Waislam tupo wingi Sana Alhamdullilah ... Lamuhimu tujitoleeni kusaidia huu mjengo... Sio kila siku sheikh atuombe atukumbushe hili NI jukumu letu sote waislamu, tutoweni Kwa kadri ya uwezo wetu.. Na Allah atatulipa mema sisi na mashekhe wetu hapa duniani na kesho Akhera...
LAATAGH'DHAB LAATAGH'DHAB LAATAGH'BAD...ndugu ramadh kuria bin kaguo usichoke na Allah atakurahisishia kazi...nakuombe kila la khairi na IKHLASW...amiin
@@madetetv6576 it really doesn’t matter ndugu because there are hundreds of crooked verses in the Bible which even my 6 year old can tell you it’s from the Almighty God.
Aww sheikh could you pls share the amount needed so that the public could share. May Allah make it easy for all of us. Pls indicate the name n number for mpesa. Thank you for all your hard work.
We shekhe acha kupotosha watu wa MUNGU.Biblia haisomwi mstali mmoja ili kupotosha ukweli wa mwandishi wa neno la MUNGU ,kama we nimkweli kwanini husomi wa 1korintho 15:1-28.ili kupata màana kamili? Niaje mashekhe mnachukua kipengele Kimoja ktk Biblia kupotosha ukweli wa neno la MUNGU kama mnavyofanya hapo mnatusomea 1 wakorintho 15:18 ili kupotasha maana ya neno lla MUNGU.Anza kusoma Aya za juu ya kile ulicho kikusudia hadi pale ulipo kusudia katu uislamu siyo dini yakutupeleka mbinguni Bali ni njia yakutupeleka peponi jehanamu shetani analijua hili.kama mwanadamu yupo Anapinga Habari YESU pole sana! Kwani wanao mwamini YESU nakufata maagizo yake wote siku ya mwisho watakwenda Paradiso Mbinguni .wakati waislamu wata kwenda peponi ilipo paradiso ya wapinga ukweli wa MUNGU yaani jehanam.
elewa andiko kwanza inasema Nini ndio ujuwe mahana yake siyo unatumia mandiko kwa kupinga Bali siyo kuelewa na utawai elewa mahana uko na Imani yakupinga2 yesu kristo akusamehe na akusaidie ujuwe ukweli wa mungu kupitia yesu kristo
Asalam alaykum ndugu yangu Ramadhan ni vizuri ukiwa unawaelimisha watu hasa hawa wakristo waelimishe kutoka kwenye mapungufu yao ili waelewe dini ya haki na nyoofu huyu mzee umemuambia asome mstari wa 15 lakini hiyo ni verse ya hitimisho ya dhumuni la verse zilizotangulia kuanzia 12 huko juu sasa huyu mzee akienda kusoma Bible atagundua ulikua unamchezesha shere kesho hatakusikiliza atakuona ulitaka kumpotosha mahali alipo amini tangu akiwa mtoto sasa angalia namna nzuri ya kuwaongoa watu waende kwenye mstari na njia iliyonyooka..waalaykum salam.
Nyinyi sio wa kweli, if you are sincere, read the Scripture contextually not picking on a line that may sound different when whole thing is read! Nyie waongo
Mugoka ni MAJANI ya Miraa . Na hizi MAJANI au Leaves za Miraa ni 5 Times more STEAM au Drug au ULEVI kuliko Miraa itself. This why, it is a new trend to chew the LEAVES, instead of the Muraa itself. In ENGLAND, the Miraa is banned as a DRUG. BUT now, they tested the Leaves or MOGOKA, and the Labs say it containd 5 times MORE DRUG than Miraa!
Hawa kristo ati munasema nikikufa nitaenda mpinguni !! Kwani mbinguni ni yenu ama ni nyinyi ndio mlijenga ??...when did you grow out of ignorance???....waah!!!....mbona msichukue njia sahihi ya uislamu ???......
Ata kama ni kufunza uache uongo na kusoma bibilia vibaya.You are just cunning and a liar today.That 1Corinthians 15 verse is in context of previous verses and following verses which clearly states if Christ never resurrected then the dead have gone to destruction,but because he resurrected then they have not gone to destruction.You choose only one verse to satisfy your heart why not read all the verses.Just application of Tricks and baits.some of your teaching are true but on these one you have gone low.
Kwa nini umuhoji mtu Asie elewa maandiko ? Tayali amesema yeye ni rasta ila wewe ume endelea kumuhoji mashi faida hare leshe utamusomea mtu andiko bila kumutowa Mapepo ambayo imemusumbuwa ? Mbona mumehangaika sana kuwapoteza watu ?
Allah akuongoze pia wewe.uweze kusoma,kuandika vizuri bila kukosea mana hapo comment yako haiko clear.alafu akupe uwezekano mkubwa wa kuelewa.huwezi ongelea kitu hujakisoma vizuri....soma bibilia yako vizuri uielewe tena yote sio nusu nusu ,ndio uweze kuongea mbele ya walio soma dini.
Shetani mkubwa wewe ulaniwe milele mbona usiambie huyu mzee ukweli iloneno una mdanganya kwanini kama ungekua mkweli ninge kufuata soma Haya yote upate kuelewa
Ivyo ivyo njo wana danganya wengi kusomatu nusu la andiko bila ku anza ao ku maliza andiko pôle kwa wasioyo soma biblia watu Wa mungu wa potea kwa kukosa maarifa hivi njo wanapotea
RAMADHAN BIN KURIA WA GAKUO NI MPUMBAVU SANA.....SIO MATUSI, MPUMBAVU NI MTU ANAEJUA UKWELI LAKINI ANAPUMBAZA WATU. ANACHUKUA VERSE MOJA NA KUI-MISINTERPRETE "Hivyo basi, wote waliolala katika Kristo wamepotea." 1 WAKORINTHO 15:18 MEANING OF THAT ONE VERSE NI HIVI>>>> KAMA YESU HAKUFUFUKA. ,,,, BASI WALIOLALA KATIKA KRISTO WAMEPOTEA....LAKINI MAANDIKO YANASEMA YESU KRISTO ALIFUFUKA, KWA HIYO WAKRISTO HAWAJAPOTEA.....SOMA KUANZIA VERSE 12 UPATE PICHA KAMILI....DONT JUST CHERRY PICK VERSE 18 ONLY TO SUIT YOUR FASLE BELIEFS.. WAISLAMU HUYU MALIMU WENU MUONGO KAMA BABA YAKE SHAITAN allah. NA HAKUNA NJIA NYINGINE YA KWENDA MBINGUNI ISPOKUWA YESU KRISTO - JOHN 14;6 NA YESU KRISTO SIO COPY CAT isa bin mariam,
Matuyako yote yatakurudia na ukijiona. Utakukusilim basi uislam haukulazimishi na haukubembelezi hanashida na ww kwani ukijichagulia moto ni ww maana hakili unayo timam
Mathew 19:28 "And Jesus said unto them, Verily I say unto you, That ye which have followed me, in the regeneration when the Son of man shall sit in the throne of his glory, ye also shall sit upon twelve thrones, judging the twelve tribes of Israel.” 😂😂as hypocrisy goes ... it's in your heart as a disease.
Waislam tupo wingi Sana Alhamdullilah ... Lamuhimu tujitoleeni kusaidia huu mjengo... Sio kila siku sheikh atuombe atukumbushe hili NI jukumu letu sote waislamu, tutoweni Kwa kadri ya uwezo wetu.. Na Allah atatulipa mema sisi na mashekhe wetu hapa duniani na kesho Akhera...
Barakalahu feek sheikh ramadhan na team yote
Shukran sheikh ramadhan kwa jitihada zako za dawaah Allah atawalipa mema fii dunia wal Akhera pamoja na team yako
Mungu awaongoze zaid masheh wangu unafanya kazi ngumu sanaa
Masha Allah. Shekhe ALLAH ATAKUFANYIA WEPESI IN SHAALLAH
Hakuna sauti Ustadh.
Wakiristo hawasomi bibilia Yao ndiyomaana hawajui alafu wabishi kumjibu maswari hawawezi. Mashehe zetu Allah Awape subra
As salamalaikum my name sake.
Wewe shehe Mungu anakuona kwakupotosha watu, wewe hunapepo Bali unamapepo
LAATAGH'DHAB LAATAGH'DHAB LAATAGH'BAD...ndugu ramadh kuria bin kaguo usichoke na Allah atakurahisishia kazi...nakuombe kila la khairi na IKHLASW...amiin
وَقُلْ جَاءَ الْحَقُّ وَزَهَقَ الْبَاطِلُ ۚ إِنَّ الْبَاطِلَ كَانَ زَهُوقًا
Watching from Sweden
May Allah Grant you long life ustadh Ramadan
Huyu Mzee anachekesha sana, amepandikizwa imani isiyo endana na maandiko na maandiko ya Biblia, sasa anashangaa. Wahubiri mnafanya kazi kubwa.
Tunawaombea kwa mmungu awalainishe moyo yao wakiona haki waifuate.
Aamiin
Allahumma Aamin 🤲
Amiin
Aamina
Allah atufanyie wepesi kazi ikamilike in shaa Allah
Asalam alaykum warhmatullahi wabarakatuh MashAallah jazakumllah lheyir
Sauti iko sawa sasa.
Mzee ameshangaa. Ako na umri huu na hajawai kusikia na kuiona verse kama hii
🥲🥲
Hiyo verse mnaitafsiri vibaya . Paulo alihoji Kama zingatia Kama? Kwahiyo alihoji wale wasioamini
@@madetetv6576 it really doesn’t matter ndugu because there are hundreds of crooked verses in the Bible which even my 6 year old can tell you it’s from the Almighty God.
the verse was not completed...they r making comedy with scripture.
@@saumuabdallah6747 how about the over 50.000 errors in the Bible. Does God makes mistakes?
Shime ndugu zangu waislamu tutoeni sadaka tumalize hii project kwa uwezo wa Allah in shaa Allah.
MashaAllah
Allah wakabar 💙💛💚
Allahu Akbar.
Aww sheikh could you pls share the amount needed so that the public could share. May Allah make it easy for all of us.
Pls indicate the name n number for mpesa. Thank you for all your hard work.
Shukran jazeelan, the number is there insha'Allah
Mjue yesu.muukumu.wa ulimwengu. Matayo. 24;. 1. 14.
Umempatia sheh
mrasta ako juu steam 🤣🤣🤣🤣
SubhAnaAllah🤣🤣WalioLalaKaktikaKristoWamepoteajamanNimechekaKwasautiHadiMachoz.AlhamdulilahAllahAwalindeMasheheWetuYaarabi
Mzee ananichekesha sana eti hapana 😁😄
Assalam aleikum, samahani, sauti hakuna
Sauti IPO kubwa sana jaribu tena
😂😂😂 hata mimi ilinisumbua hivo but iko sawa sahi
We shekhe acha kupotosha watu wa MUNGU.Biblia haisomwi mstali mmoja ili kupotosha ukweli wa mwandishi wa neno la MUNGU ,kama we nimkweli kwanini husomi wa 1korintho 15:1-28.ili kupata màana kamili? Niaje mashekhe mnachukua kipengele Kimoja ktk Biblia kupotosha ukweli wa neno la MUNGU kama mnavyofanya hapo mnatusomea 1 wakorintho 15:18 ili kupotasha maana ya neno lla MUNGU.Anza kusoma Aya za juu ya kile ulicho kikusudia hadi pale ulipo kusudia katu uislamu siyo dini yakutupeleka mbinguni Bali ni njia yakutupeleka peponi jehanamu shetani analijua hili.kama mwanadamu yupo Anapinga Habari YESU pole sana! Kwani wanao mwamini YESU nakufata maagizo yake wote siku ya mwisho watakwenda Paradiso Mbinguni .wakati waislamu wata kwenda peponi ilipo paradiso ya wapinga ukweli wa MUNGU yaani jehanam.
elewa andiko kwanza inasema Nini ndio ujuwe mahana yake siyo unatumia mandiko kwa kupinga Bali siyo kuelewa na utawai elewa mahana uko na Imani yakupinga2 yesu kristo akusamehe na akusaidie ujuwe ukweli wa mungu kupitia yesu kristo
Asalam alaykum ndugu yangu Ramadhan ni vizuri ukiwa unawaelimisha watu hasa hawa wakristo waelimishe kutoka kwenye mapungufu yao ili waelewe dini ya haki na nyoofu huyu mzee umemuambia asome mstari wa 15 lakini hiyo ni verse ya hitimisho ya dhumuni la verse zilizotangulia kuanzia 12 huko juu sasa huyu mzee akienda kusoma Bible atagundua ulikua unamchezesha shere kesho hatakusikiliza atakuona ulitaka kumpotosha mahali alipo amini tangu akiwa mtoto sasa angalia namna nzuri ya kuwaongoa watu waende kwenye mstari na njia iliyonyooka..waalaykum salam.
Congrats but mbona msikuje Kitui pia tusemesane haya ya mungu
Nyinyi sio wa kweli, if you are sincere, read the Scripture contextually not picking on a line that may sound different when whole thing is read! Nyie waongo
Shenzi sana
huyo jamaa ako full handas na mkojo wa firaun.mazungumzo yake hayaeleweki.mungu amuongozee
Sheikh Ramadan ameona hako sawa angeachana nae kuchunga mda
😃😃😃😃
Mzee mbavu zangu weeeee😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂ila huyu Babu kanichekesha eti hapanaaa
Huyo mkaka amechanganyikiwa
Mashaallah mzee nimzur huyo mfuatilie sana anamsimamo
Ako full handas angeachana nae kuchunga mda
@@yunusramadhan2546 naam amjua mtume vzr alipozawa na alipokufa na khadija kamuita kiheshima(mama)
Mzee amenifurahisha🤣 Allah amuongoze
Aameen yaarabb
Aamin 🤲
Amiin
Amiin natamani shekh Ramadha akutane nae tena yule mzee.
😁😁😁Wallah nimecheka uyu babu eti hapana
Babu leo amenichekesha na hii umri yake🤣🤣
Waaah leo nimecheka bana
Mzee kauchomoa
Rasta😁😁
Huyo mwanmume vip kwanza na hio mikono yake anavyo iweka mzima kweli huyo au ndio wale wale hio mikono kama anamchamba Mtu akaaa weeee🙄
Kaa waisalm ujinga wenyewe was kufundisha biblia ni Ivo Wala hamuwapti watu
Muhoka ni Mirungi , Miraa au ?
Mugoka ni MAJANI ya Miraa .
Na hizi MAJANI au Leaves za Miraa ni 5 Times more STEAM au Drug au ULEVI kuliko Miraa itself.
This why, it is a new trend to chew the LEAVES, instead of the Muraa itself.
In ENGLAND, the Miraa is banned as a DRUG.
BUT now, they tested the Leaves or MOGOKA, and the Labs say it containd 5 times MORE DRUG than Miraa!
@@Sai.Mo69 Subhuanallah !! Shukrani Kwa kunielewesha.
Hawa kristo ati munasema nikikufa nitaenda mpinguni !! Kwani mbinguni ni yenu ama ni nyinyi ndio mlijenga ??...when did you grow out of ignorance???....waah!!!....mbona msichukue njia sahihi ya uislamu ???......
Ata kama ni kufunza uache uongo na kusoma bibilia vibaya.You are just cunning and a liar today.That 1Corinthians 15 verse is in context of previous verses and following verses which clearly states if Christ never resurrected then the dead have gone to destruction,but because he resurrected then they have not gone to destruction.You choose only one verse to satisfy your heart why not read all the verses.Just application of Tricks and baits.some of your teaching are true but on these one you have gone low.
@@abdallamkwaju6102 Also you get it from shetani advocate
Kwa nini umuhoji mtu Asie elewa maandiko ? Tayali amesema yeye ni rasta ila wewe ume endelea kumuhoji mashi faida hare leshe utamusomea mtu andiko bila kumutowa Mapepo ambayo imemusumbuwa ? Mbona mumehangaika sana kuwapoteza watu ?
Allah akuongoze pia wewe.uweze kusoma,kuandika vizuri bila kukosea mana hapo comment yako haiko clear.alafu akupe uwezekano mkubwa wa kuelewa.huwezi ongelea kitu hujakisoma vizuri....soma bibilia yako vizuri uielewe tena yote sio nusu nusu ,ndio uweze kuongea mbele ya walio soma dini.
Shetani mkubwa wewe ulaniwe milele mbona usiambie huyu mzee ukweli iloneno una mdanganya kwanini kama ungekua mkweli ninge kufuata soma Haya yote upate kuelewa
Umechoka sana kakojoe ukalale ndugu
Masikini bado uko usingizini but insha'Allah ukiamka kutoka usingizi utaujua ukweli
Ivyo ivyo njo wana danganya wengi kusomatu nusu la andiko bila ku anza ao ku maliza andiko pôle kwa wasioyo soma biblia watu Wa mungu wa potea kwa kukosa maarifa hivi njo wanapotea
Swali langu ni kama wewe nimkweli bona udanganye bona usisome Haya yote....?
@@ambarnelly6304 Sasa kwani Mungu wako ni wa Matusi Na unangoja nimfuate
The guy needs to understand the Bilble, not just a verse to prove his propaganda. He should read the whole of 1 cor 15
Wuyu Hana lolote
Nauliza nani amepona hizi ku ha za Ramazani ? Nikama amekuwa n'a ku ha bandia ao kapakaa rangi kwenye kucha
RAMADHAN BIN KURIA WA GAKUO NI MPUMBAVU SANA.....SIO MATUSI, MPUMBAVU NI MTU ANAEJUA UKWELI LAKINI ANAPUMBAZA WATU.
ANACHUKUA VERSE MOJA NA KUI-MISINTERPRETE "Hivyo basi, wote waliolala katika Kristo wamepotea." 1 WAKORINTHO 15:18
MEANING OF THAT ONE VERSE NI HIVI>>>> KAMA YESU HAKUFUFUKA. ,,,, BASI WALIOLALA KATIKA KRISTO WAMEPOTEA....LAKINI MAANDIKO YANASEMA YESU KRISTO ALIFUFUKA, KWA HIYO WAKRISTO HAWAJAPOTEA.....SOMA KUANZIA VERSE 12 UPATE PICHA KAMILI....DONT JUST CHERRY PICK VERSE 18 ONLY TO SUIT YOUR FASLE BELIEFS..
WAISLAMU HUYU MALIMU WENU MUONGO KAMA BABA YAKE SHAITAN allah.
NA HAKUNA NJIA NYINGINE YA KWENDA MBINGUNI ISPOKUWA YESU KRISTO - JOHN 14;6
NA YESU KRISTO SIO COPY CAT isa bin mariam,
Matuyako yote yatakurudia na ukijiona. Utakukusilim basi uislam haukulazimishi na haukubembelezi hanashida na ww kwani ukijichagulia moto ni ww maana hakili unayo timam
Mathew 19:28
"And Jesus said unto them, Verily I say unto you, That ye which have followed me, in the regeneration when the Son of man shall sit in the throne of his glory, ye also shall sit upon twelve thrones, judging the twelve tribes of Israel.”
😂😂as hypocrisy goes ... it's in your heart as a disease.
Macha mapovu yesu alifufuka kwn alikufa lni
@@mansourhubby7398 aty Good Friday 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@mansourhubby7398
Kwa Biblia alikufa na akafufuka...
koran ndio ilikuja miaka 700 baadaye ikapinga bila ushahidi wowote!!