Unafufua tumaini jipya kwa kila anayekuckiliza, usiache kusema hadi Mungu atakapochukua pumzi yke. Mungu akupe miaka zaidi neno lake lizidi kutamalaki.
Mchungaji mungu akubaliki Sanaa waafrka tungekuwa wote tumeelewa kuwa kutafuta pesa na kusali sio kuwaza maombi tu eti mungu atafanya miujiza hapo ndio tulipokwama walioendea wote wanawaza kutafuta tu.
Kwanini hizi media hazina maadili,unajua wasifu wa mtu unaenda kumtembela lakini wewe unaenda kinyume na madili, Huyu ni mchungaji mwenye mafunzo ya kimungu kijamii basi na wewe Kaa mkao wa kuelimisha kimavazi na hata madili Yako
Yani nyie watangazaji au wandishi wakutafuta habari sjui mkoje! Sasa nyumba nayo ni kitu chakushangaa mpaka kuhoji mtu kafanyaje? Ndo maana huwa nawaambia kila sku! Nyie watanzania bado sana! Mtu unashangaa nyumba! Shangaa mtu kujenga meli, kununua ndege! Kitu kama nyumba au gari mbona vya kawaida sana hivyo!
Nakupenda sana mchungaji hananja una mafunzo mazuri sana mungu akubariki kwa nguvu zote
Huyu mchungaji Mungu kampa karama ya kipekee
Mungu wetu mwema akubariki sana
Napenda sana kumsikiliza huyu mzee! i get everything from him; I lough, I learn e.t.c
Mchungaji ananibariki lakini huyu dada hafai kwa jamii ya wakristo hana adabu kbisa unavaaje ivo nyumban kwa mchungaji shukru Mungu ni mzee.
Mwandishi ulitakiwa kumsalimia sio kumwambia heshima yako, chenga Sana ndg mwandishi.
Amina Mchungaji,barikiwa sana kwa maneno yenye hekima
Mungu akuzidishie umri baba Mimi ni muislam Ila nakuelewa sana mchungaji Hananja
mchungaji Mwenyezi Mungu akutie nguvu vijana wako tunajifunza kutoka kwako
Mchungaji huko vzr sana unasema kweli kabisa
Ur words always medicine to my heart more annoiting pastor😅
Noma sana
Napenda maisha ya Maaskofu wetu wana elimu ya kushiba na wala hawatafuti ufahari kwenye mitandao❤❤❤
Ubarikiwe Baba Mchungaji 🙏
Amen. Munge akubariki Mchungaji na huduma yako.
Ubarikiwe sana baba Hananja
Mungu akubariki sana kwa Massage nzito kwa Vijana 😍🙏
Huyu ni pastor na nusu
muwe mnava vizuri mkienda kwa watumishi
Appriciet..Mzee dini mambo mengi wakt zimeletwa...😄😄 Nakubaliiii unawachana...sana Kuishi mara moja tyu...tunao 😄
Hongera sana na kupata veema sana ni kiwa saudi Arebia 💓🇸🇦
Ishi sana Pastor! Karibu tena KCMC
Amen. Asante sana
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
AMEEEN AMEEEN MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI WAMUNGU AMEEEN AMEEEN
Mtangazaji ningekuwa mm ningekufukuza unaenda kumuhoji mchungaji umevaa mapaja nje
have long laifu babaaaa🙌🙌
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki , akuongezee maisha marefu
Mze baba nakuelewa sana. Karibu tena Namanga border.
Amen 🙏🙏🙏God bless you somuch Amen
Huyu mchungaji anazungumza kweli kabisa, nimempenda.
B mmmm h1423
Mwenzako anatumia sadaka na hazina Kodi Wala tozo
Unafufua tumaini jipya kwa kila anayekuckiliza, usiache kusema hadi Mungu atakapochukua pumzi yke. Mungu akupe miaka zaidi neno lake lizidi kutamalaki.
Mchungaji mungu akubaliki Sanaa waafrka tungekuwa wote tumeelewa kuwa kutafuta pesa na kusali sio kuwaza maombi tu eti mungu atafanya miujiza hapo ndio tulipokwama walioendea wote wanawaza kutafuta tu.
Asante mchungaji kwa wote wenye kupokea mafunzo yako wainuliwe wote wanao yasikiliza kutuinuwa kufanya kazi ktk kuomba Amina mchungaji
Safi sana mchungaji
Nyinyi waandishi wa habari munakwenda kwa mchungaji Kisha unavaa kama unakwenda Kwa msanii wa bongo vleva
Nakuombea Hakika Mungu akupe mwisho mwemaaa Hakika
Aki ww Mzee love you for free non stop talker i say barikiwa
Ubalikiwe sana Baba
Duuuh' mch' mungu azidixhe kwako"
Asante mchungaji mungu akusimamie
Amen
kama vijana wezangu munamuelewa huyuu mjungaji links zeen jaman 👋👋
Ok
Jamani nimepata kitu mimi kama kijana
Unaenda kwa mchungaji umevaa suruali tena ya kubana,baba mwenyewe kavaa kiheshima
Ubarikiwe kwa kweli
Maombi yanafungua njia
Maombi yanahamasisha
Maombi ni kama chumvi kwenye chakula
Ila nimejifunza jambo hakika sito choka kupambana
Nimekuelewa mkuu sana
Mchungaji yuko vzr
Kweli kabisa 😀😀😀
Fact
Safi sana
🤝💪
Uhakika mzee
Unavaa nguo za kihun kwa mchungaj
Afu kichafuchafu iki kidada
Mchungaji bana
Mzee sijamaliza interview Ila nimekwelewa sana
🙏
Kuwa mtu wa maana unajitengeneza
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Vaa nguo za heshima maana unaenda kuntembelea mweshimiwa
Mtangazaji upo vizuri kwa sauti na maswali yenye uweledi tatizo mpangilio wa mavazi hapa nivae nini pale nivaeje
Kabisa,hata mimi nimemnanga,kila vazi lina sehemu yake
Mchungaji mwenye busara sana huyu!
Kobe Ana nyumba yake
Computer 🖥️
Mimi hapa muslamu lakini namkubali huyu jamaa.. anaongea ukweli..ndugu zangu tumsikilize..yuko real
Iwe na nasafa kisaha pozi siyo ndiyo....sgr
Mungu akubariki sana Mchungaji
Heshima yako vipi?sema shikamoo
Hajui ata kuamkia huyu adabu yake ipo chini
😃😃😃
Mungu Yu mwema
MunguKuzidishie miaka
Hii media ni bure kabisa unaenda kufanya interview na mchungaji umevaa suruwali imetoboka magotini yaani hujui kujifananisha na mazingira
Kweli Dunia imeharibika unaenda najinsi ya michango kwa mtumishi
Kwa kweli zingatia basi dada mwandxh mavazi ck nyingne pole lkn.
Ubarikiwe Hananja
Mchungaji hananja umetishaa meseji yk imetufikia binafsi nakukubali mnooooo
Mwandishi unapokwenda kwa mtu Kama huyo nenda nguo za heshima. Mch. Ana matunzo Sana hasa kwa vijana
DARASA HURU
Sichoki kumsikiliza Hananja anamafundisha mazuli
Kwahyo nasisi tuwe na nyumba Kama ya hananja? Kuwen na intro nzuri
Aliipata kwa njia gani???
Heshima yako ndio salamu gani?
Punguza ushauri , kila mtu ana mambo yake ..
Punguza ushauri , kila mtu ana mambo yake ..
Mwishoni imenibidi nicheke sio kwa ubaya
Mbavu zangu matufali umeniiba kweli
😂😂😂😂we kaz yako nikuacha
Et eshima yako ndo nn baba yako ndo unavyo msalimia uko kwenu
Unaongea pumba. Kwamba mchungaji kumiliki mjengo na Kijana kumiliki mjengo kipi cha ajabu??
🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi muimbaji plomo mnaenseshaje
Tunge kuwa na wazee kama hawa 10 tusinge kata tamaa
Yaani kweli napenda mafunzo yako pastor!!!
Uyu mzee anaongea pont kubwa mno yakimaisha nakiroho na anafundisha nakukutia moyo SISI vijana
Kwanini hizi media hazina maadili,unajua wasifu wa mtu unaenda kumtembela lakini wewe unaenda kinyume na madili, Huyu ni mchungaji mwenye mafunzo ya kimungu kijamii basi na wewe Kaa mkao wa kuelimisha kimavazi na hata madili Yako
Barikiwa sana mchungaji, Kazi yako nzuri ni UWAZI NA UKWELI . Injili ni neno Hai
Ninakukubali Mchungaji!
🎉
,
Huyu dada hajielewi anaishi kwankuiga haendani na mazingira
@pendo uyo ni tom boy
ninashida yakwenda kanisani kwamchungaji uyo maana namkubali sana ila sujui kanisalake liko wapi naomba mnielekeze
yan nyie kila nyumba ni jumba la kifahari
Nyumba ya kujengewa ni saw na mtumba wa mnadani
all in all anaongea too much🙃
🤣🤣🤣🤣Nakwer tukitoka kanisani kawe kwenye usafiri mtiyani🙏
😅😅😅😅😅😅
Kama huwapi kazi shetani anawapa kaz daaah umejua kunichekesha sana mchungaji hahahaha
Mchungaji uko vizuri sana ila mwanahabari unauliza mawsali ambayo majibu yake unayo.kuhusu nyumba na gari kwa umri huo unahoji nini hapo?
Hana la maana,mzee kama huyu alitaka apange,kwanza alikua mtumishi wa umma kabla ya uchungaji
Mwanahabari hajiekewi
Mchungaji unaongea harakaharaka
SI Kila aitwaye mchungaji ndiye
Yani nyie watangazaji au wandishi wakutafuta habari sjui mkoje! Sasa nyumba nayo ni kitu chakushangaa mpaka kuhoji mtu kafanyaje? Ndo maana huwa nawaambia kila sku! Nyie watanzania bado sana! Mtu unashangaa nyumba! Shangaa mtu kujenga meli, kununua ndege! Kitu kama nyumba au gari mbona vya kawaida sana hivyo!
Sasa wewe si uendelee na uzungu wako utuache watanzania na yetu.. kinakuuma nini !?
Dish lako limeyumba?
Mzeeee huwa unanipa nguvu ya kupambana Sana
We ndo hujapata kitu ila wengine tume input madini
🤣🤣🤣🤣🤣