Mchungaji mwenyezi Mungu azidi kukubariki,namshukru Mungu kila ninapo sikiliza mafundisho yako napata nguvu ya kiroho najiona kama tai nakuwa mpya kiroho.
Kiukweli nabarikiwa sana na mahubili haya Mungu akubariki sana mchungaji kipindi naingia kwenye kanisani hili nilibebeshwa mizigo ila nashukuru Mungu kwa mahubiri haya nimeelewa kitu na najisikia kua rafiki wakaribu na Mungu wang
Napenda maubiri yako sana mtumoshi wangu huwa na kufatilia kila wakati niko mbali mnoo na Tanzania ningefurai kupata namba zako zasm Maana niliyo nayo nimakubwaaa mnoo baba nasielewi nifanye nn
asante mchungaji nina swali zamani nilikua nakipajii ca ndoo yani nikioata nitii lazima kitimie sasa sikumoja nikaota naona binam yangu amekufa nabada yasiku akakufa sasa moyongu unamashaka mana sikusika zam yamaombi najihisi kama mimi ndoliomuua jee bibiliya inasema nini hapo
Mahubiri haya hayachuji. Nimesikilizaaa kuna mambo nilikuwa siyaelewi nimeelewa. Nafurahia mlinganisho wa mambo hayo kwenye biblia na maisha yetu ya sasa. Mungu akubariki Pastor staili yako inavutia kusoma Biblia. Inanifanya nihamasike kudadavua ni vipi hayo maneno yananihusu. Duh kwa kukusikiliza nimeweza kuelewa tofauti ya manabii hawa wawili.
@@Gratefulheart3188 mama anasema kuna vitu vinatembea kichwani mwake Mara vinavuta yani kuna wakati unamuona anaviondoa iv ila ndo ivo vinakuwa havionekani, kuna wakati anasema pua yangu haiko sawa yani anaiona haiko mahali pake, kifupi anateseka sana ni Mungu tu naomba aingilie kati mam apone. Chanzo alipima presh ikaonekan iko juu sana alivotumia Dawa hali ikawa mbaya zaidi mpak Leo nimwez wa5 hali cyo nzuri
I know Im randomly asking but does someone know of a tool to log back into an instagram account?? I was dumb forgot the account password. I love any tips you can give me
Nimebarikiwa sanaa mtumishi
Mchungaji mwenyezi Mungu azidi kukubariki,namshukru Mungu kila ninapo sikiliza mafundisho yako napata nguvu ya kiroho najiona kama tai nakuwa mpya kiroho.
Barikiwa mtu wa Mungu.
Barikiwa sana mchungaji
Mungu azidi kukupa umri mrefu uzidi kutupa neema za mungu tunabarikiwa kupitia mahubiri na mungu azidi kukubariki
Wonderful sermon. Makes me reread the story of Elisha again with understanding. Be blessed
Mungu akuzidishie Pst nabarikiwa Sana tena nasaidia kbs Amen
Nashukuru kwa somo nimebarikiwa nalo
Amina ubarikiwe sana pastor
Amina na Amina. Mungu atusaidie
Kiukweli nabarikiwa sana na mahubili haya Mungu akubariki sana mchungaji kipindi naingia kwenye kanisani hili nilibebeshwa mizigo ila nashukuru Mungu kwa mahubiri haya nimeelewa kitu na najisikia kua rafiki wakaribu na Mungu wang
Huwa unakata kiu yangu ya neno la mungu.mungu akuinue zaidi mchungaji
Pr Ubarikiwe sana! Somo hubiri hili limenipa nuru mpya! BARIKIWA SANA!
nimepata kitu kipya cha ajabu sana hapa. Bwana akufunulie mchungaji. Mungu akupe nguvu.
Doreen Edasi watching from abroad, i lov the way u preach man of God, u make me understand deeply, May God bless u and your family 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Baba mahubiri yako yanabariki sana moyo wangu, Mungu akubariki sana, ningepata namba yako nikushirikishe, nahitaji hudumayako, Ahsante sana Baba.
Mtumishi unanibariki sana na mafundisho Mungu azidi kukusimamisha
Nimejifunza mengi.
Bwana anakutumia kwa namna ya pekee, ahsante Pr, Nina barikiwa mnoo, ahsante kwa hili hubiri maana lmeniponya
Nabarikiwa sana mchungaji
Barikiwa mtumishi
Amen mungu akubariki mchungaji na barikiwa
hata mm nauhifadhi jna nlifanyaga maswal kumi ya mwanzo,,amen mchungaji barikiwa sana
Ameni kweli mchungaji nimetafakari kuna vitu vimeondoshwa lakini kwa yesu yote yamerejeshwa amen.
Ni kweli Ni Mungu ila anapitia kwa mtumishi wake...lesson ya wiki iliyopita utamuonaje Yesu ndani ya mtu...hili ndilo jibu..Mungu Yuko ndani yako
Imegusa sana maisha yangu barikiwa mtumishi
Irene Makalwe
Daah nmebarikiwa sana Na nmefurah kumuona Mwl wangu maloa kemia mathematics mbele mbele
Irene Makalwe
Hi
Amen
Ubarikiwa unatubariki sana kwa utumishi wako
Napenda maubiri yako sana mtumoshi wangu huwa na kufatilia kila wakati niko mbali mnoo na Tanzania ningefurai kupata namba zako zasm Maana niliyo nayo nimakubwaaa mnoo baba nasielewi nifanye nn
Ameen
Ubarikiwe pastor
Bwana nahitaji kubadilishwa,
My spiritual daddy ubarikiwe maana unazid kunibadilisha maisha Kila iitwapo Leo
Mungu Asate Nimesikia jinsi Ulivyo Naomba Urejeshe Uponyaji Ndani ya Mwili Wangu ! Ukaikomboe Familia yangu ! Ukazidi kumwinua Mtumishi Huyu
Amen.
asante mchungaji
nina swali zamani nilikua nakipajii ca ndoo yani nikioata nitii lazima kitimie sasa sikumoja nikaota naona binam yangu amekufa nabada yasiku akakufa sasa moyongu unamashaka mana sikusika zam yamaombi najihisi kama mimi ndoliomuua jee bibiliya inasema nini hapo
Mungu akubariki sana pr
Mahubiri haya hayachuji. Nimesikilizaaa kuna mambo nilikuwa siyaelewi nimeelewa. Nafurahia mlinganisho wa mambo hayo kwenye biblia na maisha yetu ya sasa.
Mungu akubariki Pastor staili yako inavutia kusoma Biblia. Inanifanya nihamasike kudadavua ni vipi hayo maneno yananihusu.
Duh kwa kukusikiliza nimeweza kuelewa tofauti ya manabii hawa wawili.
BWANA NIPE NGUVU, sasa mimi siye yulee!!! Nahitaji kurejeshwa
MUNGU AKUPE HAJA YA MOYO WAKO
@@MahubiriPrMmbaga Amina!
pastor nabarikiwa ,toka chuo kikuu cha dar es salaam
Mimi nasema am
Amina
Asifiwe Yesu .Nimeokoka kupitia kufwatilia mahubiri na mafunzo ya mtumishi wa Mungu.Mungu akubariki sana.Nahiaji maombi naomba namba za simu please
Eee Mungu uliyemfufua mtoto Wa mjane naomba umwokoe mam kwenye maumivu yaugonjwa anayopitia
Pole mama anaumwa nn
@@Gratefulheart3188 mama anasema kuna vitu vinatembea kichwani mwake Mara vinavuta yani kuna wakati unamuona anaviondoa iv ila ndo ivo vinakuwa havionekani, kuna wakati anasema pua yangu haiko sawa yani anaiona haiko mahali pake, kifupi anateseka sana ni Mungu tu naomba aingilie kati mam apone. Chanzo alipima presh ikaonekan iko juu sana alivotumia Dawa hali ikawa mbaya zaidi mpak Leo nimwez wa5 hali cyo nzuri
Asante mchungajii
Amen
I know Im randomly asking but does someone know of a tool to log back into an instagram account??
I was dumb forgot the account password. I love any tips you can give me
Amen
Neno nzuri amen barikiwa sana
amina
Abraham Barno Eldoret Kenya nimebadilishwa no mahybiri zako
Barikiwa mtumishi wa Mungu.. Naomba no yako mtumishi