Hadi aibu jamani khaaa, Sisi huku DODOMA tunaambiwa eti pump imetumbukia chini sana kisimani miaka minne Sasa ila kwenye mitaa wanayoiahi viongozi akiwemo Waziri Aweso mwenyewe maji yanatoka Kila siku Hii maana yake Nini??
Shida kubwa ya matatizo yoooote ni uongozi mbovu, utamkuta mtu akipata cheo serekalini , yeye kazi yake kubwa ni kufukuzia utajiri wa wizi, hana habari na kuletea wananchi marndeleo. Badilikeni viongoz wa TZ.
Ila tatizo letu wananchi kuweni makini wanakuja kuomba kula mikono nyuma ngoja wakipata kula wanaenda kujaza vitambi vyao
Akina Amina kwa kuongea 🙌🙌
Asante Ayo tv kwa kututetea
ccm oyeeee
Ccm tutapita tu bila kupinga ccm kwanza mengine baadaye
😂😂😂 back mtamchaguwa tena huyoohuyooo
Si mama Abduli alisema uchumi umepanda..😢.. au kunanamna akuelezea tuelewe kwa kina ...anyway mitano tunae mpka tunyooke akili ..😂
Kunaendelea kuchangamka, taratibu tutafikaa tuu
Tatizo ni moja tu nchi hii, njaa ya ubongo
😀😃😃😃,kabisa ubongo umekula Njaaaa
Naombeni mnichague tena awamu hii ntaakikisha maji yanawafikia kila mtu ndani kwake chumbani
Ila Arusha Idara ya Maji inapambana sana yaani wananchi tukipiga simu hata kama ni changamoto kidogo wanafikaga haraka na kutatua tatizo
Yaaani maji Ni ya kununua ila bado yanapatikana kimanatiii
Hstuna viongozi
Nakwanini wapate malamoja?
Tatizo la viongozi wa Tanzania wapo so selfish, hata hiyo siku moja haitoshi maji ni uhai lazima kila siku, wanaona raha kuona wengine wanateseka
Muombeni Abood awaletee maji...😂
Tutamkumbuka sana magufuli Simba wa afrika
Njooni huku tulipo tunajichotea mtoni maji safi. Mmerundikana hapo Mjini tu. Fyuuuu.
Bigwa ndo usiseme.morowasa hawawezi kazi watumbuliwe
Alfu bdo mnawapigia kula ujinga tu
CCM itawaramba mpaka mtie akili hela mpaka atoe Samia 😂😂😂hawo wahandisi mnawaonea hamna mipango ya mda mrefu
Vp wazir hajaiona bdo.
Moro goro iyooo,tatzo sio maji moro hakuna tatizo watu wanataka maji hadi barazani..
Mkiambiwa muqndamane aaaah
Tutamkumbuka sana shujaa imara Aliye kuwa mtata ila alijenga nchi kweli alikuwa Simba huu usanii usingekuwepo
Narudia hii nitanzania nzimaa kwani hatamwanza tunaangaika sana
Hapa tuulizane wadau.hawa viongozi wao wanaweza juvumiliya hii haki?
Mbeki kimara usiseme😂😂😂
Uweso hao hamisha wafanyakazi wameoza
huyo mpumbavu wa morrowasa anabishaa na mkuu wa wilaya??? anajielewa kweliii, au kachoka kazi.
Mkurugenzi huyu hafai,tena mbishi kwa mkuu wake
Hadi aibu jamani khaaa, Sisi huku DODOMA tunaambiwa eti pump imetumbukia chini sana kisimani miaka minne Sasa ila kwenye mitaa wanayoiahi viongozi akiwemo Waziri Aweso mwenyewe maji yanatoka Kila siku Hii maana yake Nini??
Kumbe Kwa Waziri yanatoka? Kachoteni kwake mpaka akereke.
Endeleeni kumchagua babutale mtajuta😂😂😂😂
Asa babu tale anahusika vpi uko mkundi
@@JoyceSamwel-f2s nimfano wa viongoz wanao fatilia mzk badala ya kufanyq kaz z wananch
@@JoyceSamwel-f2s yy kaz ya kupeleka wasanii wakapge show tu
Selikari haijafanya kazi itatua maji kwanza ndo waje watuambie mengine watafanya ccm
Dah! maji siku moja kwa wiki? ni dunia ya karne gani? inaogooesha sana halafu mnataka jiji?
Cccc oyeee mitabo tena hawajinga tu
Shida kubwa ya matatizo yoooote ni uongozi mbovu, utamkuta mtu akipata cheo serekalini , yeye kazi yake kubwa ni kufukuzia utajiri wa wizi, hana habari na kuletea wananchi marndeleo. Badilikeni viongoz wa TZ.
C CM achieni ngazi, kazi ya kuiletea tanzania maendeleo hamuwezi. Pumzikeni tu hata hivyo mmechoka cha kutosha tangu 61, inatosha.