FAIDA ZA KUPOKEA UPAKO WA MFALME NA KUHANI MKUU MELKIZEKI WAKATI WA KUSHIRIKI MEZA YA BWANA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2020
  • KONGAMANO LA 12

КОМЕНТАРІ • 88

  • @user-ky5vh7uu8i
    @user-ky5vh7uu8i 11 місяців тому +5

    Asante MUNGU kwa Mtumishi wako amekuwa baraka Sana katika maisha yetu hakika tunapata nguvu Sana ya kuwa karibu na MUNGU wetu AMINA

  • @yukundamushi7048
    @yukundamushi7048 3 роки тому +3

    We baba was Mbinguni tunashukuru kwa kutupa huyu Mwl anayetulisha Neno LA Maarifa na kujua namna yakukuishi na kujua kanuni za kuishi Ameen

  • @PsilaoKamwana
    @PsilaoKamwana 3 роки тому +2

    Asante MUNGU kwa kutupa zawadi ya mtumishi

  • @GODisable7573
    @GODisable7573 3 роки тому +5

    Amen 🙏🏾 zidi kubarikiwa Mwalimu na huduma nzima ya Mana Ministry

  • @johannesemmanuel843
    @johannesemmanuel843 2 роки тому +1

    Namshukuru mungu anaekuwezesha kuinenena siri ya ufalme wa mungu zidi kubarikiwa sana baba

  • @ElizaNywage-zx9wx
    @ElizaNywage-zx9wx 11 місяців тому

    Ubalikiwe sna mtumish mungu akulind na aendelee kukup mafunuo mapy

  • @irynaedward649
    @irynaedward649 3 роки тому +1

    Nampenda Sana huyu Mtumishi Wa Mungu aliye hai,Mungu akutunze mpaka mwisho wa uhai wako baba( wewe na familia yako

  • @sinyoritasamwel6392
    @sinyoritasamwel6392 3 роки тому +1

    Ubarikiwe sana mtumishi unanipa nguvu pale nipoyasikia mafundisho yako mungu akupe maisha marefu amen

  • @agripinarajab6994
    @agripinarajab6994 3 роки тому +1

    Amina mwl,Mungu akubariki akuongezee mafuta ya ualimu,

  • @leilaomary3574
    @leilaomary3574 2 роки тому +1

    Yesu wewe ni mwema our hearts are filled with endless praise.

  • @mesereswai3927
    @mesereswai3927 2 роки тому +1

    Mesere,swai

  • @yahayatemu1003
    @yahayatemu1003 3 роки тому +1

    Ameniii, ubarikiwe mtumishi wa Mungu, asante kwa kutuelimisha.

  • @anselemvangishauri9338
    @anselemvangishauri9338 2 роки тому +1

    Amen

  • @monicambetwa2620
    @monicambetwa2620 3 роки тому +2

    Barikiwa sana sana mtumishi Wa Baba

  • @clemensiameshack7480
    @clemensiameshack7480 3 роки тому +1

    Umefanyika baraka kwangu,Mungu akubariki kwa huduma yako nzuri

  • @williamjoram9775
    @williamjoram9775 2 роки тому +2

    Ninashukuru kwa mafundisho

  • @shabanmohamed1545
    @shabanmohamed1545 3 роки тому +2

    Mungu akupe uzima milele baba .

  • @happinessakim2679
    @happinessakim2679 2 роки тому +3

    Be Blessed Daddy 🙏🙏🙏

  • @nururaphael9913
    @nururaphael9913 3 роки тому +1

    Najiungamanisha na madhabahu hii amen

  • @jescarwegoshola7231
    @jescarwegoshola7231 3 роки тому +12

    Eeeee Mungu mwenyezi naomba uzidi kumpa nguvu na Afya Mwl huyu na hekima yake nabusara na maarifa vizidi,Pamoja na Familia yake na Watenda kazi pamoja na yeye🙏

  • @elizabethjuma2837
    @elizabethjuma2837 3 роки тому +1

    Nimebarikiwa sana kwa haya mafundisho. Ubarikiwe sana Mwalimu 🙏🙏

  • @mujwahuzikyabwishukuru2917
    @mujwahuzikyabwishukuru2917 2 роки тому +1

    Mwalimu (Teacher)

  • @lucyodiwa5331
    @lucyodiwa5331 3 роки тому +2

    Tangu nianze kufuatilia Masomo yako mwalimu maisha yangu yamebadilika kabisa. Nilianza na somo la uponyaji kwa moyo uliopondeka na nikapona kabisa roho, mwili, na mifupa. Lol! Mwanzoni sikutakaga kabisa kusikia masomo yako na sikuwahi kufika kwenye seminar zako. Lakini sasa ni mfuatiliaji makini kwasababu nimedhihirisha kuwa Wewe hakika ni mtumishi wa Mungu aliyehai

  • @mujwahuzikyabwishukuru2917
    @mujwahuzikyabwishukuru2917 2 роки тому +1

    MWALIMU (TEACHER)

  • @beyondscapes7847
    @beyondscapes7847 10 місяців тому

    Shalom. Hiyo Heading inabidi isomeke kuhani mkuu *MELKIZEDEKI* kwa ufasaha zaidi. Ahsante.🙏🙏

  • @elizabethjuma2837
    @elizabethjuma2837 3 роки тому +1

    Nai enjoy mafundisho yako sana nikiwa apa Saudi Arabia

  • @magdalenamsuta7336
    @magdalenamsuta7336 2 роки тому +1

    Asante sana

  • @UpendoLusamba
    @UpendoLusamba Рік тому

    Mungu akutunzee mwl!!

  • @victoriskiwango6770
    @victoriskiwango6770 2 роки тому +2

    Glory to God

  • @happydorcasmollelmollel6114
    @happydorcasmollelmollel6114 3 роки тому +1

    Kweli ww ni mwalimu, barikiwa sana.

  • @janekajuna9611
    @janekajuna9611 3 роки тому +1

    Ubarikiwe mtumish wa Mungu

  • @justinamanimushengezi9492
    @justinamanimushengezi9492 3 роки тому +1

    BWANA akubariki Babaya'ngu 🙏

  • @tinielmnzava9665
    @tinielmnzava9665 3 роки тому +3

    Ameen

  • @nelliemuganda4113
    @nelliemuganda4113 3 роки тому +3

    Bwana Yesu asifiwe sana

  • @shigongorevocatus8574
    @shigongorevocatus8574 3 роки тому +1

    Barikiwa

  • @bilugwemwanzije
    @bilugwemwanzije Рік тому

    Nuru ya mungu ikuongoze mtumishi !!?

  • @ngoromaernest8514
    @ngoromaernest8514 3 роки тому +1

    Ubarikiwe mtumixh

  • @asifiwegodfreymunisi4573
    @asifiwegodfreymunisi4573 3 роки тому +1

    Napokea kutoka kwa ROHO MTAKATIFU KUPITIA CHRISTOPHER MWAKASEGE

  • @samwelmwaijumba6018
    @samwelmwaijumba6018 3 роки тому +8

    Amen Glory to God....

  • @raphaelkiza
    @raphaelkiza 3 роки тому +2

    Sifa kwa Mungu kwa mafuta mabichi juu ya mtumishi wako Mwakasege👏👏👏💪

  • @jeandelmasaby1982
    @jeandelmasaby1982 3 роки тому +1

    29 Mnapoambiwa kuwa, "Ikiwa shule ya uchungaji ni ya shetani, basi mtu anawezaje kuwa mchungaji, mtume, na kadhalika ...?" " Mtasema kuwa ni nabii mjumbe tu anaye teuwa na kuweka wakfu huduma za wakati wake. Kuhani hajawahi teuwa kuhani mwingine. Na makuhani hawawezi kuwekwa wakfu na kuhani mwingine kwa kuwekewa mikono kama inavyoonekana makanisani. Ni nabii mjumbe ambaye huteua watumishi wa Mungu wa wakati wake. Hii ndiyo njia ambayo Mungu ameweka. Ni Musa ndiye aliye teuwa ukuhani kulingana na Mambo ya Walawi 8 bila shule ya uchungaji. Na ikiwa wewe ni mtumishi wa kweli wa Mungu, utakuja kwa Musa kama Yethro, kuhani wa Midiani. Ilikuwa ni Yohana mbatizaji aliye teuwa Apolo bila shule ya uchungaji. Ilikuwa Paul ambaye aliye teuwa Tito, Timotheo ... bila shule ya kichungaji na leo, ni Kacou Philippe ambaye aliye ni teuwa bila shule ya uchungaji kwa sababu kama nabii, aliona zawadi hiyo ndani yangu. [Ndr: Kusanyiko linasema: "Amina! »]. Nanyi enyi Wakatoliki, Waprotestanti, Wainjili na Wabranhamisti, mkilipa zaka kwa mtume, mwinjilisti au mchungaji na yeye hajalipa zaka ya zaka kwa kuhani mkuu ambaye ni nabii mjumbe wa wakati wake, kuna kiunga kilichokosekana, kwa hivyo ni mbaya, ni kashfa. Kwa sababu kupitia nabii mjumbe gani Mungu alikufanya uwe mtume, mwinjilisti au mchungaji? [Ndr: linasema: "Amina! »].
    30 Wanadamu lazima wajue kwamba, kulingana na Yohana 9: 5 na Yohana 6: 28-29, wakati unamkataa nabii aliye hai wa wakati wako, Yesu Kristo unayemwabudu siyo mwingine ila shetani. Makanisa ya Kikatoliki, ya Kiprotestanti, ya Kiinjili na ya Kibranhamisti pamoja na misioni na huduma zinamwabudu shetani kwa jina la Bwana Yesu Kristo. Ulimwengu lazima ujue kuwa funguo za Ufalme huwa duniani daima na mtu ambaye ni taa iwakoyo na nuru ya ulimwengu. Humuwezi kufanya kazi ya Mungu isipokuwa mnaamini na kuwa mnenaji wa yule aliyetumwa na Mungu. Hata kama unyofu wako unazidi ule wa Kornelio, Mungu hatakufanya chochote isipokuwa kukuongoza kwa yule ambaye ana funguo za Ufalme duniani kwa wakati wako. Funguo za Ufalme zimepita kutoka kwa Yohana Mbatizaji kwenda kwa Yesu Kristo, kutoka kwa Yesu Kristo kwenda kwa Petro, kutoka kwa Petro kwenda kwa Paulo na kisha kwa Ireneo, mtakatifu Martin wa Tours, Colomban, Martin Luther, John Wesley, William Branham , kwa Kacou Philippe leo na zitakuwa na mtu mwingine siku moja wakati Kacou Philippe hatakuwepo duniani tena! [Ndr: Kusanyiko linasema: "Amina! »]. Wakati Israeli iliomba mfalme kwa Mungu, Mungu aliwapa mfalme, lakini funguo za ufalme zilibaki kwa Samweli nabii aliye hai. Funguo za Ufalme wa Mbingu huwa na nabii aliye hai duniani. Na itakuwa hivyo daima hadi mwisho wa wakati. [Ndr: Kusanyiko linasema: "Amina! »].
    #Prophetkacouphilippe

  • @pendojemsy1532
    @pendojemsy1532 3 роки тому +2

    Asante.

  • @amanikutuba2555
    @amanikutuba2555 3 роки тому +1

    Napokea kwa jina kuu la yesu

  • @nashonmwazarubi9895
    @nashonmwazarubi9895 3 роки тому +1

    Amina sana

  • @sarahfaida4122
    @sarahfaida4122 3 роки тому +2

    Glory to God, Mungu na azidi kukuvika ujasiri na nguvu na mafuta mapya kila siku!

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 3 роки тому +1

    Amen napokea kwa jina la yes kiristo

  • @peninahnyabonyi9331
    @peninahnyabonyi9331 3 роки тому +2

    Ameeen

  • @happykizito4916
    @happykizito4916 3 роки тому +1

    Ninakushukuru MUNGU kwa ajili ya mwalimu upako wa kifalme ufurike azidi ndani yako na family Amen

  • @davisfungo4481
    @davisfungo4481 3 роки тому +1

    AMEN

  • @rosemosses7155
    @rosemosses7155 3 роки тому +1

    Ameeeeen and Ameeeeen

  • @user-ti8ti7lf7p
    @user-ti8ti7lf7p 11 місяців тому

    😊

  • @samops1074
    @samops1074 3 роки тому +2

    Injili Ya Kweli

  • @SERGESENGI-me2iq
    @SERGESENGI-me2iq 9 місяців тому

    Tumeshukuru kwa mafundisho

  • @tuzompwaga9947
    @tuzompwaga9947 3 роки тому +1

    Dady

  • @yukundamushi7048
    @yukundamushi7048 3 роки тому +4

    Endelea kumpa MAISHA marefu,na kumwongezea HEKIMA NA BUSARA TOKA KWAKO EE BABA WA MBINGUNI

  • @lynelee5846
    @lynelee5846 3 роки тому +13

    Huu ulikuwa upako wa kipekee.. nilipokea ujazo mpya hapa Qatar 🥰

  • @mwalimunanabiinelsonmwakik5542
    @mwalimunanabiinelsonmwakik5542 3 роки тому +2

    Barikiwa mnomno baba yetu

    • @rostertweve9437
      @rostertweve9437 3 роки тому

      Mungu akutunze kwa utumishi huu tunabarikiwa na kupata ufahamu juu ya elimu ya ki Mungu.

  • @theresialubida161
    @theresialubida161 Рік тому +1

    Glory to God 🙏🙏🙏🙏

  • @bilugwemwanzije
    @bilugwemwanzije Рік тому

    Hekima na maarifa zikuzunguke mtumishi !!?

  • @josephmolle
    @josephmolle 3 роки тому +4

    A men

  • @yukundamushi7048
    @yukundamushi7048 3 роки тому +2

    We baba was Mbinguni tunashukuru kwa kutupa huyu Mwl anayetulisha Neno LA Maarifa na kujua namna yakukuishi na kujua kanuni za kuishi Ameen

  • @christinesavai884
    @christinesavai884 2 роки тому +1

    Amen

  • @frankmtei3017
    @frankmtei3017 3 роки тому +2

    Ameen

  • @yukundamushi7048
    @yukundamushi7048 3 роки тому +1

    Endelea kumpa MAISHA marefu,na kumwongezea HEKIMA NA BUSARA TOKA KWAKO EE BABA WA MBINGUNI

  • @yukundamushi7048
    @yukundamushi7048 3 роки тому +1

    We baba was Mbinguni tunashukuru kwa kutupa huyu Mwl anayetulisha Neno LA Maarifa na kujua namna yakukuishi na kujua kanuni za kuishi Ameen

  • @sweetsalia548
    @sweetsalia548 3 роки тому +3

    Amen

  • @catherinegewe4183
    @catherinegewe4183 3 роки тому +2

    Amen

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 3 роки тому +2

    Amen

  • @johndenis8768
    @johndenis8768 3 роки тому +4

    Amen

  • @elizabethjuma2837
    @elizabethjuma2837 3 роки тому +1

    Amen

  • @annawambura2889
    @annawambura2889 3 роки тому +1

    Amen

  • @helenkimaro8251
    @helenkimaro8251 3 роки тому +1

    Amen