Hii season ya tatu Mmeshindwa kabisa munahigiza sehemu moja inakaa dakika 5 au 7 nihatari sasa ikitaka kuhisha ndo munaweka tukio Tena season inayofuata ahikawihii kwenye tukio duh! Hapa hakuna Movie
Upo sahihi na sijui kama wanasoma maoni ya wafuatiliaji yaani imehamia kwa mama fatuma na ubakaji kila siku wanaoneshwa wabakaji na mama fatuma, Kobelo sasa anasutana na Rose yaani maana ya ile Mgeni wa kijiji aliekuja kukiokoa imepotea kabisa, mganga kapewa nyota 3 Daah yaani kama utoto flani wabadilike warudi kule Movie ilikuwa inavutia sana kuitazama ila sasa ni ujinga wa akina kobelo kusutana, mapenzi na ubakaji
Nilijua nimimi tu ndio imenikera ,sasa hivi boncena hafatiii tena kuhusu ndugu yake wala hata halijaongelewa zaidi ya episode 10 wakati kuna kipindi alikua anataka amkomboe
Yaan sehem kubwa tunaangalia uzembe wa kobelo tunataka matukio yenye kusisimua series inaenda kuwa ya kitoto kweli mtakompete na snake au boss mchaw mnacheza nyinyi.
Na Mimi nimekuwa wasaba like
Naombeni na Mimi like pia anae kubali vituko vya kobelo naomba like.
Bunye na kobelo mbona
Wanafanana😂😂😂😂😂 au macho yangu tu
Itakuwa ni mmoja huyu kacheza mara mbili😂😂si kwa mfanano huo
Mgeni wa kijiji imekua movie bora namtunzi wa stories alitulia hongera saana
Mimi nipo kwenye wa kwanza kutoka mwisho
Leo nmejaribu aki naombeni likes plz ata mbili tu plz I beng
Thanks
Tamu sana
Jmn hawa Sana'oomba like humu vile nawachukia mmhh
D😮dddd😅 1:52 1:53 @@LiberatusJohn
Kazi nzuri Boni jtahd uwe unamalza series najua kila kazi ina changamoto yake
Nzuri sana
Tunawakubali sana kutoka burundi tupo moçambique
Huyu mama mwenyewe kiti ako na uogo inakaa ukweli😂😂😂
Nakukubali masuke +Shabiki kutoka KAMPALA
Yani kapewa jina 😂eti nyaminundu😂😅
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Nimwwahi leo like zangu kwa rose peda sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉mgeni wa kijiji
Nipeni like za kobero jamani ❤
Leo ni nimapema kwangu ❤
kazi swafi sana.
Kama unamaswali kati ya Bunye na Kobelo like hapa tutapata jibu.
Mimi hapa nina wasiwasi
Wanafanana sana je n pacha au ndugu
Nahis ndugu hawa
N mtu moja playing two characters ❤
Sjui mandugu wala ni kivpi
❤❤❤ ombi episode 18 fanyeeni wepesi
Kobelo sasa anasutana na Rose hebu watu toeni maoni yenu sio kuomba likes tu hii movue inapoteza mvuto
Hii moves tunafatiria sana ila haireweki
Mmmm jaman so kweli bna 😂😂😂😂😅
Bas ata shulen ulikuwa mgumu kuelewa
Wa kwanzaa likes
Huyu bunye. Mbn amefanana n kobero n broo yk au
Kobelo Ako funny sana anifurahisha hatari😂😂😂
Nice job am from Kenya
wapi likes za mkenya baana❤❤❤ 2:48
Tuko hapa
Likes za nini hebu toa maoni yako ndo maana ya hii nafasi ya comments
Like zangu aki ndio niendelee na kazi
Uyu mama fatuma kapewa kuzuguka kama dege
Bunye na kobero mapacha awa
First
Daaah kobelo punguza bangi
Masuke na kobelo wakikutana wananibamba 😂😂😂😂😂
Hahaha kobelo bhana
😂😂😂 ak kobelo wewe acha tu nicheke 😂😂😂 🇰🇪🇰🇪
😂😂😂Kwan vp mchumba wangu mwakinego hajarudi? Mgeni wakijiji nrudishie mchumba wangu.. ❤❤❤
𝐀𝐥𝐢𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐤𝐮𝐩𝐢𝐠𝐚𝐧𝐚 𝐣𝐢𝐚𝐝𝐢😂😂😂
😂😂😂
Kobelo amevuta bangi NINI??😂😂 mnipitie wakuu love from Kenya 🇰🇪
huku pia unapatikana
@@blessingn-wd2qh kwani ulinipatawapi?? Me Niko all way round
Boncena kaka malizia iyi kwanza izo zingine tutazi check after
Mbona nikawia kutoka episodi zenu
10 huna baya Rut man maua kwako❤❤❤❤
Leo Na mmi nimewahi
Niko Dani pia
Nikweli mama Fatuma wewe muzuri
Mbona Kuna mmoja amefanana na kobelo😂😂
Kobelo ulipigaje apo kwenye nyimbo ❤😂😂😂😂😂
😂😂😂
Naomva namba ya Rose nimchumbie maana anaonekana yaliyomo yamo
Bunye afanana na kobelo 😂😂😂
Timu boncena mko vzr sana nawafatilia nikiwa uk
Kwa Bunye n macha n Kobero? Maan wamefanan San nawapnda sn ❤️❤️❤️🇰🇪🇸🇦
Pia mm Naona hivyo Ile tu kwamba Hana maneno mengi kama kobelo
Kweli mapenzi yauma jamani kobero 😂
Am the first one good job bonceena😘💞
Ndugu yngu umeenda mbali,good job
Kobelo mpaka kajamba sio pw
❤❤❤pamoja
Mama fatuma mama fatuma Kuna chupi za nje kwani 😂😂😂😂
Mwenye kiti ww sikupendi
Wa 100 leo
Hongereni sana sana kwa kazi nzuri🎉🎉
Honger
Job poa
Bone, nakukubali sana ila naonelea uitafutie mwisho wake. Ni maoni tu mdogo wangu.
Kwani bonye Na kobero Ni twins juu wanafanana
Shida mnachelewesha
Akome mama fatumah kihelehele chako kimekuponza
Kobero wangu mawazo yanamukumba😔😔😔😔
Kobelo bangi nn
Ivi bunye n kobelo kwani nyie Ni mandugu? Kwa sababu mnafanana
😂😂 much love 🎉❤
Huyo rose amenichamba Leo nimekuja leo kobero jaman😊😊🤣😂
Huyu mubakaji asovaa shati mbona amefanana na kobero au nindugu😅😅
Oyooooo
Pia mm nimewahi leo nipewe like japo kumi
Nasis wa83 tusemeje
Kobelo abaki kuwa kobelo t sehem nyingine haimuelekei
😮 shukran 💞
Nakukubali kobelo na vituko vyako 😂😂😂😂
Scene moja inaonekana DAKIKA zaidi ya 3 mnazingua
halafu hamna hata cha maana kinachoongelewa
Bonsina heb fanya Kaz yko unapoq san
Vipande ni vifupi na wanachelewa kutowa
SAB hongereni kwa kazi nzuri, ila jitaidini kualizia hii movie adi mwisho, kisha mutupe movie nyingine mpya pls 👏👏
BUNYE NDO KOBERO KABADILISHA SAUTI TU
Uongo
Mbona vipande vya Aisha huwa hamuendelezi
😂😂mama fatuma umejichanganya kuwa tuu upande wa mgeni wa kijiji 😅huko utapata amani
Hii season ya tatu Mmeshindwa kabisa munahigiza sehemu moja inakaa dakika 5 au 7 nihatari sasa ikitaka kuhisha ndo munaweka tukio Tena season inayofuata ahikawihii kwenye tukio duh! Hapa hakuna Movie
wewe ndio umeongea yani wanalazimisha iwe ndefu me imeshia nikera tayari ,sehem moja inakaa mda mrefu halafu hamna hata cha maana kinachoongelewa
Hii imeisha sema wanashindwa kufanya finishing nzr 😂
Kwanza sijawahi kuona move isiokuwa na mwisho ndio kwanza hii
Wa mwisho leooo
Mama Fatumah kumbe yumo
Sekunde ya 13
Mgeni wa Kijiji imepona sana siku huzi
Much love from DRC congo 🇨🇩🇿🇦🇨🇩
Uyu mamafatuma ananikera
Ongera nawaombe wedele vivyohivyo ongera sana kwa mgeni wakijiji nakobero
Hii movie si muimalize yaishe..maneno yanajirejelea tuu kila wakati....munatuboesha sasa😢
Happ kweli inafkia mahali inaboo kinyama ata haina ladha kwa sababu ya kujirudiarudia kwa mada
Upo sahihi na sijui kama wanasoma maoni ya wafuatiliaji yaani imehamia kwa mama fatuma na ubakaji kila siku wanaoneshwa wabakaji na mama fatuma, Kobelo sasa anasutana na Rose yaani maana ya ile Mgeni wa kijiji aliekuja kukiokoa imepotea kabisa, mganga kapewa nyota 3 Daah yaani kama utoto flani wabadilike warudi kule Movie ilikuwa inavutia sana kuitazama ila sasa ni ujinga wa akina kobelo kusutana, mapenzi na ubakaji
Nilijua nimimi tu ndio imenikera ,sasa hivi boncena hafatiii tena kuhusu ndugu yake wala hata halijaongelewa zaidi ya episode 10 wakati kuna kipindi alikua anataka amkomboe
Kazi moto
naipenda iki kipindi saana
Kwani kobelo ndio bwakila maana hiyo sauti
Hello guys nawa fwata 5/5 kutoka drc Congo 🇨🇩🇨🇩 kuikweli kobelo anajuwa kuigiza Sana namupa mauwa yake 🌹🌹❤❤❤
Aksante Boncena
😂😂😂😂😂😂😂😂 kobelo wew❤❤❤❤❤❤
❤❤🎉🎉
Kobelo hongereni ❤❤❤❤
Kobelo bhana utakuja kupigwa wew
Jamni bunye na kobelo ni mapacha ama vip????
Sasa hivi hizi episode hazieleweki tena. Mnaweka vitu havieleweki na havina mwendelezo
me wameshia nikera yaani dak 23 halafu hamna hata cha maana ,wanalazimisha series iwe ndefu
Yaan sehem kubwa tunaangalia uzembe wa kobelo tunataka matukio yenye kusisimua series inaenda kuwa ya kitoto kweli mtakompete na snake au boss mchaw mnacheza nyinyi.
umeongea ukweli kabisa boss mchawi ni shida na snake boy niatali sana