Magoli | Yanga 2-0 Aigle Noir - Siku ya Mwananchi 2020
Вставка
- Опубліковано 18 жов 2024
- Yanga SC yaibuka na ushindi wa kibabe mbele ya wageni Aigle Noir ya Burudani wakihitimisha #WikiYaMwananchi jijini Dar es Salaam.
Tuisila Kisinda 'TK Master' na Michael Sarpong walihitimisha #SikuYaMwananchi kwa burudani ya aina yake.
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
I'm a Yanga African's fan now ....Love from Rayon sport FC...Rwanda.
mambo ni moto yanga kwa sasa....hongeren viongozi kwa usajili
Kama umeona kichwa ya Sarpong kama Mimi gonga like hapa mwana jangwani
Wataweza kwa yanga hiiii
Yanga kidoooogo,, kwa mbaaaaaali mmeanja kujaribu👌
Hii ndio YANGA💚💛💛
Cweta yamerali
Nilimiss vchwa vya makambovic now sapourng he is nice replacement for makambovicç
I love u yang African
Wapee salam daima mbele
Jamani rahaaaaaaaaa
Tk master baraka mpenja pepo iyo
Ahahah
Ilove yanga
Yanga Mbele Kwa Mbele
I love you yanga
Nimewaelewa vijana
This makes me that no corona in Africa
Which soccer league is this, I am from South Africa, but this vibe here is on another level
Tanzania
@@lemathomas2862 thanks br. I like your vibe it's on another level I wish we could have such cheerful crowds at our stadiums!!
Dar es salaam young African👏👏
The united republic of Tanzania.
@@otmarykiowi4132 thanks brother!!
Wanaweza
Yanga oyeee
Hiyo ndoo yanga
Wao wanasemaje
Hlo gol la kwanza la kawaida Sanaaaa 😂😂😂 Tukutane trh 18-10-2020
La pili
@@omaryommy404 hlo la pil ngoja nmulze kwanza Mwalimu KASHASHA 😂😂😂
@@ferouzmasoud4741 loooooooooooo
@@rehemaconeriocostance9011 Luuuuuuuuuuuuu 😂😂😂
@@julianaemmanuel4998 😂😂😂😂
YANGA ni asili yao kucheza pasi ndefu na na Simba asili yao kucheza pasi fupifupi....msimu huu tutaona mengi mazuri
Kila nikirudia kuangalia hii mechi tukubali tukatae Yanga tumepigwa misumari kwa hivi tunavtosheza sasa!!
Wape salamuuu
Juma daudi fundi
Pamoja sana
SARPONG SARPONG
Hatalii
ww unaeshangaa kuwa kadi nyepesi ulitaka apewe rangi gani ya kadi ? njano alishapewa mbili au ulitaka apewe na bluu. tatizo la kuanza kupenda timu kabla ya kupenda mpira linawasumbua.
SUMU JOMBAAAA
Roho yake ni muhimu unawezezqje kudaka kichwa icho
Mweeeee hakuna kitu
Wew unacho?
Hii ndo Yanga
Unfair red card
Serious
Hujui soka
Mimi nacheka Simba tu awashindi mpaka morison awasaidie😹😹😹😹
Huna cha kukoment
Na zile NNE aliwafunga Morrison?? Yani hapo tu ndo unapoyumba mkewangu.
kwa maan hiyo tuseme jana ukimtoam hawakushida, au yanga wamesheza mechi mbili arusha na dar es salaam maana wanadai bado ni mchezaji wao!!!!!
Nice
Wape salaaam...
yanga vs simba
Simba bwana hawakosagi sababu
Yanga bhn ety mechi ya kirafiki na card nyekundu wapi na wapi
Kama hautaki kuwepo kad et kigezo ni mchezo wa kilafiki bx na walefa wasiwepo tumia akili unapo fikilia kitu cha kuandika
Kwa hit=yo walikua wanatumia sheria gani. mtani ww utakua unashabikia pool table watu wa mpira wanaelewa
Bongoman nakuona umepata moto vp umepika makande na huo moto wako
Mathias 😂😂😂😂😂😂😂😂nimepita zangu
Kila team ioneshe taji lake baada ya kushinda jana
Timu ya Wanainchi!!!
Mmeshindwa kuwafunga mpaka wapungue kwa red team ndogo Kama hii
Timu ndongo inajikaza namna hio wakati ninusu?
Kwahiyo TFF inabidi waongeze kanuni kuwa timu yoyote ikicheza na Uto FC italazimika wapunguze mchezaji mmoja.
Cku zote mjinga upinga ukerelekwa na yasomuusu
@@aboubackhrkassangullah3377 rudi shule kwanza ukautoe huo Ujinga ulionao ndo uje uandike hiyo comment yako upya kwa ufasaha, sawa? 😎
Na nyinyi matozi fc tff waweke kanuni mkicheza na timu yeyote penalties,na offside yote yawe magori yenu
@@jacksonnchimbi308 hiyo siku nyingi ilishapitishwa rejea mechi ya Simba 3 - 2 Namungo msimu uliopita uwanja wa Taifa.....
Hii kadi nyekundu sio halali
Yanga Amna ki2 mechi ya kilafiki mnapata 2. Kweli jamani
Kuna timu inachezaga taifa mechi ya kirafiki kutoka nje na kupigwa hapo hapo,,wanalipa malazi yote,wana walisha chakula,mwishowe wanafungwa
Jym
Kama sio kad wangewaumbua watu leo
Bila msaada warisoni Simba nae ashindi😂😂😂😂
Na mababu zenu do shida sana kiukweli
Kwani walianza wakiwa pungufu?
Wangefunga hata moja tujue kwamba wangeumbua watuu, ushabiki mwingine duu
Yanga mbona hawajaanza kufunga mapema kabla yakadi, kiukweri aigle noir ingefunga yanga. Wangeleta refa wakigeni.
Simba wamepewa penati mapena Kama walivo zoea kwahonga marefa acha yanga ipete
Kaka wasema kweli
Feisar
Yang amna ki2
Ya
👋🏻👋🏻
hyooo ndoo tmuu
Mikia kama kawaida mapovu
Waooo
hamna kitu hapo mmesubili jamaa wamepunguzwa kwa card nyekundu, ndo mkafunga tena magori mawili tu. je wangekuwepo wote
Punguza wivu keng wew
Kuna watu wanateseka sana
Hii team ilikuwa na uwezo wa kukataa kucheza mpira baada ya mchezaji wao kupewa Red Card maana hii team ilikuwa imearikwa tu kuja kucheza mchezo wa kirafiki katika tamasha la wananchi ila mchezo huu ulikuwa hautambuliki katika Fifa au Tff hivyo basi hii Team ilitumia tu uungwana kukubaliana na maamzi ya refari lakini walitakiwa wasusie game yaani waseme hakuna umuhimu wa kuendelea kucheza.
Kwa nini nayasema haya?mpira wa kirafiki ambao hautambuliwi na shirikisho la soka fifa au tff yaani haupo kwenye kalenda yeyote ile mara nyingi inatakiwa marefari wanaochezesha mpira ule basi wawe waungwana wa kutumia kuonya wachezaji nasio kutoa Red Card inayoweza kuharibu ladha ya mpira lakini yote ya yote Yanga wameonesha combination nzuri na sasa goja tusubiri ligi ianze ili tuone zaidi.
Umeeandika maandishi malefu chaa jabu bado na baki na maswal kwaiyo kwasababu mech ya kilafiki mtu akikosea aazibiwe kilafiki we uwon kama watu wengi wanamuangalia uyu muamuz
@@yassinhassan7288 anajua bas anacho ongea, siwale waropokaji au ujawazoea ndug yngu
Labda hufahamu mpira. Mechi ikianza kichezwa inaongozwa na sheria 17 za FIFA kwa hiyo hata kama friendly match lazima izingatie sheria zote
Akili yako haiko sawa mpira ni mpira Shelia zote 17 zinafuatwa kweli we kaoge maji ya nazi iliyo oza akili italudi
@@yassinhassan7288 unaelewa nini kuhusu adhabu?sheria 17 za soka zinafuatwa na kila team lakini kwenye mchezo wa kirafiki licha ya kufuata sheria 17 lakini refari hana ulazima wa kutoa red card na kama huamini ninachokiongea basi fuatilia game zote ambazo hazikuwa registered kwenye fifa au tff halafu uone kama kuna red card ilitolewa zaidi ya kuonywa kwa maneno tu,refari wa mchezo wa Yanga hana taaluma maana alistahili kutoa adhabu nyingine nasio alivyofanya.
Roho yakeee muhimu hahaha hi ndo yanga
Amejitaidi
Xaw
Bongo la striker.
Ndo sababu hamna referee wa Tanzania katika CAF na michuano yao
Kwahyo apo ww ulitaka afanye nn?
Umefata nini huku mkia wewe
Mchezo wa kirafiki haifai kadi nyekundu kwani si mashindano
@@didakta7011 kakwambia nan kama baadh ya sheria za mpira hazitumiki kwenye frend match achen ushabik wa kishamba kwan lazma wote mupende football michezo ipo ming
Watu wasiojua sheria 17 za mpira wanaropokaga tu.
Kwahiyo friend match haitakiwi kufata sheria, sio?
ua-cam.com/video/nuiFTuqdPxM/v-deo.html
Tazama mashabiki wa Yanga Walivyofunga mtaa
💪💪💪💪💪💪💪💪💪
😀😀😀
Wanaojua mpira Kama washabiki wa Simba ni lazima waogope saanaaa maana hwa wachezaji wa YANGA wakikaa pamoja ndani ya miezi miwili tu Basi hawatashikika tenaaa
Wakati wanakaa hiyo miezi 2 wengine watakuwa wamelala?
@@otmarykiowi4132 hawatakuwa wamelala na kwa mtazamo wangu mpaka sasa Simba wanakikosi Bora kuliko YANGA ila baada ya wachezaji wa YANGA kuzoeana ubora wa YANGA utazidi ule wa Simba.....ni mtazamo wangu tu......nawe pia uwe huru kuwa na mtazamo wako ili baadae tuje kuulizana Nani alikuwa na mtazamo sahihi uliomletea majibu sahihi ya kikosi Bora......
@@paulchamba6768 kwa hio unajipa moyo😆
Jackison
Kweli yanga Hamna kitu,
jamaa wamepewa kadi nyekundu mapema eti mnashinda goli mbili tu.... Simba Baba laooooo......
Mkikutana na sisi ndio mtatutambua
Nyoookoooooolinyooooo keng wew wivu tu
@Daniel Kulyama unajua sheria 17 za soka? Ukipewa kadi za njano mbili inakuwaje? Usiongelee kiushabiki Kabla ya kuwa na elimu na unachosema, kujifunza sio Dhambi rudi darasani.
Hili cyo bonanza mama weeee
@@solemba595 elimu yenywewe anayo basi
Calos karinyo
WELCOME TO
UNITED VAN DE BEEK
ua-cam.com/video/sG00ItWqKkY/v-deo.html
Itakufurahisha hii hapa👇
ua-cam.com/video/3nxmUvZawZw/v-deo.html
toa comment yako baada ya kuangalia
Mmebebwa
Nin,ww
xxx
Dogo sele
Mweeeee hakuna kitu