Nimekuelewa sana Je, sisi tunao fanya kazi za Video Edting tutapataje mashine nzur maana tukiagiza wana tuletea ambazo hazina vigezo tulivyo agiza tuzipateje kaka watu gani wa uhakika.
Natamani utengeneze video inayoelezea hizo Online web kubwa kama Amazon /ebay unazotumia kununua bidhaa zako na uaminifu na kama unaweza recommend Kwa wengine
Computer yangu moja ukiiwasha leo kumaliza kuwaka ni kesho au wakati mwingine haiwaki kabisa ina blink tu tatizo linaweza kuwa ni nini? Na je linatengenezeka?
Ivi broo rich ram 16GB inarun smooth kabisa kwny music production bila ku consolidate chochote kwny DAW yen ku ran multiple plugins bila kutumia wav inaweza ???
Hongera sana kak, kazi mzuri nataman tuwe na baraza la madesigner, unatuwakilisha vyema kaka kwny hii industry mungu akubarik san
Asante sana
Nimekuelewa sana Je, sisi tunao fanya kazi za Video Edting tutapataje mashine nzur maana tukiagiza wana tuletea ambazo hazina vigezo tulivyo agiza tuzipateje kaka watu gani wa uhakika.
Ishu hapo ni kuhakikisha unanunua kitu chenye specifications nilizozitaja na kuzi orodhesha
Powa
Nenda republic of gamers utapata unachokitaka mkuu sema ujipange kuhusu gharama wata kutengenezea customized computer namna unavyotaka
Kaka unajua sana
nimejifunza kitu kimoja kwako😂ukitaka kitu kizuri ni kukubali gharama👏👏👏👏👏👏👏👏wengi hukwepa gharama wakiwa wanataka vitu vizuri
Hapo ndiyo wanapokosea
@@Richstartz daaah unnani inspire 👏
Shukrani sana
Upo vzr sana bro, mm binafsi nakupenda❤
Ongela kaka nimekuelewa kunielewesha
Pamoja sana.❤
Hongera sana kaka Richstar
Uko vizuri ndugu yangu
Natamani Sana utoe tutorial ya namna unavyotengeneza hiyo desktop.
Natamani utengeneze video inayoelezea hizo Online web kubwa kama Amazon /ebay unazotumia kununua bidhaa zako na uaminifu na kama unaweza recommend Kwa wengine
Nice rich
Kwani nilikuwa sielewi kabisa ubalikiwe sana
Kazi nzuri kk iyo desktop paka imekamilika imekua sh ngapi
11.7m
@@Richstartz 👏👏👏👏👏🙌🙌🙌🙌
Good presentation
Thank you
Safi
Computer yangu moja ukiiwasha leo kumaliza kuwaka ni kesho au wakati mwingine haiwaki kabisa ina blink tu tatizo linaweza kuwa ni nini? Na je linatengenezeka?
Kompyuta yang imeniandikia FIHSB is compressed press Ctlr Alt Del to restart😮
Kaka nikihitaji hiyo computer n bei gan mkuu
NIMEKUPATA VILIVYOOO🙌🙌🙌🙌
Shukrani
@@Richstartz ila sisi wa music production umetuweka mbaliii🥴🥴
Bas kama upobize Naomba Kaz niwenakusaidia hapo!!!!🧐🧐🧐🧐
Sijawasahau
naomba unisaidie ni namna gan nitaongeza rendering speeed kwenye premier pro pc yangg ram 8 ore 5
Kaka unaweza ukantengenezea kama hiyo yako
Lkn pia broo ni e-commerce gani kubwa online unayoagizia ivyo vifaa ambayo haina scammers mbali na amazon
Ebay
Hii desktop kibongobongo ni kufuru
Ila umenifundisha kupenda vitu vizuri Kaka
Shukrani
Mmmmh nimeipenda lkn mimi naanza kujifunza nina desktop ambayo ni dual naweza kujifunza Kwa kupitia hiyo?
Yes Anza na Ulichonacho
Kk sasa mbona mashine yangu inapiga kelele masikion saut kwa umbal sana
Nimejifunza kitu hapa. Namna ya ku price..sio nawekeza kwenye vifaa kama kaka rich 11m.halafu mteja anasema ni elfu 30.nitengenezee logo😂😂😂
Ivi broo rich ram 16GB inarun smooth kabisa kwny music production bila ku consolidate chochote kwny DAW yen ku ran multiple plugins bila kutumia wav inaweza ???
Yes inaweza but ina depend na factor nyingine
So tunaweza kununua, pc ya UKUBWA wowote ule, then ukaupgrade?
Ndiyo
Nisaidie jinsi ya kutengeneza kama yako Bro
Hiyo laptop inapatkana kwa bei Gani kaka
GPU napata wapi Kama iyo ??
Ebay.com
Amazon.com
Unanunua wap rom na proceser
Nicee
Thanks
Rich naomba msaada namna ya kuagiza kuptia alibaba
Nina Dell Latitude E7490 kitu gani kiongezewe ili kuiongezew speed mkuu
Specifications zake zikoje
@@Richstartz i7 8th generation SSD 500gb ROM na RAM 16GB
Bro mbona hiyi youtube yako huwa hairushi matangazo
Dah bro natamani kufanya unachokifanya utaki ata kijana wa ziada apo
Ikikupendeza katika video ijayo share links ya hivyo vifaa kutoka sites uliponunulia
Sawa kijana
Bado unatafuta kibonde wa fifa au ushampata 😅
😂😂😂 ngoja nije tucheze football but nikidhinda unaniuzia hii computer desktop
Mim nauliza ili upate pesa kwenye ancaunt yangu ya youtube unafanyaje
Lazima channel yako iwe monetized
Ningetamani nijue bei ya kila kimoja ili nijipange ili nijue naanza na nin? hahaha
Hio disk top duuuuh
Hujazungumzia Monitor unayotumia kiongoz
See you in Next Video
@@Richstartz Sawaa🤝🏼
Duhh!!! Laptop kama yako nikitaka kuipata nitaipata wapi?na natakiwa niwe na kiasi gani?
Mother board ni Aina gani?
MSI Motherboard
Nakuelewa sana rich but ka.a hutojali naomba number zako
Shukrani
bro unatunyanyasa😂
Kivipi bro
Laptop beigan!!!?
3m
Kaka nauliza vp uki upload vidio yenye water mark maybe y azam lakini ukaweka uchambuzi wako kuna tatizo lolote
Ndiyo