YANGA ILIVYONIFIRISI MAISHA YANGU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 17

  • @josephrobinmalafyale8416
    @josephrobinmalafyale8416 Рік тому

    Mzee zeeka vizuri acha upuuzi tundolee njaa zako huko hujui hata mwaka katafute makalatasi utuonyeshe hizo hela kachukue kwa mogela

  • @rachelbujuli4487
    @rachelbujuli4487 Рік тому +1

    Mmeanza kujitokeza kwa vile mnaona Yanga imeanza kupata matokeo siku zote ulikuwa wapi mfyuuu

  • @AshrafuJuma-l3l
    @AshrafuJuma-l3l 9 місяців тому

    Awa wazeee njaaaaa sana

  • @gideonmalabeja2644
    @gideonmalabeja2644 Рік тому

    Hiyo ilikuwa mwaka 1997ndiyo mechi pekee ya Yanga na Simba kufanyika Dodoma na Frank Mutani alikuwa Katibu Mkuu wa Yanga

  • @Eliacharless-f3z
    @Eliacharless-f3z 7 місяців тому

    Alitoa mwenyewe

  • @pauloalfayo1868
    @pauloalfayo1868 2 роки тому

    Safi sana baba wewe ni mwana yanga

  • @emmanuellazaro1848
    @emmanuellazaro1848 Рік тому

    Yanga tulipe hiyo pesa kwa kuwa amesema anavielelezo viongoz mlione hilo

  • @HusseinNkuna
    @HusseinNkuna 8 місяців тому

    alafu hili neno hishima yako hua linanikera sana kutoka kwa waandishi wetu daah

  • @maruhe1958
    @maruhe1958 2 роки тому +3

    Huyu mzee anaonekana ni mwungwana niombe wanayanga tufanye donation, apewe chake jamani

  • @tarivicent2643
    @tarivicent2643 2 роки тому

    Ni kweli kama. Anaidai yanga ila atuambie ilikuwa mwaka gani na ni kwa nn mpaka aone yanga imetulia leo ndio anasema anaidai yanga mpumbavu

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 2 роки тому

    Pesa zinatolewa kiholela hakuna mkataba wa kimaandishi na mwaka hata Jul. Huyu anaongelea Pan Africa hajui chanzo cha timu ya Pan Africa. Kifupi Pan Africa ni mgawanyiko wa YANGA Africans. YANGA ilivyogawanyika baadhi ya Wachezaji walienda Morogoro Ukajiunga na Africans Sport baadaye wakaja Dar na kuunda Pan Africa. Hajui Historia na hajui Makao ya YANGA ofisi yao ilikuwa Mtaa gani hapo DAR sasa. Yuko hai anasubiri afe Watoto wadai hela yake sio sahihi. Naweza kumtajia Viongozi na Makocha waliotangulia YANGA mpaka ataje mwaka alioichangia yanga kwenda Songea ilicheza na Timu ipi.?

  • @ManyweleMathiasmakoja
    @ManyweleMathiasmakoja 2 місяці тому

    Wewe mzee tutolee ujinga wako

  • @deus8629
    @deus8629 Рік тому

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @AshrafuJuma-l3l
    @AshrafuJuma-l3l 9 місяців тому

    Wewe mzeee muongo. Tuondo reeeee ujinga wako

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 роки тому +1

    Nani kakwambii utoe pesa kizembe zembe hivyoo ss unamlaumu Nani,?

    • @abbysule2390
      @abbysule2390 2 роки тому

      Halaumu anaeleza historia

    • @daudkhatib4678
      @daudkhatib4678 2 роки тому

      Hatakama. Anafosi. Ndo. Atuaibishe. Kwa. Midia. Kamavipi. Tumchangieni. Halo. Buku. Tanotano. Isiwe. Taabu