Sio kila shabiki wa mpira anafuatilia mpira wengine kama nyinyi mnaangalia highlights. Sasa aucho na Yahya useme Yahya bora kuliko aucho 😂😂😂😂. Kafatilie tenis mjomba achana na mpira usilete mapenzi kwenye mpira.
@@Tee-King unaongea kwa fact au unaongea pumba!! Yahya aneisaidia yanga kushika ubingwa kwa zaid ya goli kumi na tano. Sasa ww kigezo gani ambacho unaweza ukasema hapo hakupaswa kuchukuwa tuzo..kwa maana watu wote walio kwenye kamatì ni mabumbumbu. Basi sawa kampe ww tunzo. Kesi tuishie hapo
@@allyalmandhiry4785 kwaiyo we kwako amaegunga ndio bora kwaiyo ata diara na Yahya bora yahya kwakuwa awajafunga gori. Rud kaangalie nan kati ya aucho na yahya nan kaanzisha nafasi za gori. 😀
@@Tee-King naomba nikuulize ..kwani kazi yao kubwa wote ni ipi wapiwepo uwanjani..!? Nadhani ukilijua hilo utapata jawabu..!!. Mpira ni matokeo..unajua kwa nini azizi amefanikiwa kuchukuwa tunzo nyingi. Umewahi kujiuliza.. na kwa nini asiwe pakome ?
Fact
Anzisheni Wasafi Football trophies kisha wapeni mnaowataka.
Mm niko pamoja na Nasir khalfan mwamba hapepesi macho yupo sahihi
Aucho hakustahili kwasababu yautovu wa nidhamu alikua anazibua watu na vipepsi
AUCHO NI NOMA
Watu Huwa Wanakosea Kufanya Maamuzi Pale Wanapokea Kwenye Mihemko.
Hili jamaa nilijua kuwa linajua kumbe hamna kitu. Ww unaweza kumfananisha muda na halid. Kabis anda xako
Sio kila shabiki wa mpira anafuatilia mpira wengine kama nyinyi mnaangalia highlights. Sasa aucho na Yahya useme Yahya bora kuliko aucho 😂😂😂😂. Kafatilie tenis mjomba achana na mpira usilete mapenzi kwenye mpira.
We chenga kumbee
@@Tee-King unaongea kwa fact au unaongea pumba!! Yahya aneisaidia yanga kushika ubingwa kwa zaid ya goli kumi na tano. Sasa ww kigezo gani ambacho unaweza ukasema hapo hakupaswa kuchukuwa tuzo..kwa maana watu wote walio kwenye kamatì ni mabumbumbu. Basi sawa kampe ww tunzo. Kesi tuishie hapo
@@allyalmandhiry4785 kwaiyo we kwako amaegunga ndio bora kwaiyo ata diara na Yahya bora yahya kwakuwa awajafunga gori. Rud kaangalie nan kati ya aucho na yahya nan kaanzisha nafasi za gori. 😀
@@Tee-King naomba nikuulize ..kwani kazi yao kubwa wote ni ipi wapiwepo uwanjani..!? Nadhani ukilijua hilo utapata jawabu..!!. Mpira ni matokeo..unajua kwa nini azizi amefanikiwa kuchukuwa tunzo nyingi. Umewahi kujiuliza.. na kwa nini asiwe pakome ?