MBOWE AMVAA KIKWETE MKUTANO ARUSHA "ANASAFIRI NA RAIS KAMA NANI WANATUMIA PESA NYINGI NJE"
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
UA-cam : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Kikwete anatama sana na ni mtu ambaye hatosheki.
Tamaa kivipi
Serikali ovyo sana sisi tunapambana vitu vimepanda bei nauli juu wao wanaendekeza anasa hospitali dawa hakuna vitanda havitoshi watanzania tuamke ifike wakati huu uchafu wa nchi hii wa CCM kutuibia kura na katiba zao zilizopitwa na wakati na mfumo wa zamani wa kikoloni nchi inaliwa na wachache wengi hali zetu hoi
👏👏👏👌👌
SUBIRI MBOWE ATAKUGAIA RUZUKU KIDOGO USIJALI 😢😢😢😢😢
Ukistafu kaapembeni mda wako umeshaisha kama una mawazo mazuri ungeyatumia enzi za utawala wako. Huna jipya tena.
Hakuna kiongozi atakaye tokea
Kupendwa na watanzania kama
Magufuli ukweli utabaki kua ukweli
Tena hata angetoka ccm kwenda kwingine angepata kura kwa kishindo
Tusidanganyane japo tulimuita Dictatorship lakini mango amefanya na tunayaona wenyewe
Lakini ndie pekee aliyepoka uchaguzi mpaka Leo mnasema bunge lote ni ccm lakini ujingaa huu kauleta nani,
Sijawahi kuwa mwanasiasa lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni magufuli jembe ataishi mioyoni mwetu milele @@hatibuyusufu4668
Kumbe ndiyo sababu nchi hii haina dolla kabisa , zinatumika kununua vipodozi .
Hii kweli Kali sasa munasema lissu ametukana hii mbowe Kali kuliko zote
Wabunge wa ccm unatengemea waseme nini, hawana jipya, ni upigaji kila kukicha
Jamaa anawachana vby
Mnaongea maneno magumu watanzania wanateseka sana
Wakati wao Nashangaa sana Rais anasafiri nandege yakubeba watu. 200. Wakati ndege ya rais. Yakubeba watu. 10.ipotu tunaiga nchizenye uchumi wajuu😢😢 lnnalillah wainna illaihi Raajiun 🤲😭 Tanzania 🇹🇿🇹🇿
Dah yaan kikwete sijui anashida gani na watanzania jamani ila mungu anawaona kabisa
HAPO KWELI MPE UKWELI MSTAAFU ASITAAFU YOTE.
Cdm lazm mtafute mwarobaini wa wizi wa kura hawa polisi, usalama na wakurugenzi ili mshindi apatikane kihalali
This time around, God's hand will be upon us❤❤❤
XO chadema jukumuletu
Sote wnanch.
Tuanze kwanza na wewe Mbowe kwanini Unekuwa Mwenyekiti wa chadema kwa zaidi ya Miaka 20 nawewe ni Mpigaji😂😂😂😂😂😂
Mimi naona nchi hii ccm haiwezi kuongoza
Kwa hili nakuunga mkono mbowe
Tanzania maskini tunaambiwa
Barabara km zaidi 70 zinafungwa, masaa zaidi ya matatu wanapopita wakubwa mateso hayo ya nini?
Ni aibu wenzetu wanatushangaa sana.Wangekuwepo wa Captain Traore hapa Tanzania wangechukuwa hatua.
Nakuunga mkono aisee kwetu kuna vyombo vya serikali sio kwaajili ya wananchi ni Mungu tu atusaidie kwakweli🙏🤲
Watanzania tubadilike na tuwe na maamuzi ..
CHADEMA Limebaki jina tu viongozi mmechoka sana tena sana
Utachoka ww chadema haitochoka utasubiri sana
Mungu awasaidie chadema miaka mingi mnsibiwa kura hawana aibu kwa lowassa wali8bakwa lissu waliiba kwa slaa waliiba tumlilie sanz mungu awafunge mikono
Hii nyongeza ya utumbo, unahoji JK kama Nani? Nimeishia kwenye kichwa cha Habari tu 😂😂😂
Jamaa anajua uzandiki kweli yaani shule inafungwaje?
Mbona siku za mikutano yote ya ccm ,watoto wote wapo shule
Duu!!! Umetupiga mlemle...hataarii..
Exelence president Samia sluu Hasan has to see national is on the big trable anaitaji kiachana na kikwete mawazo yake sababu kikwete bado ni mtu mwenye tamaa sana ktk taifa Rasilimali zetu kuwaachia wageni exelence president Samia sluu Hasan has to rengforce use lteligince more than ccm member to lnvestg thing underground on gavment office to maintain corporation people in the leadership lteligince has to be much cicret to maintain manpower of exelence president Samia sluu Hasan to drive better Tanzania creat better economy asepty opposition plan forgot about coruption people advise your leadership outcome your the leader who lmbarasing yourself
Whaaaaat!!??? Good God why do you have to embarrass yourself like this using language you have no mastery of? Why don't you just use your lingua franca friend? You have very little respect for your dignity and that of others. Kindly stop embarrassing us as Tanzanians.
Kikwete kama hayo ndiyo unayofanya ni aibu. Jitafakari . Hata Na wewe Samia raisi Wa nchi Ni kweli haya ndiyo unayofanya? Ni aibu, jitafakari. Kumbe ndiyo maana wanasema mama ameupiga mwingi, unajua maana yake au inafurahia tu?
Acheni upumbavi
@@KassimSalumu-fk6yk upumbavu uache wewe usiye Na akili za kutafakari.
Shikamoo mbwe kwa kikwete umeupiga mwingi
Tunampenda magufuli sana hakika asingekubali huo ujinga kwanza enzi zake hixo safar za kila mara hakunaga. Tunashangaa saiv duh wananchi wanateseka jaman hakuna wakutusaidia hii nchi ya tanzania imekua too much
Kamfufue
Kikwete analamba asali😮😮
SIASA ZA TANZANIA SITAKI RIP.JPM TUTAKUKUMBUKA DAIMA
mungu andie muweza yote
Ungekua wewe hata chooni ungeenda na ndege
Amekuwa betri, hawezi kuacha ulaji
Hakuna raisi kama kikwete watu tulimiliki pesa nyingi sana mungu ampe maisha marefu huyu mzee
...R.I.P DACTA JOHN MAGUFULI...
Wakati wake si umekwisha bado anataka pesa za haramu tuuu 😮😮😮😮😮😮😮
Kivip
Huzuni aibuu yaani hadi huruma
Kweli umengea mheshimiwa mbowe jamani mungu awapigainie sana
Haikuhitajika kuvaa miwani ili kuona mambo makuu aliotundea shujaa magufuli yote aliyotenda yataishi mioyoni mwetu milele alitenda kishujaa na akafa shujaa Africa tujiulize nini nyuma ya vifo vya mashujaa wetu ?
Kikwete anapenda kusafiri sana, nini jipya?
Sawa asafiri kwa gharama zake Ana fedha za kutosha. Rais anatakiiwa kikatiba kusafiri na mwenza wake ambaye hana makuu kabisa, mtu wa Mungu.
Wapinzani bado hamjatoa hoja imara ya namna gani ya kuimarisha maisha ya watanzania,mnataja tu mapungufu ambayo hata nyinyi mnayafanya na hata mkiingia madarakani mtayafanya.
-mlichukua marupurupu yote bungeni.
-mlifanya kampeni kwa gharama kubwa kwa helicopter.
-mliwapa dada,na wake zenu nafasi za viti maalum.
-hakuna mabadiliko ya kueleweka ya kiuongozi.
-chadema na ccm wote ni wapigaji,na mnahitaji tu kura mkale.
-tofauti yenu na wapinzani wa Kenya,Malawi,Zambia n.k ni nini?kwani hao wote walipoingia madarakani hakuna jipya walilolileta bali maisha ya wananchi yalizidi kuharibika na pengine zaidi.
Sleep vijukuu. Aache kuuza Tanganyika.
Wewe ukipenya utaacha kufanya hayo?
...acha maswali ya kipuuzi
Hilo nalo ni neno!!
Hata wanafunzi wa sekondali hupelekewa mabasi ili wahuzilie mikutano na huambiwa wasivae nguo za shule
Rip magufuri
Kweli mishahara hali mbaya in
Kelele za chura. Badala ya kumwaga sera hamna kitu kelele nyingiiii wala hueleweki
Magufuli aliziwiya hayo matumizi ila nyie Chadema mlipinga.
Nyie wote wachumi tumbo alivyo kuwa magufuli mlikuwa mnasema sana acha inyeshe 2one panapo vuja
Kuna mtu anamzidi pesa mbowe?
RIP JPM.
Kuhusu kikwete NI kiongozi wa kimataifa Kuna Engos za kimataifa Duniani anafanyanazo kazi na sio serikari yetu inayomlipia.
MBOWE NA CCM MNAFANANA NI MAPACHA KABISAA. Wewe siku zote miaka yote ndiwe mwenyekiti hutaki kutoka nao CCM hawatoki madarakani kwahiyo ni MAPACHA VING'NGANIZI WA MADARAKA.Hayo ni maoni yangu tu.
Haikuhitajika miwani kuona mambo makuu aliotufayia mpedwa magufuli shujaa sliepigania maslahi ya wanyonge mpaka tone la mwisho😊
Kivip
Tutajieni hizo safari za kikwete rais
Mtoe taarifa tunakushkuru
Ccm hawataki mabadiliko
Kikwete na genge lake wanatumaliza watanganyika, RIP JPM
Kivip
Apo umesema
Mama hajui kitu Mzee anamsaidia
Rais Ana wasaidizi wanaolipwa na serikali vipi mheshimiwa Kikwete anajua mambo kuliko mheshimiwa P. Kabudi?
Hujui kitu elimu ya kaburi na majukumu ya Rais ni mbingu na dunia mama hajui kitu
Jamani anamlinda na kumsaidia samia acheni wivu
😂😂😂👉🐸🐸🐸🐸
Hawa wakina mbowe ni wapigagi hatar
😂😂😂👉🐸🐸🐸
Hamna jipya ww mwenyewe mbowe ni mpigaji
Alikupigia mkeo
Je ni kosa Rais Mstaafu kusafiri na Rais? Mbowe wivu wa nini?
Kwa magufuli hakukuwaga na ujinga
Kivip
😂😂😂
Yeye si ndiye anamsaidia Rais hata kumteua Mkuu wa majeshi na Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa. Lakini pia ndiye anayeteua mawaziri na kumpatia Rais aapishe. Unaweza kuona amewateua wabunge sita wa mkoa wa pwani kuwa mawaziri. Na mawaziri wanne kutoka mkoa mmoja wa Tanga. Je hapo kuna national balancing? in the president appointees?.Tatizo hatuna security agencies nchi hii.
JE WEWE UTAWEZAAA?.
🐸🐸🐸🐸👈🏾🤣🤣🤣🤣
Kapiga kama miso misondo
Umepigaje hapo🤣🤣🤣
Rais Samia ni rais bora kuliko wote, hizi ni kelele za njaa. Vijana fursa zipo nyingi tufanye kazi.
We unaeongea hivyo ni mwana ssm eh ila huna lolote unaongea tu hujielew
Mbowe ana njaa au wewe ndo una njaa?
Kikwete mnafki ..
Vip
Kivip
Kikwete muacheni
Wajinga kama nyie ndo mnafanya nchi haisogei
Atoke kabisa. Ni tatizo kubwa la Taifa hili.
Chukua hatua sio kulalamika mjipange sio kupiga kelele tu
Hata ww kesho ukipanda utakua na yako kila mtu kambaa yuwavutia kwake hakuna mkamilifu so wacha wivu
Mungu atamehughulikia akieshupaza shingo iko siku malaika wa Vita Yuko wataangamia na hiyo ndege waacheni mungu anawaona
Wanasiasa wanakula Nchi hawa kila mtu na urefu wa kamba yake
Mbowe na wenzie wanakula pesa
Za Ruzuku
Hivi najiuliza Ruzuku kwenye siasa
ya nini na kwa nini iwe kwenye siasa tu ( wizi mtupu )
Mr mbowe kufungwa ofisi ili kushughulikia matatizo ya wananchi ni dhambi? Bro umeongea sio kabisa
Safi akalime huyo kijijin yeye amekua nani anafatafata nyuma dah
Mbowe acha za kuleta, wafanyakazi kwenda kwenye mkutano wa Makonda ni kwenda kujibu maswali juu ya kero mbalimbali za wananchi. Yaani unajifuta akili Kaka.
Jiongeze na hekima iwepo.
Njaa inawasumbua nyie
Tatizo chadema hamuaminiki,kikwete alisafiri mlisema,magufuri hakusafiri hamkusema zaidi mkabadilisha mada,kuna muda ukweli muwe mnasema,
Kikwete ni baba wa taifa kwasasa mtu muhimu muulize lema anajua jinsi alivyo msaidia kikwete katumwa sana na magufuri nje ya nchi, cha msingi kakaeni chini mfanye tathimini muangalie je maandamano yamewarudisha wananchi kwenye upinzani? Ninacho penda kuwaambia hamuwezi kuishinda ccm hata siku moja na rais samia suluhu hassan mitano tena
Tatizo la chadema wanahama hama sana na hoja .halafu wanasema watu. Chama kikubwa kama hiki .kinatakiwa kiende na ajenda .moja kama ni katiba basiiwe katiba.lakini wananchi hatuwaelewi kwakweli.
Kwa stahili hio yakusafili na rais mstaafu sizani kama watakubali katiba mpya ipitiswe itawabana nakuwanyima uhuru
Chadema amuaminiki,Mzee magu Alibana Kila Kona lkn Bado mlimzidoa, kiufup hamuelewek
Hapo mboe umechemsha makonda anakubarika Sana siio kwamba watu wanasombwa kwenye mikutano yake
Ndo mda wao wakula saiv
Mama is the best president ever seen in the world ❤
Wanampamba ili azidi kugawa maliasili zetu kupitia uwekezaji😢😢😢
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Acha ujinga wewe huyo ni raisi ng,ombe wewe
Mh.
Unzpe
Hata ungekuwa wewe ungefanya ivyo
Mwarsbu wa pemba unatafuta nininTangsnyika. Siku inakuja mtahamia huko uarabu.
So shida yako ni nn
Tatizo watnzania hamfikirii muungeni mbowe mkono maana ni hivi zile GARAMA za kusafiri kikwete kwenyenye hiyo bajeti ya kiserikali NI kutia hasara zisizo na manufaa kwa wananchi na kwataifa kwa ujumla yake wangenunua madawa mahosptal zhanti miundo mbinu tunasogea kimaendeleo tuache ushabiki tuangalie kesho yetu
Umekosa chakusema unaongeamaisha binafisi
Acha urongo wewe
Ukweli ninupi?
Inakuhusu ww Samia Juu...Njaaaa zinawasumbua wapinzani
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ni rais wa nchi anaishi kwa kodi zetu hana biashara nyingine.
Hela alionayo mbowe pengine hata nusu ya Tanzania akaihudumia kuwa na akili wewe Kibombogwa poornes wa akili ww wana njaa unamjua mbowe vizuri kweli ww🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Muache mzee apumzkee mlitaka asafiri nanani
Kwriiii kbsaaa always wanadamu hawana jema....Samia pga kazi mlitaka afanyeje
Rais samia ni rais mzuri sana anaweza. Kwenda na ndege ni sawa tu.
Rais kikwete anaweza kutumika na rais kwa sababu kikwete siyo mzee bado ana nguvu. Na kikwete anajua sana mawasiliano ya nchi za kimataifa.
Hata ningekuwa mimi ni rais ningemtumia kikwete. Maana kikwete aliweza kumleta rais wa marekani Tanzania.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂akili za darasa la kwanza
Daaa hahahaha hivi unaelewa unachozungumza?