JENIPHER KANUMBA AFUMANIWA, AIBU KWA WAIGIZAJI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025
  • #Soudybrown #mwijaku
    Soudy Brown UA-cam ni Nyumbani kwa Rais wa Wambea Na Popular Radio and Tv Personality “Soudy Brown” Kazi yangu ni moja tu kukupa kukuletea kila kinachoendelea kwa undani
    Kama kuna Tukio umelishuhudia Mtaani au Mtandaoni na ungependa mimi na Team yangu Tulichimbe kwa Undani usisite kucheki nasi kupitia Namba ya simu +255 714 108 600 Email: makorokochostudio1@gmail.com
    Je Unataka Kuona Zaidi Vipindi Vyetu? SUBSCRIBE @soudybrown
    Please LIKE + SHARE with all your friends + loved ones
    Soudy Brown
    Whatsapp: +255 714 108 600
    Instagram: / soudybrown
    Facebook: / soudybrowntanzania
    Twitter: / soudybrown
    Tiktok: www.tiktok.com...

КОМЕНТАРІ • 1,3 тис.

  • @swaeleesalim1272
    @swaeleesalim1272 3 роки тому +46

    Nice drama, Jennifer mtoto mkali 🔥🔥🔥👊

  • @nackplankton1669
    @nackplankton1669 3 роки тому +22

    Yaan huyu mwijaku aisee anabuni vitu vya ajabu sana,ukiangalia tu yaan hikikitu hakiwezekani....Pole sana Mwijaku

  • @ngumalimau5427
    @ngumalimau5427 3 роки тому +7

    mwijaku huo ujinga kuvamia watu style hii kenya warandwa vizuri sana

  • @likinatodonojorban3807
    @likinatodonojorban3807 2 роки тому +2

    Aisee Leo mwijaku umenifrahisha,wamezoea kutupa habari za uongo ila Leo umenifrahisha sana hongera kwa fumanizi,ila tafuta baunsa hii kazi yako kupigwa nikufikia

  • @alaindumutj6726
    @alaindumutj6726 3 роки тому +13

    Dah..nakukubali ndugu yangu..wewe ni big journalist..big up..wewe bigwa..nimekupenda sana kwa upelelezi

  • @chrismbut4990
    @chrismbut4990 3 роки тому +5

    Mmetisha wazee wa mbanga na masauti intetaiment mwijaku hii kazi inakufaa sana.

  • @xkingx8041
    @xkingx8041 3 роки тому +31

    Mwijaku we Kasiri hakiii!!! Leo nimekupa salut 🙋‍♀️🙋‍♀️🙋‍♀️🙋‍♀️🙋‍♀️

  • @pendorichard5287
    @pendorichard5287 3 роки тому +14

    Mwijaku kazi yko yataka ngumu kumeza yaan daaah ila hongera unapambana,ila aibu kwa jeni na masauti

    • @benmakoi5227
      @benmakoi5227 3 роки тому +1

      Aamin aiseee......Still Jamaa anapambana Sana Juu ya kuwapambania Madada Zetu Wasipotee Etiii.....Ilhali Baadhi ya watu wamekuwa wakimsema yakuwa Jamaa Sio kitu (Mwijaku) Anapambania Sana na kusimamia katika Ukweli

  • @johnyagat973
    @johnyagat973 3 роки тому +5

    Mwijaku nilikuw nakuponda ishu za utimu Sasa apo nimekuvulia kofia👏

  • @majaliwamoris7817
    @majaliwamoris7817 2 роки тому +1

    Mwinjaku ongera make hata magufuli alifanya kazi kwa sem yake japo wegi walisema afahii ila kuna usemi tuna kumbuka mpaka leoo kuwa mtanikumbuka kwa mema soo kwa mabay kaza panapo kazwa mwinjaku 🔥🔥💪💪

    • @theplatons254.
      @theplatons254. 2 роки тому

      share ua-cam.com/video/7gdlie51dC0/v-deo.html

  • @flavianamakawia8095
    @flavianamakawia8095 3 роки тому +51

    Acha ufala umbea sio ivyo unamzalilisha Jennifer bure. Mwone bichwa lako

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 3 роки тому +21

    Mu mshukuru mwijaku nilikua siwajui kabisa true nimesikia leo kua kunawatu wanaitwa masaut

  • @mswadickbushumbiro6923
    @mswadickbushumbiro6923 3 роки тому +33

    Duh,Masauti ana kifua cha kuvumilia,ningekuwa Mimi ninainshu zangu,wangekuja kututoa police maana Mwijagu angekula vichwa vya kutosha Fara Sana huyo

  • @idanykahinya4091
    @idanykahinya4091 3 роки тому

    Mwijaku Muha mwezangu Nakupa pole kwa kazi ngumu yani mda wowote unaweza chezea kipigo Duuuh

  • @rhodawamwayi3975
    @rhodawamwayi3975 3 роки тому +6

    😂😂😂🤣🤣huyu mtangazaji jamani...amechagua Vayolens😂😂

  • @Rehema-h6t
    @Rehema-h6t 3 роки тому +1

    Wewe nae mwanamke mmoja waume wa nne usiku wa manane unafanya nini nao oo mwaijaku mwaijaku kafanya NN 😚😚🇴🇲🇹🇿🇹🇿

  • @yasintamichel7249
    @yasintamichel7249 3 роки тому +76

    Kuna watu watamtukana mwijaku lakini alichofanya mwijaku ni bonge la akili Mana kwa mwenye akili ataelewa ila kama mtu hana akili ata mchukia mwijaku

  • @DalzahMutisya
    @DalzahMutisya 8 місяців тому

    kumbe leo nimeona msantula akiwa serious😅😅endelea kaka love you from kenya

  • @matukiomedia191
    @matukiomedia191 3 роки тому +4

    Nimependa action hii kamaa haikupangwa .....mmeikolaiz situation vixur maana hamkupaniki na mkarilax na mkainjoi .....aisee gud

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 3 роки тому +1

    Leo nimekupenda bule mwijaku .kumbe nimtata ivi

  • @salmiraming9026
    @salmiraming9026 3 роки тому +9

    Masantura kapatikana Leo😊😊😀😀😀kumbe siyo dalali wa zunde tu

  • @ZaharaMohamed-zl2ud
    @ZaharaMohamed-zl2ud 8 місяців тому +2

    😂😂😂 mwijakuuuu 😂😂 we atr baba 🙌🏽💔

  • @matthewjohn5108
    @matthewjohn5108 3 роки тому +6

    Mwijaku msenge sana yaani hahahahah dah! 😂😂🤣

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 3 роки тому +2

    Hii kazi ya umbea sio kazi. Mwijaku maisha yako yapo hatarini. Utakuja kupigwa. Na huyo Jennifer sio mtt. Wewe muongo saana wewe. Eti ushavunja ungo?? Mwanaume mzima anauliza mwaswali ya kifala.

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 3 роки тому +15

    Ukweli Video Hi Nimeipenda Sana Awa Wanaojiita Wasanii Wenye Miziki Ya Kuiga Sauzi Kupoteza Miziki Yetu Ya Tanzania Kudadeki Zao Awana Mana Malaya Mmbwa Hao Wanaalibu Vizazi Vya Nchi Yetu Kwanza Wanausika Kupoteza Nyimbo Za Kitanzania Wanapiga Manyanga Kama Waganga Majitu Mazima Ovo Kabisa Kenyatta Anasema Kweli Watu Wa Ivo Awana Mana Uyo Mwenye Madevu Kubwa Zima Ovo

  • @jasumineander3975
    @jasumineander3975 2 роки тому

    Ungekuwa ivo ata kwa wtu wengine so kwa wasaniii to Fanya ivyo ata kwa watu wasokuwa na pesa so kwa wenyr pesa maana ata wtot wengine wanapitia changa MTO iyo tena wadog at jen uyo mkubwa Fanya ivy kisha utakuwa best swadi watanzania sawa

  • @issakasim7222
    @issakasim7222 3 роки тому +10

    Mwijakuuuuuuuuu nakbali sanaaaaa

  • @verotracey344
    @verotracey344 2 роки тому +2

    Mwijaku 😂😂😂 Mimi ulivyosema Jenipher anakilanga mie hoi huku 😂😂😂🤣

  • @aishankoma9066
    @aishankoma9066 3 роки тому +4

    Kama kunamtu kagundua kitu kama mimi tujuane ii imetengenezwa iv kwer ata wenye hoter wamuache mwijaku awazaririshe wateja et ao mabamsa wangemuacha sarama

  • @DigaBoyTz
    @DigaBoyTz 8 місяців тому

    Me naimba natumia jina diga boy tz please please naombo surpot UA-cam nyimbo zangu Kama Raha ❤na penz linawaka

  • @muktazimbuyu6569
    @muktazimbuyu6569 3 роки тому

    Mwijaku we fundi Sana wa interview

  • @benhoredimileba1114
    @benhoredimileba1114 3 роки тому +16

    Kik hizo, interview imehandaliwa hiyo mwijaku usituhongopee bro.
    Ila imenoga sana

  • @enoshmhemakapaya
    @enoshmhemakapaya 3 роки тому +9

    Kama mnafikir mwijaku nimmbeya shauli yenu,,,,,hizi issue wanapangaga hawa

  • @edepatrick2883
    @edepatrick2883 3 роки тому +7

    😅😅😅 Mwijaku salute kwako

  • @mohamedomary6853
    @mohamedomary6853 3 роки тому +42

    Mwijaku ana kazi ngumu sana pole sana ila kupigwa na kuumizwa ni jambo la kawaida kwako

    • @mayroseclemence99
      @mayroseclemence99 3 роки тому +2

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @hamiduhamisi2371
      @hamiduhamisi2371 3 роки тому +1

      masai naye fara tu

    • @johnbernad3990
      @johnbernad3990 2 роки тому

      @@hamiduhamisi2371 😂mwijaku atamfuzisha kaz

    • @lwessopacifical9580
      @lwessopacifical9580 2 роки тому

      Angel Nyigu🤭🤭🤭🤭🤭🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤫🤫🤔💀💀💀💀💀😣💀💀💀💀💀💀👌👌👏👏👏💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥🙆🙆🙆‍♂🙆‍♀💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁🤦🤦🤦‍♂🤦‍♂🤦‍♀🤷🤷‍♂🚀🚀🔒❌❌❌🔴🔴❌❌❌❌💥💥💥💥

    • @lwessopacifical9580
      @lwessopacifical9580 2 роки тому +1

      Angel Nyigu🤭🤭🤭🤭🤭🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤫🤫🤔💀💀💀💀💀😣💀💀💀💀💀💀👌👌👏👏👏💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥🙆🙆🙆‍♂🙆‍♀💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁🤦🤦🤦‍♂🤦‍♂🤦‍♀🤷🤷‍♂🚀🚀🔒❌❌❌🔴🔴❌❌❌❌💥💥💥💥

  • @fatmahassan7467
    @fatmahassan7467 3 роки тому +11

    Fanya kazi kakaangu ila usiharibu sifa zawenzako

  • @hermansasuri9743
    @hermansasuri9743 3 роки тому +1

    Ila Mwijaku ni kichwa saana daaah hiyo kazi mimi hata bure sifanyi

  • @evanssikuku1958
    @evanssikuku1958 3 роки тому +5

    Nakubali kazi yako kaka

  • @hapinessiddan8245
    @hapinessiddan8245 2 роки тому +1

    Hahaha appreciate saana mwijaku

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 роки тому +41

    Umbeya wa kugombanisha mke na mume sio mzuri ww ni mwanamme sio powa.

    • @belthonkakuru2666
      @belthonkakuru2666 3 роки тому +2

      Kwahyo na wewe unamcheat mwenzako

    • @andrewmaasinde8934
      @andrewmaasinde8934 3 роки тому +3

      @belthon ishi na kuwa na ufikilio wa kisomi hapo walipo hawa cheat....

    • @namirihamisi3899
      @namirihamisi3899 3 роки тому +2

      @@belthonkakuru2666 Unafahamu vitu kama hivi vinaweza sababisha maafa ndani ya nyumba za watu.

    • @adamfundikira1620
      @adamfundikira1620 3 роки тому +1

      @@belthonkakuru2666 itakua hivyo

    • @jumahamis227
      @jumahamis227 3 роки тому +1

      Sio kweli ni maigizo hayo, kipindi Kipo scripted hicho kutengeneza fanbase kwenye jamii 😂.

  • @vaghoghontweki9827
    @vaghoghontweki9827 3 роки тому +1

    Umbea sku hizi na wanaume na midevu yote washajipachika uanawake kupga umbea mtaani,,,,,,htr sana na kila la kheri

  • @salmambarak6584
    @salmambarak6584 3 роки тому +14

    Thanks for the true🤝

    • @theplatons254.
      @theplatons254. 2 роки тому

      share ua-cam.com/video/7gdlie51dC0/v-deo.html

  • @rajbearyjuma8536
    @rajbearyjuma8536 2 роки тому +1

    Oyaaa mwijaku hatari Sana ❤️

  • @saidmohammed9551
    @saidmohammed9551 3 роки тому +115

    Kunakazi zingine ni hatari sana kama hii ya mwijaku ipo siku atapgika vibaya

    • @juniorsmart2483
      @juniorsmart2483 3 роки тому +8

      Mnaongopewa hiyo issue imepangwa,wanataka KK hakunaga kitu kama hiyo🏃🏃

    • @hamidaala2832
      @hamidaala2832 3 роки тому +3

      @@juniorsmart2483 kweliHatamiminimeonasiyokweli

    • @robertabely5794
      @robertabely5794 3 роки тому +2

      Sheria ndo inamlinda

    • @jumahamis227
      @jumahamis227 3 роки тому +2

      Scripted hiyo kupata mashabiki kwenye jamii 😂.

    • @asss4928
      @asss4928 3 роки тому +1

      Uyu hakuje Kenya hatajuwa hajui🤣🤣

  • @mollel1938
    @mollel1938 3 роки тому +1

    Mwijaku na Masai leo mmepatikana Duuh nomaa

  • @mimie254official8
    @mimie254official8 3 роки тому +12

    Sasa yawausu nn maisha ya mtu jameni mtakondeshwa kwa kweli

  • @maryjoseph926
    @maryjoseph926 9 місяців тому

    Pia sio vizuri kuonesha namba ya gari ya mtu hadharani hii haiko Sawa kiusalama

  • @elizabethdamas1522
    @elizabethdamas1522 3 роки тому +12

    Tanzania badala ya kupromote kazi zetu tunakaa kufanya mambo haya kweli 😭🙌🏾

    • @jacksonmugasha7033
      @jacksonmugasha7033 2 роки тому

      Qqqqqqq

    • @lwessopacifical9580
      @lwessopacifical9580 2 роки тому

      Angel Nyigu🤭🤭🤭🤭🤭🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤫🤫🤔💀💀💀💀💀😣💀💀💀💀💀💀👌👌👏👏👏💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥🙆🙆🙆‍♂🙆‍♀💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁🤦🤦🤦‍♂🤦‍♂🤦‍♀🤷🤷‍♂🚀🚀🔒❌❌❌🔴🔴❌❌❌❌💥

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 Рік тому

    Mwijaku mjinga sana anspenda sifa sana kuzua mambo ya maajabu

  • @veronyanganda2166
    @veronyanganda2166 2 роки тому +4

    Ila maisha yabongo yanatisha bora tubaki mikoani.

  • @jumakapola419
    @jumakapola419 3 роки тому +2

    Ivi ivyo sheria ya wapi mbona ichi zingine ayo mambo ya kipumbavu ayapo na iyo ni hotel kubwa sana

  • @aminaamina-xj6qs
    @aminaamina-xj6qs 3 роки тому +7

    Masantula nakuon 😂😂😂😂😂💞

  • @mhandondahani2656
    @mhandondahani2656 Рік тому

    😂😂😂ipo siku watakukuteka we mwijaku alafu na we unamtamani Mbona umemvuta kucheza naye tafuta pesa acha umbea

  • @jancybimetv2856
    @jancybimetv2856 3 роки тому +11

    Sema dada mukari she so pretty 😍

    • @belak999
      @belak999 3 роки тому

      Ana uzur gan we nae, macho yako kayatoe lenzi

    • @belak999
      @belak999 3 роки тому

      Ana uzur gan we nae, macho yako kayatoe lenzi

    • @kabogeof9597
      @kabogeof9597 3 роки тому

      Sjui rangi tu et ndo uzuri kweli????? Najarib kuzooom lakin sion

  • @VenanceEphraim-hr2cc
    @VenanceEphraim-hr2cc Рік тому

    Les Tanzanie vous êtes très intéressée kiekie 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bahatimtatah5680
    @bahatimtatah5680 3 роки тому +9

    Nimeipenda hiyo

  • @chugaboy4891
    @chugaboy4891 3 роки тому +2

    Hahaha huyo Masai nahisi mpaka sasa hana kibarua hahaa

  • @marthajohnjohn5752
    @marthajohnjohn5752 3 роки тому +6

    Ila Kama sio kk mwijak nae amempenda Jennifer maana anavyomshika kiuno halaf anasema mtoto mdg Sasa mtoto mdg ndo anashikwa kiuno hvo mpuuz tu Ila Jenifer ndo kazalilika sana

  • @bongelanyota
    @bongelanyota 3 роки тому +2

    Kwanza mwijaku shukulu umekutana na walembo hawo ila usije jichanganya kwa kila mtu kama hivi utaumia kaka

  • @z4ck_z7
    @z4ck_z7 2 роки тому +3

    nimemchukia this man instantly walai 😤😤

  • @johnjinasa5540
    @johnjinasa5540 3 роки тому +1

    🤣🤣🤣🤣😀😀😀😀 Mungu anipe kipaji Cha mwijaku

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 3 роки тому +10

    hii kazi mwijaku aikufai ipo siku utachakaa the way unavyo uliza maswali unamfanya mtu apanic

  • @ummymussa5380
    @ummymussa5380 9 місяців тому

    😂😂😂mwijaku umenifurahisha sana ulivyowaambia hao walinz et umekuja kula😅😅

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 3 роки тому +20

    Ila ww utakuja kukomeshwa siku 1. Ya nini kufatilia maisha ya watu. Ww mkeo unajua alipo mda unapokua kwenye umbea???

    • @KanadeMrangu
      @KanadeMrangu Рік тому

      Hapo sasa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @williamkisamwa
    @williamkisamwa 3 роки тому

    Watanzania mnapenda umbeya😜😜we umekosa tu kuma

  • @sheilahachieng649
    @sheilahachieng649 3 роки тому +5

    Hi ndio poa wanawake wajuwe waume zao tabia zao loyalty test tz

  • @eliascosmas5131
    @eliascosmas5131 3 роки тому +1

    Mzee baba wachane kupingwa ni kawaida tu😂😂😂😂😂😂

  • @nohatredbutlove5786
    @nohatredbutlove5786 3 роки тому +31

    Mwijaku: Mimi nilivyokuwa mnaafeeq😅.
    Qur-an: Hakika wanaafiq watakuwa katika t'abaka ya chini kabisa Motoni, wala hawtompata yeyote wa kuwanusuru.

  • @neemamjengi9913
    @neemamjengi9913 3 роки тому

    Mbona kazi hii ni ngumu hivi

  • @michaeldady1767
    @michaeldady1767 3 роки тому +7

    Huyu jamaa fala sanaa

  • @tinajoe5487
    @tinajoe5487 3 роки тому

    Daa Mwijaku unachokifanya wala hakipendezi kabisaaaaa

  • @kephatz2814
    @kephatz2814 3 роки тому +7

    Masantula 😂😂😂🔥🔥🔥🔥

  • @barckydedallasjr.5863
    @barckydedallasjr.5863 3 роки тому +2

    😁😁Mwijaku we noma asee yan kipondo hukiogopi🤣, ila hongera bro kwa mazuri uliyomshauri Jenny🤝🏾.

  • @SirdickOmondi
    @SirdickOmondi 3 роки тому +3

    11:35 KWANI wee umetokea wapi.....yaani hapa tunaenda NENO-KWA-NENO

  • @dotoreaseboy361
    @dotoreaseboy361 3 роки тому

    Na kubali broo mwijaku

  • @apichitseso8435
    @apichitseso8435 3 роки тому +13

    Huyu ndio yule bikira😂😂😂😂

  • @juliusmolel6082
    @juliusmolel6082 2 роки тому +1

    Ila Jenifer mzuri anajua kudeka wow

  • @mussahamisi1191
    @mussahamisi1191 3 роки тому +11

    😃😃😁😁😁😁😁😁 mi nimekuja kula, hii nchi ina serikali ukinipigaaaaa

  • @officiellelebon3162
    @officiellelebon3162 2 роки тому +1

    Fresh

  • @abdallahmzee4335
    @abdallahmzee4335 3 роки тому +8

    Kwa akili tu ya niliyozaliwa nayo hawa jamaaa wameitana pale kuitangaza tu hiyooo nyimbo yaooo we baunza anamzuia mwijaku wanasema muchie aje

  • @vitusgodfrey4893
    @vitusgodfrey4893 3 роки тому +1

    Mwijaku we noumaaaa kweli

  • @rugenzirugenzi3562
    @rugenzirugenzi3562 3 роки тому +12

    hawa jamaa wanapanga mchongo mzima ndo maana hata masauti alipo muona mwijaku akamuita kwahiyo hapo hakuna uwasilia wowote

  • @WinnifridaMgombera
    @WinnifridaMgombera 9 місяців тому

    Mm kiukweli mwijaku simpendiii mpk naomba tobaaa 😂😂😂

  • @janemhango5884
    @janemhango5884 3 роки тому +19

    Mimi naona Kama masauti alieleana na mwijaku Ili aoneshe kwamba yupo Jenifer

    • @angelageofrey9756
      @angelageofrey9756 3 роки тому +2

      True

    • @mwajumalubunga1534
      @mwajumalubunga1534 3 роки тому +1

      Kweli kabisa

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 3 роки тому

      Naam kusaka pesa huko na mwijaku kwa mikiki ndio sehem yake sasa

    • @luluabdul2800
      @luluabdul2800 3 роки тому

      Dah kwl

    • @kelvin254-x9k
      @kelvin254-x9k 3 роки тому

      Very True......she need to be very smart/careful...some of these character developers will take her kindness for weakness....innocent girl she doesn't know they just played her......they want to shine on her name😢😞

  • @munaahfarina2934
    @munaahfarina2934 3 роки тому +2

    Nyie wapuzi kweli 😂 😂😂😂😂

  • @alphadreammedia
    @alphadreammedia 3 роки тому +4

    Daaaaaaa huyu hafai kwenye industry hiii kabisa ujingaaa 😭😭😭😭 unatia aibu kabisaaaaaaaaaa mwijaku mwijaku mwijaku daaaaaaa unaharibu industry hiii

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 8 місяців тому

    Mwinjaku mmbeya hatari❤❤❤

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 3 роки тому +6

    Yani mwijako haogopi hata daah hatishiki kidume your so Smart

    • @nara3837
      @nara3837 3 роки тому

      Smart 🤓 wa nyoko😏

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 роки тому +1

    Kwahili mwinjaku nimekusifu sana piga kazi awo mabaunza njaa tu

  • @officialmk.mpemba343
    @officialmk.mpemba343 3 роки тому +49

    Ni moja ya aina ya watu wa kigoma..wasiogopa kabsa

    • @andrewmaasinde8934
      @andrewmaasinde8934 3 роки тому +1

      Hajakutana na watu wanao jua haki yao...

    • @belak999
      @belak999 3 роки тому

      @@andrewmaasinde8934 kichwan uko na shahaaaawa tu badala ya ubongo

    • @andrewmaasinde8934
      @andrewmaasinde8934 3 роки тому +1

      @@belak999 wewe ndio uko hivyo kichwani

    • @nyaweracaro9035
      @nyaweracaro9035 3 роки тому

      Msalimia masatula

    • @lwessopacifical9580
      @lwessopacifical9580 2 роки тому +1

      Angel Nyigu🤭🤭🤭🤭🤭🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤫🤫🤔💀💀💀💀💀😣💀💀💀💀💀💀👌👌👏👏👏💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥🙆🙆🙆‍♂🙆‍♀💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁💁🤦🤦🤦‍♂🤦‍♂🤦‍♀🤷🤷‍♂🚀🚀🔒❌❌❌🔴🔴❌❌❌❌💥💥💥💥

  • @nakhiratnaheer2281
    @nakhiratnaheer2281 3 роки тому +1

    Masantula nakupenda ivyo ulivyo mtizama umenimaliza

  • @kelvinchuhila3780
    @kelvinchuhila3780 3 роки тому +6

    Hii Kiki imepangwa kabisa mpaka Masai kapangwa

  • @nelsonandanyi
    @nelsonandanyi 3 роки тому

    Masantula bro zipoke salamu toka kanairo

  • @sikukuuchuo3093
    @sikukuuchuo3093 3 роки тому +13

    Huyu jeniffer pia yupo huyu kinajifnya kipole usiku wote huo waranda usiku.

    • @AgnethaIgnath
      @AgnethaIgnath 8 місяців тому

      TENA HAO WAPOLE MMMMMH....SHIDAAAAAAA😂😂😂

  • @chaznguya
    @chaznguya 9 місяців тому

    Chawa kama chawa umetisha

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 роки тому +15

    Mwijaku anajihami na Serkali anaogopa kupigwa.

  • @emaayohana4759
    @emaayohana4759 2 роки тому

    Mwenyew kalegea mpaka kuongea awezii na Savana🤣🤣🤣

  • @buddahmakucha6848
    @buddahmakucha6848 3 роки тому +3

    Baunsaaa pigaa hiloo li mwambwamweee

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 роки тому

    Ndio kazi yake hapo mwenzake hayupo pangebana hapo

  • @hannanommy302
    @hannanommy302 3 роки тому +10

    Kuna same time mwijaku anafurahisha jamani 😁😁😁😁