CCM inayo nafasi kubwa sana ya kuendelea kushika dola kwa zaidi ya miaka 100 kwa uchache na hivyo wote waliopo ktk mkutano huu wataondoka duniani na kukiacha kikiwa chama kinacho endesha taifa letu
Maneno ya huyu mzee Dr Eaxsavry sio ya kupuuzwa hata kidogo. Msikilize kwa utulivu utagundua tuna kichwa. Tatizo lake ni desturi yake ya kucheka cheka kila azungumzapo. Lakini hayo sio neno.
Unaakili sana lakini unaongeya kirahisi your very smart
Amewaambia ukweli act ni chama kikuu cha upinzani znz na chadema ni hapa tz. Ni ukweli mtupu ila hawapendi kuambiwa ukweli
Wanasiana ni wahuni tu, 😄😄😄😄😄😄
Kumuelewa huyu mzee lazima uwe na high Q kubwa sanaa …
IQ = Intellectual Quotient
Duh mzee kama comed lkn unakitu eti
Dunia uzalendo, nguvu za kijeshi, uchumi, AI
Ninani atakayekukubali wewe profesarlakini nimjinga ? subili ufe utupwekama mbwa
Bab namkubali kwa kucheka Cheka tuu 😀😀
Lwaitama wewe ni liability na wala siyo asset!!
CCM inayo nafasi kubwa sana ya kuendelea kushika dola kwa zaidi ya miaka 100 kwa uchache na hivyo wote waliopo ktk mkutano huu wataondoka duniani na kukiacha kikiwa chama kinacho endesha taifa letu
Act mke wa ccm upinzani chadema tuu
Wewe Muhaya umeshazeeka acha siasa sasa baki Kada wa Chama chako
Kama hali ni hii Jeshi lichukue nchi tu hali ji mbaya sanaaaa
Act ni chawa wa ccm
Umejuaje?
🤣🤣🤣🤣
sitoipenda c c m. kamwe hata labda mungu atanipeleka motoni
Matawi ya chama tawala mpinzani ni chadema tu
A CT nii Maliki wa CCM acheni kuwa enjow watanganyika hata unachoongea hakieleweki
Wewe ni sufuri na elimu yako Suri acha choo. 5:16
Kumamayo
Maneno ya huyu mzee Dr Eaxsavry sio ya kupuuzwa hata kidogo. Msikilize kwa utulivu utagundua tuna kichwa. Tatizo lake ni desturi yake ya kucheka cheka kila azungumzapo. Lakini hayo sio neno.
Kuelewa filosofia ni lazima uwe na picha kubwa kichwani. Uwe umepitia pita vyuo vya juu
Inaitaji uwe na uelewa mzur kumwelewa kama kilaza utapuuza
Hiyo ni matokeo ya Elimu kubwa sasa wewe uliyeishia hapo ulipo ni ngumu🙈 hizo nondo sio nyepesi