ESMA PLATNUMZ:ZARI NA WEMA SEPETU WANAJUA KUJALI MWANAUME/NATAMANI WATOTO WOTE WA DIAMOND WANGEKUEPO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 193

  • @jancybimetv2856
    @jancybimetv2856 4 роки тому +94

    Niricho gunduwa zari wanamuogopa sababu ana pesa zake na weye kama umeona hivyo gonga like tujuane

  • @elizabethmajaliwa5189
    @elizabethmajaliwa5189 4 роки тому +1

    Nyie mnajipendekeza kwa zari Sababu Ana pesa ,mapenzi nikupendana bwana sio mtu ujipendekeze wee ,big up tanasha hata Kama huna hela jithamini ,acha Bibi ajipendekeze kaisha mwache namikorogo yake ,songa mbele na mwanao

  • @emilymideva8783
    @emilymideva8783 4 роки тому +4

    Hebu twambea ukweli Tanasha hakua anapika na nilisikia uncle akimusifie sana anakula hadi ana beba chakula kingine #254🇰🇪🇰🇪

    • @mishackjessy6870
      @mishackjessy6870 4 роки тому +2

      emily kumbe unakumbuka hiyo interview wasafi.. achana na Yuda they thought tanasha atakubali wamcontrol . no way muitaliano mujaluo hawezi

    • @loicekahoro1916
      @loicekahoro1916 4 роки тому +1

      Yeah she cooks but awa wanaka kucontrol mtu ka mtoto 🇰🇪

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 4 роки тому +2

    Yaani nimegumduwa esma anamaneno ya hekma insha Allah akujujalie

  • @joymbirithi1832
    @joymbirithi1832 4 роки тому +19

    Diamond ata umpikie mbuzi he will cheat on you√√ata ukae style ya ndania, kitunguu, ,ama lizard kwa kitanda he will still cheat on you√√√√and i wonder why some ladies keep chasing this man🙄🙄😏

  • @kulthumyussuph2532
    @kulthumyussuph2532 4 роки тому

    Uhakika dada umeongea pwent sahihi nakupenda saana😚😚

  • @ifrahali8707
    @ifrahali8707 4 роки тому +9

    Esma kweli kabisa..

  • @uwezokiza9468
    @uwezokiza9468 4 роки тому +9

    Zari kiboko ❤️❤️

  • @sylviah9666
    @sylviah9666 4 роки тому +4

    Wewe Esma....msizwa kaesma tu juzi kazi yko umbea wala hujui kumhudumia mwanaume...huna adabu

  • @angelbwija9547
    @angelbwija9547 4 роки тому +4

    Esma ni mama kijacho,pole sana na mimba 🤰🤰🤰🤰🤰🤰🤰🤰

    • @lizyjacob9633
      @lizyjacob9633 4 роки тому +1

      Itakua kweli

    • @josephjoni1612
      @josephjoni1612 4 роки тому

      @@lizyjacob9633 my t😎😊

    • @josephjoni1612
      @josephjoni1612 4 роки тому +1

      Angelbwija 2dagsago🤰👩‍🔬🤰👩‍🔬🤰👩‍🔬🤰💘🌼

    • @angelbwija9547
      @angelbwija9547 4 роки тому

      @@lizyjacob9633 ni kweli iko mimba

  • @pamelaclaud4520
    @pamelaclaud4520 4 роки тому +1

    Wasafi yangu 🔥🔥🔥❤️

  • @aishahamis7983
    @aishahamis7983 4 роки тому +2

    Zari na diamond

  • @tatukhamis4795
    @tatukhamis4795 4 роки тому +5

    What goes goes around comes back around....imekula kwako iyo Yuda

  • @leenleeen9666
    @leenleeen9666 4 роки тому +7

    Yuda Kam yuda ❤️❤️❤️ kabisa

  • @bettykadzo2007
    @bettykadzo2007 4 роки тому +6

    Yake yamemshinda ywachagulia mke kakake mnafki mkubwa huyu mungu akulaani naroho yako mbaya

  • @rahmakishiwa1528
    @rahmakishiwa1528 4 роки тому +12

    ESMA JENGA NDOA YAKO AISEE ACHANA NA KAKAYAKO NDOA YAKO INAVUNJIKA HUKO UPO BUSY NA KAKAYAKO😀😀😀

    • @leeldavid3712
      @leeldavid3712 4 роки тому +2

      Very right sister,this Esma must change or else she'll stay single the rest of her life😛

    • @msolopaganz4446
      @msolopaganz4446 4 роки тому +3

      Uyu anapenda ela za kakaake atafanya chini juu aolewe mara kumi awe anatunzwa tu na kakaake the main mission was to get alot of money though michango ya harusi kutoka kwa mondi apo utaskia anaolewa tena

    • @leeldavid3712
      @leeldavid3712 4 роки тому +1

      Yaani yuakere uyo mdada wacha tu!🙃

    • @rahabwanja7833
      @rahabwanja7833 4 роки тому

      🤣🤣🤣🤣Haki ya Mungu niokotoee wapi

    • @Breshie
      @Breshie 4 роки тому

      @@msolopaganz4446 p

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 4 роки тому +7

    Esma waumwa eeeh....!!!!!!! 🤰💃💃💃💃

  • @everlineontita6
    @everlineontita6 4 роки тому +7

    Wooow Esma

  • @idaroselle4755
    @idaroselle4755 4 роки тому +6

    Kweli Esma wema ni kiboko yabo una sema muzuri

    • @bidiiyako6803
      @bidiiyako6803 4 роки тому +4

      Kanifurahisha kwa kweli kumkubali Wema Mambo mazuri hayo...

  • @halimanasihu1200
    @halimanasihu1200 4 роки тому +1

    Esmaake❤❤

  • @anithchales5008
    @anithchales5008 4 роки тому +1

    Zari mama laooooo

  • @officialjacob4084
    @officialjacob4084 4 роки тому +8

    Wasafi classic baby

  • @rahmarajab3688
    @rahmarajab3688 4 роки тому +2

    Kwahiyo,umepewa kazi ya kuwachunguza wake wa kakako,
    Wewe Ni binge la Shambenga,

  • @josphinedavid3239
    @josphinedavid3239 4 роки тому +8

    Lakini huyu esma anajua kutunza mume ama nikuingilia maisha ya watu wengine.

    • @jamilanasir6833
      @jamilanasir6833 4 роки тому

      Kaachika tayari

    • @blandinekwt1001
      @blandinekwt1001 4 роки тому +1

      Hajuwi angelijua tunza mme angetulia kwa ndoa yake

    • @rahmalaa5619
      @rahmalaa5619 4 роки тому

      Nyie mno comment ujinga mnajua uko kutunza mume......hhhhhh wabongo bana......!

  • @florakarlo7352
    @florakarlo7352 4 роки тому +4

    Esma mnafki jamani, anyway mawifi ni wabaya sana tena wanafki sana niwachache sana wasio wanafki ktk maisha

  • @officialjacob4084
    @officialjacob4084 4 роки тому +6

    Tishaaaaaaaaa

  • @sifahamisi5872
    @sifahamisi5872 4 роки тому +2

    Dada aca hiyo tabiya kumbuka wewe una watoto wakike na wewe pia jifikiriye hiyi ni duniya Esma .chunga kesho usije kujuta . Hiyo no comment inaongeya kitu

  • @roseatieno6691
    @roseatieno6691 4 роки тому +5

    Ubaya sasa Daimond mdogo Zari mzeee kwaivo ata akitembeya nae ni kama shangazi tu , haki aibu kubwa sanaa hadi watu wanawacheka huku wanawadanganya . Tena ni mke wa marehemu Ivan na huko pia wamepiga ma picha na watoto wao huku yeye na Daimond na watoto, aibu tuu . Daimond ni star hafai kuwa na mjane tena mzee .

  • @rahmarajab3688
    @rahmarajab3688 4 роки тому +1

    Watutangazia kuwa uko vizuri,
    Ili tukutafutie bwana au,
    Acha kuropoka weweee!!!!!
    Kama umevuta Bangi bhana,
    Muongo mkubwa wewe,
    Hiyo tabia mbaya umeirithi toka kwa mama yako,,,
    Ukoo wenu haufai naona Ni mlango wa nane,
    Kaka yako anadhalilisha watt wa like,wewe na mamako mwawatesa mahawara wa Naseeb,
    Na pia kakako Hana adabu hata za kwendea chooni

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 4 роки тому +2

    Huyu nae Yuda Esma tumemchoka .Ndoa yake imemshinda, kwa tabia zake mbaya ndo maana Mswiza amemtimua . Mtu mzima Mpuuzi mkubwa. Tumekuchoka, hii familia nayo Mtihani. Esma jenga familia yako ya Dimond haikuhusu.

  • @bintialfan2143
    @bintialfan2143 4 роки тому +6

    Afadhali amekuja zari nyumba nzima ya diamond tumeiona

  • @obirinaom9611
    @obirinaom9611 4 роки тому +2

    Lkn si kwà ubaya,mwanamke anafaa kuwa na boma ngapi??mfano zari kaolewa Uganda tena ataolewa Tanzania wah!!!!🤔🤔🤔🤔

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 4 роки тому +7

    WEWE HIMJALI MUMEO NDIO MAANA UNACHEZEA TALAKA

  • @fetty1571
    @fetty1571 4 роки тому

    Kwa matatizo ya michirizi, Makovu,nyama uzembe, kuongeza shape, hips,nguvu za kiume, kuwa softi, dawa ya mvuto,n.k
    Karibu ofisini, SMS/whatsap 0693_330284

  • @grolyqueen5833
    @grolyqueen5833 4 роки тому +5

    Ndo mana zari aliwachamba heshima imewakaa mmemuonea hamisa kisa mpole nyooo domo chafu kaa sio mwanamke

    • @dinahandi7027
      @dinahandi7027 4 роки тому

      Jameni Hamisa Mungu atamjalia wa Dangote's wanamuongelea vibaya hata hawampendi Dylan but Mungu yupo na anayaona yote atampanguza machozi na wanao madharau siku moja wamsalamia kwa heshima

  • @ramlabaruani4202
    @ramlabaruani4202 4 роки тому +3

    Pole mama kijacho utapona mimba zinasumbua jaman nahisi tu Wanazengo😂😂🙉

  • @nancykarimimiriti7624
    @nancykarimimiriti7624 4 роки тому +5

    Esma Jinga kabisaa dio maanake Zari kakuita YUDA.Juzi tu ulikuwa ukimsifu Tanasha vile yeye ni mtoto wa kizungu mambo yake taratibu na privite sio kama Zari eti lazma mjue kile kitu😳now uko apa kosokoso🙄😝.Olewa na kaka ako basi nkt

  • @mariahmariah6648
    @mariahmariah6648 4 роки тому +5

    Ukiolewa na diamond unaolewa na familia nzima,ona uyu kapewa talaka juzi venye anaingilia mambo ya kakake??

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 4 роки тому

    iyo nikweli Yuda kakumbali,mulitamani Tanasha amupe iyo furaha Diamond ila akawakomowa na kuwaonesha yeye alikuja kushuna pesa na kweda.apo Mungu anamipango yake kwa mwanadamu

  • @anizaogosi5870
    @anizaogosi5870 4 роки тому +16

    Ndio maana kwake kamshinda bwana kamtoroka ..yuko South Africa yuaenjoy life , wewe fititina na uyuda ndani ya wifi zako 🚮🙄, esma achana na life ya kakako!

    • @leeldavid3712
      @leeldavid3712 4 роки тому +2

      👏🏻👏🏻🙌🙌

    • @soniimedia2440
      @soniimedia2440 4 роки тому

      ua-cam.com/video/1kq_o3q95Yw/v-deo.html

    • @mercelinesebeya2325
      @mercelinesebeya2325 4 роки тому

      Exactly

    • @leeldavid3712
      @leeldavid3712 4 роки тому +1

      @Bella Bella 🤣🤣 na ataumia sana maana yake ni ya behind the scene,,yanamchokonoa pekee yake😄😄,ya watu anachanganua kana kwamba kalipwa,heheee apunguze ushambenga na ubonzo asije kufa siku si zake😏😏

  • @fatmasaid7093
    @fatmasaid7093 4 роки тому

    Point sister 😍😍😍🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤗

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 4 роки тому +4

    Katoto kanacheza chez a tu boni mwa esma khaaaaaa 🤣🤣🤣😂😂😂

    • @hanifaally4694
      @hanifaally4694 4 роки тому +2

      😂😂😂😂😂

    • @eliasgunza1252
      @eliasgunza1252 4 роки тому +1

      Kwanza kwann diamond kilamwanamke ni mbaya kwake uyu ana problem

  • @kelvintajiri8982
    @kelvintajiri8982 4 роки тому +11

    Huyo Esma yamemshinda ya kwake awe mwalimu kwa wengine...???
    Jiulize kwa nini wanaume wanakukimbia mama ....aache attitude mwanamke sio mapishi tu heshima kwa mumeo jmn muhimu

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 4 роки тому +8

    Yako esma yamekushinda huuuko 😂🤣🤣🤣😂 tuliya jenga yakoooooo

  • @dianaii1066
    @dianaii1066 4 роки тому +2

    Huyo esmas ama esma yakwake yamemshinda😒sasa nguvu ya kuongea katoa wapi😌

  • @hanifaally4694
    @hanifaally4694 4 роки тому +1

    Esma haki we htr duh 😂😂😂😂😂

  • @junemuchiri609
    @junemuchiri609 4 роки тому

    Mbona nyinyi kama familia msimwambie dai alete watoto wote pamoja

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 4 роки тому +9

    Esma umesikiya mume wako kasema yeye hakuolewaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @husnamfuko6136
    @husnamfuko6136 4 роки тому +3

    Jamani zar abaki

  • @ckuugudeh6821
    @ckuugudeh6821 4 роки тому +3

    Mmh huku kwenye mitandao kuna madaktar 🤣🤣kila watu washapima esma ana mimba 😂😂😂

  • @sifahamisi5872
    @sifahamisi5872 4 роки тому

    Ivi Esma unafikiri kaka yako asingekuwa na pesa huyo Zari angerudi kwa huyo kaka yako ,hata kama zari anapesa ,wanasema pesa inaelekeya kule nyingine ipo..ukweli hamuoni mbali kweli chungeni msije kuliya

  • @themagadir
    @themagadir 4 роки тому +4

    The way to a man's heart is through his stomach. (maneno ya wazungu sio yangu)

  • @haithamhabiba4746
    @haithamhabiba4746 4 роки тому

    Hata mwanaume wakumjali unamuona sasa unataka kakayako ajaliwe wakati yy mwenyewe bwege tu

  • @annnyoks7008
    @annnyoks7008 4 роки тому +13

    Mgonjwa kaanza kinyonge ila kwa kumalizia daaah!!! Msariti mkubwa

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 4 роки тому +1

    NITAFURAHI ZARI AKIWATIMUA ESMA NA MAMA DANGOTE

  • @lusianasanga3010
    @lusianasanga3010 4 роки тому +1

    Mmmmmh yuda

  • @faithakoth7530
    @faithakoth7530 4 роки тому +5

    Esma wewe umeshindwa kutunza mumeo anatunzwa insta huna la kuongea hapa

  • @nissispuppies5990
    @nissispuppies5990 4 роки тому +11

    Tanzanian interviews are on another level 😂

  • @mustaphazungu3022
    @mustaphazungu3022 4 роки тому

    jamani nampenda Esma bureeeee

  • @priyahtz7255
    @priyahtz7255 4 роки тому +1

  • @maryiammohammed4254
    @maryiammohammed4254 4 роки тому

    Simba family

  • @LIZZIENABISWA
    @LIZZIENABISWA 4 роки тому

    Wakucheat atacheat tu...

  • @mariamcevik2490
    @mariamcevik2490 4 роки тому +1

    Mswiza kasema hajaolewa papana

  • @estherandati2362
    @estherandati2362 4 роки тому +1

    Bendera hufwata upepo ni esma sasa

  • @12322879
    @12322879 4 роки тому

    Yeye anaendelea kuolewa tu.

  • @vanessajames2192
    @vanessajames2192 4 роки тому

    Esma tunajua urafiki na camera huna mpaka miezi 9

  • @habibasallah8139
    @habibasallah8139 4 роки тому

    Nihatari kwakweli

  • @yusrasalmin9563
    @yusrasalmin9563 4 роки тому +4

    Uzuri mnahojiwa kwa tv yenu na watu wanavyopenda umbea bas mnaingiza pesa 😀😀😀

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 4 роки тому +4

    Kwaiyo mwanamme ni TUMBO TU?

    • @marypaul3292
      @marypaul3292 4 роки тому +1

      Watu wanaishi local sana

    • @marypaul3292
      @marypaul3292 4 роки тому +1

      Amesahau hata hao wapilkaji wameachwa Tena kwa njia ya kudhalilishana xana .mi Nina mwaka wa 12 kwenye ndoa na kazi ya kupika siipend kabisa napika Mara moja ndani ya miezi na tunaish vzr hakuna hata dalili ya ugomvi

    • @azzamahamdu7039
      @azzamahamdu7039 4 роки тому

      @@marypaul3292 umeonaaaeee
      Mapenzi ni UPENDO.

  • @mymunamymuna4807
    @mymunamymuna4807 4 роки тому +1

    Laana imekupata ndio maana ukiolewa unaachwa

  • @ambrosiamlinga8402
    @ambrosiamlinga8402 4 роки тому +4

    Mfikirie esma sasa hivi anaumia kwa upweke anataka kulala na mume, mume yupo south anakata kiuno kwa mke mwingine yeye ataishia hasira tuu, ndio maana nasema unyanyasaji kimwili ni mwingi kwenye uislam.
    Women say no to uke wenza, sio mzuri utaumia kisaikologia na pia ni uchafu kwani mara nyingine mwanamme hanawi anapo kuja kwako kukulala

    • @ashameki7250
      @ashameki7250 4 роки тому +2

      Uyo alokua hanw hajuw maan ya ndoa saw, halafu uwislam sio ivo unavouzania uko kuzin au kua n wake wa ndoa vpbora coz hakun mwamme anerizik n mwanmke mmoj sas bora uwow kuliko kuzin kuepush zina na maraz

    • @nadiailiyasa1234
      @nadiailiyasa1234 4 роки тому

      We vipi uislam umekufany nini sasa bora mtu aziin au aowe

    • @ambrosiamlinga8402
      @ambrosiamlinga8402 4 роки тому

      @@nadiailiyasa1234
      Sasa kuolewa gani huko kwa kushare mume?

    • @nadiailiyasa1234
      @nadiailiyasa1234 4 роки тому

      @@ambrosiamlinga8402 sas ulitaka kushea wanyama

    • @luuabbdalla1631
      @luuabbdalla1631 4 роки тому

      Hana akili wabongo washazoea kuzini hata huyo diamond watoto wote wa nje sjui yupi atakuwa mrithi halali

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 4 роки тому +3

    Umeshindwa na wawili, ukaenda kuwa wa tatu, sasa unaongea nini?

  • @mwadimeevence5178
    @mwadimeevence5178 4 роки тому +5

    Huyuuuu anaumwa ama anaogopa kukutana na zari...unafiki ni kitu kibaya jamani

    • @pinkygrey3459
      @pinkygrey3459 4 роки тому +1

      😂🤣🤣🤣 umenena

    • @eunicebarisa523
      @eunicebarisa523 4 роки тому +1

      Tanasha alikua kiboko ya wa Tanzania mtoto mpole mwenyenye huruma mkampotezea haya jisikizeni kupika sio mampenzi mapenzi nikupendana hata mkalala njaa kama mapenzi yako hakuna ajuaye na kama alikua hajui kupika na kweli mumempenda mbone musimufundishe huo niuongo mtupu hakukua na chochote hapo bt saa God halali jibu liko

    • @marypaul3292
      @marypaul3292 4 роки тому

      @@eunicebarisa523 kweli

  • @komb19841
    @komb19841 4 роки тому +2

    je unajua simu yako ni ajira yako itakuwezesha kuingiza kipato ukiwachumbani wewe ukitoka nje nikutumia ua-cam.com/video/Hz0pwQ-jHXo/v-deo.html
    jiunge sasa

  • @nyarkebs1569
    @nyarkebs1569 4 роки тому

    Kuweka mafuta chapati ndio kupika mwambie

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 4 роки тому

    haaaaaaaaaaa tusasikiya mehi

  • @gresitimoth4142
    @gresitimoth4142 4 роки тому

    W

  • @CarosKitchen
    @CarosKitchen 4 роки тому

    Hatari🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sarahmkonosi7836
    @sarahmkonosi7836 4 роки тому +2

    umeolewa jama bibi wa ushirini what nonsense are you telling people?

  • @roseatieno6691
    @roseatieno6691 4 роки тому

    Mujuwe ata Uganda yuko na boma lake , sasa mke mmoja atakuwa miji ngapi ?

  • @rahmarajab3688
    @rahmarajab3688 4 роки тому +1

    Wanawake kuweni makini na waume wa kuwaoa,
    Hebu mskizeni huyu mdada ansvyoongea,,utafikiri yy hahusiki,
    Je,wewe nyumbani kwako wafanyaje!?
    Wewe imekuwa wachunguza wake za Kaka zako,
    Hata Kama wewe uko vizuri kwako,
    Ya kakio hayakuhusu,
    Familia yenu nyie,
    Mbona mko Kama Mbuzi wa Albadiriii!!!!!

  • @halimasalim5477
    @halimasalim5477 4 роки тому

    😍😍😍🤣🤣🤣👌🏾👌🏾👌🏾👍🏾👍🏾👍🏾

  • @hadijaangura6572
    @hadijaangura6572 4 роки тому

    Mumeo amekushinda sasa wawasema Wifi zako

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana4612 4 роки тому

    Tanasha yeye alikuwa ajali😂😂😂

    • @pheobemaina8343
      @pheobemaina8343 4 роки тому +2

      Studio from morning to night

    • @blessedemily3652
      @blessedemily3652 4 роки тому +3

      @@pheobemaina8343 she was a girlfriend not a wife

    • @shanieTemima
      @shanieTemima 4 роки тому +1

      @@blessedemily3652 Good answer

    • @marypaul3292
      @marypaul3292 4 роки тому +2

      Kwani diamond alikua anamjali tanasha

  • @mariacassian7859
    @mariacassian7859 4 роки тому

    Wema akeeee

  • @reginapaschal544
    @reginapaschal544 4 роки тому

    Esma umeogea vema

  • @fatimamowa8166
    @fatimamowa8166 4 роки тому

    Sasa mbona hamumulizi anaumwa na nini jamani?

  • @sofiazuberi6769
    @sofiazuberi6769 4 роки тому

    Hakuna mwanaume asie cheat kwakweli

  • @joiceqtr4215
    @joiceqtr4215 4 роки тому +4

    Pole mwaya yako yamekushinda tuliza domo mwehu ww

    • @zou7470
      @zou7470 4 роки тому

      🤣🤣🤣🤣

  • @dinahandi7027
    @dinahandi7027 4 роки тому +1

    Nilikua nasubiria kusikia kutoka kwa huyu dada Yuda

  • @bijouxnicky5060
    @bijouxnicky5060 4 роки тому

    But si wewe si ulisema tanacha

  • @ablahasa1233
    @ablahasa1233 4 роки тому

    Kweli buana hii ipo kwa kila mtu atamimi ishanitokea lakini badae yakaisha

  • @rosemarykatogomusanga1619
    @rosemarykatogomusanga1619 4 роки тому

    Esma poa

  • @elliottrahema
    @elliottrahema 4 роки тому +4

    Hypocrites

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 4 роки тому +5

    Dongo la tanasha hilo

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 4 роки тому +1

    Mimba sio ugonjwa

  • @kissmarry8649
    @kissmarry8649 4 роки тому +4

    Mmh asma yuda kweli wewe hivi ht aibu huoni au? Umeulizwa ujio wa watoto wengine unataka waje wote eeeh?

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 4 роки тому

    Mwanaume wako au mume wako?

  • @kiki16805
    @kiki16805 4 роки тому

    Judas ni judas tuu