Maisha Ya Aliyekuwa Dereva Wa Mzee Jomo Kenyatta
Вставка
- Опубліковано 14 сер 2014
- Anaona fahari kwa kuwa miongoni mwa wanajeshi wachache mno waliopata fursa ya kuwa dereva wa rais wa kwanza wa jamhuri ya Kenya Mzee Jomo Kenyatta. Japo ni miaka mingi baada ya kustaafu kwake, Martin Munuve Njema mwenye umri wa miaka 76 anakumbuka vyema hali ilivyokuwa alipokuwa dereva wa gari maalum alilotumia Mzee Kenyatta ilipowadia siku kuu ya kitaifa. Mwanahabari wetu Patrick Injendi alimtembelea nyumbani kwake mzee huyo huko Kithimani eneo la Mbooni kaunti ya Makueni ambako alimhoji zaidi kuhusu taarifa inayomhusu.
I love his integrity. He chose a course to work with his hands and mind as opposed to an undeserved promotion.
This is a wise man, wise decision, hand skills are so important
He deserves a better living style through the government, he should not be neglected
His family deserves to be humanly remembered!
Ngyema my neighbour, a simple mama. Thanks citizen TV.
Mzee is still too strong!
It's great that Jomo asked him what he needed. He should have said, "a farm" plus that promotion within the forces. He'd have
A man with wisdom
i know he will win because he is very. good with he's work be strong Uhuru. don't worry
jane Mburu @mmetuibia sana na hamna aibu ya kuongea upuzi
As together as one
H.Uhuru saidia dereva wa babako
Ukweli
True
Hakuna mshahara kubwa wala ndogo(Opportunity come once)... God gave you abilities to utilize ..Ukizubaa shauri yako( But God of another chance..
Indeed well said
Kenyatta's family should not have forgotten about him
and kenyatta's son is the president, just imagine, alafu we mtu haujaifanyia serikali kitu umekazana kila siku ati unakufia mtu.
Wakatu huo pesa ilikuwa ndogo,but labda mzee alipenda Raha kuliko maisha ya baadaye
2 H:excellence plz assist de above fmr driver
Old but young
Hon Uhuru msaidie aliyekuwa dereva wa mzee.
Hon Uhuru Kenyatta Fanya jambo
Waoo long live baba
huyu mzee kama hakusaidika iyo wakati hatawai saidika
Still strong
Someone should connect this driver to president kenyatta
I did good work
Leaders in ukambani should boost this wise man yuko humble.
This is Kenya only criminals lives a good life and expensive luxuries to end
Pole Sana, uhuru najua tu hatasaidia huyu mtu
The government should not forget such meaningful person at any cost, anafaa apatiwe asante ya serikali hata Kama ni kumpatia kazi Kwa vijana wake,
Of course
Ati asaindiwe kwani wakati huo hakua analipwa, kwambia Uhuru sinjui amuonee huruma haisaindii angeambia jomo Kenyatta.,,,
True. Huyu ni pensioner.
Volume
I don't know why those who has served Kenyatta's are poor
You are right , I found that too, uhuru is naturally not a giver 😂 mchoyo
@@jontecaros3194 Kabisa
The man should have asked for a plot or land....coz he was already a professional driver
Aki please try to connect him with uhuru, even the sister for kibaki surely media help.
Vile angependa kuambia UHURU ako na njaa, hivyo ndio angeambia Kenyatta wakati aliulizwa angependelea apewe nini ndio afurahie kazi yake. Dawa ya njaa ni chakula. Na chakula hutolewa shambani. Angeangukia mashamba ambayo yangemlisha pamoja na vizazi vyake. Hata mkamba mwenye alipeleka Independence Flag Mt. Kenya alienda nyumbani na vumbi.
Pole mzee wakikuyu niwagumu kwa pesa jaribu ruto anaeza toa kitu
🙄🙄
Ni karibu na ukweli
😂😂😂Achakumwabia ukweli atajuta
Ata guka yangu alikua mmoja wa huyu but alilia asaidiwe wapi Hadi amekufa akilia usaidizi ni mungu tu
While you guys are complaining of the state of the mzee, remember there are current drivers ,security personnels of VIPs living hand to mouth despite the changing times.
Head of states, avoid same by rewarding those who carry your life in their hands. Eg. Cooks, drivers, bodyguards etc. It has been noted with a lot of concern that you even use them to root the wealth you have living them a pepper.
The Workers of the Family 👪 Mzee Jomo Kenyatta Should Leave A Better Life.. 🤔 🤔
Am sorry to ask,kwani hawa watu hawakuwa wanalipwa,coz anakaa kama hajawai enda kazi,anyway ukambani ni moto
Kazee
HE DESERVES RECOGNATION HAKI
He has never got the Regnition
Maisha ni tricky walai.....baada ya hiyo yote bado maisha imemnyorosha hivi?!
Na kwasababu alikua analipwa kwanini hakusave pesa zake ajitengenezee maisha,wacheni tuache kubebecha watu mizigo and this is a lesson no matter who you are woking for save your money for your old days.kila mtu ako na mashida zake.
Ata mimi najiuliza hawa ni watu wenye wanaishi maisha si yao
The government of Kenya completely forgets loyal dutiful people who have contributed to it's history! SHAME ☹️
Sure , but the issue here is connections to reach the right people
The comments on this group show how little knowledge of the fight for independence, the Mau Mau and other freedom fighters in this country we have...
Why is he poor! While Kenyatta family n relatives are dancing in billions of money n properties
Imagine then today you find some have that energy to call others thieves
Ako na haki,apewe haki yake
uyu mzee aangaliwe vizuri alibeba rais wa kenya
Sure ,He is still optimistic
Mbona abebe Kenyatta halafu aishi maisha ya kuhangaika namna hii? Hata choo ni ya matope. Isipokuwa mungu amempea afya na utajiri wa rohoni.
Wah but he tried
I am praying for Uhuru to win .god bless uhuru I wish you long live and good health.
are you still here?
What have you gained so far after he worn?
Na ifikie rais ukikumbuka watoto wake pia mimi Nina mmoja msichana graduate.anataka kazi
How faster is he in using his appropriate wishes and alacrities of being an epitome of class
The proposed formulae on 2 third gender rule with rotational presidential post is now available in youtube from ordinary mwananchi to access go to,, bonface chege warui
Allah knows
Serikali isandie mzee
Uhuru help huyu mzee , if you know you know
In Kenya,people will step on your head to get to the top,while there,all the head that were stepped on will have no meaning.
Very important
This mzee uhuru must help him one of the shujaaa of Kenya
Okoa huyu mzee prezo
Did the the guy meet prezo uhuru?
IMAGINE DRIVER WA PRESIDENT
SO SAD
whats Sad
uhuru ni mtu ako na Mungu ndani yake atakusaidia
I hope you believe that now
this was 2014 so far did he managed kufikia president uhuru... we now in 2019
Cuba lazima
Sasa Wakenya mbona mnashindwa saidia huyu mzee , angalieni life anayoishi na life ya wadosi huko Nairobi
Very Sad
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Unajuwa kinachoendelea na aliyekuwa dereva wa Nyerere ?
Mko na kimbelembele Sana na Mambo ya kenya mind your own business in Tz..
Alisaidiwa akishindwa, kusaidika
Wapi Atwoli badala atetee watu kama hawa Yeye ni Ruto tu... Shenzi Sana
Ajengewe hao poa
mzee alichagua asaidiwe kufunzwa umekaniki.....mimi ningekua yeye ningeambia rais Jomo nipee cheo na mshahara iongezwe ama angeomba shamba kubwa
I'm really sad for What he asked!! Somebody anapata opportunity to talk with the president and given a chance to ask anything and fail to ask the right thing! nowonder that's the reason he his suffering he made wrong choice! Opportunity comes once.
By those year kitu kama shamba ama madaraka aikua ya maana sana...mzee kuchangua kufunza u mechanic ilikua jambo la maana......mistake akujipanga in future
Kwa kweli Rais UHURU Najuwa atamsaidia hii habari akiipata! Yule mzee we Taita aliye tuwa wembo we TAIFA alimjengea nyumba nzuri tu sana na kila kitu kwa nyumba,😃😃😃
kwani hakuwa ana save pesa zake??
Babu had a big family so the dependency Ratio was indeed high
Amesema salary yao hiyo time ilikua chini kuliko wafanyi kazi wengine sio kama siku hizi so hageweza coz ya family
ety mechanic badala ya promotion kweli ww n mkaba
see your life ,What have you done to yourself ,Acha ukabila
Kweli mkamba ni mkamba na c ukabila
🚫🚫
Yani unaulizwa wataka kua nini unasema mechanic👨🔧👨🔧👨🔧👨🔧👨🔧👨🔧 mkamba ni mkamba tu bana
Hauna akili wewe....ungesema promotion without an idea
Ata wewe chenye utamani sana kua iko siku kitkua akina maana....hii ni 1964 unadhani mechanic kenya ungemtoa wapi?????...he was a wise man
عمل سائقا للرئيس الكيني جومو كينياتا
Watu kama hao wasaidiwe
Mkamba na mjaluo wako sawa kwa upuzi promotion na mechanic zinakujia wapi😃😃😃😃
Uhuru najua unamjua huyu guka msaidie
Guka alijagua umekaniki!! Always wrong choice until now!
😄😄😄😄😄😄😄
Raila is the cause of trouble
Mkamba ni mkamba tu
MUNGU WANGU ,. HUYU MZEE ANASTAHILI KUSAIDIWA HAKI.
Ndio
Kenyans yu are celebrating mashujaa's day na mashujaa wenyewe yu are not helping them, what's the meaning of that
Na Githeri man akatunukiwa.
President wetu saindia mzee alie kuwa ndereva wa baba yako
Hii family ya Kenyataa is a very mean and selfish family hata mama yao Dio the worst she's never helped anyone....hata kwa matanga yeye huenda na kuni Moja na mia Moja.. shame
Wakamba hawazeekangi aki.
But atleast he is kind Babu to me
C ivo..any person who happens to undergo millitary training they live strong even during their old age
@@mikeshikhaya2397 when was that and when is today, at time lets be somehow realistic
@Joshua mwanzia
Am not looking at tym neither am I looking at wen exactly yr it was.. Here am talking of his general fittness Bro hé gained during his training and while in thé millitary camp
Francis Muiruri kama wapare
Uhuru can never help anyone
The proposed formulae on 2 third gender rule with rotational presidential post is now available in youtube from ordinary mwananchi to access go to,, bonface chege warui
Uhuru ni mpole atakusaidia
The Babu is still waiting to date
@@joshuamwanzia8986 anastaili aende uko amwambie
Wana Siasa hawa pendi ku saidia watu
@@kevohwapipelinetransami4351 where now , you know in our democratic country you should have some kind of appointment to meet our elected leaders.