Mungu wa mbinguni hakika ametenda, kutoka kwenye mbuga hadi kanisa kubwa na zuri.❤❤❤ Mungu endelea kuwa pamoja nasi na kutusaidia kuyatimiza maono yetu.
Karibu sana, kanisa lipo Dar es salaam, Wilaya wa Temeke, Kijichi Ukifika uliza tu kanisa kwa Katunzi unaletwa moja kwa moja Au unaweza kutupigia kwa simu namba0718267171.
Kwa maono uliyo yaweka kwa mtumishi wako Bishop Katunzi ee, Mungu uliye mbinguni usimsahau mpakwa mafuta wako. Ukamlinde na kumtia nguvu na upako wa kihuduma.
Katunzi ulilelewa kanisa gani? ivi kweli hujuwi utofauti wa CC T na CPCT? au mwenzetu unaona ni kitu kimoja? mmmmmh sielewi? ipo siku tunakuona unawekewa mikono na padre.
Kazi na Huduma inasonga mbele. Siku hizi wapinga Huduma wengi. Ebu ndugu zangu tusimamie wito Wetu. Inauma sana kupingana sisi kwa sisi. Ukileta mchezo kwa Yesu anawatu wengi.
MUNGU AKUBARIKI SANA Bishop
Amen mchungaji katunzi mwl wangu hongera kwa ushindi songs mbele Mungu yupo pamoja nawe Baba
Amen ubarikiw sana mtumishi wa mungu kwa kuamua kufanya kazi ya mungu ubarikiwe
Mungu wa mbinguni hakika ametenda, kutoka kwenye mbuga hadi kanisa kubwa na zuri.❤❤❤ Mungu endelea kuwa pamoja nasi na kutusaidia kuyatimiza maono yetu.
Amen amen Baba
Ameni....
Mungu akutangulie Bishop,Mungu aende mbele yako
Amen Bishop Fj Katunzi
Mungu awabariki sana, ninaimani tutavuka na tumefurahi wengi.
Barikiwa sana mtumishi
Mbinu nzuri Sana ya kupanuka
Amen mchungaji ubarikiwe
Mungu awabariki sana injili iende mbele
Mungu akubaliki mtumishi wa mungu
Mungu awatunze sana,nabalikiwa na mafundisho yenu.ila nahitaji kufika kwa mchungaji katunzi kwa anae pafahamu wapendwa anielekeze
Karibu sana, kanisa lipo Dar es salaam, Wilaya wa Temeke, Kijichi
Ukifika uliza tu kanisa kwa Katunzi unaletwa moja kwa moja
Au unaweza kutupigia kwa simu namba0718267171.
Amina mtumishi karibu pangawe morogo kwa huduma.
Grory to God!!! you have shown the biggest courage
Mungu wa mbinguni akutunze mtumishi wake amina
Amen 🙏🙏
Maono makubwa haya
Mungu wa mbingu na nchi ayafanikishe haya maono katika kiwango kikubwa zaidi ya matarajio ya kibinadam
Mungu awatunze na huduma zenu zifike mbali kwa jina la Yesu
Mbarikiwe
hakika mungu awatumie atakavyo
kwa jina la yesi kristo atang'aaa
🎉🎉🎉🎉🎉 fire
Aameeeeeeeeeen
Bwana akubaliki
Katika hili mungu atakuinua sana mbaka mataifa watashagaaa
Mungu kaweka munganiko juu ya watumish hawa
Hakika Mungu ni mkuu
Huo wimbo Twarudisha Sifa Na Shukrani waliimba Kwaya Gani Tafadhali
Majestic singers
🙏💪
Kwa maono uliyo yaweka kwa mtumishi wako Bishop Katunzi ee, Mungu uliye mbinguni usimsahau mpakwa mafuta wako. Ukamlinde na kumtia nguvu na upako wa kihuduma.
Amen
Bwana awatunze
Huu wimbo unaotwaje naupataje
Katunzi ulilelewa kanisa gani? ivi kweli hujuwi utofauti wa CC T na CPCT? au mwenzetu unaona ni kitu kimoja? mmmmmh sielewi? ipo siku tunakuona unawekewa mikono na padre.
Km mbinguni itakuita CPCT au CCT, basi Mungu hatukuwepo huko
Cha msingi muabudu katika roho na kweli
Hapo Roho mtakatifu karuhusu amuwekee mikono. Mchungaji Katuzi Mungu akuongezee mafuta utumike. Acha kusikiliza wapiga mdomo
Kazi na Huduma inasonga mbele. Siku hizi wapinga Huduma wengi. Ebu ndugu zangu tusimamie wito Wetu. Inauma sana kupingana sisi kwa sisi. Ukileta mchezo kwa Yesu anawatu wengi.
Ndugu zangu kanisa ni mtu aliyeokoka na kujazwa na Roho Mtakatifu, sio dhehebu.