#LIVE
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- #LIVE: JE, TALAKA TATU KWA PAMOJA ZINAKUBALIKA? - FADHAKKIR
MUBASHARA KUANZIA SAA 2:30 USIKU.
MUHADHIR WA KIMATAIFA SHEIKH NURDEEN KISHK
UA-cam: / @kishkionlinetv
Facebook: / sheikhnurdinkishki
Twitter: https:/T/ sheikh_kishk
Instagram: / sheikh_nurdeen_kishk
MADA: JE, TALAKA TATU KWA PAMOJA ZINAKUBALIKA?
Sheikh Nurdin kishki uko sahihi kwani alipokufa mtume dini ya kiislam ilikwisha kamilika na Mtume Muhammad ndio kigezo chetu
Ma Shaa Allah
Tabaraqallah
Allah awalipe badali
Asalam alaykum, kwanza namshukuru Allah mtukufu kunipa nguvu na akili timamu nimekuwa mimi ndugu yako mke wangu ninawashukuru Mungu tuna miaka 21na cjawapa kuitikia talaka naomba dua yako
A,alykm? Mm bado nipo palepale asa hapo ktk talak,je hizo talak tatu kwa pmj ni tatu au talak tatu kwa mpigo ni moja?
Mashallah shekh jamii inazid kunufaika na mawaidha yko yote unayoyatoa ,yanatufanya umma kutoka ktk giza na kuingia ktk nuru ya Allah.
MAASHAALLAH...wallah nmejifunza na nmenufaika sana sana Allah akuongoze kwa kila jambo
Mashaallah nmelipenda somo hili allah azid kukupa nguvu shekhe wetu❤️❤️
Mashallah
Mashaa Allah tabarakallah
Jalia mpaka mashaharwa sheikh Rudin mwenyezimungu azidi
Kukuweka inshaallah 18:0
Mashallah nimejifunza kutoka kwakosheeh
Allah akubariki sheik nurdin kishki.ww tu ndo sheik unasema ukweli
Mawaiza mazur
ALLAH awalipe kheri
Mashallah mashallah
Allah akujaze elim zaid nasisi tunufaike.Aaamib
Nawapata kutoka Northampton uk
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته
Nimefatilia darsa hii kuanzia leo ila cjui inakuwa lini mubashara haswaa, assalamu alaykum.
Walaykum sana. LIVE ni kila siku ya Ijumaa kuanzia saa 8:30 PM kwa saa za afrika mashariki
Yahya nakuona shavu limekutoka kwa raha zako😂😂
Kwanza twambie ulikuwa wapi? Mbona ulikuwa huonekani? 😅
Kama ajakwambia chochote Ila akwambia nenda nyumbani ukajifungu anakuwa amekupa taraka
Asalm alkm mm n fatma juma kutoka UA-cam ntk kumulza shekh km alivosema kuwa talak tatu n moja je km mume hajkureje mpka umemalza eda je unaweza kuolewa nae akiw hjakurejea mpka umemaliz eda
Asalm alkm mm swal lngu hil je hukmu na eda y tlk tatu kw pamoj
Mimi naitwa nasra juma yahya
Kwanzaa asantee mana ilikuwa namtihani wa ndoogoo wangu alimuacha mkewa 3 ila tayar jibu
Lakin shekh kaoowa mwanamkee muislam ila si mtu wa kwaoo yaan yee ni nzanzibar mwana meepemba wazee hawantaki ilaa yee amtaka nini hukumuyee
Ni kweli mtume ni bola lakini kasema tufuate sunna zake na za khalifa wake na haya ni maneno yake mtume
Ni kweli na baad y kufariki hao makhalifa wake ndio waliobakia sas itakua 3 ni 3
Kama ajakwambia chochote Ila akwambia nenda nyumbani ukajifungu anakuwa amekupa taraka
Kama ajakwambia chochote Ila akwambia nenda nyumbani ukajifungu anakuwa amekupa taraka
Kama ajakwambia chochote Ila akwambia nenda nyumbani ukajifungu anakuwa amekupa taraka