RAMADHAN MBWADUKE ATHIBITISHA KWA TAKWIMU YANGA KUWA NAMBA TANO BORA BARANI AFRIKA DATA HIZI HAPA
Вставка
- Опубліковано 8 лют 2025
- #livestreaming #mayele #hafiz #manara #pyramid #buza #dabi #derby #luismiquissone #yanga #mkude #leo #simba #mwananchi #jezimpya #mandonga #simbasc #skudu #lilepo #Yangasc #ngoma #mayele #simbaday #derby #barnaba #wasafibet #Mletemzungu #azamfc #chama #no6 #mtibwasugar #namungo #dabi #derby #job #dickson #kariakoo #kiama #namungo #wydadathleticclub #riversunited #mkapastadium #mkapa #azamfc #tff #benjaminmkapa #marumogallant #inonga #onana #musonda #mahop #simbaday #yangaday #gamondi #mkwakwani #tanga #skudu #almerrikh #kramo #ihefu #afl
The Official UA-cam Channel Account J&R Mtita From Tanzania Regrister by Tanzania Communications Regulation Authority (TCRA)
Booking : jrmtitatv@gmail.com
Contact : +255 747 384 250
nakubali ila game za.mwaka jana tofauti na mwaka huu
wakaze tuu wasiangalie historia
Big up
Nimekulewa sana mzee wangu big up sana, makolo kaeni kimya
Nan kasema we utopolo we 13 mjidnya
Umemaliza mzee wangu hapo washaelewa
Mbwaduke uko good nakuelewaga sana
Ramadhani noma sana Kwa takwimu🔥🔥🔥
Yanga ya sasa ni noma tukubali tu tuache ubabaishaji Gamondi hongera sana pamoja na benchi la ufundi
Hongera Sana Mzee wa data nakupata vizr nipo igunga tabora
nimefirah kutajwa nyumban wete pemba 🙏
Hizo takwimu ndizo zinawatisha sana akina MWAKAROBO, kwamba wakijivuruga kwenye champions League,wakaishia robo fainali,na mwananchi akavuka hatua hiyo ,ule ukubwa feki na kale ka rank ka CAF wanakojivunia,katabutuliwa ! Na ndio utakuwa mwosho wa kelele za ukubwa feki,na ukweli ni kwamba,madu " Siku zao zinahesabika" hilo linakwenda kutokea punde tu.
Yani ww nimjinga simba huwezi kumpita yan ww mwisho wako makundi
Yanga bingwa
Hajawai yanga kuwa ya tano ,tangu nimezaliwa mchambuzi wang nimekuelewa
Ujawai kusema uongo mauwa yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Data zimejaa
Sawa yanga ipo juu
Nakukunaki mbanduke unajuwa kuchambua
Bro unajua sana sio wale wachambuzi uchwara
Wambie makolo wamekalia ubishi
Uyu mzee apewe maua yake nimchambuz machachali
1998 yanga ilikuwa nafasi ya name barani Africa
We ni chambuz la DATA
ndo nn sasa musonda anarukaruka tu aha 😢 nabadilisha mfumo na mm naama
KISUGU nasemaji WAKO Tulieni hivyohivyo sumuisambaeeehaaa Yanga timu kubws babuuuu
mzee unafeli kumbuka ulisema simba anapoint 39 na yanga anapoint 31 sasa mbona unabadirika kimaelezo
Unahoji mtu na unachat unaboa,jaribu kushirikiana na unayemhoji Fala sana
Mbwaduke unatakiwa kuhojiwa na waandishi wa Habari nguli kama akina MLAMBO. Waandishi wa kibongo ni wa mchongo na wanazi wa Yanga na Mikolo!
Mkubwa hawa kolooo tukiwaambia hawajasoma wanatubishia sana, Nyiekolooo nyiemabutu mmesikia yanga ilivyo naviwango vyajuuuu haaaaa
Kinamwakarobo nimaumivu kwakwendambeleeeeee😅😀😀
Inamaana kunauwezekano yanga ikatangazwa club bora barani afrika kwa hizi takwimu
Hizo ni takwimu za mwaka mmoja tu msifikiri kwa mmoja tu huo mtakuwa mmefika tulikofika baada ya kuvuja jasho kwa miaka mitano
Takwim za mwaka mmjaznakarbiana na za miaka m5 w huogop?!!!!@@davidsimbeye1548
Upo Sawa umemaliza utata atakae bisha mgonjwa
Hiyo tuzo ya club
Haijawi kutokea tangu Yanga izaliwe ila sasa tu
Bado hujasema
N❤
Mzee wangu hawa waandish kama huyu mpumbav anae kuhoji achana nao wanakuvurugia utash wako jitu Lina chati linaitikia tu eee ee halielewi chochote
Simba ya 14. Wanaolia lia ni simba
We unaota kweli utopolo 13 simba 7 hy ni kujifariji namwisho wen makundi
Hats Bunere tunaangalia mechi zote za ligi tuko kijijini kweli wilaya ya bunda Kama Kuna mtu mwenye akili timamu hawezi kupinga takwimu hizo hongera Mr data
wanasubiri uchambuzi wa hovyo wa oscar kolo
Na nselya kwetu tukuyu live nimekupata ilivyo
Mbona ulikua unakataa? Dawa inawaingia polepóle. Sasa ulikua unakataa tuambie Simba uliyokua unasema ipo juu ya Yanga @ Mbwaduke
Vilabu5bora,barani,afirika
Wakati kolo anatolewa na UD songo, yanga alitolewa shirikisho makundi. Unasemaje alipata point 0??
Elewa kinachoelezwa. Yanga makundi shirikisho CAF ilikuwa msimu wa 2018 ambao haupo ndani ya 5 seasons zinazopigiwa mahesabu.
Huyo mwanahabari hafai kuhoji watu kama wewe,Hana uwezo.