Dozen anajisikia sana anajiona kama radio ya kwake vile hata mkiwa studio anakumaindi sana hila mimi nakukubali unajitoa ufahamu kwa sababu unajua kuishi na watu tofauti tofauti kama vipi nenda wasafi
Joseph Jelemiah ata kam kaiga lakini tunzo ya presenter bora Africa siashachukuaga.. Huyo Adam nikumbushe alikchuaga mwaka gani kama kweli ni number one presenter
Namkubali sana mchizi Adam toka uganda
Eyoooooow Mchomvu our favourite galfriend presenter proud of you sanaaaaa 💪💪🎧❤❤
Martha Robert wtf
Dozen anajisikia sana anajiona kama radio ya kwake vile hata mkiwa studio anakumaindi sana hila mimi nakukubali unajitoa ufahamu kwa sababu unajua kuishi na watu tofauti tofauti kama vipi nenda wasafi
Umetisha baba LA baba
Aaah nikajua bhabha jhoohnn nae kawa msafi bwana kumbee bado chafutatuuuu keep up ma ninjaa..kama umemuona bhabha jhohnn gonga likeee
Hicho kichwa cha habari kimenistua kumbe bado upo upo
basi hiyo ipo poa sana😅😅
Tunakupenda Adam ❤
😁
Nimesoma Hii Comment tuu..sijaendelea hata na VIDEO
@@Hashdough 😅😅😅
Asha Ally naomba nicheq kwenye 0744474590
Asante umeokoa mb zangu. Nasepa zangu kabla hata sija skip tangazo
Mbongo clever... Salute i feel u bro
kama unamkubari Adam gonga like
My best presenter
Wasenge kwel mbona kchwa cha habar tofaut na maelezo ya Mchovu,,,,,,,Nakubal Sanaa Clouds
Umeona
Poor people president Triple P AD Plus super presenter unatisha Kama upupu mzee 🔥 🔥 🔥 nakukubali Sana jamaa
huyu mtu daahh adam mchomvu no 1
Adam mchovu na bdozen ndo mabest presenter bongo nzima
Hujakosea
Godlove George hapo akuna swali tena
Lil ommy ni menace Tz .
@@erickwilson6715 Lil Ommy kwa Mchomvu??
@@godlovegeorge2334 Eeh ni mkali kuliko wote tena ni mbunifu ndio maana kapata tuzo.
Nakukubali sana mwamba
Hiyo umeoa lakini complicated sijakuelewa hapo maana sijui kama nirushe kombora au??? Huwa nakupendaga sana
Good sana
Nice💪💪💪💪💪
Sema BDozen waga anavimba sana ila wewe Adam ndo mchizi ambaye mitaa imekuelewa pamoja sana baba johnii
Can I talk to Adam broooo vibe xana positivity naombaa tuuu
Best presenter in Tz
Adaaaammmmmm mchooomvuuu babaaajooniii
Mwanangu sana baba john
Mnazingua Sana mmenishtua Sana ati Adam anaacha kazi?Adam namkubadi sana
Aiseee c wewe pekee nami pia wamenishtua ety
Bora na yy aanzishe kituo chake
Yani hata maswali hayasomeki hatujui ata anajibu nn
Oyaa sikunyingine ayo maswali weka rangi tofauti ili twende sawa
Baba John 🔥🔥🔥
Nakukubali mwamba
Nakukubali sana Adamu una akili mingi sana
Nakubali Adam mchomvu
OG Presenter....
Hahaha.....wajina we noma
Brother napendaga sana utangazaji wako wanakuiga sana
Braza nakuelewa sana
Adam Mchomvu anajua sana 😀
Adam fundi saana tena napenda wanavyo zinguaanaga saaana.....na kina babra
kama ujasajil lain na nida we ni mjanja kama mm
Mbona question hazionekan vizur au hazina umuhimu sana?
Big up mr
Nakkbali
Utaandkaje qn kwa maandsh meupe akati background na nguo alizovaa mchomvu km znafanana au mnajarib mitambo hamtak tuone vzur
Sema huyu mwana ni OG sana sana.... Kifupi hafeki life.
Noma noma mzee
Ah nimeinjoy kuskia ulizinguana na 12
Refresh...on clouds fm😂😂
😂😂😂😂😂😂
Tumeshtua kinouma EYOOO MCHOMVU
Jamani wadau fans wa #Wcb chama Lao nimepita..... Poleni San kwa usumbufu pia wale wenzangu wa #Wcb tujuane
Kubal sana Adammchovu
Shout out off-sir
🙌🙌🙌
🤣🤣🤣we adam ndio ulianza uchokozi ulikula cha arusha
I love you Adamu
Ofsaaa adam
🔥🔥🔥
Sasa broo si unaonekana ulimpasua sana dozen wa watu
Nakukubali cna na Team yako XXL mko kishkaji sana
Nakufagilia sana Adam big up
Yooh men best presenter all the way chugastan ofsaa
Best presenter in Tanzania ni #Lilly #Ommy hao wengine wanajihita number One presenter tupa KULEE
Lil ommy kaiga kwa mchomvu huna akil ww
Joseph Jelemiah ata kam kaiga lakini tunzo ya presenter bora Africa siashachukuaga.. Huyo Adam nikumbushe alikchuaga mwaka gani kama kweli ni number one presenter
@@obagoabhiathan3565 sure
@@josephjelemiah6429 ukiiga kizuri ukajiweka fit unaruhusiwa kuwa funika walio kutangulia
Upo sahihi
Oy tunawakubali sana kitaani Adam pigen kaz mkiwa na dozen ninoma
Big up bro.... Bonyeza tag #maishaangavu
Adam safi
Adam mchomvu master
Wasafi Media Ya Juzi Juzi Tu Ina Subscribers Milion1.1
Hii Chanel Ya Enzi Na Enzi Bado Ina Laki Sita
Kweli WCB chama Kubwa
Like Kwa WCB
Achaga usenge wcb kafata nn hapa mbwa ww
@@anganilemichael2904 Siku Zote Ukweli Unauma Lazma Ikutone
#Adam mbona umekula #Tunda
#Bunduki tuh tuh tuh 💥💥💥
🔥🔥🔥✊🤸
Au sio
Mbona wenge sana halafu maswali mnauliza kishamba sana au ndo mnaanza kuishiwa..... Interview yenu yakishamba sana. 😁😁😁
Cha Arusha
Huwa napenda interview za mchomvu,ila jamaa mkeo ana pesa kukuzidi namfaham Aisha.
Hayo maswali yameandikwa na background nyeupe...hayaonekani vizuri maandishi
jamaa safi xn
Mnatafuta viewers kupitia title la video ,daaah njaa mbaya
ayo mandish meupe hayaonekan kabisa mngeweka meusi
Daaaah Heading tofauti na story mnazingua hata kama ndo kutafuta view......mnazingua
Bado diva
So powa Adam mchomvu
Never
Lipo frahi cha boooo hatukiachi kama wajuba
Daah nlishtuka
Huna Urapper wowote wewe tulia tu kwa mziki gani unaejua😅🤷🏻♂️
Ataacha kazi baada ya miaka 7 kutoka mwakahuu dakika ya 5:20
Mbona interview Fupi sana?.. Af maswali machache aseh
#mchomvu umeua kila kila umetema #Madini yenye mantiki.
Akiacha kazi clouds hatoenda pahala pengine,
Kwa maelezo zaidi bofya hapa ua-cam.com/video/_jEHzQ0zn2g/v-deo.html
Sina chakusema zaidi ya maumivu moyoni
Yan wabongo bn soon utaskia ako Wasafi 😂😂😂
Dzone
Mchonvu nimekuelewa
Nicheki UA-cam kwengu
😂😂 nkajuwa unamfwata fetty
Machalii wa chuga ukileta usenge unapigwa
Adamu ninomaaa ngomayake mpya atakayo iachia tarehe 16 ni bonge la ngoma 👇👇👇
ua-cam.com/video/Dxw6lPqOyBs/v-deo.html
Clouds zima namuelewa mchovu tu pole kama nmekuuzi
🙏🏼💞💖😍👍
Sasa kichwa cha abari mbona ni tofauti
Acha kaz unapata kaz ni kazi kupata kaz kama huna kazi
Aseeeeeeeeee nilisha chukia ujue
Maswali rangi imezngua kinyama..next time mr editor zngztia hilo tunapata tabu mashabiki
leo uko msupu
Bangi tu
Wajinaaaa
Hahah
Nilijua ni kiki kabisa hyo Adam anakiwasha siyo poa
Ningelia eti kaacha kazi weee