila sikutaka kumregeahea nikamuacha Mungu atamlipa na inshallah .

  • @saumunassir7975
    @saumunassir7975 4 роки тому +1

    Da Swabrinaaa💖💖

  • @danielarapmoi3041
    @danielarapmoi3041 4 роки тому +1

    Hehe nyengine lini🤣

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому

      Share link tufike target audience niwape lingine

  • @seiduachu3700
    @seiduachu3700 4 роки тому

    Allah akueke ❤️

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 4 роки тому

    Maskini ndugu yangu Sabrina. Watu wabaya lakini Mungu atakulipiya ikiwa mkono wa mtu. Mungu atuhifadhi. Amin.

  • @itzbeline1651
    @itzbeline1651 4 роки тому

    I’m here early ❤️all the way from America 🥳

  • @Fauziah-Majid
    @Fauziah-Majid 4 роки тому

    Hhhhhh watufurahisha.....Love from Mambrui

  • @hijahsaidy1562
    @hijahsaidy1562 4 роки тому

    Napenda story zako

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 4 роки тому +2

    Ankwenda Kwa wanganga wa Burundi labda

  • @noorayaqoot1294
    @noorayaqoot1294 4 роки тому

    Mashaallah kitanda chako kizuri cha Enzi.

  • @ryderrranwar8749
    @ryderrranwar8749 4 роки тому

    Weeee story kaliii ajab... but weeh Sabrina you were notorious... wacha tu Alhamdulillah you're still alive and healthy.

  • @bettymash6181
    @bettymash6181 4 роки тому

    For the borongest!!😂😂😂😂😂

  • @aminaalli2287
    @aminaalli2287 4 роки тому

    Kweli shogaangu sabrina I am from tz...nishasukumiwa pia upele usiombe yakukute...ambaye hayajamkuta hawezi kuamini

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому

      🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️ hawaniamini kabisa

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому

      Pole sana mwenzangu

  • @mummysu4772
    @mummysu4772 4 роки тому

    Pole dada Sabrina, Mungu atuhifadhi, where you located in MALINDI, love you

  • @laylapragassa2009
    @laylapragassa2009 4 роки тому

    Swabrina u Mek my day wallahy

  • @kisscokissco1955
    @kisscokissco1955 4 роки тому +8

    Wallahi natamani kama ningekua jirani yako na wewe bado mdogo nione uchizi ulionao

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar2892 4 роки тому

    Duh.... Nakumbuka ulikua wajipaka aloe vera duh... Uchawi upo bt mm siamini uchawi na siombi kurogwa, lakini kma ni malindi kila m2 aambiwa ana ukimwi sijui zamani kabla hakuna ukimwi Wa2 walikua hawana pele.!!!!mmh.... Pole shosti sio madogo

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому

      Nashangaaaaa 😂😂😂 nishapona bui nashkuru Mungu

  • @chamily7581
    @chamily7581 4 роки тому

    wallahy mwili umenisisimka na hii story yako

  • @Mugurekiiru
    @Mugurekiiru 4 роки тому +1

    Twafatilia

  • @officialmisscarole148
    @officialmisscarole148 2 роки тому

    Ulitibiwa wapi recommend me. Nina matatizo

  • @somoemohamed6981
    @somoemohamed6981 4 роки тому +1

    Jamani Sabrina hukusema nani aliyeingia na Honda maana hilo jicho ulompa si kidogo😂😂😂

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому +1

      😂😂😂😂😂 we nae pia mbea si kidogo

  • @suheylakibohora956
    @suheylakibohora956 4 роки тому

    Hahahhaa.... Kali hio story mama aliblock....

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 4 роки тому +2

    😂😂😆😆

  • @aisha-ro5fr
    @aisha-ro5fr 4 роки тому

    Yaan 😥ddaa na mm napitia icho kitu yaan atasijui nifanyaje nimemaliza hospital naambiwa kitu chakawaida itaisha lakin ndoina zidi😥😥

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar2892 4 роки тому +1

    Nimecheka kwa mwalimu kuna reception na lab na cashier🤣🤣🤣🤣mld hakuna viganga ni vitapeli

  • @mamayao5290
    @mamayao5290 4 роки тому +1

    This lady alwys has Adhaan in her phone MabshaAllah

  • @munirashughuli7224
    @munirashughuli7224 4 роки тому

    Hasad zipo kweli aunty Sabrina

  • @mrsawadh5716
    @mrsawadh5716 4 роки тому +2

    Uyo aliekuroga haswidi sana alikuonea wivu uzuri wako ndio maana alitaka usitamanike 😤 mwanahizaya yeye😤

  • @irenemoraa8818
    @irenemoraa8818 4 роки тому +2

    Miti yenye matunda mazuri upigwa mawe

  • @fatumahussein1278
    @fatumahussein1278 4 роки тому

    Can u tell me who curef u.i have a sick mother for the last three years. I have tried many places but all in vain

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому +2

      I am not sure if she is still there it has been a long time....

    • @irenemoraa8818
      @irenemoraa8818 3 роки тому

      @sherry ali ata mie niko na ndugu yangu ako na shida kubwa jamani sijui nimpeleke hapo atasaika

    • @irenemoraa8818
      @irenemoraa8818 3 роки тому

      @sherry ali nitampataje huyo Mohamed Sharif?

  • @mombasaraha1252
    @mombasaraha1252 4 роки тому +1

    Hayo yakurogwa hivo hivo yalinipata ikifika makhrib wawashwa kama mwandazimu yalinipata mpz

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому

      🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️ na madonda? Kumbe ni uchawi uko? Thought ni mpya

    • @mombasaraha1252
      @mombasaraha1252 4 роки тому

      Yes naiona ni mpya mikitambo dawa nipotoka nchi nilipoa lakini kila ilikua nikija kenya tayari yaanza bada miaka mingi ikaondoka Alhamdulilah napenda maneno yako mazuru ya ukweli kabisa video zako

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому

      Subhanallah dunia ina mambo

    • @fatushabdi2786
      @fatushabdi2786 4 роки тому

      Yaa mm nilirogwa uso wangu madonda tu ila muili mzima uko sifa hali leo uso wangu uko na kovu

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому

      Jamani pole jaribu kutumia bio oil kwa makovu

  • @mamuually5579
    @mamuually5579 4 роки тому

    Jamani na mmi mnielekeze kwa walimu wa kihuhakika mana nikilala na kuamka napata kama nimekwaruzwa au kuchapwa hadi ngozi ipp vibaya sai ,,,cjui ni uchawi au vp au kama kuna anayejua dawa au mafuta mniambie mana sikua naamini ila naona naamini ssa

  • @idhashrayshir4863
    @idhashrayshir4863 4 роки тому +2

    A.alkm sister.. vp hali naulizaje hapo mji gani unapoishi?

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому +1

      Kenya, pwani, malindi

    • @idhashrayshir4863
      @idhashrayshir4863 4 роки тому

      @@SABRINAWANGECI ooh ok. Mashallah nyumba nzuri. Which cottage do u recommend..cheap and best lol

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому

      Asante ni kwangu... Cottage siwezi kujua sio Mambo yangu nikija Naja nyumbani

    • @idhashrayshir4863
      @idhashrayshir4863 4 роки тому

      @@SABRINAWANGECI ooh ok. No problem. Thanks for your time.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 4 роки тому

    Huyu dada anaweza kuwa mdogo kiumri ila ame pitia mengi Mungu mkubwa

  • @halimaanzazi718
    @halimaanzazi718 4 роки тому +1

    Ubeya.watakanafas

  • @khadijanassor7698
    @khadijanassor7698 4 роки тому

    Sura zimeiva I think ni mtoto lwa kiume siku haziko mbali pumzika maa

  • @saraha618
    @saraha618 3 роки тому

    Tupeleke tu utakavyo tushajileta

  • @al3yunhadil454
    @al3yunhadil454 4 роки тому

    Maskini my dia pole kwa hayo. Allah atakuhifadhi.

  • @kareemalamoody6345
    @kareemalamoody6345 4 роки тому

    Malimao in the building

  • @DjLiyayiCashvevo
    @DjLiyayiCashvevo 4 роки тому +1

    This is so encouraging

  • @hijahsaidy1562
    @hijahsaidy1562 4 роки тому +1

    🤣🤣🤣🤣

  • @nasraabdi1529
    @nasraabdi1529 4 роки тому

    Wachawi sio watu wazuri duh

  • @rb3176
    @rb3176 4 роки тому +1

    Love you too but Sabrina apo kwa upele ukusema uliisha vipi ?

  • @wangarigladys8249
    @wangarigladys8249 4 роки тому

    Love you Sizz

  • @osssimohamed2483
    @osssimohamed2483 4 роки тому

    Ishakua ule marungi ya green alafu usioge .
    Ulirogwa na nani weweee

    • @SABRINAWANGECI
      @SABRINAWANGECI  4 роки тому +2

      😂😂😂😂😂 nyokoooo hebu niache ata ilikuwa sijaanza kusaga wallahi

    • @osssimohamed2483
      @osssimohamed2483 4 роки тому

      @@SABRINAWANGECI tutaa amini vipi