Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
Ahmed Ally, Crescentius Magori wazungumzia usajili, Simba Day, ubaya ubwela
Вставка
- Опубліковано 12 лип 2024
- Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Crescentus Magori na Meneja wa Habari wa timu hiyo Ahmed Ally wamezungumzia mchakato wa usajili ndani ya klabu hiyo na kutoa tafsiri ya ubwaya ubwela.
Tunaosema tutajiunga na simba bando kuichangia simba weka like
Msemaji ni mmoja tu ktk ligi yetu ya African,na ni semaji letu la kafu ❤
General magori ubaya ubwela genius
Yaan aacha tu ma simba day siku hiyo. Watakoma mwaka huu❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Mo Boss kubwa hoyooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍semaji wetu hoyoooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍
Asanteni sana azam kwa kuiweka hii you tube maana niliikosa kutokana na kukatika kwa umeme
Much love from Rwanda 🇷🇼 I'm APR FC fan 🤍🖤🤍🖤 turabakurikiye Tanu kwa tanu
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Magori ni mtu haswa anatakiwa atunzwe kwa faida ya Simba ya sasa na baadae
Msemaji Bora Tanzania 🇹🇿 na Africa nzima.
Am proud Simba fan
Kama mpanzu anazingua aachwe maana waliopo kwangu Mimi viongozi siwadai ila ushauri wangu naomba waliosajiliwa wapewe nafasi wacheze
Simba nguvu moja Tim kubwa Africa na Dunian tuwe watulivu kwanzia viongoz mpk mashabik tutaimarka tu na tutaendeleza ubabe wetu
Huyu jamaa ni hatar ana kpaji kwakweli We love u broooo
Nawapongza saaaaana wakuu wangu hao kwa kazi nzuri wanazo fanya kwa moyo,....mungu azidi kuwajalia afya njema
Mungu awabariki Simba yetu isonge mbele, amina
Wapi onana jamani mtuweke wazi tunaumia mashabiki wake
Magori,napenda sana majibu yako kama mgunda tu,maneno mengi ya nini unajibu point
Semaji anaetrend tiktok cmba nguvu moja ubaya ubwela
Nakubaliii sana Chama langu,Magori mnyamaaaaaaa
Magori ni mashine ya kweli pale simba ,mungu ampe maisha marefu pale simba,,,by dickson peter ..nikiwa dar
Magori is intelligent, big up
Ahmad bin Aliy nakukubar sanaaa kwa uwezo wa mungu inshaanllah furaha tuliyoikosa kwa mda mref viongozi wachezaji wajitume kwa bidii wajue kitu gani tunacho kihitaji tutarudi kwenye furaha tuliyo ipoteza.
Bro magoli u looks like my dady rest in peace dady
SAFI SANA SEMAJI LETU LA CAF. TUNAKUPENDA SANA WANASIMBA
Interview imekamilika sana
Asante azam
Hongereni sana viingozi wetu
Kongole sana semaji la caf
Magori yupo vizuri, hana papara, katulia
Magori mtu haswa, hamnaga mkurya fala Town.... bigg up saana Tata Magori
Nakubali ubaya ubwela
Simba.....!!!!! Nguvu moja
Magori anajibu maswali vizur kweli ni mtu wa mpira anaijua Simba kindakindaki Hawa ndo tunawataka kwenye Simba Kwanza anaipenda Simba ni fans wa Simba"Simba nguvu moja🔥💪"
I
Huyu mwamba ni hatar ni mashine ya kuongea
Hawa watu wawili sina mashaka nao kabsa nawaamini mnooo🦁🦁🦁🦁
Semaji la wasemaji tz wengine waropokaji tu
Nalipongeza sana chama langu simba 🦁🦁🦁 nguvu moja 💪💪💪
Semaji 🎉🎉🎉
Mpanzu na Fei Toto tunauwa watu kwa pressure, please waleteni msimbazi
Semaji linalo ingia on trending upepo unao semaji
simbaa nguvu moja 😊😮
Simba nguvu moja
Ally komwe na Hers njoo ujifunze kuongea kama hiv pointi
hawezi yure bwakubwaku
yoooo if you like SIMBA like my comment down
Kadi za mashabiki tuna zipataje
Viongoz wanapo fanya usajili wanaakiri wana jua nan anafaa kwahyo tusubirie viongoz wafanye usajili tuone uwanjan alafu unapo sema ni siasa wewe mwanachama? Tusiwe tunapga makelele alafu kumbe hata kad ya mwanachama huna waache viongoz wafanye usajili
Una hoja kabsaa familia ✊
Mimi ni mwa😊 mwanachama lakini Nipo American nitafanyaje ili nichangie nikitokea huku 🇱🇷?
Tuipende simba yetu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwenda hatumuonii kambini
Mashine ya kuongea alikuwa anaumia 😂😂😂😂
Musa mangungu ni kilus I mpaka Sasa wengi hawamtaki ila watu wameamua kuweka umoja
Kweli Ila atatoka tu simba tuweke kwanza nguvu nyingi timu na club ikae sawa mangungu ni mdudu mdgo Sana siku moja tu makiamka anakuta THANK YOU YAkE MEZANi😂😂😂😂😂
Mimi nimwana chama wa smba nigeomba kramo twende nae naiman atatusaidia
Mbona kramo yupo sana na aliongeza mkataba wa mwaka mmoja
Ubaya ubwela Ila SEMAJI LETU halitaki unyonge🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kwanini wamemtoa mgunda kwenye bench
Nimeipenda iyo raisi wa wasemaji ote tanzania semaji la caf
Naomba namba ya msemaji Ahamedy
Azam TV kiboko yaoo 🎉🎉
Kwan uto wanakuaga wapi? Kufikili sana
Nasisi wangoni hua tunatumia hiloneno
Trending 1 simba nguvu moja
Amed baba utaniua mm wew nimwamba ndomana walikushindwa wakaleta watatu iri wakuchangie wamelala nabado watalala
😂😂😂😂😂 sasa iyo ni taasisi kweli ?? Kitengo kiwe na mtu mmoja kwelii ??
Naitwa Hamis from kigamboni naomba hiyo huduma yasimba bando ije namitandao mingine tafazali
Nanunua
UBAYA UBWELA MPOAPOOOO
Hiyo safi Simba bando
😂😂😂 ubaya ubwelaa asee ni noma san
Kramo jamani mwacheni mbona kapona jamani
Simba Nguvu moja
Wenzenu wanatafuta wachezaji ninyi mnatafuta maneno mtaani ya kudanganyia watu.
Kwanza nawapongeza kwakipindi kizuli oja yangu. Ipokwenye namna yakutumia mtandao wa Voda Mimi nipo Mozambique nauku sisi tupo tunanufaishaje Simba yetu?
Ongezeni wanachama wapya,lkn mkiweka sharti moja la kila mwanachama lazima alipie kadi yake kila mwaka na akiwa ajalipia ndani ya miaka miwili ifutwe apewe mwingine na yeyote atakayelipia siku ya uchaguzi asiruhusiwe ili kumfanya aone umuhimu wa kulipia kadi kwa wakati
Simba bando ipo vodavom
Sasa magor karudi nafraha sasa🎉
UBAYA UBWELA
Nguvu mojaa❤❤❤❤
Semaji la Mnyama, Semaji la Dunia 🎉🎉🎉🎉🎉
Semaji la cuf umetisha
Tutajie Tena hiyo no, ya kujiunga Simba bando.
Upo vzr mwamba
Pia muulize tulihamasishwa kukata kadi za uanachama kupitia benki ya Equity bank je zile tuachane nazo?na tukate za CRDB NA NMB?
Simba nguvu moja💪
Sema huyu mzee magoli safi sana yani...
Ubaya ubwela
Nimesha nunua tayari imeisha hiyo nguvu moja ❤❤❤😂😂🎉
❤❤❤
Magoli tunakutakia majukum mema ya simba yetu
Kipindi kitam sana nilokuwa natamani kusikia sauti ya father magoli na hamedi alii
Simba nguvu Moja tuchangiye
Simba nguvu Moja yani mwaka huu tumesajili IGP watupu au maamiri jeshi watupu yani hakuna kuruti kwenye kikosi chetu
Wewe hujui kitu huyu Zubery Yanga damu ujue hilo
Kuna mwamba njaa ilkua inampiga apo 😅😅kiasi kwamba anapiga miayo kwenye myk😅
Nataka kadi yangu niliyosajiliwa wilaya ya mvomero kata ya mkindo Nataka kuchangia nikiwa huku 🇱🇷
Mtafut Ahamedi aliy
Mwambie Ahmed Ally anakumbuka alichoambiwa na mshabiki wasimba toka mikese juu ya uzinduzi wa jezi?
Mzee magori fukuza manula huyo kirusi kitoke
Nguvu moja 💪💪
iyo simba bando naomba iwekwe kwa mitandao yote pleaSE
Wangoni pia bwers njoo rudi kibantu
Ila Bongo Kuna wasemaji sana
Mbona kama kuna mtu anapiga mihayo apo
Yaan simba huwa wanaanza yanga wanaiga et yanga famili mara wiki ya wanachi yaan lzm simba waanze wao wanaiga
Semaji la cuf😂😂😂😂😂😂ubaya ubwela
Mwambie magor tunamuomba elia mpanzu
Mfarume wa nyika wekundu wa msimbazi