EXCLUSIVE: MONABAN MAARUFU WA ARUSHA APATA UASKOFU, AJIJENGEA NYUMBA YAKE "MILLION 2"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 31

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 9 місяців тому +1

    Sasa leo kashindwa kutapeli eneo,
    Washirika mnamuelewaje huyo askofu😮😮😮

  • @everveggiefarm9210
    @everveggiefarm9210 Рік тому +2

    Mimechek qnq phd ya bisiness admistraseni 😂😂😂😂😂

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 9 місяців тому

    Duuuuu

  • @sistymbombo1616
    @sistymbombo1616 Рік тому +2

    Jamani huu udaktari mnauchafua sana acheni ujinga PhD? Ya chuo Fulani?wapi huko???? Mmmmm acheni bana

  • @Ezekiel-rh2ni
    @Ezekiel-rh2ni Рік тому +2

    Shule flani ivi isiyofahamika chuo flani ivi kumbe within miezi mitatu unapata udaktari!! Sema nini me napita tuuu,, shule flaniiiii

  • @Ezekiel-rh2ni
    @Ezekiel-rh2ni Рік тому +2

    Mtangazaji ungeuliza pia asili ya hili kanisa maana hawa ni wapigaji tu wachungaji wa kuteuana hawa!!

  • @mgayamgaya
    @mgayamgaya Рік тому +2

    Ichunguzwe hii taasisi wasichafue Lutheran

  • @mohamedmahmudali9346
    @mohamedmahmudali9346 Рік тому

    Mh mmmmmmm innallilah mtihani kwa kweli.napita tu🤸🤸

    • @chesterbrand6723
      @chesterbrand6723 Рік тому

      Acha tuu pesa pesa kkkt wakiona mtu anapesa wanamzunguka Kama kinguni na si chawa.....

  • @tumainlession411
    @tumainlession411 Рік тому

    Hongera baba

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 Рік тому

    Rafiki yangu Mollel muda mrefu sana hatujaonana hongera kua askofu ila sijui undani but its good

  • @mikeotada1690
    @mikeotada1690 Рік тому

    Hongera baba mkwe

  • @totonata5384
    @totonata5384 9 місяців тому

    PHD za Mitaani. Mbona Bakhresa asipewe u dr na anajali? Kila siku huyu baba mahakani

  • @safarimasika3944
    @safarimasika3944 Рік тому

    Mwizi, mdhulumaji wa vitu vya waliokufa😂

  • @chedielimrutu6955
    @chedielimrutu6955 Рік тому

    Duuh

  • @sadikielinaja7423
    @sadikielinaja7423 Рік тому

    Yaan mabepari wanatutenganisha na kutumaliza na dini, imagine Ili kukufanya uwe zuzu kabisa wanakupa PhD hata kama huwezi kusoma,

  • @sarahsamwely108
    @sarahsamwely108 Рік тому

    Mmmmmhhh

    • @felixsarakikya-ez3fk
      @felixsarakikya-ez3fk Рік тому

      Chuo fulani inamaanisha nini taja jina la chuo ulichosomea acha kufunikafunika mambo

  • @Princewaweru
    @Princewaweru Рік тому

    Shule flan shule flan ndo nini?

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 Рік тому

    Kkkt mhmmm mwenye pesa uwongozi wa kanisa unakuwa machawa ila hii hii wacha nirudy kanan ....

    • @beatricepallangyo2821
      @beatricepallangyo2821 Рік тому

      Sorry siyo KKKT, ni Kanisa lingine (Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki/ KEKAM)

  • @shabanikitula645
    @shabanikitula645 Рік тому

    Shetani akizeeka anakuwa malaika

  • @EdgarLema-qi9or
    @EdgarLema-qi9or Рік тому

    Uyo dingi kakosa ubunge akadata

  • @eugee891
    @eugee891 Рік тому

    PhD za miezi miwili na mitatu shule flan hv😂😂

  • @francismepukori9840
    @francismepukori9840 Рік тому

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mrx8608
    @mrx8608 Рік тому

    Ivii alikuwa mchungaji?Sasa Hy askofu mmmmmmm

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 Рік тому

      Yaani hata sielewi huyu mtu alikuwa mwanasiasa leo askofu au siku hizi uaskofu nao umekuwa kama ukuu wa wilaya unapewa mtu yeyote.

  • @Msemakweli2024
    @Msemakweli2024 Рік тому

    Mmmmm mmmmm napita jaman

  • @humphreynyiti516
    @humphreynyiti516 Рік тому

    😂😂😂😂😂

  • @fredrickkaaya
    @fredrickkaaya Рік тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂