Zuu umependeza San Hila hyoo Kai naye ajatuliya Hila bibi zuu upo wap njoo umkomeshe hyoo cend Hila chico ww unaharibu movie sasa balaa Kai Kai ww senge ww kweli Hila hyoo mpumbavu wake. Kiramba mchuzi taira hyoo Tena taira San hata meno ana Kai Kwa hapo hap sijakupenda kabisa chico chico
Uwanatamani kunaruhusu voice ili nitoe uchungu wngu wte kw Kai move inaenda kunisinya hii yaani umepambania ndoa yko Kai mpaka hpo ulipo mpe Raha zuu n yye afurahie ndoa acha ujinga wwe
Laa mama Tasha jamani iihaifayi kabisa kwasababu yampa nafasi huyo saniya tena usingempa kabisa kabisa sawa uyo chiku hukua unamfaham ila uyo saniya vp aaaa Yani hapo sijapenda
Mm nishachoka kabsa 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 eti mama tasha anakubli vitu tu halfu kai ndo unazidi kunikera na huyu candy wako ikifika pazuri niiteni mm roho inaniuma tu
Mmmmh jaman kendi Sania chiko Hawa vivuluge watafutiwe sawa yao tu ciwa pend Sana japo wachangamsha love story yeti Ila wamezidi wacio penda Tim ya mtu tatu Tia uzito chin apo
Utakayeso hii comment mungu akujajalie upate watoto wenye tabia nzuri sio kama za kendy❤🤲❤🤲❤🤲❤🤲❤🤲
Ammen
❤❤❤❤
❤❤❤
Allahumma ameena yarabi naww pia tunakuombea. Chukua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉yako
Amiiin ya rabil_alamiiin❤❤❤❤
Jaman tunao Taman chiko afeli mpango wake na huku mjin tujuan jamn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉wapendw a wote
Wanaomkubali da zuri gonga like hapa 😢😢
Kai unazingua sanaa kwa kujipendekeza kwa kendy acha ufwara
Kajifanya Muzungu mweusi bb imani😂😂
Kaniboo sana
Akili Kisoda Uwa Aisikii Mpka Ajionee Ndio Atatuwa Yupo Uzunguni Au Afrika
Jamani mbona jasmin sie uyo
Jaman nimekuwa wa kwaza naombeni laiki zangu nawapenda sana malafiki zangu🫶🫶🫶🫶🫶🫶🙏🙏🙏🙏🙏
86,jamani tunaomchukia choko Cendi tujuwaje.ila chiko tutamkodi P Didi akunyooshe.😅😅😅😅😅😅
😂😂😂
Waaaoooo waliokuwa wanasubiri kwa ham gonga like hapa
Chiko lazima ufeli huo mpango wako na izo ndevu lazima utazichemsha safali hii 😂😂😂
Kai amenikera sana amemukosea zuu
Zuu Leo amependeza Maua yako🎉🎉🎉🎉🎉
Kumbe pia wewe umeona 😅😅😅
Jaman kai unataka kumaliza zuu wetu jamn tulio kasirishwa na kitendo cha kendi jamn tujuan hap
Uyu mke wa mpumbavu mwezangu mimi binafsi simpendi jmn 😂😂😂😂😂
Yani kilamba ukwaju mpumbavu una maneno yabusara sana walauchukuwa maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Twendeni mbele turudi nyuma ila mapenzi yanauma em candy na chiko tuachieni wanandoa wetu❤
Mii timu zuu moyo unaniuma jamani mpaka 😭😭😭😭
Mama tasha mbn umemuamn gafla
Hivi zuuh na mpumbavu mwenzangu mmekosa pilipili kweli,,mummwagie kwenye macho
Ndio hivyo.
😂😂😂😂😂kwakweli wamboesha huyu kai
Ila Khai anavobanagaa surual zakeee😂😂😂😂😂
Hyu chiko na candy wamechanganyikiwa😂😂😂😂
sema kai unajipendekeza sana naww
Zuu umependeza San Hila hyoo Kai naye ajatuliya Hila bibi zuu upo wap njoo umkomeshe hyoo cend Hila chico ww unaharibu movie sasa balaa Kai Kai ww senge ww kweli Hila hyoo mpumbavu wake. Kiramba mchuzi taira hyoo Tena taira San hata meno ana Kai Kwa hapo hap sijakupenda kabisa chico chico
Hiv Kai unashndwa hata kumzibua makofi huyo candy unatoa mimacho tu km jinga vile
Hapo sasa
i really need next episode,, sorry zuu....
Yote Haya uliyataka wewe kai ulkua untka kumuumiza zuu Haya Sasa umefanikiwa 😂😂😂😂😂
Leo nmejitahiti wa kwanza kutoka Kenya naombeni like ata moja basii🎉😂😂😂
Natamani Mr Tasha arudi awwkute chiko na Sania coz hilo fujo😅😅😅😅😅
Wacha nikoment haraka haraka kabla waomba likes hawajafika😂😂😂 from Saudi Arabia team strong hallooo gonga like hapa tukisonga
Mnipe mauwa yang leo nime wahi❤❤
Sitakii hi move tenaaa kwa kweli kendy na chiko nyie mmeshindikanaa kwa kwelii na chiko we haunaa akili au
Kai unafanya movie hainogi kama mwanzo inaboo sas kisa kai hadi nataman iishe 😢😢
I just love kilamba so much❤❤❤
Kiramba mwambie huyo chambazi na cendy asikwangalie tena nyau😅😅😅
Mama Mr tasha na kuomba achana n'a chiko siyo mtu mzuri kwako
Uwanatamani kunaruhusu voice ili nitoe uchungu wngu wte kw Kai move inaenda kunisinya hii yaani umepambania ndoa yko Kai mpaka hpo ulipo mpe Raha zuu n yye afurahie ndoa acha ujinga wwe
Kai unazinguwa sana bwana
Mama tasha leo umeniumiza
Wajuwa mwanao kaenda owa iweje umkubali saniya kukaa hapo😢😢
Mrudisheni jasmine apa bana😊😊
Angekuwa zuu,aende kumuona x usiku ungemuelewa j rahisi kma hvo....
Eeeh ii move imefikia mahari Hadi inagusa my heart
Msanii pongezi kwa fasihii yako
Mama kua makini na sania na chiko hawa ni majambasi zuku
Laa mama Tasha jamani iihaifayi kabisa kwasababu yampa nafasi huyo saniya tena usingempa kabisa kabisa sawa uyo chiku hukua unamfaham ila uyo saniya vp aaaa Yani hapo sijapenda
Jamn kendi kashindikan huyu dad Kilakona ameharibu jaman m nataman kendi akitaka kuharibu furah ya zuu bib zuu amnyooshe kendi mpaka aseme
Leo Sania kamuokoa mama Tasha make mmmmh Leo tungekuwa na msiba
Allahu akibarr huyu chiku hana adabu na nanamakosa sana huyu kanikera sana huyu chiku umenikera sana
Huyu candy bonge la msanii siku za mbele huko
Chiko,kai, Sania na kendi kumbafu zenu mtajutia ipasavyo NKT 🙄😏😎
Na omba bibizu agombowe mujuku wake awapige fimbo cand n'a Kai naumiya sana kwa kuwona kend n'a Kai wako pamoja
Hiki kipande cha kendi na kai kwa hapa mumetuongopea siyo kweli haiwezekani kitu kama hicho kwenye maisha ya binadamu hata kama mtu ni chizi
Kai umezinguwa sana tulieshukiya tujuwane kwa like
We kai kumbe bwege sana subiri kikukute
Mama Tasha leeo tungeku kosa mushuma ungezma leeo wakati mtoto wako Tasha yupo ukweni
Kay! achana nahuo mwanamuke Candy asjekuletea mtatizo kwenye Ndoa yako ebuheshimu Ndoa yako achana nahuo kilukanjia Candy hanajipya kashindikana nilakona anatembea nalana za Muzazi. Pole Zuu
Waoooh mpumbavu mwenzangu
Alf wee kai mpuuzi usimwangalie kiramba. Unafunga ndefu hazikusaidii nyooooo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyu kendii n muuwajii akiamungu Yaan we hata huogopi mwenzako anamimba yaeza kumtoka na mineno yako michungu khaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kendi ni umbwa kwel yaan
@@leilayathumani2295 🤣🤣🤣
Kai Acha umbumbavu. We kama Bado unampenda uyo mshenzi. Wako muache zuu wetu usije ukamsababishia mauti kwa ujinga wako
Kilamba wacha vituko ukinda choo ndio ujamaliza shida 😂😂
Leo hiii mumenikwaza kbs angarahu s3 ihishe kbs MB zangu za Leo zimeniumiza kbs from Rwanda 🇷🇼
Kilamba upo sawa sawa kabisa unaongeya kweli pamoja na mbumbavu mwenzako kweli Kay kakosaya sana nimzaifu sana nahapo ndio atampa nafasi kendy kutamba
Amna kai yuko sawa
Sania leo ameokoa maisha ya mama Tasha, Tasha we endelea kuka huko utakuta mama yako washamzika
Alafu busati kama hii movie imeisha semeni musiaze kuviluuga mambo 🥵😏😏😏
😂😂😂😂
Mama utakapokuja kujua ukweli chiko ndio huyo cjui cjui utafanyaje
I love you busati tv na kazi nzuri sana za busati tv ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂kilamba katudhalilisha kweli Kai sini ya usaliti haikupendezi kabisa,nenda ukanye kwanza😂😂
kai haja fikria kabisa kuenda kuonana na candy
Kiramb nataman kwenda kupunguz kinyesi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kiramb mpe nondo kai amesha mkaribisha kendi nyumbn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Kiramb
Kai Umeyatak kwa kendi utakom wew a naongea maneno hat ambayo hujafany ili kumuumiza t zuu😢😢😢😢😢😢😢
Kilamba🙋🙋🙋🙋point mpumbavu mwenzangu
Kai unakera sana hatujafurahi kabisa
Mm nishachoka kabsa 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 eti mama tasha anakubli vitu tu halfu kai ndo unazidi kunikera na huyu candy wako ikifika pazuri niiteni mm roho inaniuma tu
Aisee nikifika kwa kiramba sielewi maana huyo mkeo mpumbavu simuelew mm
Taira hyooo
Mwaiharibu sasa kai na kend
Kilamba Leo umekua kauzu Hadi unastahir pongeze big up for you
Mimi leo nimechukizwa na candy pamoja na chiko 😢
Pendaza zuri leo mashallah
Mnaosema iishe msiangalie kama mwakereka tuachieni tunaopenda tuendelee
Kai unaferi sana kuwa na msimamo bwana unataka kutukera
Kai unanikela sana nakuona mwanaume wa ovyo sana Yani we jinga sana kai
Kai mbona gwege sana,bt zuu usijali bibi yuko anakulinda n mizimu piaa.
Kilamba umetisha sana
Em tasha toka Kijijini haraka
Yaan we kilamba nimwehu ila nakupenda❤❤❤
Kiukweli Kai umenikela san rooooooooh
Waoooo zahasubuhi jamaaa wote
Mmmmh jaman kendi Sania chiko Hawa vivuluge watafutiwe sawa yao tu ciwa pend Sana japo wachangamsha love story yeti Ila wamezidi wacio penda Tim ya mtu tatu Tia uzito chin apo
Mrs ngonde kimamula😂😂😂😂
We Sania umefata nin kwa mam Tasha wew ushajazwa mimba unajipeleka hap
Kai Kai kai😢😢😢,,unatutafuta Nini na mizimu yetu,tutakuotesha busha mbwa wewe endelea😂😂😂
Yani kai tumetufikisha apa Aki ayiii Sasa Na Tasha alisema kuwa umemsahau Candy wooyi 😢 Kamkonde ndio mwanzo apo ulipo nyooo
Wakwanza kutoka Rwanda Team zuu oyeee
Nice one
Basi muyimalize iyo hous girl kwasababu munaniwumiza loho yangu mumekosa yangin maneno yakupang namuja kupang ayomaneno yakuwongeza kuwumiza zuu😢
Kai mjinga kweli na hauna msimamo mwanaume Gani wewe mda wote huko unamsikiliza huyo hujui kuwa unamuumiza zuu 😢
Usije ukamulaumu akuna mtu anaeweza kumsahau x wake
Inabdi amsahau juu ni mtu muuaji😢😅Kai kwa ukweli umekera
Wanaotaka bibi zuu ampe Kai adabu mpo😂😂
Jamani wanaotaka mpumbafu mwenzetu arudishwe gonga like hapa tukisonga
Ooooo😊 mama tasha amenda jaman chiko sania musimuwe loooooo
Tunaotaka cand adhulumiwe pesa zake gongen like hapa tujuane 😂😂😂😂😂
Party za P DD 😂😂 Kai Acha uzungu Bhana 🤣....alaf piga menu unenepe kidogobhana mr Kai 😂
Kai usidubutu kurudisha husiano na kendi itakuwa umeyaribu kabisa kuwa kama zatiti na Tasha👍
Karogwa Kai hauko sasahihi kend niadui weww so msungu
Jaman michez miref inaisha hamun