BOAZ DANKEN-MWANGALIE SHUJAA
Вставка
- Опубліковано 11 жов 2024
- #GloryandHonortoJESUS
Karibu Tumwabudu MUNGU wetu Pamoja
Ninaamini Kuna uponyaji na Kuinuliwa sana katika Kumtaja YESU na Kazi alizozifanya Duniani kwajili Yetu
MUNGU awabaliki Sana Watu wote waliosimama kwa Sadaka zao kufanikisha Maandalizi ya Ibada Hii Kila sehemu Mungu akiwahudumia watu kupitia Wimbo Huu; Baraka nyingi ziwafikie wote waliomuandalia Bwana kwa Sadaka ya Muda, Fedha na Maombi.
MWANGALIE SHUJAA Recorded at Rock City Mall parking Area, Mwanza, TANZANIA.
Music Arranged & Directed by Apostle Sephone Sospeter
Vocal Arranged by Sir Jimmy Kimutuo
First keys: Sephone Sospeter
Second keys: Samwel Sospeter
Third Keys: John Ntete
Fourth keys: Augustino Batista
Drums: Shalom V. Mbuke
Percussion: Pastor David Silwimba
Bass guitar: Amani Victor
Lead guitar 1: Haggai Makuzo
Lead guitar 2: Erick Chitungo
Saxophone: Dickson Maige
Back Vocals From BMCC PRAISE TEAM
Event Coordinated by Kelvin Mbeveta
Translated to English by Mr&Mrs Pst.James Kalekwa
*Audio Captured and Mastered by Chosen Records Int’l #SamMboya
*Video Captured and Mastered by Cyber Pic #Sylvester
*Sound By #SoundSolution Moses Edard
*Sound Engineer: Gad Mwanga
*LED screen: Elly Jo
*Lights By Nyakalo Stage and Lighting Com. #DavidSengati
KAKA KATIKA VIJANA WARIO GUSWA NA NYIMBO ZAKO MIMI NI MOJA WAPO ,HAKIKA NIMEKUA NIKIOKOKA KUPITIA HIZO NYIMBO ZAKO ,MUNGU AKUZIDISHIE KIPAJI ,UENDEREE KUNIGUSA MOYONI.
[7/5, 9:18 PM] faith🕊️: Mwangalie shujaa
Ametoka mbinguni akakuja duniani
Kuokoa wanadamu
Yesu
Amebeba dhambi zote za ulimwengu
Begani mwake
Mfalme
Alidharau aibu
Kaendea msalaba
Mwangalie shujaa
Nani kama wewe
Bwana bwana
Nani kama wewe
Bwana wa majeshi
[7/5, 9:40 PM] faith🕊️: Mwangalie shujaa
Ameshuka kuzimu
Kanyanganya ufunguo
Wa mauti na uzima
Yesu
Amevuta hasi zote ata mashtaka
Zilizo tuhukumu
Mfalme
Katufanya makuhani
Watoto wa mfalme
Tunatawala milele
Mwanakondoo wa Mungu uuuu
Uliyechinjwaa aaa
Wastahili.....
Ukamnunulia aaaa
Mungu watu wake eee
Kwa damu
Na sisi ni kanisa aaaa
Matokeo ya msalaba. Aaaaa
Twakwabudu
Amen Asante sana Utukufu na Heshima Kwa YESU usiache kushare Kwa Wengi
Uko vizur Mungu aendelee kukupaka mafuta yake 3:38
Mungu akubariki Sana mtumishi wa Mungu...
wewe ni Baraka sana kwa taifa
Kaka Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana kusimama na Mimi kwenye Kazi Hii
Naona Kitu Kikubwa Sana Ndani Ya Mtumishi Huyu Wa MUNGU Tena Sana Si Chakawaida
Natamani kuonana ana kwa ana na Boaz Danken my roll model
Glory and Honor to Jesus please if your Blessed this ministry kindly subscribe our channel
Kaka Boaz Mungu AKUTUNZE sana endelea kunyenyekea chini ya mikono yake huduma Mungu aliyo kupa ina gusa watu wengi wewe ni zawadi ya taifa Barikiwa sana..... Na ss ni kanisa matokeo ya msalaba oooh our almighty God bless you
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana please share kwa Wengi
Nngekuwa na uwezo wa kukusubcribia hadi watu milioni ningefanya hivyo hima.. Unanibariki sana na huduma yako.. Mungu azidi kukukumbuka❤️
Yeye ni Shujaa na Amiri Jeshi wa Mataifa yote,Sifa na shukurani ni kwake ...tumtazamee kwa makini.
You're the King of Kings, Alfa and the Omega, Elohim is your name. Power over power, authority over Authority in Jesus Christ.
Amen Asante sana Utukufu na Heshima Kwa YESU usiache kushare Kwa Wengi
Holy is who you're
When prayers cannot be said because the pain stings so much and the tears flow freely...I remember the lyrics of this song and they become my prayer..indeed HE is the lamb of GOD...be blessed Boaz❤
so wonderful kuna wakati dunia inapokuwa kinyume na ibada za kweli Mungu anatupa nafasi nyingine yakuabudu katika Roho na kweli mtumishi Mungu akubariki sana na awatunze na wanaokuzunguka Ili iwe amani na furaha kwako katika utumishi wako ,,,,,hakika usadaka njema ya sifa
Atukuzwe Bwana Yesu amebeba dhambi zetu zote🙏🙏🙏 Hakuna kama yeye...yeye pekee ndiye Mungu.. Ametufanya makuhani na wafalme... Taifa takatifu la Bwana👏👏👏
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana please share kwa Wengi
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu Bwana atunze Neema hii aliyo iweka ndani yako hakika Unafanya kazi kubwa kwaajili ya Utukufu wa Bwana
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana please share kwa Wengi
amina
Kwa Hali zote namwangalia Yesu shujaa wangu,napenda utunzi wako upako tupu.
Mwangalie shujaa
Yesu...thank you, lord.
Mungu akuvariki zAidi mtumishi.
Heeeee.....shujaa wangu Yesu amenifanya kuhani , mtoto wa mfalme aliponifutia hati ya mashtaka yangu. Hakika mashtaka yetu ni mengi .....saaanaa... Damu ya Yesu tu yaweza kufuta.... Glory to Jesus forever... God bless you man of God. Huu wimbo una ufunuo mkuu mno.
Kanisa ni matokeo ya msalaba....... Ooooh the slain Lamb of God 😭😭😭😭 Glory glory glory to God.
Wow l like the song.may God bless you.na azidi kuachilia anointing Na neema juu yako together with your team
Glory and Honor to Jesus
Pure deep revelations
Hallelujah
Duu barikiwa mtumishi wimbo unaupako hatari
This song overwhelmed my spirit 😭😭😭😭🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏nakuabudu.mwana kondoo wa Mungu ..waastahili
Glory and Honor to Jesus Asante sana Mtu wa MUNGU
Thnk you my brother..
Ume summarize Biblia🙌. Laiti watu wasiopenda kusoma Biblia wakaupata huu wimbo na kuutendea kazi, basi watamtambua na kumuamini Kristo. Hakika HII NDO INJILI. Be blessed the man of gospel. This is what Gospel means.
Hakika!
Kweli kabisaa kaka
Amen Asante sana Utukufu na Heshima Kwa YESU usiache kushare Kwa Wengi
Amen kaka barikiwa
🇰🇪 Yesu asifiwe siku zote, masaa yote
Jina la Bwana libarikiwe milele kwa kazi hii nzuri mtumishi Boaz
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana Please share kwa Wengi ukiweza
Huu wimbo unanibariki sana, Yesu Kristo akuongeze Boaz Danken
Asante kwa kuniguza tafadhali naeza kuwa na maongezi na wewe kuhusu huduma mimi ni muhudumu pia ila nahitaji wa kunishika mkono
Mtumishi wa Mungu boaz kwa staili ya utunzi wako najua unakuja kuwa muhubiri mda si mrefu
Hakuna kama yeye MUNGU wa mbingun akubariki mtumishi
Mungu akubariki sana sana sana! Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, Kupitia nyimbo zako ninabarikiwa kwa viwango vya juu hasa kiimani..... Keep it up!!
Mwangalie shujaa ameshuka kuzimu, kanyang’anya funguo.... Watoto wa mfalme tunatawala milele.... Ninatembea Kifua mbele kumpokea Yesu! jamani Yesu Nakupenda sana nyieeeeeeee Yesu huyu❤️🙏
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana please share kwa Wengi
Nabarikiwa nanyimbozako nikiwa zambia fadhili mwakasege
Mungu akubaliki sana mtumishi kweli Mungu anatukuzwa kupitia wewe
Nabarikiwa sana mungu azidi kukupa kipawa zaidi na zaidi Boazi
Mungu akubariki Big brother kwa KAZI njemaaa
Amen Asante sana Utukufu na Heshima Kwa YESU usiache kushare Kwa Wengi
Mungu awe nawe unatufundisha kizazi kipya kumwabudu Mungu
Nimeusikiliza huuwimbo nikiurudia maranyingi kwakweli yesu ni shujaa.
Mtume wamungu twakuombea uzidishiwe nehema unapo pungua aongezee ndani Yako kama sisi tumebarikiwa hi vi jee wewe.
Nitaziimba hizitenzi pia. Ubarikiwe sana
Mtumishi Boaz ndugu yangu katika Kristo Mungu Baba azidi kukujaza ,umekuwa wa baraka katika huduma yangu changa unanifunza mengi,ukimuona Ambwene mtumishi wa Mungu na ndugu yako wa karibu ,msalimie sana ,jina langu ni Stephen,niko Kenya 🇰🇪, Mombasa
Glory and Honor to Jesus Asante sana please share kwa Wengi
Worthy is the Lamb seated on the throne.
Hakika hakuna Mungu kama wewe,ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Thanks so much for this worship it has touch my heart alot and it will bring healing to my soul😭😭,God bless you soo much.
Glory and Honor to Jesus
HAKIKA MUNGU AKUPE MAISHA MALEFU MAANA NAJIFUNZA NENO LA MUNGU KUPITIA NYIMBO ZAKO .🙏🙏
Amen Asante sana Utukufu na Heshima Kwa YESU usiache kushare Kwa Wengi
Katufanya makuhani, wototo wa kifalme tunatawala milele... This verse is just powerful🔥🔥
God bless you man of God🙏🙏
Utukufu anao yeye shujaa anayekutumia namna hii kuinua sifa zake kuu katika Taifa letu. Mungu akutunze sana Mtumishi wa Mungu.
Amen Asante sana Utukufu na Heshima Kwa YESU usiache kushare Kwa Wengi
Very wonderful anointing songs be blessed servants of God i wish u could visit mwanza for the service
Ooooh barikiwa sana mtu wa Mungu,Mungu akutumie zaidi na zaidi
Hallelujah what a powerful song more blessings man of God can't get enough of your songs every morning i wake up I must listen to your songs and i get blessed
MUNGU azidi kukupa MAHARIFA na HEKIMA nyingi uzidi kuitenda kazi yake kikamilifu unanibariki sana, ufichwe Zaidi.
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana Please share kwa Wengi ukiweza
Am glad to be the first to like and watch. BLESSING
Ubalikiwe sana Pastor Utukufu na Heshima Kwa YESU
Kaka MUNGU anakutumia kwa viwango vya juu sana usije ukabadilika tunabalikiwa sana na kazi zako yani kaka boaz danken
Amen Asante sana Utukufu na Heshima Kwa YESU usiache kushare Kwa Wengi
Amen, Yesu Kristo ni shujaa kweli kweli.
Amen ni zamu ya Tz kuinuliwa na utukufu wa Mungu
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana Please share kwa Wengi ukiweza
Amina Mtumishi umetufanya tupime, Mungu akubariki sana.
Uongezeke sana Boaz danken katika huduma yako
Glory and Honor to Jesus
Nani kama wewe BWANA WA MAJESHI😥😥😢😢🙌🏿🙌🏿🙌🏿NANI KAMA WEWE BWANA WA MAJESHI
HAKUNA‼️‼️
ASANTE PAPAAA BOAZ
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana Please share kwa Wengi ukiweza
Glory to our Lord Jesus Christ,who died on the cross coz of our sins,thank you Our King of kings🙏🙏
Amebeba dhambi zetu zote Begani mwake, Mwangalie Shujaa,
Mimi ni kuhani mtoto wa MFALME
MPO???!!!!
Amen Asante sana Utukufu na Heshima Kwa YESU usiache kushare Kwa Wengi
Maneno Ya Huu Wimbo Yana Nguvu Sana
Ubarikiwe Sana Pastor Boaz
Amen Asante sana Utukufu na Heshima Kwa YESU usiache kushare Kwa Wengi
Umenifanya niendelee kujifunza zaidi Faida za unyenyekevu. Kazi yako ni njema inatufanya tumwone Kristo Yesu kupitia nyimbo zako.
Mungu akubariki sana kwa kusimama vizuri kwenye nafasi yako. Nyimbo zako ni dawa kwa mataifa 🌍🌎🇹🇿
Yesu ni shujaa.
Lovely and cool music be blessed man of God keep up ur talent indeed u have a talent.......
Nabalikiwa na utumishi wako mungu akubaliki
Kile ambacho mungu amekiweka moyoni mwako sasa ni baraka kwetu.
Mungu akubariki na akuzidishie
Glory and Honor to Jesus
I love Boaz. You can tell he truly loves Jesus, Its beautiful to watch.
Nyimbo zako zmebeba amani ya moyo wangu maranyingi zinanipa faraja, Mungu asikupungukie mtumishi
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana Please share kwa Wengi ukiweza
Nizaidi ya shuja
Sifa na utukufu umrudie YEYE aliyeshinda.
Barikiwa mtumishi Boaz na kundi zima 🙏🏾🙏🏾❤.
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana Please share kwa Wengi ukiweza
Wow!!! Beautiful done Worship, the back up, the band,the lyrics and the Holy Spirit inspiration. God bless you Boaz. 🇰🇪
Glory and Honor to Jesus Asante sana please share kwa Wengi
So, haijalishi ni nyakati zipi, NAMWANGALIA na NITAMWANGALIA SHUJAA (YESU)😭🙌🏾.
Thank you Boaz🙏🏾
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana please share kwa Wengi
Nyimbo zako zime ni bariki sana baba
Amen Mungu akubariki na kukutumia kama chombo chake
God bless Boaz Danken servant of God, being blessed well from Malindi Mombasa Kenya
There is no one like Jesus. Uimbaji wako unanibariki , na kuniongoza kwa maombi....ooh hallelujah .
Your songs are more than singing but revelation & asword of the spirit,ipray that God expand your ministry .
Hakika ni shujaaa ...Jesus 💥💥💥💥
.Asante Yesu kwa kazi ya msalaba. Wewe ni shujaa Yesu.
Jambo tulilolisubiri 👏👏👏 Glory to God 🙌🙌
Amen Asante sana Utukufu na Heshima Kwa YESU usiache kushare Kwa Wengi
Amen
Nasikia kubarikiwa sana ninaposikiliza ii uu ujumbe#Mwangalie Shujaa#
Ubarikiwe Mtumishi Wa Mungu Boaz danken
Utukufu na heshima kwa Yesu
Pastors Boaz I always love u.....God bless u and give u more of your desire , Amen
Napenda sana nyimbo zinanibariki😂😂
Nani Kama Wewe Bwana Wa Majeshi.....
Boaz Do You Realize How God Is Being Blessed 🙌
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana Please share kwa Wengi ukiweza
Uuuuwii huu wimbo unanikonga moyo haki boaz saut yako inamamlaka frani yani cjui nielezeaje bt Mungu azidi kukuinua
Amen Asante sana Utukufu na Heshima Kwa YESU usiache kushare Kwa Wengi
nyimbo za namna hii nilijua wanaweza tu ndugu zetu wa Nigeria na nchi za mbali....🙌 heshima kwako mtumishi hakika kazi zako zinabariki🤝.
Kaka @Boaz Dunken ubarikiwe kwa wimbo mzuri. Mungu akuinue katika utukufu wake
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana please share kwa Wengi
Yesu ni shujaa na hakuna shujaa kama yeye Duniani kote na hata Mbinguni..... my brother BOAZ DANKEN unajuaaaa sanaaaaaaaa Mungu wa mbingu na nchi azidi kukuinua zaidi na zaidiiiiiii
Amen Asante sana Utukufu na Heshima Kwa YESU usiache kushare Kwa Wengi
"Blotting out the handwriting of ordinances that was against us, which was contrary to us, and took it out of the way, nailing it on the cross." Colossians 2;14
Amen Asante sana Utukufu na Heshima Kwa YESU usiache kushare Kwa Wengi
Yesu ni shujaa,,,,,,,, Mungu abariki kazi yako njema mtumishi
Amen Asante sana Utukufu na Heshima Kwa YESU usiache kushare Kwa Wengi
Amen. Kweli hii ni injili. Nazidi kumtazama shujaa Yesu Kristo.
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana Please share kwa Wengi ukiweza
Namuona YESU KRISTO WA NAZARETH ndani ya huu wimbo.
Amen Asante sana Utukufu na Heshima Kwa YESU usiache kushare Kwa Wengi
Yesu ni shujaa kweli Minister Baoz may the Lord reveal more songs you have been a big blessing to me always...
Anyway humble yourself before God..
Nani kama wewee Bwana wa Majeshi!!
MUNGU akubariki mwana wa MUNGU, na akupe kunyenyekea kwake na wanadamu
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana Please share kwa Wengi ukiweza
Ameen ujumbe mzuri
Mwangalie shujaa,,,,, such a powerful song. Kwa ukweli YESU ni shujaa.
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana Please share kwa Wengi ukiweza
Tumebarikiwa ...glory to God.
Wonderful back up 👌
Shujaa YESU amefuta hati zote za mashtaka.
Asante YESU 👏 👏 👏
Amen Asante sana Utukufu na Heshima Kwa YESU usiache kushare Kwa Wengi
Asante sana ndugu Danken huduma nzuri unaifanya katika Mwili wa Yesu Kristo. Mungu anatukuka kupitia kazi yako.
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana please share kwa Wengi
My favorite minister🥰
Neema izidi kutosha mtumishi🙏
Much love from Kenya
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana Please share kwa Wengi ukiweza
naipenda sana mtumishi wa mungu naomba mungu anitumie pia kwa viwango
Glory and Honor to Jesus
My spirit flows with the flow of the holy spirit as you sing I don't get tired of your song I play it day in day out am much blessed may God increase you 🙏🙏🙏🙏
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana Please share kwa Wengi ukiweza
Mungu awe nawe mtumishiwa Mungu
Namuona Shujaa wetu kila siku maishani ❤️😭
God bless you brother Danken
Amen Asante sana Utukufu na Heshima Kwa YESU usiache kushare Kwa Wengi
My roll model big up
Yesu aendelee kukubarik huku katavi tunakufatilia Sana by Michael Eliakim
Glory and Honor to Jesus