Rev.Nikodem mwahangila FT Christopher Mwahangila.Nizunguke (skiza 5969692 send to 811 +255756273049
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- REV.NIKODEM MWAHANGILA NAKUKARIBISHA
kutazama video ya wimbo huu mpya uliombwa na Pastor nikodem mwahangila akimshilikisha mdogo wake wa kufuatana Christopher mwahangila. utabalikiwa sana tena sana.................. +255756273049
...............................
This my prayers my God 😭😭😭😭😭😭😭😭😭 oh God sioni MTU mwingine nakuona Tu wewe mungu wangu . Hayupo kabisa 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mungu awe nawe sasa ktk jina la Yesu nakuombea
wimbo huu ni wangu mwaka 2022 hakika nami naomba nizungumze yesu
Zinguka mtoto yangu na jamii yangu mungu hii maombi yangu kwako
Ubalikiwe sana Mungu akutokee na akuzunguke
Hongereni Sana watoto wa mama benad , MUNGU amtunze pema Mama yenu ,malezi yake ndiyo siraha kuu ya utumishi wenu.
Hésédérébosh alelouhia alelouhia alelouhia alelouhia
Indeed bila wewe yesu mimi siwezi pekeangu
Nizunguke Mungu wangu pande zote.happy new month everybody
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 nice sounds
huu wimbo ni zaidi ya moto
Amen hallelujah bwana asifiwe
Nizunguke Mungu wangu na familia yetu yote.....zunguka dada angu Rose kwa huu wakati mgumu vile amepoteza mume wake na kumuachia watoto wachanga Mungu 😭😭🧎🧎🙏🙏
Barikiwa mtumishi was mungu
Mungu akubaliki sana Kwa ujumbe mzuli hakika aduwi zetu hawataki tuishi ira Mungu TU ndio anatosha
Any music with Chris in it never disappoints....keep going brother...nice collabo
Bila wewe Mimi siwezi kabisa nizunguka Baba 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
nizunguke baba
Hooo Aleluya nizunguke mungu wangu bila ww siwezi kitu
hakika nishunguke bwana maana hatuwezi bila yeye....nice song my brothers
Mungu hazidi kuwa bariki na hawalinde Siku zote maana yeye peke Jehovah Adonai, Alpha na Omega,mwanzo na Mwisho Hallelujah Amen 🙏
Inatia moyo sana bila yesu siwezi
Kwakweli MUNGU huinua wanyonge
Mwahangila group amen watu wa mungu
MTU na kakaye, Blessed family
Ni shunguke Mungu panda sote🙏😭🙏🙏
Kama namuona vile mama enu anajivuna Kwa kuwazaa,, mbarikiwe sanaaa 👏 much love kwako pastor mwahangila tumebarikiwa na uwepo mafinga HOFAN
Ubalikiwe sana tena sana
😭😭😭 mungu nizunguke mahali hapa Niko katika nchi yenye watu hawajui mungu #saudia
Such an uplifting song..nizunguke mungu wangu pande zote mungu wangu...Wimbo nzuri..from 🇰🇪
Ubalikiwe
Amina
Am really. Blessed by this song,yes Lord surround me. Amen Amen.This is my song this month of November.listening from Nrb
@@nikodemmwahangila3334the kitchen but she ❤❤..
Safii
Hongera mwanamaye 👏👏👏
Haaleluya barikiwe ni watumishi
Barikiwa baba kazi nzuriii sanaaaaa
Amazing
Pastor wimbo mzuri sana shutting ya viwango vya juu sanaaaaaaa hongera
Yesu akubariki sana mtumishi wa Mungu kazi zuli sana hongera sana nizunguke Mungu wangu ♥️♥️❤️❤️♥️♥️♥️
Amen nusunguke mimi na watoto na family yangu kwa ujumula,zunguka kasi ya mukono yangu na huduma yangu Yesu Christo hii ni ompi langu
Ubalikiwe sana
Barikiwa mtumishi wa Mungu.
Mungu wangu naomba Nizunguke....Mungu awabariki kwa ujumbe Mzuriii
Nabarikiwa na kazi hii nzuri mno, endelea kutuhudumia mtumishi wa mungu
Amina
E mungu wangu nizunguke pande zote Ili maadui wasinifikie bila ww mm siwezi🙏🙏🙏🙏. Nice song watumishi keep it up.
Ubalikiwesana sana mtumishi wa mungu nyimbo inabaliki sana
Mungu azunguke kwenye maisha yangu ujumbe mzuri mbarikiwe sana
Good song ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu nawapenda
Amina
Nizunguke Mungu wangu zunguka na ndoa yangu
Amen 🙏🙏 nizunguke mungu
Asante kwaujumbe hu munguyup atatuzungka Amina mungu awenanyi kilasiku 🙏🙏♥️♥️♥️♥️💐
Nizunguke na watoto wangu pande zone Mungu
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
Ni kweli kwamba hatuwezi kufanya kitu chochote bila MUNGU ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
kazi zuri ubarikiwe sana
Aaah this song God bless me you are my only friend mob love from Kenya 🇰🇪 🇰🇪 ❤
God bless yu many
Nizuguke Mungu wangu thank you Jesus 🙏🙏🙌 mbarikiwe sana watumishi
Amen amen nimebarikiwa, pamwisho,
nyimbo nzuri ila kunyoa kwa REV hapana
I love this song,mimi ni Sharon Jelagat kutoka Kenya lakini sai Niko Saudi Arabia
Ubalikiwe sana
Amen 🙏
hallelujah na mungu ashugulike kwa kila jambo nmebarikiwa ni hii wimbo nanyi mubarikiwe zaidi mungu atuzunguke pande zote hakika ameeen
Nizunguke eehhh Yesu, kwenye kazi zangu, familia yangu, na popote tunapoweka miguu iwe baraka.
Nyimbo ya kutia nguvu na tumaini.Mungu awabariki sana.Tuzunguke Mungu wetu sababu hatuwezi
Amina
yesu nizunguke nielekeapo mwaka 2023
Ameeen 🙏🙏🙏 nizunguke mungu wangu
Hi how you and your wife I'm your biggest fan. Of your music blesses my heart. God bless you and your family.❤
More grace my fellow ministers. Ever proud of you
SHALOM.
Nizunguke Mungu wangu pande zote pamoja na familia yangu kwa kila kitu changu
Ubalikiwe
Bila wewe Yesu siwez, nizunguke pande zote, hayupo wa kunisaidia, MUNGU awatunze watumishi wa MUNGU, powerful and anointed song barikiweni sana
Amen
Mungu ashukuliwe wimbo mzur sana
Oooh yes
What a powerful prayer!
Let me pray it again.
Congratulations.mmekua wa baraka kwangu my brothers.
May God continue lifting you higher
Hallelujah
Amen
Ni tamu sana kufata nyimbo hii
Man Christopher mwahangila God bless you sir you never fail you always deliver to bless our soul.💃💃💃💃this song is powerful...
Hii Nyimbo Inanibariki sanasana unanitia nguvu Mbarikiwe watumishi wa Mungu
Amen this song is really a blessing to me during this time I'm passing thru alot I know my God will make overcome
Amen,God is going to stand with you
Amen
Amen
Nimebarikiwa saaaaana na huu wimbo my brothers
Nice song yesu tuzunguke zote.amen🙏🙏
Song Nzur Mnoo Barikiweni sanah
Amina
Amina
Nizunguke Mungu wangu pande zote Mungu awabariki sana kz nzr sana
Ubalikiwe
Amen Baba
One of my best artist always unani bless na miziki yako nikiwa kenya mwanzo ile ya ndoto yangu Mungu azidi kukuinuwa❤❤
Nizunguke Mungu wangu
Ubalikiwe
Barikiwa Kaka 🔥💚🧡💛 Mungu abariki huduma yako
🔥🔥🔥Amen Amen 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ni wimbo unatukumbusha bila mungu atuwezi ata Mimi naomba mungu anisunguke peke yangu siwezi barikiwa nyote sana 💞💞💞🙏🙏🙏
Brothers ❤️
Mubarikiwe sana Kwa wimbo huu mtamu na wakubarik,wimbo wangu wa Kila wakati nizungukwe tuu mm, nawapenda sana 🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏 bila wewe siezi
Hakika Mungu nizunguke pande zote Mungu awatunze
Kakayangu nikodem .nikweli.bila,babayetu wambinguni .hatuwezi fika popote .nyimbo hio imenigusa ssna
hata mimi imenigusa mnoooo
Nimebarikiwa sana babaangu kweli nizunguke pandezote Bwana wangu
Ubalikiwe
Mungu awalinde na kuwatunza,kupitia ww nimejifunza mengi sana baba, karibu tn usokami
Hongera
Nikiangalia mbele na nyuma sioni mtu mwingine, nakuona wewe Mungu wangu. Nizunguke baba 🔥🔥🔥🔥🔥
MUNGU ATUKUZWE KWA KIPAJI CHENU!
Mngu akubaliki myumish I
Rev.nikodem your sound in that song actually was so wow🎉then finally Christopher at the end you made it real without those ladies behind there at balancing the vocals without those who were at the machines actually the song is very touching 🔥🔥🔥
Nice song🙏🙏🙏 barikiwa
Amina
Mungu atukuzwe kazi safi ndugu zangu God bless you abundantly 🙏
Ameeen ameeen
Christopher mutoto wa Mungu tunagupenda sana, yiko hapa mu Rwanda, Mungu akubariki sana
Ubalikiwe
Kali saana
Mm bwana nizuguke nafamilia yagu
Halleluja yesu ni Mungu mbarikiwe sana watumishi
Nizunguke Mungu is a hit song 🔥🔥🔥
Amen wimbo mzuri sana
Amina