HOUSE GIRL EP 29 | S3 | Love Story 💕💞

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024
  • HOUSE GIRL SEASON 3

КОМЕНТАРІ • 383

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 18 годин тому +43

    Utakayeso hii comment mungu akujajalie upate watoto wenye tabia nzuri sio kama za kendy❤🤲❤🤲❤🤲❤🤲❤🤲

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 18 годин тому +40

    Jaman tunao Taman chiko afeli mpango wake na huku mjin tujuan jamn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉wapendw a wote

  • @AminaDibwe
    @AminaDibwe 18 годин тому +18

    Wanaomkubali da zuri gonga like hapa 😢😢

  • @NestorySanga-y2j
    @NestorySanga-y2j 19 годин тому +43

    Kai unazingua sanaa kwa kujipendekeza kwa kendy acha ufwara

  • @NeemaDenja
    @NeemaDenja 19 годин тому +28

    Jaman nimekuwa wa kwaza naombeni laiki zangu nawapenda sana malafiki zangu🫶🫶🫶🫶🫶🫶🙏🙏🙏🙏🙏

  • @DianaMkembelwa
    @DianaMkembelwa 18 годин тому +25

    86,jamani tunaomchukia choko Cendi tujuwaje.ila chiko tutamkodi P Didi akunyooshe.😅😅😅😅😅😅

  • @rabiambaga8356
    @rabiambaga8356 19 годин тому +14

    Waaaoooo waliokuwa wanasubiri kwa ham gonga like hapa

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r 17 годин тому +4

    Chiko lazima ufeli huo mpango wako na izo ndevu lazima utazichemsha safali hii 😂😂😂

  • @MichaelMirindi
    @MichaelMirindi 16 годин тому +2

    Kai amenikera sana amemukosea zuu

  • @MartinNiyukuri-n2t
    @MartinNiyukuri-n2t 17 годин тому +7

    Zuu Leo amependeza Maua yako🎉🎉🎉🎉🎉

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 18 годин тому +12

    Jaman kai unataka kumaliza zuu wetu jamn tulio kasirishwa na kitendo cha kendi jamn tujuan hap

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 16 годин тому +3

    Uyu mke wa mpumbavu mwezangu mimi binafsi simpendi jmn 😂😂😂😂😂

  • @HabibaAthumanMwaboko-vq4qk
    @HabibaAthumanMwaboko-vq4qk 17 годин тому +3

    Yani kilamba ukwaju mpumbavu una maneno yabusara sana walauchukuwa maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ASHANDEGWA
    @ASHANDEGWA 18 годин тому +7

    Twendeni mbele turudi nyuma ila mapenzi yanauma em candy na chiko tuachieni wanandoa wetu❤

  • @KissaMwakilembe
    @KissaMwakilembe 18 годин тому +6

    Mii timu zuu moyo unaniuma jamani mpaka 😭😭😭😭

  • @Asmachima-dx5gb
    @Asmachima-dx5gb 16 годин тому +2

    Mama tasha mbn umemuamn gafla

  • @Hapygideon
    @Hapygideon 18 годин тому +13

    Hivi zuuh na mpumbavu mwenzangu mmekosa pilipili kweli,,mummwagie kwenye macho

  • @HelinaEdward
    @HelinaEdward 16 годин тому +2

    Ila Khai anavobanagaa surual zakeee😂😂😂😂😂

  • @shamyalley2091
    @shamyalley2091 18 годин тому +9

    Hyu chiko na candy wamechanganyikiwa😂😂😂😂

  • @franktodory
    @franktodory 17 годин тому +3

    sema kai unajipendekeza sana naww

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 17 годин тому +2

    Zuu umependeza San Hila hyoo Kai naye ajatuliya Hila bibi zuu upo wap njoo umkomeshe hyoo cend Hila chico ww unaharibu movie sasa balaa Kai Kai ww senge ww kweli Hila hyoo mpumbavu wake. Kiramba mchuzi taira hyoo Tena taira San hata meno ana Kai Kwa hapo hap sijakupenda kabisa chico chico

  • @TedyTibalilira
    @TedyTibalilira 18 годин тому +7

    Hiv Kai unashndwa hata kumzibua makofi huyo candy unatoa mimacho tu km jinga vile

  • @robertsalaibey5383
    @robertsalaibey5383 18 годин тому +6

    i really need next episode,, sorry zuu....

  • @SamsonRandu-h9u
    @SamsonRandu-h9u 18 годин тому +9

    Yote Haya uliyataka wewe kai ulkua untka kumuumiza zuu Haya Sasa umefanikiwa 😂😂😂😂😂

  • @DianaNafula-hg2hi
    @DianaNafula-hg2hi 19 годин тому +7

    Leo nmejitahiti wa kwanza kutoka Kenya naombeni like ata moja basii🎉😂😂😂

  • @SharifaMombo-eh2bg
    @SharifaMombo-eh2bg 17 годин тому +2

    Natamani Mr Tasha arudi awwkute chiko na Sania coz hilo fujo😅😅😅😅😅

  • @JudithJudy-hz6wr
    @JudithJudy-hz6wr 18 годин тому +7

    Wacha nikoment haraka haraka kabla waomba likes hawajafika😂😂😂 from Saudi Arabia team strong hallooo gonga like hapa tukisonga

  • @AminaMussa-bw2jh
    @AminaMussa-bw2jh 19 годин тому +6

    Mnipe mauwa yang leo nime wahi❤❤

  • @JosephaSulle-yi4zr
    @JosephaSulle-yi4zr 17 годин тому +4

    Sitakii hi move tenaaa kwa kweli kendy na chiko nyie mmeshindikanaa kwa kwelii na chiko we haunaa akili au

  • @Aishybeb
    @Aishybeb 18 годин тому +7

    Kai unafanya movie hainogi kama mwanzo inaboo sas kisa kai hadi nataman iishe 😢😢

  • @MercyTripple
    @MercyTripple 18 годин тому +2

    I just love kilamba so much❤❤❤

  • @MaryBosibori-xm7us
    @MaryBosibori-xm7us 16 годин тому +1

    Kiramba mwambie huyo chambazi na cendy asikwangalie tena nyau😅😅😅

  • @MutabaziAmuri
    @MutabaziAmuri 16 годин тому +1

    Mama Mr tasha na kuomba achana n'a chiko siyo mtu mzuri kwako

  • @MaryamMaryam-vl8lm
    @MaryamMaryam-vl8lm 18 годин тому +3

    Uwanatamani kunaruhusu voice ili nitoe uchungu wngu wte kw Kai move inaenda kunisinya hii yaani umepambania ndoa yko Kai mpaka hpo ulipo mpe Raha zuu n yye afurahie ndoa acha ujinga wwe

  • @LilatAaa-u7n
    @LilatAaa-u7n 17 годин тому +1

    Kai unazinguwa sana bwana

  • @SabrahNibuka
    @SabrahNibuka 18 годин тому +2

    Mama tasha leo umeniumiza
    Wajuwa mwanao kaenda owa iweje umkubali saniya kukaa hapo😢😢

  • @AgnessMeshack-x3u
    @AgnessMeshack-x3u 16 годин тому +2

    Mrudisheni jasmine apa bana😊😊

  • @onesmusfondo7679
    @onesmusfondo7679 18 годин тому +2

    Angekuwa zuu,aende kumuona x usiku ungemuelewa j rahisi kma hvo....

  • @AnthonyKapaya-f2c
    @AnthonyKapaya-f2c 16 годин тому +1

    Eeeh ii move imefikia mahari Hadi inagusa my heart
    Msanii pongezi kwa fasihii yako

  • @AnnahNanjala-xh6ov
    @AnnahNanjala-xh6ov 18 годин тому +4

    Mama kua makini na sania na chiko hawa ni majambasi zuku

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s 17 годин тому +3

    Laa mama Tasha jamani iihaifayi kabisa kwasababu yampa nafasi huyo saniya tena usingempa kabisa kabisa sawa uyo chiku hukua unamfaham ila uyo saniya vp aaaa Yani hapo sijapenda

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 18 годин тому +3

    Jamn kendi kashindikan huyu dad Kilakona ameharibu jaman m nataman kendi akitaka kuharibu furah ya zuu bib zuu amnyooshe kendi mpaka aseme

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 18 годин тому +6

    Leo Sania kamuokoa mama Tasha make mmmmh Leo tungekuwa na msiba

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s 17 годин тому +2

    Allahu akibarr huyu chiku hana adabu na nanamakosa sana huyu kanikera sana huyu chiku umenikera sana

  • @denispengo4962
    @denispengo4962 17 годин тому +3

    Huyu candy bonge la msanii siku za mbele huko

  • @KemmyMercy-my9uf
    @KemmyMercy-my9uf 18 годин тому +2

    Chiko,kai, Sania na kendi kumbafu zenu mtajutia ipasavyo NKT 🙄😏😎

  • @AlineBaby-m5l
    @AlineBaby-m5l 17 годин тому +2

    Na omba bibizu agombowe mujuku wake awapige fimbo cand n'a Kai naumiya sana kwa kuwona kend n'a Kai wako pamoja

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 17 годин тому +1

    Hiki kipande cha kendi na kai kwa hapa mumetuongopea siyo kweli haiwezekani kitu kama hicho kwenye maisha ya binadamu hata kama mtu ni chizi

  • @VailethFrancis-ew6ro
    @VailethFrancis-ew6ro 18 годин тому +4

    Kai umezinguwa sana tulieshukiya tujuwane kwa like

  • @HabibaAthumanMwaboko-vq4qk
    @HabibaAthumanMwaboko-vq4qk 17 годин тому +1

    We kai kumbe bwege sana subiri kikukute

  • @FatumaBahatihassan
    @FatumaBahatihassan 17 годин тому +2

    Mama Tasha leeo tungeku kosa mushuma ungezma leeo wakati mtoto wako Tasha yupo ukweni
    Kay! achana nahuo mwanamuke Candy asjekuletea mtatizo kwenye Ndoa yako ebuheshimu Ndoa yako achana nahuo kilukanjia Candy hanajipya kashindikana nilakona anatembea nalana za Muzazi. Pole Zuu

  • @TumainiMbati
    @TumainiMbati 18 годин тому +2

    Waoooh mpumbavu mwenzangu

  • @MERCYMWIAMUSEMBI
    @MERCYMWIAMUSEMBI 18 годин тому +2

    Alf wee kai mpuuzi usimwangalie kiramba. Unafunga ndefu hazikusaidii nyooooo

  • @ChimammyMummy
    @ChimammyMummy 17 годин тому +4

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyu kendii n muuwajii akiamungu Yaan we hata huogopi mwenzako anamimba yaeza kumtoka na mineno yako michungu khaa

    • @leilayathumani2295
      @leilayathumani2295 17 годин тому +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kendi ni umbwa kwel yaan

    • @ChimammyMummy
      @ChimammyMummy 17 годин тому +1

      @@leilayathumani2295 🤣🤣🤣

  • @husnachunga5720
    @husnachunga5720 18 годин тому +3

    Kai Acha umbumbavu. We kama Bado unampenda uyo mshenzi. Wako muache zuu wetu usije ukamsababishia mauti kwa ujinga wako

  • @umentco9600
    @umentco9600 17 годин тому +2

    Kilamba wacha vituko ukinda choo ndio ujamaliza shida 😂😂

  • @KarungiAngelique
    @KarungiAngelique 17 годин тому +1

    Leo hiii mumenikwaza kbs angarahu s3 ihishe kbs MB zangu za Leo zimeniumiza kbs from Rwanda 🇷🇼

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s 17 годин тому +4

    Kilamba upo sawa sawa kabisa unaongeya kweli pamoja na mbumbavu mwenzako kweli Kay kakosaya sana nimzaifu sana nahapo ndio atampa nafasi kendy kutamba

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 18 годин тому +2

    Sania leo ameokoa maisha ya mama Tasha, Tasha we endelea kuka huko utakuta mama yako washamzika

  • @maryamoTanzania
    @maryamoTanzania 18 годин тому +3

    Alafu busati kama hii movie imeisha semeni musiaze kuviluuga mambo 🥵😏😏😏

  • @TumainiMbati
    @TumainiMbati 18 годин тому +2

    Mama utakapokuja kujua ukweli chiko ndio huyo cjui cjui utafanyaje

  • @MichaelLutonja
    @MichaelLutonja 17 годин тому +2

    I love you busati tv na kazi nzuri sana za busati tv ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Hapygideon
    @Hapygideon 18 годин тому +4

    😂😂😂😂kilamba katudhalilisha kweli Kai sini ya usaliti haikupendezi kabisa,nenda ukanye kwanza😂😂

  • @MinnahPetra
    @MinnahPetra 17 годин тому +1

    kai haja fikria kabisa kuenda kuonana na candy

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 18 годин тому +6

    Kiramb nataman kwenda kupunguz kinyesi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 18 годин тому +4

    Kiramb mpe nondo kai amesha mkaribisha kendi nyumbn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Kiramb

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 18 годин тому +3

    Kai Umeyatak kwa kendi utakom wew a naongea maneno hat ambayo hujafany ili kumuumiza t zuu😢😢😢😢😢😢😢

  • @Hapygideon
    @Hapygideon 18 годин тому +2

    Kilamba🙋🙋🙋🙋point mpumbavu mwenzangu

  • @Hapygideon
    @Hapygideon 19 годин тому +2

    Kai unakera sana hatujafurahi kabisa

  • @Farthun
    @Farthun 17 годин тому +2

    Mm nishachoka kabsa 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 eti mama tasha anakubli vitu tu halfu kai ndo unazidi kunikera na huyu candy wako ikifika pazuri niiteni mm roho inaniuma tu

  • @GhaniaNasser-d9p
    @GhaniaNasser-d9p 18 годин тому +5

    Aisee nikifika kwa kiramba sielewi maana huyo mkeo mpumbavu simuelew mm

  • @fatumamkuzi8051
    @fatumamkuzi8051 17 годин тому +2

    Mwaiharibu sasa kai na kend

  • @almasisheshe7032
    @almasisheshe7032 18 годин тому +2

    Kilamba Leo umekua kauzu Hadi unastahir pongeze big up for you

  • @Tatu-r2h
    @Tatu-r2h 18 годин тому +2

    Mimi leo nimechukizwa na candy pamoja na chiko 😢

  • @MaryamMaryam-vl8lm
    @MaryamMaryam-vl8lm 18 годин тому +2

    Pendaza zuri leo mashallah

  • @eshanjira6203
    @eshanjira6203 17 годин тому +2

    Mnaosema iishe msiangalie kama mwakereka tuachieni tunaopenda tuendelee

  • @JudithAmos-u3u
    @JudithAmos-u3u 18 годин тому +2

    Kai unaferi sana kuwa na msimamo bwana unataka kutukera

  • @LucySamsoni
    @LucySamsoni 19 годин тому +2

    Kai unanikela sana nakuona mwanaume wa ovyo sana Yani we jinga sana kai

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 16 годин тому +1

    Kai mbona gwege sana,bt zuu usijali bibi yuko anakulinda n mizimu piaa.

  • @TumainiMbati
    @TumainiMbati 18 годин тому +2

    Kilamba umetisha sana

  • @angelmauja1846
    @angelmauja1846 17 годин тому +1

    Em tasha toka Kijijini haraka

  • @SaraUlaya-is2ch
    @SaraUlaya-is2ch 17 годин тому +1

    Yaan we kilamba nimwehu ila nakupenda❤❤❤

  • @lucymbuma681
    @lucymbuma681 18 годин тому +2

    Kiukweli Kai umenikela san rooooooooh

  • @SamsonMajan-k3g
    @SamsonMajan-k3g 19 годин тому +5

    Waoooo zahasubuhi jamaaa wote

    • @SamsonMajan-k3g
      @SamsonMajan-k3g 17 годин тому +1

      Mmmmh jaman kendi Sania chiko Hawa vivuluge watafutiwe sawa yao tu ciwa pend Sana japo wachangamsha love story yeti Ila wamezidi wacio penda Tim ya mtu tatu Tia uzito chin apo

  • @irene-pw4dw
    @irene-pw4dw 16 годин тому +1

    Mrs ngonde kimamula😂😂😂😂

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 19 годин тому +2

    We Sania umefata nin kwa mam Tasha wew ushajazwa mimba unajipeleka hap

  • @Hapygideon
    @Hapygideon 19 годин тому +2

    Kai Kai kai😢😢😢,,unatutafuta Nini na mizimu yetu,tutakuotesha busha mbwa wewe endelea😂😂😂

  • @buru1235
    @buru1235 19 годин тому +3

    Yani kai tumetufikisha apa Aki ayiii Sasa Na Tasha alisema kuwa umemsahau Candy wooyi 😢 Kamkonde ndio mwanzo apo ulipo nyooo

  • @Uwamahorofarida-e6h
    @Uwamahorofarida-e6h 19 годин тому +2

    Wakwanza kutoka Rwanda Team zuu oyeee

  • @FelistusKimanzi-f2g
    @FelistusKimanzi-f2g 16 годин тому

    Nice one

  • @AlineBaby-m5l
    @AlineBaby-m5l 17 годин тому +2

    Basi muyimalize iyo hous girl kwasababu munaniwumiza loho yangu mumekosa yangin maneno yakupang namuja kupang ayomaneno yakuwongeza kuwumiza zuu😢

  • @JemaMbwilo
    @JemaMbwilo 17 годин тому +2

    Kai mjinga kweli na hauna msimamo mwanaume Gani wewe mda wote huko unamsikiliza huyo hujui kuwa unamuumiza zuu 😢

    • @JudithSimiyu-ps7ee
      @JudithSimiyu-ps7ee 17 годин тому

      Usije ukamulaumu akuna mtu anaeweza kumsahau x wake

    • @SophieMogiti
      @SophieMogiti 16 годин тому

      Inabdi amsahau juu ni mtu muuaji😢😅Kai kwa ukweli umekera

  • @EmmilianaWekesa
    @EmmilianaWekesa 17 годин тому +1

    Wanaotaka bibi zuu ampe Kai adabu mpo😂😂

  • @ChristineMakori-om7nt
    @ChristineMakori-om7nt 15 годин тому

    Jamani wanaotaka mpumbafu mwenzetu arudishwe gonga like hapa tukisonga

  • @HhUhh-io8ix
    @HhUhh-io8ix 16 годин тому

    Ooooo😊 mama tasha amenda jaman chiko sania musimuwe loooooo

  • @YusraSiyaleo-yk2fz
    @YusraSiyaleo-yk2fz 17 годин тому +1

    Tunaotaka cand adhulumiwe pesa zake gongen like hapa tujuane 😂😂😂😂😂

  • @sommohd7903
    @sommohd7903 17 годин тому

    Party za P DD 😂😂 Kai Acha uzungu Bhana 🤣....alaf piga menu unenepe kidogobhana mr Kai 😂

  • @JuliteNabwire
    @JuliteNabwire 16 годин тому

    Kai usidubutu kurudisha husiano na kendi itakuwa umeyaribu kabisa kuwa kama zatiti na Tasha👍

  • @FalidaIssa
    @FalidaIssa 16 годин тому

    Karogwa Kai hauko sasahihi kend niadui weww so msungu

  • @SadaPodo-k8f
    @SadaPodo-k8f 19 годин тому +2

    Jaman michez miref inaisha hamun