hahahahaha ila maarifa eti ndo utaftaji mambo yatakuwa sawa ..........respect sana mamen the big thinker umeongea bonge facts yan and all ov dem are de truth..
Kwahyo Maarifa ndio anamulekeza Lunya nn afanye, ananichekesha sana😂😂😂, maarifa n mwana hip hop sio rapa, rapa lazima awe na flow za rap kama Lunya, alafu pia hip hop ya kizazi cha sasa haihitaji tu mwana hip hop inahitaji rapa, mtu yeyote anaeweza kutunga verse za kihip-hop anaweza kuwa mwana hip hop lakini kuwa rapa inahitaji uwe na flow za rap... Sasa Maarifa anaweza kutunga lakini hawezi kurap, kwenye nyimbo zake anaongea tu kama Mrisho Mpoto flow za rap hana, zero kabisa yani... Chengine Mbona Lunya alishaweka wazi ileile siku ambayo alikataa kufreestyle kuwa ameandika nyimbo nyingi tayari, zengine hajazi-release anahofia aka freestyle mistari ya moja ya nyimbo zake ambazo atakuja kuzirelease maana kaandika nyimbo nyingi hadi zengine hakumbuki utunzi wake aliandikaje.
also ukiwa kwa media dada yangu ni better ukaficha upendo wako kwa lunya huwez mwambia artist it's better to be silent umenkwaza sana ety dis haina fact basi kama ni rahisi fanya wewe
Uyo demu anapagawa na style ya young Lunya kwa sababu fan base kubwa ya Lunya ni madem, anasema mistari haina mashiko kwa sababu she's too soft kusikiliza punch lines hana uwezo wa kuprocess lines anazotema maarifa ila kuprocess soft ass lines za lunya anaweza maana ni taarabu style ya lunya
Maarifa ni muuaji wa kimya kimya he is a genious huyo lunya mwambieni aridi shule tena maybe somo la rap hakulielewa funs needs contents not swaggs only and being proud your self all over the moment mwambieni ukweli mkimpamba basi hatokuwa na muda mrefu kwenye game
Icho kidemu ni ki hater cha maarifa..😂
Kumbe na wewe umeona
Truth
🎉🎉🎉🎉🎉namkubali sana maarifa🎉🎉🎉🎉
tufikie hatua tuseme ukweli Aisee maarifa umetisha ..good Explanation
hahahahaha ila maarifa eti ndo utaftaji mambo yatakuwa sawa ..........respect sana mamen the big thinker umeongea bonge facts yan and all ov dem are de truth..
Wote ulio wataja walikuwa najua kufreestye walikuwa wanajua had kuandika mistari
Kwahyo Maarifa ndio anamulekeza Lunya nn afanye, ananichekesha sana😂😂😂, maarifa n mwana hip hop sio rapa, rapa lazima awe na flow za rap kama Lunya, alafu pia hip hop ya kizazi cha sasa haihitaji tu mwana hip hop inahitaji rapa, mtu yeyote anaeweza kutunga verse za kihip-hop anaweza kuwa mwana hip hop lakini kuwa rapa inahitaji uwe na flow za rap... Sasa Maarifa anaweza kutunga lakini hawezi kurap, kwenye nyimbo zake anaongea tu kama Mrisho Mpoto flow za rap hana, zero kabisa yani...
Chengine Mbona Lunya alishaweka wazi ileile siku ambayo alikataa kufreestyle kuwa ameandika nyimbo nyingi tayari, zengine hajazi-release anahofia aka freestyle mistari ya moja ya nyimbo zake ambazo atakuja kuzirelease maana kaandika nyimbo nyingi hadi zengine hakumbuki utunzi wake aliandikaje.
Huyo anapga trap then hyo Beat Ni Ya HipHop So Msilaumu sana
Ndio maana hajautuna @YoungLunya bado anakua acha kumuekea class anaenda kwa kasi yake
also ukiwa kwa media dada yangu ni better ukaficha upendo wako kwa lunya
huwez mwambia artist it's better to be silent
umenkwaza sana ety dis haina fact basi kama ni rahisi fanya wewe
Uyo demu anapagawa na style ya young Lunya kwa sababu fan base kubwa ya Lunya ni madem, anasema mistari haina mashiko kwa sababu she's too soft kusikiliza punch lines hana uwezo wa kuprocess lines anazotema maarifa ila kuprocess soft ass lines za lunya anaweza maana ni taarabu style ya lunya
anapenda nyimbo za young lunya kwa sababu yeye ni dem pia😂
Mkn❤🎉
Nilimweleza sana mbuzi na angetumia kuchan katika ile biti wange mwibia kweli mistari mbuzi kashawasoma vijana 😂😂😂😂 ila mbuzi ana uwa kinoma 😅😅
Huna topic
Maarifa is real meaning UMETISHA.....he must grown up lunya
Maarifa keeps staight on the point,
Wakitoka malehem wot waliokufa wakal anafwat lunya
Mtu mwelewe amejibu vitu vyenye mashiko
Acheni kuwa proko uchafu huu mariifa maariifs hivi unamzungumzia 🐐 upate mirage😂
Namkubal sana maarifa
Et mistari ya next project😂😂 umeambiwa free style sio project mashavu yale
Nakumbuka freestyle ile walioifanya ndani ya treni akiwa lunya yeye maarifa na kontawa aliwakalisha wote wawili lakn leo anajifanya anamuweza😂😂😂
Alichofanya Maarifa ni kuonesha uwezo wa Ku rap kwenye beat iliyomshinda Mbuzi
Naomba like Zangu
Go get a job
Alijiona mbuzi kwakushirikishwa kwa hennessy kumbe
Maarifa ni muuaji wa kimya kimya he is a genious huyo lunya mwambieni aridi shule tena maybe somo la rap hakulielewa funs needs contents not swaggs only and being proud your self all over the moment mwambieni ukweli mkimpamba basi hatokuwa na muda mrefu kwenye game
Naona unju hatakiw kupewa airtime wakat ndo freestyler mkali
Huyu demu mtangazaj bwabwa tuu
Hip hop ni mmoja tu aliebak ni chidbenz sasa hizo elim mnazotaka huyo maarifa bado mdg sana
Uhakika kabisa
Huyu nae pimbi tuu simuelewagi mm
watangazie
Uyo mtangazaji dem kum* kwel mtu kashindwa afu unasema so km kashindwa kafanyaje sasa anamtetea au basha ake
Lunya pesa mbele san
Maarifa akili nyingi mpumbavu hana jambo kashindwa kupita na mdundo
Alitia aibu mbuzi,