Majambazi waiba Tsh. Mil 150 na kuuwa watu 2 jijini DSM.
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Risasi zimerindima katika mitaa ya Kariakoo jijini dar es salaam na kusababisha hali ya taharuki baada ya majambazi kuiba shilingi milioni 150 na kuuwa watu wawili kwa kuwapiga risasi na kujeruhi wengine huku baadhi ya maduka kufungwa.
Kazi yako nzuri. Ya ulinzi WA taiga MUNGU akubaliki
jamani hiyooo ya majambazeeeee ni hatareee sanaaaa poleni jamani kwa matukio hayo yooote
Hongerakwenu Askari Jamii pili jamaa huyo aliekamatwa inatakiwa Apigwe saaana
Mmmmmmh!!!! hyo ni Michngo ya wnyw.
mungu atusaidie
fanyeni kazi jamani jasho LA MTU haliliwi,
Asante jeshilapolisi
Daaaa Aisee kina mdg kbs ukajiusishe na ujambazi
Mungu.avumbuw hao majambaz
Tanzania
Ooooh my god polen😥
Taarifayahabariyasaasaba
atari san
love in time
Police jamii wawezeshwe kwa vifaa pia,wanahatarisha maisha yao
duuuuuu!!!, hii ni hatari sana tushirikiane sote kukomesha uharifu hapa nchini.
Duuh kijana miaka 24tu mhmh
Police jamii nawao wawezeshwe
daah baba sureman kamanda upo nilikumiss sijakuona sikunyingi daah nilimiss utendaj wako
atarisana
Ujambazi hautokwisha bongo labda afufuliwe Iddi Amini atawale Tz mwezi tuu, kama alivowafanya Uganda. Hukumu ni Risasi hakuna kupelekwa mahakama na kupoteza mali ya umma kwa kuwalisha jela!
kapata faida gani ona midamu inavyomchurizika ka chizi mtumbo waz yanakera sana majitu haya
mawaidha
Walijyaje km hao wasomali wametoka bank wanapesa ?huo ni mchongo wa watu kabisaa
keshen mkiomba dua
Rajabu huseni
Matukio ilkokola mkoa wa arusha
Mwaka gani hii 😭😭😭
Miaka 8 iliopita
Kwanini mnamficha sura yake huyo jambazi?
ndoa yangu part 2
Boma ya leñginyi
eemungu tunusuru yarabbiy
Polenmliokumbwa namatatizo hayo
Amaisha ya sasa SAS Hera zitapatika da mngu amaidie mlegwa
shadi mwazembe mwazembe emunguu tunusuru na majanga haya
fanyeni kazi jamani jasho LA MTU haliliwi,
ninyie angalieni viombo hivyo vahatari sikutoa kwakila raia ni police tu vingingine mmna karibisha vita hongera askari mkuu wa tz endelea na mung atakuwa bega kwa bega nawe kazinjema mafanikio Njema katika Inchi yako
maagizo ya magufuli wizara ya elimu
Ujambazi hautokwisha bongo labda afufuliwe Iddi Amini atawale Tz mwezi tuu, kama alivowafanya Uganda. Hukumu ni Risasi hakuna kupelekwa mahakama na kupoteza mali ya umma kwa kuwalisha jela!
cool moods mh
majambazi mwataka nin
pollen wote sana kwamatatizo