Kazeni buti tuko nyuma yenu watu wanaotegemea wizi wa kura ili waendeleee kuongoza hao Ni wepesi Kama karatasi siku zote mungu Yuko kwenye haki ! Na sio kwenye wizi wa kura!!!!
Mbowe mbowe!..kwa hotuba hii we ni nabii uliyekuja kutukomboa baada ya nyerere,Mungu akulinde mpaka ndoto zako zitimie,ccm imefikia mwisho,hotuba ya Karne kwa watz,zingatiane haya!...tz
Wananchi huu ndiyo wakati wa kulikomboa Taifa letu,Tanganyika yetu na rasilimali zetu,ccm haifai kupata kiti chochote kuanzia wenyeviti wa mitaa,vitongoji,kata,madiwani,Wabunge na Rais. Tuwanyoe ili mafisafi wajue hili Taifa siyo mali yao! KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI NI SASA.
Huo ndiyo ukweli ndugu,haya madudu ya kijani yanatakiwa kuchomwa moto kwenye uchaguzi ujao 2024/2025,yasipate Balozi wa nyumba 10, mwenyekiti wa kitongoji, diwani mbunge wala Rais!
Watoto wa viongozi wote wana ajira tena kwenye nafasi nzr na wengine wamesoma na watoto wetu lakini wa kwetu hawana ajira.tuambiwe ni mtoto wa kigogo gani haha ajira na anatembea na cv.kwenye maofisi akisaka ajira.jamani wamwogope Mungu.Mungu akikasirika akawageukia watalia machozi ya damu.tunataka ajira kwa kila kijana ili mradi ana vigezo.
Wananchi tunapongeza uamuzi huu wa Chadema na tuwe tayari kushiriki maandamano na mapambano haya bila kuogopa wala kurudi nyuma,hayo ndiyo maamuzi ya kiume aliyoyafanya mwenyekiti Mbowe na tukiunganisha nguvu zetu pamoja tutashinda, Mungu simama katika haki wenye haki washinde jambo hili,Ameni. KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI NI SASA.
@@hamisijuma8124Alaf ndg zangu Wa kiimani hii sio vita ya kidini Bali ni vita ya maendeleo acheni upuuzi mimi ni Muislam ila nikipitia kila comments nyingi zinazopinga ni za mrengo wetu kwanini? Ni nan aliyetudanganya? 😢
Kwakweli hawa ccm wamezidi sana, ccm ni kakikundi kadogo kanakosaidiwa na vyombo vya Dola. Hawa askari watakaozuia jambo hili watakuwa wa ajabu sana. Halafu askari ndio wanaolipwa mishahara midogo sana lakini wanawalinda wanaowaumiza.
Ila waandishi wa habari wa Tanzania ni very unprofessional. Uulizaji wa maswali yao tu unaonesha liko tatizo kwenye professional hii hapa nchini hasahasa kwenye uelewa na ufahamu wao
Kwa mara kwanza Chadema kuonesha njia ya ukombozi wa fikra juu ya taifa letu, kikubwa msimamo wasio na vyama Tunawaunga mkono CCM wametufanya kenge kwa mda mrefu sasa
MUNGU WA HAKI SIMAMANA WAPENDA HAKI. UKO WAPI MUNGU WA DANIEL? UKO WAPI MUNGU WA MESHACK NA ABINEGO??? SIMANA NA MBOWE NAONA ANAKWENDA KUTUPWA KATIKA TANURU LA MOTO.KWA SABABU TU AMEKATAA DHURUMA.
Mimi naomba maandamano yalenge mambo matatu (1) tume huru ya uchanguzi (2) tunaitaka tanganyika yetu iwe huru (3) tunaitaka bandari yetu na mwisho hatumtaki kabisa samia
MKO WAPI AZAM TV, TBC NA VYOMBO VINGINE VYA HABARI KUONYESHA HOTUBA HII LIVE.....TUNAAMBIWA 'MNATISHWA' NA CCM NA VYOMBO VYA DOLA WENU...AIBU NA FEDHEHA KWENU.
KWA KAULI YA MH MBOWE SASA NINAONA MWANGA WA MABADILIKO YA NCHI YETU, ,,KWA MAANDAMANO NI UKOMBOZI NA DEMOKRASIA YA KWELI ,,HONGERA MH MBOWE TUKO PAMOJA WATANZANIA WENZEKO WAPENDA MABADILIKO
Baba wanapandisha nauli kwenye daladala wanavyotaka wao bila kujiuliza mtanzania anaepata kipato kidogo, kwa mfano ndugu Mh. Kutoka gongo lamboto kuja masaki nauli ni shilingi 1100 kwenda TU hapo hujarudi zamani ilikuwa 700 ebu tazama ongezeko LA nauli hapo viongozi wanalifahamu Hilo sema wanatuona sisi ni mazombi TU hatunafaida kwao inauma sana mh.sio haki kabisa
Minaomuomba mungu usiku na mchana chadema owe madalakani ccm hii ccm hii ccm hii itatuua kweli .tunateseka mno tulikua uchumi wakati zaizi tuko uchumi 0 kabisa wanashindwa kutatua tatzo la umeme ,kweli mmchadema woyeeeeee
Wewe mbowe shida yako na wewe unabadilishiaaga gia angani uwa mnakuja kulalalama baada ya kuona maslai yenu yameguzwa uliwekwa ndani kwa kosa la uhaini tulipiga kelele chaachabu uliitwa ikulu cjui ulipewa nn ulipokuja ukatupiga marufuku kuwanyooshea viongoz wa serikali vidole na kuchukua CDM yote ukaipeleka ikulu tuambie kwanza ulihonga nn ama ulihongwa nn kesi yako ikafutwa
Iv ni kwamba vyombo vya habari habari vikubwa hapa nchini Tanzania kama Tbc, Azam tv, wasafi, UTV, ITV na vinginevyo ni kwamba huwa chadema hawavialiki katika platform zao au ni kwamba ivyo vyombo vya habari huwa havitaki kushiriki???
Mboe angekuwa mpinzani wange mfumgia makasino yake mboe siasa ni kama kazi ana shida ya kwenda ikuru anajua ana sifa kuwa Raisi yeye ana piga ruziku mboe akuna mwenyeki Mwingine mwaka 25 mwenyekiti yeye tukimpa nchi atatoka atatoka ikurru
Chadema Awana uwezo kuamdama daresaramu Ra moshi au Arusha sio daresara warifanikiwa maandamano cafu pekee ripumba kavunka mkono. Mboye kavujwa rini mkono zaidi kuwekea jera kwa mchongo
Awadhrajabu vurugu ataileta ccm maana yeye ashatangaza kuja na polic na wanajeshi na ff u Sasa hap mtata ni ccm na SKU zote mbabe ukimuendekeza mwisho wa SKU atakupangia ule Ila usinywe Sasa hii ni kututoa sisi ktk utanzani kujipa yeye ndo mwenye haki na Tanzania bora iwe vyovyot itakavyo kua acha uoga bro
Askari wakiwafuta mkakati sio kukumbia wote kwani chini kwani askari awezi kumpiga aliye kaa chini.Martin Lither King waliweza kutembea hadi WashntonMkikimbia ni hatari kupigwa
Chadema na mbowe na wanachama wote kwa jumla mnasumbuka bure CCM haijali chochote inachotaka ni ushindi tu mnapoteza mda bure mama na makonda na kinana na ma group yao hawezi kuacha kitu. , ushauri wangu nyinyi chadema washaurini wananchi wafanye maombi ya kulani CCM ,MUNGU atasikia kilio chao na viongozi wa CCM watapoteza Dira then watasambaratika .Lakini kwa njia ya kura hamtaweza hata kwa miaka50 ijayo.
Naona maombi yameshafanyika na hayatakoma! Hivyo subiria kuona ccm inavyoungua na hao mafisadi wake! Moto huu utawaunguza na tutaongea Lugha moja! KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI NI SASA.
Jamani wanachama na wananchi muwe makini na hizi kauli na matokeo yake juzi kapokea milioni 150 wao wanakutana na raisi sisi wanatushawishi tukakutane na fidifosi
Maandamano Ni Mchezo Wa Kupata Au Kukosa Yani Kugawanya Taifa Au Kujenga Taifa Kwasababu Wananchi Ndani Ya Wananchi Wako Wasio Wananchi Japo Wanaishi Ndani Ya Nchi Watu Kama Hao Ni Wepesi Kubadili Maandamano Na Kuwa Mauwaji Yakifikia Ayo Apo Kama Akutawaiwa Kuzima Mambo Ayo Tutakua Kama Mataifa Jilani Na Kwanini Tufike Uko Wakati Taifa Letu Tunapga Kula Mimi Naona Kama Ni Kutisha Wananchi Hata Chama Chenu Kinatisha Watu Kuwapa Of Watu Unapomwambia Mtu Kwenda Kuandamana Nayeye Anajua Nyinyi Ni Viongozi Na Vyombo Vya Aki Vipo Mengine Ya Nini Yako Makundi Kama Panya Rodi Unazani Nao Watakua Wenye Kuleta Amani Kwenye Kuandamana Watatembea Lakini Wakiwa Na Mapanga Viunoni Viongozi Wajitaidi Kukemea Matumizi Mabaya Ya Pesa Kwa Watanzania Mtanzania Akipata Pesa Anawaza Kula Bata Awazi Kuwekeza Kufungua Kampuni Taifa Lisingekuwa Na Mabaha Kwa Miaka 15 Maisha Yangebadilika Kwa Watu Wengi Sana Matajiri Wangekua Wengi Lakini Sasa Mtu Anapata Milioni Kazaa Anakula Bata Akifilisika Kesho Analalama Maisha Magumu Kichwani Anawaza Bata2
Utatawaliwa na chama kimoja Hadi kizazi kipi ? Tunataka chama ambacho kinaibadili katiba tuliyo nayo ili itoke kwenye kulindania bila kujali vyeo vyao ; Albashiri wa sudani yuko wapi ?
Ccm kila kitu wamekihodhi jeshi lao ,askari wao ,bunge lao,mahakama yao ,katiba yao ,,wananchi hatuna pa kukimbilia Unataka watanzania wafanye nini? SULUHISHO NI MAANDAMANO MPAKA KIELEWEKE NA KATIBA MPYA LAZIMA WATOWE
Hali ni ngumu sana ya kimaisha ,,,,vitu vimepanda , umeme mugao kila siku ,,,, wafanyakazi wa serikali wanaibiwa fedha zao kwa kitu kinachoitwa KIKOKOTO ,,,,,, Hali ni mbaya ,,,,afadhari ya mzee wa CHATO,,,, alitusaidia tukafika kwa kufuta machozi
Ndiyo Mzee Baba tunahitaji mabadiliko 💯
Kazi nzuri sana mkubwa hii imeenda salam ziwafikie
Big up sana chama kubwa
Kazeni buti tuko nyuma yenu watu wanaotegemea wizi wa kura ili waendeleee kuongoza hao Ni wepesi Kama karatasi siku zote mungu Yuko kwenye haki ! Na sio kwenye wizi wa kura!!!!
Mie ni kutoka Zanzibar naunga mkono maamuzi ya Chadema kwa mara ya kwanza. Na huku znz pia yafanyike maana Mwinyi nae anapuuza maagizo ya kamati.
Mbowe mbowe!..kwa hotuba hii we ni nabii uliyekuja kutukomboa baada ya nyerere,Mungu akulinde mpaka ndoto zako zitimie,ccm imefikia mwisho,hotuba ya Karne kwa watz,zingatiane haya!...tz
Haswaaa
Well said Mheshimiwa Mbowe
Chadema kazeni buti isiwe kama UKUTA. Znz tutawaunga mkono. Sie kuuliwa ni cha mtoto tu tushazowea.
Mwenyekiti sasa mmeanza kuwa serious..... Huu mwaka uwe ni wa action zaidi maana future ya Tanzania chini ya hawa majambazi inafifia vibaya sana.
Tena kwa sasa wamekua wanyonyaji wa nchi
Tatizo ninyi chadema tuna waunga mkono halafu badae tunapoteza kura zetu Bure mnazubaa mpaka ushindi unapotea.
Wananchi huu ndiyo wakati wa kulikomboa Taifa letu,Tanganyika yetu na rasilimali zetu,ccm haifai kupata kiti chochote kuanzia wenyeviti wa mitaa,vitongoji,kata,madiwani,Wabunge na Rais. Tuwanyoe ili mafisafi wajue hili Taifa siyo mali yao! KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI NI SASA.
Huu ni wakati wa kuunda UKAWA mpya kwani umoja ni nguvu. Ccm wamezidi zarau.
Huo ndiyo ukweli ndugu,haya madudu ya kijani yanatakiwa kuchomwa moto kwenye uchaguzi ujao 2024/2025,yasipate Balozi wa nyumba 10, mwenyekiti wa kitongoji, diwani mbunge wala Rais!
Nimejikuta nalia kumskilza mbowe kweli tanzania tunaishi kwa mazoea nakibri kwamba watafanywa nini waspofanya
People's power ✌️
Watoto wa viongozi wote wana ajira tena kwenye nafasi nzr na wengine wamesoma na watoto wetu lakini wa kwetu hawana ajira.tuambiwe ni mtoto wa kigogo gani haha ajira na anatembea na cv.kwenye maofisi akisaka ajira.jamani wamwogope Mungu.Mungu akikasirika akawageukia watalia machozi ya damu.tunataka ajira kwa kila kijana ili mradi ana vigezo.
Edison alifanya majaribio10999 bulb haikuwaka zoezi LA elfu 11 ndipo bulb ikawaka.
Mungu akubariki...mikoa yote
Sema baba
Wanaokataa maandamano ni watoto wa viongozi ambao hawajui na gharama ya maisha.
Ndiyo hayo mafisadi majambazi majizi ya rasilimali zetu ndiyo yanakataa maandamano ila nguvu yetu moja tutashinda.
Hakuna kitakachobadilika hadi ifike mahali tuuane na viongozi wafiwe ndio akili itawakaa sawa.
Mimi ninayo njia mkitaka nitawaambia
Wakiuwa na sie tuuwe tu. Tunao mitaani
CHADEMA....CHAMA MBADALA WA CCM KWACHAGUZI ZA 2024 NA 2025....WATANZANIA BILA KUJALI VYAMA NA DINI ZETU TUKO NYUMA YENU.
Wananchi tunapongeza uamuzi huu wa Chadema na tuwe tayari kushiriki maandamano na mapambano haya bila kuogopa wala kurudi nyuma,hayo ndiyo maamuzi ya kiume aliyoyafanya mwenyekiti Mbowe na tukiunganisha nguvu zetu pamoja tutashinda, Mungu simama katika haki wenye haki washinde jambo hili,Ameni. KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI NI SASA.
Kaandamame Libya watanzania hatuna utamaduni huo
@@hamisijuma8124 Wanufaika wa mafisadi wanajulikana! Muda utafika tutaongea Lugha moja!
@@hamisijuma8124Libya ya Baba yako
@@hamisijuma8124Alaf ndg zangu Wa kiimani hii sio vita ya kidini Bali ni vita ya maendeleo acheni upuuzi mimi ni Muislam ila nikipitia kila comments nyingi zinazopinga ni za mrengo wetu kwanini? Ni nan aliyetudanganya? 😢
Leo ndo nimeona umeongea kama mpinzani mungu akutangulie
Sir yes Sir !!!
Mambo si ayo bwana
Hapa sawa
Kama wamezoea kuhua. Bola watuuwe wote lakini sikwaujinga uhu
Kwakweli hawa ccm wamezidi sana, ccm ni kakikundi kadogo kanakosaidiwa na vyombo vya Dola. Hawa askari watakaozuia jambo hili watakuwa wa ajabu sana. Halafu askari ndio wanaolipwa mishahara midogo sana lakini wanawalinda wanaowaumiza.
Ama kweli mnapambana kuhusu haki
Pamoja
Leo ndo nimekuelew mkuu
Ila waandishi wa habari wa Tanzania ni very unprofessional. Uulizaji wa maswali yao tu unaonesha liko tatizo kwenye professional hii hapa nchini hasahasa kwenye uelewa na ufahamu wao
mbowe pamoja
Tuko pamoja
He mbowe Loko spaiz safi sana
Tanzania hii samia hakumbuki tena ka kulikuwepo na bunge ra katiba mpya ivo uchaguzi usifanyike hadi mchakato wa katiba mpya ifanyike
Usije kutugeuka sasa maana nyie nao mnaturudisha nyuma ukipewa bi ngap unatutelekeza naomba msimamo huu huu ❤❤
Fanyeni kiume kwa ajili ya haki usawa acheni maneno matupu
Ni nchi nzima tuanze maandamano
Hofu ya Mungu ndio jambo la msingi!
Hayo ndiyo maamuzi ya kiume wananchi tumechoshwa na plopaganda za maccm
Great
Nakuelewa mkuu pamoja sana
Kwa mara kwanza Chadema kuonesha njia ya ukombozi wa fikra juu ya taifa letu, kikubwa msimamo wasio na vyama Tunawaunga mkono CCM wametufanya kenge kwa mda mrefu sasa
Kabisa
Hii ndio maana ya upinzani.haiwez kuwa maneno maneno bila actions kila siku
MUNGU WA HAKI SIMAMANA WAPENDA HAKI. UKO WAPI MUNGU WA DANIEL? UKO WAPI MUNGU WA MESHACK NA ABINEGO??? SIMANA NA MBOWE NAONA ANAKWENDA KUTUPWA KATIKA TANURU LA MOTO.KWA SABABU TU AMEKATAA DHURUMA.
Mimi naomba maandamano yalenge mambo matatu (1) tume huru ya uchanguzi (2) tunaitaka tanganyika yetu iwe huru (3) tunaitaka bandari yetu na mwisho hatumtaki kabisa samia
Netanyahu aliulizwa maswali alfu hadi wengine wakakosa nafasi, hapa ni wawili. Watanzania milioni 63 Mayahudi milioni 3.
MKO WAPI AZAM TV, TBC NA VYOMBO VINGINE VYA HABARI KUONYESHA HOTUBA HII LIVE.....TUNAAMBIWA 'MNATISHWA' NA CCM NA VYOMBO VYA DOLA WENU...AIBU NA FEDHEHA KWENU.
Waache na hizo Tv zao waache tutaunsubscribe mbona hata sisi tunakuwa tunapata viewership nzuri siunamuona Jambo Tv anavyokuwa siku baada ya siku
KWA KAULI YA MH MBOWE SASA NINAONA MWANGA WA MABADILIKO YA NCHI YETU, ,,KWA MAANDAMANO NI UKOMBOZI NA DEMOKRASIA YA KWELI ,,HONGERA MH MBOWE TUKO PAMOJA WATANZANIA WENZEKO WAPENDA MABADILIKO
Baba wanapandisha nauli kwenye daladala wanavyotaka wao bila kujiuliza mtanzania anaepata kipato kidogo, kwa mfano ndugu Mh. Kutoka gongo lamboto kuja masaki nauli ni shilingi 1100 kwenda TU hapo hujarudi zamani ilikuwa 700 ebu tazama ongezeko LA nauli hapo viongozi wanalifahamu Hilo sema wanatuona sisi ni mazombi TU hatunafaida kwao inauma sana mh.sio haki kabisa
Mbowe❤
Mwenyekiti Leo nimekuelewa
Hapo nimeelewa sana
Minaomuomba mungu usiku na mchana chadema owe madalakani ccm hii ccm hii ccm hii itatuua kweli .tunateseka mno tulikua uchumi wakati zaizi tuko uchumi 0 kabisa wanashindwa kutatua tatzo la umeme ,kweli mmchadema woyeeeeee
Sauti jamaani hatusikii mitambo imekorofisha ndg
💪💪💪👌✌️✌️✌️✌️✌️✌️❤❤❤
Wewe mbowe shida yako na wewe unabadilishiaaga gia angani uwa mnakuja kulalalama baada ya kuona maslai yenu yameguzwa uliwekwa ndani kwa kosa la uhaini tulipiga kelele chaachabu uliitwa ikulu cjui ulipewa nn ulipokuja ukatupiga marufuku kuwanyooshea viongoz wa serikali vidole na kuchukua CDM yote ukaipeleka ikulu tuambie kwanza ulihonga nn ama ulihongwa nn kesi yako ikafutwa
@@thomasmallya2972tuliza iyo Niaje Man Ndonga ya kiume Haitaki Mawenge
Mbowe akili mwingi
Iv ni kwamba vyombo vya habari habari vikubwa hapa nchini Tanzania kama Tbc, Azam tv, wasafi, UTV, ITV na vinginevyo ni kwamba huwa chadema hawavialiki katika platform zao au ni kwamba ivyo vyombo vya habari huwa havitaki kushiriki???
Vimeolewa vyote ns gavoo
AMANI,ITAWALE❤
Tunawasoma kwa saut ya juu sana
Pamoja sana tunawapata vzr hapa Lilongwe Malawi,tupo pamoja
Viongozi wengi chadema wa chaga chadema chama Cha siasa au chawa chaga kunanitia mashaka sana awa. Wakipewa nchi atari
Oky
Si Walisema Chadema imekufa?
Mama huyu is double faced
Kumekuchaaaaaaaaaaaaa.
Hiki chama huwa sikielewi kabisa ni cha ukoo au kabila 😮😮😮 mara kileo mara mushi nk hiki chama pia ni tatizo tu
Kabisa tatizo vile vile hawana lolote, ngoja wachukue hiyo nchi uone utumbo wao hakuna chochote cha ajabu watafanya yale yale tu.
Kama ulikuwepo vile yaani nyani ciku zote halioni kundule
Mboe angekuwa mpinzani wange mfumgia makasino yake mboe siasa ni kama kazi ana shida ya kwenda ikuru anajua ana sifa kuwa Raisi yeye ana piga ruziku mboe akuna mwenyeki Mwingine mwaka 25 mwenyekiti yeye tukimpa nchi atatoka atatoka ikurru
Mbowe mungu akulinde pambana niko na wewe baba nataka mabadiliko CCM imetuchosha
❤
CCm wameishiwa hoja watupishe tuwaoneshe inchi inavyo ongozwa kamanda endelea kupambana mingu akulinde
Taifa Letu Mpaka Intaneti Nazo Zinaleta Pozi Hi Inamanisha Wanaona Wako Kwenye Maamuzi Yao2
Hiki chama humu hakuna viongoz wa juu mazaramu
Aiseee
Twende na mbowe kuchochewa siasa ya tz
Mzee mbowe ss tunakuunga mkono natuko pamoja nipo mvomero turian
Chadema Awana uwezo kuamdama daresaramu Ra moshi au Arusha sio daresara warifanikiwa maandamano cafu pekee ripumba kavunka mkono. Mboye kavujwa rini mkono zaidi kuwekea jera kwa mchongo
Mpeni nafasi y urais dkt silaa hapo inchi inakwenda mapema na chadema
Hatafutwi Rais bali wanazungumzia mswaada wa Sheria za uchaguzi. Hivyo elewa.
Raisi nae yupo kimya hata akohowi kuhusu umeme kwavile ikulu haukati hana shida na wanainch
Ofisi imejengwa maeneo salama.
Una uhakika? Acha tuishi tulivyozoea amani idumu TANZANIA oyeee!amani daima
Mm hamadi ali salumu ni
Awadhrajabu vurugu ataileta ccm maana yeye ashatangaza kuja na polic na wanajeshi na ff u Sasa hap mtata ni ccm na SKU zote mbabe ukimuendekeza mwisho wa SKU atakupangia ule Ila usinywe Sasa hii ni kututoa sisi ktk utanzani kujipa yeye ndo mwenye haki na Tanzania bora iwe vyovyot itakavyo kua acha uoga bro
MUNGU,peke yake akusimamie Mzee mbowe
Askari wakiwafuta mkakati sio kukumbia wote kwani chini kwani askari awezi kumpiga aliye kaa chini.Martin Lither King waliweza kutembea hadi WashntonMkikimbia ni hatari kupigwa
Heshima kwako kamanda mbowe
Chama hakina hata sare aileweki sare yao ni ipi😂😂😂
Hapo sasa mm mwenye nikajua kikundi cha masera kwenye vikoba
Sawa mkuuu
Ccm oyeeeeee mwamba kashaaanza kutusaidia kampeni tunakushukuru mbowe huna baya andamana tu hata ukitaka zunguka dunia nzima 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wananchi wamechoka na ugumu wa maisha
Hii imekaa sawa naunga mkono
Kiswahili
Mbowe ni mwamba
Nitumieni kwa eartll mone
Chadema na mbowe na wanachama wote kwa jumla mnasumbuka bure CCM haijali chochote inachotaka ni ushindi tu mnapoteza mda bure mama na makonda na kinana na ma group yao hawezi kuacha kitu. , ushauri wangu nyinyi chadema washaurini wananchi wafanye maombi ya kulani CCM ,MUNGU atasikia kilio chao na viongozi wa CCM watapoteza Dira then watasambaratika .Lakini kwa njia ya kura hamtaweza hata kwa miaka50 ijayo.
Naona maombi yameshafanyika na hayatakoma! Hivyo subiria kuona ccm inavyoungua na hao mafisadi wake! Moto huu utawaunguza na tutaongea Lugha moja! KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI NI SASA.
We unamawazo ya kiboya sana
Jamani wanachama na wananchi muwe makini na hizi kauli na matokeo yake juzi kapokea milioni 150 wao wanakutana na raisi sisi wanatushawishi tukakutane na fidifosi
Acha uongo
Umeme tunateseka ile mbaya yaumeme tuwatazamie
Paka wangu shujaa na jasiri ametokomea kusikojulikana; Sasa ,panya buku,panya wana haribu nafaka katika nyumba yangu.
ww na ww Acha ukorofi bwana kama nimekuelewa hiv maana yako.
Maandamano Ni Mchezo Wa Kupata Au Kukosa Yani Kugawanya Taifa Au Kujenga Taifa Kwasababu Wananchi Ndani Ya Wananchi Wako Wasio Wananchi Japo Wanaishi Ndani Ya Nchi Watu Kama Hao Ni Wepesi Kubadili Maandamano Na Kuwa Mauwaji Yakifikia Ayo Apo Kama Akutawaiwa Kuzima Mambo Ayo Tutakua Kama Mataifa Jilani Na Kwanini Tufike Uko Wakati Taifa Letu Tunapga Kula Mimi Naona Kama Ni Kutisha Wananchi Hata Chama Chenu Kinatisha Watu Kuwapa Of Watu Unapomwambia Mtu Kwenda Kuandamana Nayeye Anajua Nyinyi Ni Viongozi Na Vyombo Vya Aki Vipo Mengine Ya Nini Yako Makundi Kama Panya Rodi Unazani Nao Watakua Wenye Kuleta Amani Kwenye Kuandamana Watatembea Lakini Wakiwa Na Mapanga Viunoni Viongozi Wajitaidi Kukemea Matumizi Mabaya Ya Pesa Kwa Watanzania Mtanzania Akipata Pesa Anawaza Kula Bata Awazi Kuwekeza Kufungua Kampuni Taifa Lisingekuwa Na Mabaha Kwa Miaka 15 Maisha Yangebadilika Kwa Watu Wengi Sana Matajiri Wangekua Wengi Lakini Sasa Mtu Anapata Milioni Kazaa Anakula Bata Akifilisika Kesho Analalama Maisha Magumu Kichwani Anawaza Bata2
Huna akili wewe
Tuko pamoja m/kiti mbowe
@@AshrafuJonny-sz4gsWAPI?
Utatawaliwa na chama kimoja Hadi kizazi kipi ? Tunataka chama ambacho kinaibadili katiba tuliyo nayo ili itoke kwenye kulindania bila kujali vyeo vyao ; Albashiri wa sudani yuko wapi ?
Ccm kila kitu wamekihodhi jeshi lao ,askari wao ,bunge lao,mahakama yao ,katiba yao ,,wananchi hatuna pa kukimbilia Unataka watanzania wafanye nini? SULUHISHO NI MAANDAMANO MPAKA KIELEWEKE NA KATIBA MPYA LAZIMA WATOWE
Nguvu ya uma
Hali ni ngumu sana ya kimaisha ,,,,vitu vimepanda , umeme mugao kila siku ,,,, wafanyakazi wa serikali wanaibiwa fedha zao kwa kitu kinachoitwa KIKOKOTO ,,,,,, Hali ni mbaya ,,,,afadhari ya mzee wa CHATO,,,, alitusaidia tukafika kwa kufuta machozi
Ccm miyayusho
A