Maisha Ya Aliyekuwa Dereva Wa Mzee Jomo Kenyatta

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 сер 2014
  • Anaona fahari kwa kuwa miongoni mwa wanajeshi wachache mno waliopata fursa ya kuwa dereva wa rais wa kwanza wa jamhuri ya Kenya Mzee Jomo Kenyatta. Japo ni miaka mingi baada ya kustaafu kwake, Martin Munuve Njema mwenye umri wa miaka 76 anakumbuka vyema hali ilivyokuwa alipokuwa dereva wa gari maalum alilotumia Mzee Kenyatta ilipowadia siku kuu ya kitaifa. Mwanahabari wetu Patrick Injendi alimtembelea nyumbani kwake mzee huyo huko Kithimani eneo la Mbooni kaunti ya Makueni ambako alimhoji zaidi kuhusu taarifa inayomhusu.

КОМЕНТАРІ • 137

  • @kahugumuiruri9057
    @kahugumuiruri9057 2 роки тому +10

    I love his integrity. He chose a course to work with his hands and mind as opposed to an undeserved promotion.

  • @KangsDKN
    @KangsDKN 2 роки тому +8

    This is a wise man, wise decision, hand skills are so important

  • @florencemwangi7766
    @florencemwangi7766 2 роки тому +21

    He deserves a better living style through the government, he should not be neglected

  • @fredericksaidi3491
    @fredericksaidi3491 4 роки тому +11

    His family deserves to be humanly remembered!

  • @justusmutisya8808
    @justusmutisya8808 4 роки тому +1

    Ngyema my neighbour, a simple mama. Thanks citizen TV.

  • @ngongashadrack1192
    @ngongashadrack1192 2 роки тому +5

    Mzee is still too strong!

  • @michaelalando
    @michaelalando 2 роки тому +4

    It's great that Jomo asked him what he needed. He should have said, "a farm" plus that promotion within the forces. He'd have

  • @kendimutunga
    @kendimutunga 2 роки тому +2

    A man with wisdom

  • @janemburu7921
    @janemburu7921 6 років тому +3

    i know he will win because he is very. good with he's work be strong Uhuru. don't worry

    • @tommboya9768
      @tommboya9768 5 років тому

      jane Mburu @mmetuibia sana na hamna aibu ya kuongea upuzi

  • @duncansindani8909
    @duncansindani8909 2 роки тому +1

    As together as one

  • @boxingplanet7637
    @boxingplanet7637 5 років тому +29

    H.Uhuru saidia dereva wa babako

  • @bonifacemaina6092
    @bonifacemaina6092 2 роки тому +1

    Hakuna mshahara kubwa wala ndogo(Opportunity come once)... God gave you abilities to utilize ..Ukizubaa shauri yako( But God of another chance..

    • @Nani-ww8yg
      @Nani-ww8yg 11 місяців тому

      Indeed well said

  • @mercynjagi9692
    @mercynjagi9692 2 роки тому +1

    Kenyatta's family should not have forgotten about him

  • @254alright2
    @254alright2 2 роки тому +5

    and kenyatta's son is the president, just imagine, alafu we mtu haujaifanyia serikali kitu umekazana kila siku ati unakufia mtu.

  • @richardmaranga1633
    @richardmaranga1633 2 місяці тому

    Wakatu huo pesa ilikuwa ndogo,but labda mzee alipenda Raha kuliko maisha ya baadaye

  • @abdullahiabdi5855
    @abdullahiabdi5855 4 роки тому +1

    2 H:excellence plz assist de above fmr driver

  • @victormaina7400
    @victormaina7400 5 років тому +1

    Old but young

  • @mathewsaitoti4250
    @mathewsaitoti4250 5 років тому +10

    Hon Uhuru msaidie aliyekuwa dereva wa mzee.

  • @janewarimu134
    @janewarimu134 4 роки тому +2

    Waoo long live baba

  • @phidesk6532
    @phidesk6532 4 роки тому +5

    huyu mzee kama hakusaidika iyo wakati hatawai saidika

  • @shabanalphonice7771
    @shabanalphonice7771 2 роки тому +1

    Still strong

  • @stevenjenga506
    @stevenjenga506 2 роки тому +1

    Someone should connect this driver to president kenyatta

  • @osmoohvictor573
    @osmoohvictor573 2 роки тому

    I did good work

  • @mikemunda
    @mikemunda 2 роки тому

    Leaders in ukambani should boost this wise man yuko humble.

  • @alphoncengugi4515
    @alphoncengugi4515 4 роки тому +8

    This is Kenya only criminals lives a good life and expensive luxuries to end

  • @jontecaros3194
    @jontecaros3194 2 роки тому +1

    Pole Sana, uhuru najua tu hatasaidia huyu mtu

  • @qaliabdullahi17
    @qaliabdullahi17 2 роки тому +3

    The government should not forget such meaningful person at any cost, anafaa apatiwe asante ya serikali hata Kama ni kumpatia kazi Kwa vijana wake,

  • @lucasmwasi4310
    @lucasmwasi4310 4 роки тому +8

    Ati asaindiwe kwani wakati huo hakua analipwa, kwambia Uhuru sinjui amuonee huruma haisaindii angeambia jomo Kenyatta.,,,

  • @gideongathekiamkoloni5043
    @gideongathekiamkoloni5043 2 роки тому +6

    I don't know why those who has served Kenyatta's are poor

  • @anthonyngocihkisilu2973
    @anthonyngocihkisilu2973 Рік тому

    The man should have asked for a plot or land....coz he was already a professional driver

  • @johnnyagandwiga2779
    @johnnyagandwiga2779 4 роки тому +1

    Aki please try to connect him with uhuru, even the sister for kibaki surely media help.

  • @alexorango5133
    @alexorango5133 2 роки тому +2

    Vile angependa kuambia UHURU ako na njaa, hivyo ndio angeambia Kenyatta wakati aliulizwa angependelea apewe nini ndio afurahie kazi yake. Dawa ya njaa ni chakula. Na chakula hutolewa shambani. Angeangukia mashamba ambayo yangemlisha pamoja na vizazi vyake. Hata mkamba mwenye alipeleka Independence Flag Mt. Kenya alienda nyumbani na vumbi.

  • @aliaden5512
    @aliaden5512 2 роки тому +3

    Pole mzee wakikuyu niwagumu kwa pesa jaribu ruto anaeza toa kitu

  • @catemutionzuki2761
    @catemutionzuki2761 4 роки тому +4

    Ata guka yangu alikua mmoja wa huyu but alilia asaidiwe wapi Hadi amekufa akilia usaidizi ni mungu tu

  • @roberttai4694
    @roberttai4694 2 роки тому +2

    While you guys are complaining of the state of the mzee, remember there are current drivers ,security personnels of VIPs living hand to mouth despite the changing times.

  • @geraldmaingi509
    @geraldmaingi509 Рік тому +1

    Head of states, avoid same by rewarding those who carry your life in their hands. Eg. Cooks, drivers, bodyguards etc. It has been noted with a lot of concern that you even use them to root the wealth you have living them a pepper.

  • @edwinkipngetichtum9010
    @edwinkipngetichtum9010 4 роки тому +1

    The Workers of the Family 👪 Mzee Jomo Kenyatta Should Leave A Better Life.. 🤔 🤔

  • @martinkiberenge4405
    @martinkiberenge4405 4 роки тому +4

    Am sorry to ask,kwani hawa watu hawakuwa wanalipwa,coz anakaa kama hajawai enda kazi,anyway ukambani ni moto

  • @kanakekareko7725
    @kanakekareko7725 4 роки тому +1

    Kazee

  • @josephmusembih6041
    @josephmusembih6041 5 років тому +4

    HE DESERVES RECOGNATION HAKI

  • @HubasaFamily254
    @HubasaFamily254 2 роки тому +1

    Maisha ni tricky walai.....baada ya hiyo yote bado maisha imemnyorosha hivi?!

  • @jackjanet5970
    @jackjanet5970 4 роки тому +6

    Na kwasababu alikua analipwa kwanini hakusave pesa zake ajitengenezee maisha,wacheni tuache kubebecha watu mizigo and this is a lesson no matter who you are woking for save your money for your old days.kila mtu ako na mashida zake.

    • @amosngugi5566
      @amosngugi5566 4 роки тому

      Ata mimi najiuliza hawa ni watu wenye wanaishi maisha si yao

  • @sierrakamau1510
    @sierrakamau1510 5 років тому +3

    The government of Kenya completely forgets loyal dutiful people who have contributed to it's history! SHAME ☹️

    • @joshuamwanzia8986
      @joshuamwanzia8986 5 років тому +1

      Sure , but the issue here is connections to reach the right people

  • @kirakurawachege1250
    @kirakurawachege1250 2 роки тому +4

    The comments on this group show how little knowledge of the fight for independence, the Mau Mau and other freedom fighters in this country we have...

  • @aggreyluganolugano649
    @aggreyluganolugano649 2 роки тому +6

    Why is he poor! While Kenyatta family n relatives are dancing in billions of money n properties

    • @MuhammadMuhammad-lq2um
      @MuhammadMuhammad-lq2um 2 роки тому

      Imagine then today you find some have that energy to call others thieves

  • @maghanawakamau3596
    @maghanawakamau3596 4 роки тому +1

    Ako na haki,apewe haki yake

  • @husnisunkar8477
    @husnisunkar8477 6 років тому +3

    uyu mzee aangaliwe vizuri alibeba rais wa kenya

  • @metalcrusher8474
    @metalcrusher8474 3 роки тому

    Mbona abebe Kenyatta halafu aishi maisha ya kuhangaika namna hii? Hata choo ni ya matope. Isipokuwa mungu amempea afya na utajiri wa rohoni.

  • @stephennganga1623
    @stephennganga1623 4 роки тому +1

    Wah but he tried

  • @janemburu7921
    @janemburu7921 6 років тому +6

    I am praying for Uhuru to win .god bless uhuru I wish you long live and good health.

  • @lucymwangi9844
    @lucymwangi9844 2 роки тому

    Na ifikie rais ukikumbuka watoto wake pia mimi Nina mmoja msichana graduate.anataka kazi

  • @danzelmajor1296
    @danzelmajor1296 2 роки тому +1

    How faster is he in using his appropriate wishes and alacrities of being an epitome of class

    • @bonfacechegewarui4149
      @bonfacechegewarui4149 2 роки тому

      The proposed formulae on 2 third gender rule with rotational presidential post is now available in youtube from ordinary mwananchi to access go to,, bonface chege warui

  • @rajabmusa8949
    @rajabmusa8949 2 роки тому

    Allah knows

  • @paulwainaina8230
    @paulwainaina8230 2 роки тому

    Serikali isandie mzee

  • @raelahrayanraynah6256
    @raelahrayanraynah6256 4 роки тому +1

    Uhuru help huyu mzee , if you know you know

  • @suleimanabdullahi3190
    @suleimanabdullahi3190 4 роки тому +5

    In Kenya,people will step on your head to get to the top,while there,all the head that were stepped on will have no meaning.

  • @lukenexuz106
    @lukenexuz106 4 роки тому +2

    This mzee uhuru must help him one of the shujaaa of Kenya

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 4 роки тому

    Okoa huyu mzee prezo

  • @patrickmugambi1176
    @patrickmugambi1176 5 років тому +2

    Did the the guy meet prezo uhuru?

  • @kibaopipa3474
    @kibaopipa3474 6 років тому +3

    IMAGINE DRIVER WA PRESIDENT
    SO SAD

  • @yunicewanjiku3566
    @yunicewanjiku3566 6 років тому +8

    uhuru ni mtu ako na Mungu ndani yake atakusaidia

  • @samsonwarui7407
    @samsonwarui7407 4 роки тому +3

    this was 2014 so far did he managed kufikia president uhuru... we now in 2019

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 4 роки тому

    Sasa Wakenya mbona mnashindwa saidia huyu mzee , angalieni life anayoishi na life ya wadosi huko Nairobi
    Very Sad
    🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @rojahdaudi9306
      @rojahdaudi9306 3 роки тому +2

      Unajuwa kinachoendelea na aliyekuwa dereva wa Nyerere ?

    • @directorgeneral9503
      @directorgeneral9503 3 роки тому

      Mko na kimbelembele Sana na Mambo ya kenya mind your own business in Tz..

    • @aliaden5512
      @aliaden5512 2 роки тому

      Alisaidiwa akishindwa, kusaidika

  • @afandehassan1
    @afandehassan1 2 роки тому

    Wapi Atwoli badala atetee watu kama hawa Yeye ni Ruto tu... Shenzi Sana

  • @irenekerubo9791
    @irenekerubo9791 2 роки тому

    Ajengewe hao poa

  • @tondaaugustine4541
    @tondaaugustine4541 4 роки тому +3

    mzee alichagua asaidiwe kufunzwa umekaniki.....mimi ningekua yeye ningeambia rais Jomo nipee cheo na mshahara iongezwe ama angeomba shamba kubwa

    • @directorgeneral9503
      @directorgeneral9503 3 роки тому +1

      I'm really sad for What he asked!! Somebody anapata opportunity to talk with the president and given a chance to ask anything and fail to ask the right thing! nowonder that's the reason he his suffering he made wrong choice! Opportunity comes once.

    • @kaytwok2345
      @kaytwok2345 2 роки тому

      By those year kitu kama shamba ama madaraka aikua ya maana sana...mzee kuchangua kufunza u mechanic ilikua jambo la maana......mistake akujipanga in future

  • @wamugimohammed3848
    @wamugimohammed3848 2 роки тому

    Kwa kweli Rais UHURU Najuwa atamsaidia hii habari akiipata! Yule mzee we Taita aliye tuwa wembo we TAIFA alimjengea nyumba nzuri tu sana na kila kitu kwa nyumba,😃😃😃

  • @simonwainaina7360
    @simonwainaina7360 5 років тому +7

    kwani hakuwa ana save pesa zake??

    • @joshuamwanzia8986
      @joshuamwanzia8986 5 років тому +1

      Babu had a big family so the dependency Ratio was indeed high

    • @suzeemnati8356
      @suzeemnati8356 4 роки тому

      Amesema salary yao hiyo time ilikua chini kuliko wafanyi kazi wengine sio kama siku hizi so hageweza coz ya family

  • @eliudmathu1575
    @eliudmathu1575 5 років тому +2

    ety mechanic badala ya promotion kweli ww n mkaba

  • @ginton_254
    @ginton_254 2 роки тому

    Yani unaulizwa wataka kua nini unasema mechanic👨‍🔧👨‍🔧👨‍🔧👨‍🔧👨‍🔧👨‍🔧 mkamba ni mkamba tu bana

    • @wambuageoffrey9321
      @wambuageoffrey9321 2 роки тому

      Hauna akili wewe....ungesema promotion without an idea

    • @kaytwok2345
      @kaytwok2345 2 роки тому +1

      Ata wewe chenye utamani sana kua iko siku kitkua akina maana....hii ni 1964 unadhani mechanic kenya ungemtoa wapi?????...he was a wise man

  • @asilclub
    @asilclub 2 роки тому

    عمل سائقا للرئيس الكيني جومو كينياتا

  • @irenekerubo9791
    @irenekerubo9791 2 роки тому

    Watu kama hao wasaidiwe

  • @stevengitau2437
    @stevengitau2437 6 років тому +5

    Mkamba na mjaluo wako sawa kwa upuzi promotion na mechanic zinakujia wapi😃😃😃😃

  • @stephenkamitha5932
    @stephenkamitha5932 4 роки тому

    Uhuru najua unamjua huyu guka msaidie

  • @marionmammy833
    @marionmammy833 4 роки тому

    😄😄😄😄😄😄😄

  • @bensonondieki3607
    @bensonondieki3607 2 роки тому

    Raila is the cause of trouble

  • @josphatmakokha5016
    @josphatmakokha5016 2 роки тому

    Mkamba ni mkamba tu

  • @mohamedaminah3448
    @mohamedaminah3448 2 роки тому

    MUNGU WANGU ,. HUYU MZEE ANASTAHILI KUSAIDIWA HAKI.

  • @zahrahabib3177
    @zahrahabib3177 4 роки тому

    Kenyans yu are celebrating mashujaa's day na mashujaa wenyewe yu are not helping them, what's the meaning of that

  • @mandenno.8460
    @mandenno.8460 4 роки тому +1

    Na Githeri man akatunukiwa.

  • @josephgicharu7206
    @josephgicharu7206 2 роки тому

    President wetu saindia mzee alie kuwa ndereva wa baba yako

  • @catherinegitau9053
    @catherinegitau9053 Рік тому

    Hii family ya Kenyataa is a very mean and selfish family hata mama yao Dio the worst she's never helped anyone....hata kwa matanga yeye huenda na kuni Moja na mia Moja.. shame

  • @francismuiruri9064
    @francismuiruri9064 5 років тому +2

    Wakamba hawazeekangi aki.

    • @joshuamwanzia8986
      @joshuamwanzia8986 5 років тому

      But atleast he is kind Babu to me

    • @mikeshikhaya2397
      @mikeshikhaya2397 5 років тому

      C ivo..any person who happens to undergo millitary training they live strong even during their old age

    • @joshuamwanzia8986
      @joshuamwanzia8986 5 років тому

      @@mikeshikhaya2397 when was that and when is today, at time lets be somehow realistic

    • @mikeshikhaya2397
      @mikeshikhaya2397 5 років тому

      @Joshua mwanzia
      Am not looking at tym neither am I looking at wen exactly yr it was.. Here am talking of his general fittness Bro hé gained during his training and while in thé millitary camp

    • @kuchimillionaire6683
      @kuchimillionaire6683 4 роки тому

      Francis Muiruri kama wapare

  • @jontecaros3194
    @jontecaros3194 2 роки тому +1

    Uhuru can never help anyone

  • @bonfacechegewarui4149
    @bonfacechegewarui4149 2 роки тому

    The proposed formulae on 2 third gender rule with rotational presidential post is now available in youtube from ordinary mwananchi to access go to,, bonface chege warui

  • @kevohwapipelinetransami4351
    @kevohwapipelinetransami4351 5 років тому

    Uhuru ni mpole atakusaidia

    • @joshuamwanzia8986
      @joshuamwanzia8986 5 років тому

      The Babu is still waiting to date

    • @kevohwapipelinetransami4351
      @kevohwapipelinetransami4351 5 років тому

      @@joshuamwanzia8986 anastaili aende uko amwambie

    • @MOHAMEDIBRAHIM-gu5zf
      @MOHAMEDIBRAHIM-gu5zf 5 років тому

      Wana Siasa hawa pendi ku saidia watu

    • @joshuamwanzia8986
      @joshuamwanzia8986 5 років тому

      @@kevohwapipelinetransami4351 where now , you know in our democratic country you should have some kind of appointment to meet our elected leaders.