Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
SIKU YA WANANCHI | Highlights | Mechi ya kirafiki | Yanga 1-2 Zanaco
Вставка
- Опубліковано 28 сер 2021
- Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Tuliokuja kumtazama phiri baada ya kutua simba gonga likes
Aliyekuja kuangalia uwezo wa mchezaji wetu halali Moses phili like tujuane kama ilivyo kauli mbiu yetu ya nguvu moja
Naangilia now
@@hamedahameed148 tupo kaka
Gonga like kama umekuja kumwangalia Moses phiri baada ya kusajiliwa
mwambaa
Niko hapa
Mzee wakuwapangua moses
Wangapi are here for Moses Phiri, baada ya kusajiliwa Simba
Here I am ☝️
@@neemasamweli9004 ✊🏼
yan
Here we are
Me
Jamn tulio ludi kumshudia moses bada ya usajili tujuanee
Sasa huyu Kapumbu nikajua ni matusi kumbe jina kha!baba wa Kapumbu nae ni 🔥
Safiii sanaa zanacco hajahaha mshabiki yametulia Yanga mtakufa presdure
Mm naona tunapo fungwa msimu ujao tunakuwa na tadhali Sana msimu huu wamepoteza wote Simba na yanga
Am Simba SC fan.. congratulation Yanga for a good game, you played well, and for the goalkeeper Diallo as well.
Thanks
Thanks
thank you
Umelogwa
Wananch tuko vizur love yanga hawa zenako waltukamia hamna shida but we'll done
Kiwango cha utopolo n kcheza kagame cup syo klab bingwa kuna wenyew waliowekwa kwenye orodha ya vlab bora afrika
Hahahaha
UTOPOLO 🐸🐸
Hv viwatu vya simba vinatokea wapi kutia domo yan kwe msafara wa mamba na kenge wapo
@@salmasebastian1340 hatukujificha miaka minne tuanze mwaka huu?
Hii yanga nihatari sana,mwakahuu timu zinashida sana
Tumebadilisha mpaka jezi lakini wapi tumekalia liboro fc😪🥴
Hahaha shida nazan ushaanza kuionja kwa Kapumbu
Omari Yanga gani mliisema sio hatari ?? Kwani ya akina molinga hamkusema hatar ?? Ya akine ipe hamkusema hatar ?? Si mnasema Tff inawahujumu leo mnasifia wachezaji tena vep Tff haipo ??
👉 👉 👉 🐸 🐸 🐸 🐸 🐸 HAKUNA TEAM PALE LABDA AINGIE NA MANARA
Nime rudi tena kumuangali phili mtu na nusu
Dh mech tam sana I love 💕 yanga
Wanaume kutoka Zambia wamewafikisha utopolo kileleni kilanga kimeisha sasa.
Wapo vizuri san yanga kikubwa waelewane tu
UTOPOLO amelidhalilisha taifa nyoko kweli hawa NyaniFC
Jaza ujazwe mpiraa uwanjani sio mdomo Mbana hamjushinda na Manara alikuepo
UZINDUZI YANGA DAY GOLI MBILI MANARA NUKSI MMEONA HIYOOO
Umeon ww t2
Unajua ukimjibu mshabiki utakuwa sawa nakumjibu chizi.Mkimjibu mtu wa mpita unakuwa sawa nakumjibu mtu mwenye akili timamu.Niulize nikujibu mana ya hayo maneno yangu.
Utopolo kaz mnayoooo tena sana tu
Kaz gn,mwalimu
Kushabikia yanga ni sawa na kuajiriwa kiwanda Cha kukata vitunguu
🙋🏾🏃🏽habarizen washukaji 2shukamane kwa umoja 2iombee Tanzania
MOSES PHIRI 😂
Nimemuona motooo
Goli kipa tuliambiwa anadaka mpk mikuki jamani waoneeni huruma wananchi munawaadaa sana kila usajili munachotaka muuze jezi tu.
Hata mimi nimeshangaa huyo alosifiwa lkn hamna kitu hapo wasubiri maumivu na manung'uniko tu utopolo
Mmekuja kutuuwa uwanjan au haya mafataki nilkuwa sijajiandaa nimeruka mpaka nimechana suruali yangu duh.
Yanga ni mwendelezo wa kufungwa
Kwakua hiyo nimechi ya kuwajaribu wageni wao Basi wamefeli pakubwa
Ila wajipange vizuri maana zanaco nitimu mzuri lakin sio Kama nkana.
nimekuja kuangalia comment za makolo jinsi walivyokuwa wanasema mayele tumepigwa
Timu ina wiki moja kwenye mazoezi ndo utegemee wa fanya vizuri
Kipindi mnawaalika mlikuwa hamyajui hayo Nyani kaanzia alipoishiaa
@@afterfull-time1348 tumebadilisha mpaka jezi lakin wapiiii😪
Wenzenu hao zanaco wana wiki ngapi ??
The fact kwamba ndo game yetu ya kwanza ya pre season tumecheza fresh sana . Ila muloko ni bora kuliko Tuisila, na Djuma Shaban ni upgrade kwa Kibwana
Vipi Moloko bado kamzidi Kisinda?
@@2times273 alionekana productive sana mwanzo wa msimu Ila nahisi baada ya injury kuna kitu kimepungua
ikkumbukwe hii ni timu ya siku sita well done Yanga
Hlo mnajua nyinyi na morocco mlienda kufanyaje
@@kulwanana3279 et bhana
Yanga batoto ba Utopolo hakuna siku 6 wala mwez😂
Yote kwa yote Naipenda Yanga🤩🤩
KAPUMBU
@@frankgeorge6634 unataka pumbu nn kk
Utakufaa
@@frankgeorge6634 Choma na ndiz ule🤣🤣🤣🤣
@@justinebayanda2097 si nitazikwa tuu.
Polen kiwango Chen nikucheza na pamba fc
Poleni wanayanga wezangu tusihofu kwa lolote Moira bado sana
I am Young Africans Fan since 1970, today you show Classical Soccer. Keep it up!!!
Hii timu ni kikundi cha vicoba wanajuw kutengeneza cheji nasio kucheza, muwe mnajipima nguvu na timu za ndondo cup. Wapuuzi nyie utopoloo
Utopolo 🥴
Kama una tim yako ilete tukuonyeshe mpra tukufanye mbaya ndo maana tumeita tim kubwa sio namungu nu tim kubwa imeshiriki clab bingwa africa mara nyingi
Alafu kama imekuuma potezea we si morokoro fc ss ndo tunajua tufanyaje sio nyie makolo sawa alafu alafu achana na habar ya kutukana kwani umeitwa huku au unajipendekeza tu
@@waziriadam6481 acha kupaniki wewe mpira hauko mdomon tengenezeni timu
🤣🤣🤣🤣🤣🙊
Azam tuwekeeni highlight ya jana bana
Yanga wako vzur..
Mtafika mbali...
Mbali kwa timu hili timu ngedere?
umeona mwa jomba acha wanaobonga wabonge
@@karaoglan9444 kalete tim tukufanye mbaya ss ndo maana tumeita tim kubwa ili tujue ni wap turekebishe tungetaka magoli tungeita hata namungo lakin tumeangalia mbali
Acha waseme,kisha watanyamanz,maan,y,makolo,maana,yke,n,vitu vingi vinavyojikusany pamoj,na kuwangalia,watu wakiwasema,vibay
@@waziriadam6481 Acha unyani we bwege, lini utopolo 🐸 ilimfunga namungo. Huna jipya😂😂😂😂😂
YANGA TUTAKUWA VIZURI MNOO MSIMU HUU NAKUBARI TUMEPOTEZA BUT WE ARE GOING TO BE STRONGER THAN TODAY
kwan nanj kasema kacheza netball!!!??
Utoeni huo mwiko nyuma msonge mbele
@@shaurimtanda8285 ebu sema saiv
Ni siku ya mwananchi,Kapumbu katia doa
Hahaaaaa
Mi Ni MwanaNchi wa YANGA but Nmekubali kiwango Kizur Cha MOZES 9 wa Zanaco kumb YANGA tunaweza kumfikilia Moses forward MAKINI San
Yani mnapigwa kwa siku zenu , ninyi ni vibonde 2
Nyie mbona mlikula 3 mtungi na zesco
Wamepigwa na kapumbu kwenye siku yao
Huyu mngeni rasimi ni mtu wa Hovyo sana unakatibiswa uongee unaongea nusu sana analeta uccm wake wanjani mpira Mpaka watu wameamua kupiga baruti ili kumkatisha ni upumbavu wa Hali yake ya ubovu kwani dhamu Yanga mjifuze kuleta wangeni rasimi lakini sio huyo mpunga
Waaaawoooo kambaki yakimataifa
Hawa Yanga wajiandae vizuri mechi za kimataifa.
Congratulations zanaco fc
They did a great job for sure 👋👋
Hi Mary howz Zambia?
Moses phiri,,,mwambaaaaa
Feisal salumu yupo poa sana watani zenu
Umbea ndo atutaki mmejaza mkajazwa 😅😅😅😅😅
Yanga imecheza vzr
Je ni kweli Manara aliwahi kua msukule kipindi yupo simba tuliwahi kusikia maneno haya
E mngu barki yanga yangu ya mwk huu ipafom vzr
Yanga hongereni mmecheza Mwingi,mmenyimwa penalti na faulo moja mbele ya 18.Mimi ni Simba.
Rawama zimeanza
Yanga hii tunachukua mapindiz
tumebeba hadi ligi mapinduzi tumekuachia wewe
Yanga wajitetee kwamba hawajazoea kucheza usiku!
Ukiwa unaagalia mechi ya kirafiki u naweza ukawa namakengeza.,kama utakosa kutazama mpira na uhitaji wa kesho.Kwakuwa mechi ya kirafiki kazi kubwa nikuangalia nini bado kwenye timu yako kabra haijaingia kwenye mechi za mashindano.Urekebisheili uwe sawasawa.Mvua za vuri kazi yake nikukiandaa msimu mpya.Hata nyumba yakulala huwa mvua ya vuli inakujulisha wapi pana vuja ili upazibe kabra ya masika yenyewe.Yanga kwa mechi hii wameonyesha wako vizuri.Nimapungufu madogo yakurekebisha kabra ya msimu wa ligi kuanza namashindano mengine.Ili uzibe lazima pavuje kwanza naili pavuje nilazima inyeshe.Kwayanga kufungwa imenyeaha na kuna mahara pamevuja.Simba nao labda waalike timu ambayo imekaa kambini siku 5.
Duuh Kuna wa2 kwel lakin wanajua?
Huyu Moses jamani simba hawakumuona
😰😠🤬👿
Jmn tunamtaka huyu
Asante sana yanga
Watu bado hawajasahau tukio la Hamza, hiyo mifataki wamezoea Simba ambao ndo timu anzilishi hapa Bongo, uto na mifataki wapi na wapi.!
Mshamba wewe inamaana wewe umeona fataki tu
Young Africa yawatamanisha wapinzani kutoka paka FC kujuwa kuwa wanawezekan lakin wakumbuke kuwa mwanzo mgumu shall out for young Africa
Asante polisi
Kindunda vs katu
Kj
Katk
Katomba vs kidunda
Sisi tunawatu
Hivi Kofi ajaimba wamechukua wameweka waaah?🤣🤣🤣🤣
Yanga jana wameupiga mwingi hawa jamaa walikua na mungu tu
Kama wao walikua na Mungu nyie mlikua na shetani nyambafu kapumbu kawa....funga siku yenu
Ama kweli hizo mbwembwe zimewaisha et olamide alikuja kufanya nn hapo kupoteza muda tuu,je na Dada ya A.K.A nimekuzoea.Nandi nae alikuwa kafichwa kwenye boksi nimeamini kweli yanga walikuwa kwenye siku zao wadau na kumficha kote wakaingiliwa na kapumbu🤣🤣🤣
Yanga waliona Kama Wanacheza na msimbazi 😅😅😅😅😅
Timu nzuri
Mechi safi kabisa
Nimeiangalia mechi hii. Udhaifu wa Diarra ni mkono wake wa kushoto. Ni mzito sana. Lakini Makambo,moloko na Djuma wako vizuri sana.
Yaani mashabiki wa Yanga ni kama mazezeta vile, wanatia huruma sana.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Baraaaaaa ! KAPUMBU
Watangzaji na marefa dakika ya 13 Au 14 Faisali hakuwa offside????naiona offside kwa 💯% lkn wkanyamaza na kutuaminisha kuwa ni onside lengo mwenyeji apate goli lkn kapumbu akamaliza shooo
yanga timu yetu mbovu...hatufiki popote..msimu huuuu
Muongo ww
Ajamalizia Kelvin nan mtangazaj jau😥
Mara kazi anayo kidomo kishaafungwa 😀😀😀😀😀😀😀😀
Kwani hapa msemaji wao hakuwa msemaji alikana hahaaaaa
Ila hawa jamaa wa zanaco wanaroho mbaya anafunga mtu akiwa kwenye siku zake tena aliyewapa mimba n KAPUMBU KELVIN😂😂😂🐸🐸🐸
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ila kapumbu sio mtu mzuli yani wananchi wako kwa siku zao yeye hajataka kujuwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haijawahi tokea kuona yanga ikicheza mpira kama huu naangalia tena na tena
mngemuingiza na manara watani wa jadi😂😂😂
Gori bora la afrika sahko
Yanga bado sanaaaaa
Phiri jeneral
Walizingua hata kama nipo Young
Uongo dhambi kwa yanga hii watu watabaki midomo wazi
Bdo hatujakuwelewe,watabak,midomo,waz,v ip
Hakuna mwaka manyani fc mlosema usajili wenu mbovu mliwapamba akina molinga kisha ipe hakuna lolote fuku fuku fc nyie
Kunielewa Mimi labda uingie kwenye google translated
Meenda hadi airport eti kumleya olomide aje afanyeje sasa hahaha mje mumtie huzuninwa kufungwa hahahaha mnapenda kujionyesha mno na bado sana hmjui kbusa mpira ndo mana mnapokea kadi njano km vichaas
Utambulisho
Simba na anzam
Yes
WATANI WANANCHI, PILAU IMEINGIA MCHANGA, SHEREHE IMEANDAMANA NA MVUA PILAU HALILIKI TENA, FURAHA IMEKUWA HUZUNI, NATABIRI HAWANA MWENDO WATATOLEWA ASUBUHI NA MAPEMA
Yanga ni tamu sana kipindi cha kwanza wenyewe mlikubaliana ila walipo watoa timu ya kwanza na kuingiza timu nyingine ndipo umeona matokeo hayo. Subirini tuanze mechi zetu mtaomba poo
kosa kosa za goli keeper
Haturuuuu
Hapo vp yanga kazi ipo
Wamejazwa wao
Mchezo wa YANGA ni mdogo mno. HAWAFUNGI magoli. Narudia tena mpira ni magoli.
Phiri anapita tu jamaniii na huyo kapumbu anawapiga pumbu hajui Kama mpo kwenye sikuzenu manara utanijibu
🤣🤣🤣🤣 MANYANGA FC
tmfungwa il tumeupiga mwingi san
Filipo mozez kanileta hapa tena
Mm naona yanga ni washamba tu maana hata mavazi yenyewe hawajii kiva eti kivaa suti ya bluu na Lana nyeupe wapi uliona
Yanga utopolo tuuu Nuksi manara kashaingia nazo hahaha sherehere imegeuka huxuni hahahaha mtalia sana mwaka huuu
Hilaa daah watu wpo kweny sku yao alafu mnawapiga magoli
Unyanyasaji wa kijnsia
Yanga wanajua
Nice display Young Africans
Utopolo bado sana