Ndugu yangu NENGA walimwengu wasikusumbuwi, kwanza hao watangazaji wa wasafi unawazidi hela wote, hakuna hata Moja mweye account yanyekuwa na hela kama ya kwako. Kwaiyo wasikusumbuwi jamani.
Kabsaa wambea saana na hua wanahoji maswali ya kichonganishi saana, kuweka matabaka au makundi baina ya watu inshort wako unproffessional kabisaa sheet!
Sasa wewe kama umesikia interview toka mwanzo ...ungejuwa billnass anafanya jokes...ama ujasikia vile alianza biashara yake...learn to listen before commenting
Huyo kaka mpole sana hana makuu
Nenga ni mpambanaji na Ana pesa wabongo acheni dharau Endelea kupambana kijana waache wanao jaji maisha ya watu ❤❤❤🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 😍👌
Majibu konki mwachaneni ale maisha yke na nyinyi leleweni kama ni rahisi
Komesha jibu zuri sana kawaweza sana
Ndugu yangu NENGA walimwengu wasikusumbuwi, kwanza hao watangazaji wa wasafi unawazidi hela wote, hakuna hata Moja mweye account yanyekuwa na hela kama ya kwako. Kwaiyo wasikusumbuwi jamani.
Kabsaa wambea saana na hua wanahoji maswali ya kichonganishi saana, kuweka matabaka au makundi baina ya watu inshort wako unproffessional kabisaa sheet!
Nimemwelewa sana nenga. Kaishi na mitizamo yao
My papa billnass ❤❤❤❤
Nenga hana jasho😂 itabidi alelewe tu😂😂 atakulaje kwa jasho😂😂
Big up nenga washamba hawawez kuelewaaisha yko kaz yao umbea tu
Alichovaa kichwani watu wanajua kazi yake ni nini kweli? au ndo swagger🤣🤣
Jaman hapo analelewaje SASA mbona wanalingana bado Kaka yupo Kwenye kuhaso MDA mref
Kupiga kiuno pia nkazi ya jasho 😂❤
Amejibu kisomi sana hapo kwenye kulelewa angekataa mada ingekuwa kubwa sana
Jibu zuri sana 👏👏
Mangi kama mangi
Nengaaa🔥🔥🔥🙌🙌pambana unajua sanaa
MJibu yakihakili
Nenga ❤
Jasho hilo bilinasi hana mamae😅😅
Wakuu aseee🎉🎉
Kumbe mtu mwenyewe hata halelewi,na magar yote hayo Sasa analelewa vp
Nenga Mtu Mwenye Busara na Hekima 🫡💯🔥
hii content mbona ilishapitaga mkuu imagine angekua ndo dada ako alaf una kumbushia makovu kama aya ishushe hii
😅
Sasa hiyo pin unatupa tafsiri gan au umeshaolewa na wachinaaaaa
muache siuvae na wewe
Mtoto wa mama mwanaume analea alelewi jitambue mshamba
Sasa wewe kama umesikia interview toka mwanzo ...ungejuwa billnass anafanya jokes...ama ujasikia vile alianza biashara yake...learn to listen before commenting
Kwani katoboa pua
Ndio