🅻🅸🆅🅴 : MBOWE ANAFUNGUKA MAZITO MUDA HUU...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►UA-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

КОМЕНТАРІ • 165

  • @NgambilabalinziBaliguluk-os3ln
    @NgambilabalinziBaliguluk-os3ln 7 місяців тому +11

    Ndiyo Mzee Baba tunahitaji mabadiliko 💯

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 7 місяців тому +9

    Kazi nzuri sana mkubwa hii imeenda salam ziwafikie

  • @georgelukas1272
    @georgelukas1272 7 місяців тому +13

    Big up sana chama kubwa

  • @allymkazi2775
    @allymkazi2775 7 місяців тому +12

    Kazeni buti tuko nyuma yenu watu wanaotegemea wizi wa kura ili waendeleee kuongoza hao Ni wepesi Kama karatasi siku zote mungu Yuko kwenye haki ! Na sio kwenye wizi wa kura!!!!

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j 7 місяців тому +11

    Mie ni kutoka Zanzibar naunga mkono maamuzi ya Chadema kwa mara ya kwanza. Na huku znz pia yafanyike maana Mwinyi nae anapuuza maagizo ya kamati.

  • @user-lx2lo2lp8m
    @user-lx2lo2lp8m 7 місяців тому +5

    Mbowe mbowe!..kwa hotuba hii we ni nabii uliyekuja kutukomboa baada ya nyerere,Mungu akulinde mpaka ndoto zako zitimie,ccm imefikia mwisho,hotuba ya Karne kwa watz,zingatiane haya!...tz

  • @boscomfundo7953
    @boscomfundo7953 7 місяців тому +7

    Well said Mheshimiwa Mbowe

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j 7 місяців тому +14

    Chadema kazeni buti isiwe kama UKUTA. Znz tutawaunga mkono. Sie kuuliwa ni cha mtoto tu tushazowea.

  • @paschalmagai751
    @paschalmagai751 7 місяців тому +14

    Mwenyekiti sasa mmeanza kuwa serious..... Huu mwaka uwe ni wa action zaidi maana future ya Tanzania chini ya hawa majambazi inafifia vibaya sana.

    • @hakiyangu
      @hakiyangu 7 місяців тому +1

      Tena kwa sasa wamekua wanyonyaji wa nchi

    • @user-vs5ow5jt1w
      @user-vs5ow5jt1w 7 місяців тому

      Tatizo ninyi chadema tuna waunga mkono halafu badae tunapoteza kura zetu Bure mnazubaa mpaka ushindi unapotea.

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 7 місяців тому +16

    Wananchi huu ndiyo wakati wa kulikomboa Taifa letu,Tanganyika yetu na rasilimali zetu,ccm haifai kupata kiti chochote kuanzia wenyeviti wa mitaa,vitongoji,kata,madiwani,Wabunge na Rais. Tuwanyoe ili mafisafi wajue hili Taifa siyo mali yao! KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI NI SASA.

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j 7 місяців тому +15

    Huu ni wakati wa kuunda UKAWA mpya kwani umoja ni nguvu. Ccm wamezidi zarau.

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 7 місяців тому +2

      Huo ndiyo ukweli ndugu,haya madudu ya kijani yanatakiwa kuchomwa moto kwenye uchaguzi ujao 2024/2025,yasipate Balozi wa nyumba 10, mwenyekiti wa kitongoji, diwani mbunge wala Rais!

  • @saidchaula1947
    @saidchaula1947 7 місяців тому +7

    Nimejikuta nalia kumskilza mbowe kweli tanzania tunaishi kwa mazoea nakibri kwamba watafanywa nini waspofanya

  • @husseynzooh1979
    @husseynzooh1979 7 місяців тому +6

    People's power ✌️

  • @honoratamafala6968
    @honoratamafala6968 7 місяців тому +7

    Watoto wa viongozi wote wana ajira tena kwenye nafasi nzr na wengine wamesoma na watoto wetu lakini wa kwetu hawana ajira.tuambiwe ni mtoto wa kigogo gani haha ajira na anatembea na cv.kwenye maofisi akisaka ajira.jamani wamwogope Mungu.Mungu akikasirika akawageukia watalia machozi ya damu.tunataka ajira kwa kila kijana ili mradi ana vigezo.

  • @emmanuellupele8129
    @emmanuellupele8129 7 місяців тому +7

    Wanaokataa maandamano ni watoto wa viongozi ambao hawajui na gharama ya maisha.

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 7 місяців тому

      Ndiyo hayo mafisadi majambazi majizi ya rasilimali zetu ndiyo yanakataa maandamano ila nguvu yetu moja tutashinda.

  • @sautikuu212
    @sautikuu212 7 місяців тому +9

    Hakuna kitakachobadilika hadi ifike mahali tuuane na viongozi wafiwe ndio akili itawakaa sawa.
    Mimi ninayo njia mkitaka nitawaambia

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j 7 місяців тому +1

      Wakiuwa na sie tuuwe tu. Tunao mitaani

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 7 місяців тому +8

    CHADEMA....CHAMA MBADALA WA CCM KWACHAGUZI ZA 2024 NA 2025....WATANZANIA BILA KUJALI VYAMA NA DINI ZETU TUKO NYUMA YENU.

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 7 місяців тому +9

    Wananchi tunapongeza uamuzi huu wa Chadema na tuwe tayari kushiriki maandamano na mapambano haya bila kuogopa wala kurudi nyuma,hayo ndiyo maamuzi ya kiume aliyoyafanya mwenyekiti Mbowe na tukiunganisha nguvu zetu pamoja tutashinda, Mungu simama katika haki wenye haki washinde jambo hili,Ameni. KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI NI SASA.

    • @hamisijuma8124
      @hamisijuma8124 7 місяців тому

      Kaandamame Libya watanzania hatuna utamaduni huo

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 7 місяців тому

      @@hamisijuma8124 Wanufaika wa mafisadi wanajulikana! Muda utafika tutaongea Lugha moja!

    • @songombingo108
      @songombingo108 7 місяців тому

      ​@@hamisijuma8124Libya ya Baba yako

    • @talents7934
      @talents7934 7 місяців тому

      ​@@hamisijuma8124Alaf ndg zangu Wa kiimani hii sio vita ya kidini Bali ni vita ya maendeleo acheni upuuzi mimi ni Muislam ila nikipitia kila comments nyingi zinazopinga ni za mrengo wetu kwanini? Ni nan aliyetudanganya? 😢

  • @clemencelisonga8261
    @clemencelisonga8261 7 місяців тому +8

    Leo ndo nimeona umeongea kama mpinzani mungu akutangulie

  • @kingj9606
    @kingj9606 7 місяців тому +3

    Sir yes Sir !!!

  • @vitalisnyagali2774
    @vitalisnyagali2774 7 місяців тому +5

    Mambo si ayo bwana

  • @lovegodmunisi1006
    @lovegodmunisi1006 7 місяців тому +2

    Hapa sawa

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u 7 місяців тому +2

    Kama wamezoea kuhua. Bola watuuwe wote lakini sikwaujinga uhu

  • @abelnyenye4500
    @abelnyenye4500 7 місяців тому +4

    Kwakweli hawa ccm wamezidi sana, ccm ni kakikundi kadogo kanakosaidiwa na vyombo vya Dola. Hawa askari watakaozuia jambo hili watakuwa wa ajabu sana. Halafu askari ndio wanaolipwa mishahara midogo sana lakini wanawalinda wanaowaumiza.

  • @user-cr6tm5jz8x
    @user-cr6tm5jz8x 7 місяців тому +4

    Ama kweli mnapambana kuhusu haki

  • @user-ou3eb8kd8y
    @user-ou3eb8kd8y 7 місяців тому +2

    Pamoja

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 7 місяців тому +4

    Leo ndo nimekuelew mkuu

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain 7 місяців тому +5

    Ila waandishi wa habari wa Tanzania ni very unprofessional. Uulizaji wa maswali yao tu unaonesha liko tatizo kwenye professional hii hapa nchini hasahasa kwenye uelewa na ufahamu wao

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l 7 місяців тому +3

    mbowe pamoja

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n 7 місяців тому +4

    Tuko pamoja

  • @NassorSalumMengi-jj1nf
    @NassorSalumMengi-jj1nf 7 місяців тому +1

    He mbowe Loko spaiz safi sana

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 7 місяців тому +3

    Tanzania hii samia hakumbuki tena ka kulikuwepo na bunge ra katiba mpya ivo uchaguzi usifanyike hadi mchakato wa katiba mpya ifanyike

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 7 місяців тому +1

    Usije kutugeuka sasa maana nyie nao mnaturudisha nyuma ukipewa bi ngap unatutelekeza naomba msimamo huu huu ❤❤

  • @RobsonMushikutokamanyarambulun
    @RobsonMushikutokamanyarambulun 7 місяців тому +3

    Fanyeni kiume kwa ajili ya haki usawa acheni maneno matupu

  • @silasponeka1773
    @silasponeka1773 7 місяців тому +2

    Ni nchi nzima tuanze maandamano

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo8704 7 місяців тому +2

    Hofu ya Mungu ndio jambo la msingi!

  • @erastoleonard8625
    @erastoleonard8625 7 місяців тому +8

    Hayo ndiyo maamuzi ya kiume wananchi tumechoshwa na plopaganda za maccm

  • @HenrySam-dz1bw
    @HenrySam-dz1bw 7 місяців тому +1

    Great

  • @antonykpatricj2864
    @antonykpatricj2864 7 місяців тому +2

    Nakuelewa mkuu pamoja sana

  • @BossiLaizer
    @BossiLaizer 7 місяців тому +14

    Kwa mara kwanza Chadema kuonesha njia ya ukombozi wa fikra juu ya taifa letu, kikubwa msimamo wasio na vyama Tunawaunga mkono CCM wametufanya kenge kwa mda mrefu sasa

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn 7 місяців тому +7

    Hii ndio maana ya upinzani.haiwez kuwa maneno maneno bila actions kila siku

  • @benardsamizi-qo4yp
    @benardsamizi-qo4yp 7 місяців тому +2

    MUNGU WA HAKI SIMAMANA WAPENDA HAKI. UKO WAPI MUNGU WA DANIEL? UKO WAPI MUNGU WA MESHACK NA ABINEGO??? SIMANA NA MBOWE NAONA ANAKWENDA KUTUPWA KATIKA TANURU LA MOTO.KWA SABABU TU AMEKATAA DHURUMA.

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 7 місяців тому +2

    Mimi naomba maandamano yalenge mambo matatu (1) tume huru ya uchanguzi (2) tunaitaka tanganyika yetu iwe huru (3) tunaitaka bandari yetu na mwisho hatumtaki kabisa samia

  • @lgf7297
    @lgf7297 7 місяців тому +2

    Netanyahu aliulizwa maswali alfu hadi wengine wakakosa nafasi, hapa ni wawili. Watanzania milioni 63 Mayahudi milioni 3.

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 7 місяців тому +4

    MKO WAPI AZAM TV, TBC NA VYOMBO VINGINE VYA HABARI KUONYESHA HOTUBA HII LIVE.....TUNAAMBIWA 'MNATISHWA' NA CCM NA VYOMBO VYA DOLA WENU...AIBU NA FEDHEHA KWENU.

    • @mwlpierre
      @mwlpierre 7 місяців тому +1

      Waache na hizo Tv zao waache tutaunsubscribe mbona hata sisi tunakuwa tunapata viewership nzuri siunamuona Jambo Tv anavyokuwa siku baada ya siku

  • @user-ry1pe3tu5s
    @user-ry1pe3tu5s 7 місяців тому +5

    KWA KAULI YA MH MBOWE SASA NINAONA MWANGA WA MABADILIKO YA NCHI YETU, ,,KWA MAANDAMANO NI UKOMBOZI NA DEMOKRASIA YA KWELI ,,HONGERA MH MBOWE TUKO PAMOJA WATANZANIA WENZEKO WAPENDA MABADILIKO

  • @user-ri2xq6fu6w
    @user-ri2xq6fu6w 7 місяців тому

    Baba wanapandisha nauli kwenye daladala wanavyotaka wao bila kujiuliza mtanzania anaepata kipato kidogo, kwa mfano ndugu Mh. Kutoka gongo lamboto kuja masaki nauli ni shilingi 1100 kwenda TU hapo hujarudi zamani ilikuwa 700 ebu tazama ongezeko LA nauli hapo viongozi wanalifahamu Hilo sema wanatuona sisi ni mazombi TU hatunafaida kwao inauma sana mh.sio haki kabisa

  • @EDWARDPKATWIGA
    @EDWARDPKATWIGA 6 місяців тому

    Mbowe❤

  • @ZakayoSanga-ge4jr
    @ZakayoSanga-ge4jr 7 місяців тому

    Mwenyekiti Leo nimekuelewa

  • @user-up6lm6xr3d
    @user-up6lm6xr3d 7 місяців тому

    Hapo nimeelewa sana

  • @user-ln3jp8cu8u
    @user-ln3jp8cu8u 7 місяців тому

    Minaomuomba mungu usiku na mchana chadema owe madalakani ccm hii ccm hii ccm hii itatuua kweli .tunateseka mno tulikua uchumi wakati zaizi tuko uchumi 0 kabisa wanashindwa kutatua tatzo la umeme ,kweli mmchadema woyeeeeee

  • @user-tn1bn5ou2i
    @user-tn1bn5ou2i 7 місяців тому +3

    Sauti jamaani hatusikii mitambo imekorofisha ndg

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 7 місяців тому +3

    💪💪💪👌✌️✌️✌️✌️✌️✌️❤❤❤

    • @thomasmallya2972
      @thomasmallya2972 7 місяців тому

      Wewe mbowe shida yako na wewe unabadilishiaaga gia angani uwa mnakuja kulalalama baada ya kuona maslai yenu yameguzwa uliwekwa ndani kwa kosa la uhaini tulipiga kelele chaachabu uliitwa ikulu cjui ulipewa nn ulipokuja ukatupiga marufuku kuwanyooshea viongoz wa serikali vidole na kuchukua CDM yote ukaipeleka ikulu tuambie kwanza ulihonga nn ama ulihongwa nn kesi yako ikafutwa

    • @talents7934
      @talents7934 7 місяців тому

      ​​@@thomasmallya2972tuliza iyo Niaje Man Ndonga ya kiume Haitaki Mawenge

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n 7 місяців тому +2

    Mbowe akili mwingi

  • @rizikiminga3010
    @rizikiminga3010 7 місяців тому +3

    Iv ni kwamba vyombo vya habari habari vikubwa hapa nchini Tanzania kama Tbc, Azam tv, wasafi, UTV, ITV na vinginevyo ni kwamba huwa chadema hawavialiki katika platform zao au ni kwamba ivyo vyombo vya habari huwa havitaki kushiriki???

  • @user-fn2gp6xq7x
    @user-fn2gp6xq7x 7 місяців тому

    AMANI,ITAWALE❤

  • @RichardMeena-sm5vm
    @RichardMeena-sm5vm 7 місяців тому

    Tunawasoma kwa saut ya juu sana

  • @JuhudiJotham
    @JuhudiJotham 7 місяців тому

    Pamoja sana tunawapata vzr hapa Lilongwe Malawi,tupo pamoja

  • @fettyaziza
    @fettyaziza 7 місяців тому

    Viongozi wengi chadema wa chaga chadema chama Cha siasa au chawa chaga kunanitia mashaka sana awa. Wakipewa nchi atari

  • @GabrielSamson-ug2cn
    @GabrielSamson-ug2cn 26 днів тому

    Oky

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 7 місяців тому +2

    Si Walisema Chadema imekufa?

  • @OdiloMagungu-uf5is
    @OdiloMagungu-uf5is 7 місяців тому +2

    Mama huyu is double faced

  • @emanuelmwatwebe5875
    @emanuelmwatwebe5875 7 місяців тому +3

    Kumekuchaaaaaaaaaaaaa.

  • @user-vc1vf4uz4r
    @user-vc1vf4uz4r 7 місяців тому +2

    Hiki chama huwa sikielewi kabisa ni cha ukoo au kabila 😮😮😮 mara kileo mara mushi nk hiki chama pia ni tatizo tu

    • @teddyoscar6876
      @teddyoscar6876 7 місяців тому

      Kabisa tatizo vile vile hawana lolote, ngoja wachukue hiyo nchi uone utumbo wao hakuna chochote cha ajabu watafanya yale yale tu.

    • @davidkiswaga4453
      @davidkiswaga4453 7 місяців тому

      Kama ulikuwepo vile yaani nyani ciku zote halioni kundule

  • @fettyaziza
    @fettyaziza 7 місяців тому

    Mboe angekuwa mpinzani wange mfumgia makasino yake mboe siasa ni kama kazi ana shida ya kwenda ikuru anajua ana sifa kuwa Raisi yeye ana piga ruziku mboe akuna mwenyeki Mwingine mwaka 25 mwenyekiti yeye tukimpa nchi atatoka atatoka ikurru

  • @floraminde
    @floraminde 7 місяців тому

    Mbowe mungu akulinde pambana niko na wewe baba nataka mabadiliko CCM imetuchosha

  • @jophley2043
    @jophley2043 7 місяців тому

  • @claverysebastian781
    @claverysebastian781 7 місяців тому

    CCm wameishiwa hoja watupishe tuwaoneshe inchi inavyo ongozwa kamanda endelea kupambana mingu akulinde

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 7 місяців тому

    Taifa Letu Mpaka Intaneti Nazo Zinaleta Pozi Hi Inamanisha Wanaona Wako Kwenye Maamuzi Yao2

  • @user-vc1vf4uz4r
    @user-vc1vf4uz4r 7 місяців тому +1

    Hiki chama humu hakuna viongoz wa juu mazaramu

  • @user-cr6tm5jz8x
    @user-cr6tm5jz8x 7 місяців тому

    Aiseee

  • @richardhezron2588
    @richardhezron2588 7 місяців тому

    Twende na mbowe kuchochewa siasa ya tz

  • @user-cw4jr1jz4x
    @user-cw4jr1jz4x 7 місяців тому

    Mzee mbowe ss tunakuunga mkono natuko pamoja nipo mvomero turian

  • @fettyaziza
    @fettyaziza 7 місяців тому

    Chadema Awana uwezo kuamdama daresaramu Ra moshi au Arusha sio daresara warifanikiwa maandamano cafu pekee ripumba kavunka mkono. Mboye kavujwa rini mkono zaidi kuwekea jera kwa mchongo

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 7 місяців тому +1

    Mpeni nafasi y urais dkt silaa hapo inchi inakwenda mapema na chadema

    • @emmanuellupele8129
      @emmanuellupele8129 7 місяців тому

      Hatafutwi Rais bali wanazungumzia mswaada wa Sheria za uchaguzi. Hivyo elewa.

  • @user-ln3jp8cu8u
    @user-ln3jp8cu8u 7 місяців тому

    Raisi nae yupo kimya hata akohowi kuhusu umeme kwavile ikulu haukati hana shida na wanainch

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 7 місяців тому

    Ofisi imejengwa maeneo salama.

  • @venustomkandawile5609
    @venustomkandawile5609 7 місяців тому

    Una uhakika? Acha tuishi tulivyozoea amani idumu TANZANIA oyeee!amani daima

  • @HamadiZakaria-dd7vv
    @HamadiZakaria-dd7vv 7 місяців тому

    Mm hamadi ali salumu ni

  • @jindamjukuu8440
    @jindamjukuu8440 7 місяців тому

    Awadhrajabu vurugu ataileta ccm maana yeye ashatangaza kuja na polic na wanajeshi na ff u Sasa hap mtata ni ccm na SKU zote mbabe ukimuendekeza mwisho wa SKU atakupangia ule Ila usinywe Sasa hii ni kututoa sisi ktk utanzani kujipa yeye ndo mwenye haki na Tanzania bora iwe vyovyot itakavyo kua acha uoga bro

  • @user-cw4jr1jz4x
    @user-cw4jr1jz4x 7 місяців тому

    MUNGU,peke yake akusimamie Mzee mbowe

  • @gilliadndossi3302
    @gilliadndossi3302 7 місяців тому

    Askari wakiwafuta mkakati sio kukumbia wote kwani chini kwani askari awezi kumpiga aliye kaa chini.Martin Lither King waliweza kutembea hadi WashntonMkikimbia ni hatari kupigwa

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g 7 місяців тому

    Heshima kwako kamanda mbowe

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 7 місяців тому +1

    Chama hakina hata sare aileweki sare yao ni ipi😂😂😂

    • @davidkiswaga4453
      @davidkiswaga4453 7 місяців тому

      Hapo sasa mm mwenye nikajua kikundi cha masera kwenye vikoba

  • @AshrafuJonny-sz4gs
    @AshrafuJonny-sz4gs 7 місяців тому

    Sawa mkuuu

  • @AlexAlex-kf1eg
    @AlexAlex-kf1eg 7 місяців тому

    Ccm oyeeeeee mwamba kashaaanza kutusaidia kampeni tunakushukuru mbowe huna baya andamana tu hata ukitaka zunguka dunia nzima 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @titusrobert5890
    @titusrobert5890 7 місяців тому

    Wananchi wamechoka na ugumu wa maisha

  • @JumaMbaga-is9xc
    @JumaMbaga-is9xc 7 місяців тому

    Hii imekaa sawa naunga mkono

  • @kavulatikivurunzi
    @kavulatikivurunzi 7 місяців тому

    Kiswahili

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6i 7 місяців тому

    Mbowe ni mwamba

  • @kavulatikivurunzi
    @kavulatikivurunzi 7 місяців тому

    Nitumieni kwa eartll mone

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 7 місяців тому +2

    Chadema na mbowe na wanachama wote kwa jumla mnasumbuka bure CCM haijali chochote inachotaka ni ushindi tu mnapoteza mda bure mama na makonda na kinana na ma group yao hawezi kuacha kitu. , ushauri wangu nyinyi chadema washaurini wananchi wafanye maombi ya kulani CCM ,MUNGU atasikia kilio chao na viongozi wa CCM watapoteza Dira then watasambaratika .Lakini kwa njia ya kura hamtaweza hata kwa miaka50 ijayo.

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 7 місяців тому

      Naona maombi yameshafanyika na hayatakoma! Hivyo subiria kuona ccm inavyoungua na hao mafisadi wake! Moto huu utawaunguza na tutaongea Lugha moja! KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI NI SASA.

    • @boscojohn6834
      @boscojohn6834 7 місяців тому

      We unamawazo ya kiboya sana

  • @user-tf6sd1ev2n
    @user-tf6sd1ev2n 7 місяців тому

    Jamani wanachama na wananchi muwe makini na hizi kauli na matokeo yake juzi kapokea milioni 150 wao wanakutana na raisi sisi wanatushawishi tukakutane na fidifosi

  • @richardhezron2588
    @richardhezron2588 7 місяців тому

    Umeme tunateseka ile mbaya yaumeme tuwatazamie

  • @greysondavid6445
    @greysondavid6445 7 місяців тому

    Paka wangu shujaa na jasiri ametokomea kusikojulikana; Sasa ,panya buku,panya wana haribu nafaka katika nyumba yangu.

    • @davidkiswaga4453
      @davidkiswaga4453 7 місяців тому

      ww na ww Acha ukorofi bwana kama nimekuelewa hiv maana yako.

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 7 місяців тому +1

    Maandamano Ni Mchezo Wa Kupata Au Kukosa Yani Kugawanya Taifa Au Kujenga Taifa Kwasababu Wananchi Ndani Ya Wananchi Wako Wasio Wananchi Japo Wanaishi Ndani Ya Nchi Watu Kama Hao Ni Wepesi Kubadili Maandamano Na Kuwa Mauwaji Yakifikia Ayo Apo Kama Akutawaiwa Kuzima Mambo Ayo Tutakua Kama Mataifa Jilani Na Kwanini Tufike Uko Wakati Taifa Letu Tunapga Kula Mimi Naona Kama Ni Kutisha Wananchi Hata Chama Chenu Kinatisha Watu Kuwapa Of Watu Unapomwambia Mtu Kwenda Kuandamana Nayeye Anajua Nyinyi Ni Viongozi Na Vyombo Vya Aki Vipo Mengine Ya Nini Yako Makundi Kama Panya Rodi Unazani Nao Watakua Wenye Kuleta Amani Kwenye Kuandamana Watatembea Lakini Wakiwa Na Mapanga Viunoni Viongozi Wajitaidi Kukemea Matumizi Mabaya Ya Pesa Kwa Watanzania Mtanzania Akipata Pesa Anawaza Kula Bata Awazi Kuwekeza Kufungua Kampuni Taifa Lisingekuwa Na Mabaha Kwa Miaka 15 Maisha Yangebadilika Kwa Watu Wengi Sana Matajiri Wangekua Wengi Lakini Sasa Mtu Anapata Milioni Kazaa Anakula Bata Akifilisika Kesho Analalama Maisha Magumu Kichwani Anawaza Bata2

    • @AshrafuJonny-sz4gs
      @AshrafuJonny-sz4gs 7 місяців тому +2

      Huna akili wewe

    • @user-gq6oz5pe1i
      @user-gq6oz5pe1i 7 місяців тому +2

      Tuko pamoja m/kiti mbowe

    • @user-fn2gp6xq7x
      @user-fn2gp6xq7x 7 місяців тому

      ​@@AshrafuJonny-sz4gsWAPI?

    • @MichaelLigi
      @MichaelLigi 7 місяців тому +1

      Utatawaliwa na chama kimoja Hadi kizazi kipi ? Tunataka chama ambacho kinaibadili katiba tuliyo nayo ili itoke kwenye kulindania bila kujali vyeo vyao ; Albashiri wa sudani yuko wapi ?

    • @yussuph-lx7cu
      @yussuph-lx7cu 6 місяців тому

      Ccm kila kitu wamekihodhi jeshi lao ,askari wao ,bunge lao,mahakama yao ,katiba yao ,,wananchi hatuna pa kukimbilia Unataka watanzania wafanye nini? SULUHISHO NI MAANDAMANO MPAKA KIELEWEKE NA KATIBA MPYA LAZIMA WATOWE

  • @user-il6jw5ng3l
    @user-il6jw5ng3l 6 місяців тому

    Nguvu ya uma

  • @user-zd7ub4me2t
    @user-zd7ub4me2t 7 місяців тому

    Hali ni ngumu sana ya kimaisha ,,,,vitu vimepanda , umeme mugao kila siku ,,,, wafanyakazi wa serikali wanaibiwa fedha zao kwa kitu kinachoitwa KIKOKOTO ,,,,,, Hali ni mbaya ,,,,afadhari ya mzee wa CHATO,,,, alitusaidia tukafika kwa kufuta machozi

  • @jindamjukuu8440
    @jindamjukuu8440 7 місяців тому

    Ccm miyayusho

  • @user-cr6tm5jz8x
    @user-cr6tm5jz8x 7 місяців тому

    A