DOTTO MAGARI AMCHANA LIVE DIDA SHAIBU ,"UKOME KUONGELEA FAMILIA YANGU KWENYE REDIO YENU.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 бер 2024
  • #bongo24 #dottomagari #dida
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 34

  • @jumamaisara7557
    @jumamaisara7557 4 місяці тому +2

    Dotto noma hahaaaaa sana hiyo dua mzee sio mshezo mkuu

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 4 місяці тому +4

    Dotto nimependa umevua msalaba kwanza .. sasa fanya utengeze hizo ndevu ..

  • @Jenifer-wd4hn7cv9s
    @Jenifer-wd4hn7cv9s 4 місяці тому +6

    🤣🤣🤣ni kweli dida kazidi kila ck kuachana

  • @meckalex4648
    @meckalex4648 4 місяці тому +4

    😂😂😂😂😂 ameyatimba dida

  • @sadickmasilah9381
    @sadickmasilah9381 4 місяці тому +3

    Nikweli dida kazidiiiii tena sanaaa

  • @Bama959
    @Bama959 4 місяці тому +2

    ila ni kweli kabisa maana kale ka dida kamezidi

  • @biggievandar254
    @biggievandar254 4 місяці тому +3

    Nikweli kaka umesema ukweli waambie ukweli nahapa ipo

  • @Ramadhani-wx8oe
    @Ramadhani-wx8oe 4 місяці тому

    Kaka nkubali sana maneno yako na kiukweli hakuna Maisha bira mungu kila jambo mungu ndo Ana panga kaka

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 4 місяці тому +1

    Dotto una ongea ukweli kabisa mdogo wangu

  • @NicodemusKithi-xe7mg
    @NicodemusKithi-xe7mg 4 місяці тому +1

    Eti nimlafi wa juice 🥤 ya maziwa 😅😅

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 4 місяці тому +2

    Dida kayakanyaga kwa Dotto

  • @abdhillahiabeid9961
    @abdhillahiabeid9961 4 місяці тому +2

    dispilini.. 😅😅

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 4 місяці тому +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Pole dida

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 4 місяці тому +1

    Hakika.Mungu.mkubwa ndio kila kitu subra tu

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 4 місяці тому +2

    KAMA UMEMGUSA DIDA WE SKILIZA MASHAM SHAM TU UWE UNAYASIKIA MAJIBU YAKO😊

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 4 місяці тому

      Kwa hiliDida hana jibu. Kila siku yeye kuachika, sasa ataongeleaje ndoa za watu.

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 4 місяці тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂 hatari sana

  • @ramsohk
    @ramsohk 4 місяці тому

    Uyo c Malaya Leo ana mtaka mtoto d voice 😂😂😂😂😂hana hata haya😂😂😂

  • @MHDFURNITURE-jn2rx
    @MHDFURNITURE-jn2rx 4 місяці тому

    hivi sijui mnanielewa

  • @RachelMollel-bg4uy
    @RachelMollel-bg4uy 4 місяці тому

    Aache hiyo kazi

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 4 місяці тому +2

    hehehehehehehehehheeheheh

  • @pngugi3055
    @pngugi3055 4 місяці тому +3

    Dotto ako very right..huwezi kua unasuluhisha au kuelewesha ndoa za watu wakati wewe ushajichafua..Huna ndoa wala mahusiano ya heshima mahusiano ya

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 4 місяці тому +1

    Duu tutafuteni pesa jamani mtu anatafutwa kwenye simu chakula kumeiva 😂😂😂😂

  • @salehedizzo7369
    @salehedizzo7369 4 місяці тому

    Yuleanamaneno mengi hawezi kujishusha kwa mumewe alafu anagubu ndomana anaachikasana doto achananae apteiv 😃

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 4 місяці тому

    Kibibi kayakanyaga kwa doto 😂😂😂

  • @MwombekiMartini-ny6sl
    @MwombekiMartini-ny6sl 4 місяці тому +1

    Mikwanza simsikilizangi ajielewe kabisa

  • @ForodhaniZanzibar
    @ForodhaniZanzibar 4 місяці тому +1

    Kuna nn kwan uko jamn

  • @ShibuMlawa
    @ShibuMlawa 4 місяці тому +1

    Hahahaaaa duh

  • @user-dh2zd7ke7v
    @user-dh2zd7ke7v 4 місяці тому +1

    Kayatimba😅

  • @albartdastani3412
    @albartdastani3412 4 місяці тому +2

    Interview ilikuwa nzuri kosa kuingiza neno MKIGOMA

    • @KaguluZuu
      @KaguluZuu 4 місяці тому

      Anachokoza wakina mwijaku Tu hamaanishi😂😂😂😂

  • @user-hg4xu2st6w
    @user-hg4xu2st6w 4 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 4 місяці тому

    Dida kayakanyaga.