Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Sasa leo kashindwa kutapeli eneo, Washirika mnamuelewaje huyo askofu😮😮😮
Mimechek qnq phd ya bisiness admistraseni 😂😂😂😂😂
Duuuuu
Jamani huu udaktari mnauchafua sana acheni ujinga PhD? Ya chuo Fulani?wapi huko???? Mmmmm acheni bana
Shule flani ivi isiyofahamika chuo flani ivi kumbe within miezi mitatu unapata udaktari!! Sema nini me napita tuuu,, shule flaniiiii
Mtangazaji ungeuliza pia asili ya hili kanisa maana hawa ni wapigaji tu wachungaji wa kuteuana hawa!!
Ichunguzwe hii taasisi wasichafue Lutheran
Mh mmmmmmm innallilah mtihani kwa kweli.napita tu🤸🤸
Acha tuu pesa pesa kkkt wakiona mtu anapesa wanamzunguka Kama kinguni na si chawa.....
Hongera baba
Rafiki yangu Mollel muda mrefu sana hatujaonana hongera kua askofu ila sijui undani but its good
Hongera baba mkwe
PHD za Mitaani. Mbona Bakhresa asipewe u dr na anajali? Kila siku huyu baba mahakani
Mwizi, mdhulumaji wa vitu vya waliokufa😂
Duuh
Yaan mabepari wanatutenganisha na kutumaliza na dini, imagine Ili kukufanya uwe zuzu kabisa wanakupa PhD hata kama huwezi kusoma,
Mmmmmhhh
Chuo fulani inamaanisha nini taja jina la chuo ulichosomea acha kufunikafunika mambo
Shule flan shule flan ndo nini?
Kkkt mhmmm mwenye pesa uwongozi wa kanisa unakuwa machawa ila hii hii wacha nirudy kanan ....
Sorry siyo KKKT, ni Kanisa lingine (Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki/ KEKAM)
Shetani akizeeka anakuwa malaika
Uyo dingi kakosa ubunge akadata
PhD za miezi miwili na mitatu shule flan hv😂😂
Ni tapeli....
🤣🤣🤣🤣🤣
Ivii alikuwa mchungaji?Sasa Hy askofu mmmmmmm
Yaani hata sielewi huyu mtu alikuwa mwanasiasa leo askofu au siku hizi uaskofu nao umekuwa kama ukuu wa wilaya unapewa mtu yeyote.
Mmmmm mmmmm napita jaman
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa leo kashindwa kutapeli eneo,
Washirika mnamuelewaje huyo askofu😮😮😮
Mimechek qnq phd ya bisiness admistraseni 😂😂😂😂😂
Duuuuu
Jamani huu udaktari mnauchafua sana acheni ujinga PhD? Ya chuo Fulani?wapi huko???? Mmmmm acheni bana
Shule flani ivi isiyofahamika chuo flani ivi kumbe within miezi mitatu unapata udaktari!! Sema nini me napita tuuu,, shule flaniiiii
Mtangazaji ungeuliza pia asili ya hili kanisa maana hawa ni wapigaji tu wachungaji wa kuteuana hawa!!
Ichunguzwe hii taasisi wasichafue Lutheran
Mh mmmmmmm innallilah mtihani kwa kweli.napita tu🤸🤸
Acha tuu pesa pesa kkkt wakiona mtu anapesa wanamzunguka Kama kinguni na si chawa.....
Hongera baba
Rafiki yangu Mollel muda mrefu sana hatujaonana hongera kua askofu ila sijui undani but its good
Hongera baba mkwe
PHD za Mitaani. Mbona Bakhresa asipewe u dr na anajali? Kila siku huyu baba mahakani
Mwizi, mdhulumaji wa vitu vya waliokufa😂
Duuh
Yaan mabepari wanatutenganisha na kutumaliza na dini, imagine Ili kukufanya uwe zuzu kabisa wanakupa PhD hata kama huwezi kusoma,
Mmmmmhhh
Chuo fulani inamaanisha nini taja jina la chuo ulichosomea acha kufunikafunika mambo
Shule flan shule flan ndo nini?
Kkkt mhmmm mwenye pesa uwongozi wa kanisa unakuwa machawa ila hii hii wacha nirudy kanan ....
Sorry siyo KKKT, ni Kanisa lingine (Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki/ KEKAM)
Shetani akizeeka anakuwa malaika
Uyo dingi kakosa ubunge akadata
PhD za miezi miwili na mitatu shule flan hv😂😂
Ni tapeli....
🤣🤣🤣🤣🤣
Ivii alikuwa mchungaji?Sasa Hy askofu mmmmmmm
Yaani hata sielewi huyu mtu alikuwa mwanasiasa leo askofu au siku hizi uaskofu nao umekuwa kama ukuu wa wilaya unapewa mtu yeyote.
Mmmmm mmmmm napita jaman
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂