S2KIZZY AFICHUA NYIMBO 20 ALIZOFANYA NA RIHANNA, TYLA WA SOUTH AFRICA / NAMTUMIA DM MPAKA JAY Z

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 тра 2024
  • Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 34

  • @user-jq9rj4dm5u
    @user-jq9rj4dm5u 3 місяці тому +5

    S2kizzy ndio producer Bora east Africa ila wabongo wanajizima data🤣🤣

  • @ydbranch542
    @ydbranch542 3 місяці тому +4

    Umeongea vizuri san kuwamusha maproducer wengi namna ya kutengenez hit song kwa ushauri wako wengi watafanikiwa big up san

  • @RamadhanAdam-cq7dl
    @RamadhanAdam-cq7dl 3 місяці тому +5

    Zomb siyo muongeaji sana ni producer ambayo anajitambua sana in short ni number one east Africa

    • @Soundprobeats
      @Soundprobeats 3 місяці тому +4

      Sio muongeji ??,akati ndo mtu wakujisifia kuliko ata wasanii ,watu wenye uwezo hawanaga mda wakujisifia Huwa wanasifia huyu anapiga makelele tuu hukumtandaoni

  • @Summerbtz
    @Summerbtz 3 місяці тому +2

    Oya we Zombie nakukubari sana mwamba one day wanna do something with you

  • @Official-bataboy
    @Official-bataboy 3 місяці тому +2

    Sema huyu rich maswali yke mda mwingine ajitazame anapenda kuwafanya watu waongee vitu nje ya uwezo wao sema anastukiwaga hivi

  • @issaomary7718
    @issaomary7718 3 місяці тому +1

    Dizain Kama dogo anavimba ivi ....sharaut Kwa niga louis NORTHBLOCK RECORD #ATOWN...

  • @bakaromar8135
    @bakaromar8135 3 місяці тому +6

    Mchizi anaongea fact japo inaumiza

  • @KigoBilionea
    @KigoBilionea 2 місяці тому

    Me nakubali zake uyo mtu mbadi

  • @user-nx2sd8lk9q
    @user-nx2sd8lk9q 2 місяці тому

    s2kizzy namkubali kinoma niproduce mkali kwahapa Tanzania yaani hata somuongeaji anafanya kwavitendo tunaona

  • @floodboytz7038
    @floodboytz7038 3 місяці тому +2

    Nataka kufanya Kaz na S2KIZY sikiliza nyimbo zangu nipe ushaur 🙏

  • @user-nx2sd8lk9q
    @user-nx2sd8lk9q 2 місяці тому

    S2kizzy musimuonee girl maana niproduce mkali kwatanzania sokwamba anavimba niukweli
    sema watanzania wanawivu namaendeleo yamut😅

  • @star_onmusic
    @star_onmusic 2 місяці тому

    Oya huo mtangazaji wenu mwenye aliyepo KWENYE mitambo Hana Quality inayo takiwa by the way Ana jua kuonewa Ila siyo kwenye ule mpangilio unao takiwa pia ra fuzi Ina kuwaza shida kwake kumfanya awe na ule weledi wa kufanya kipindi kibambee so ifike time huyo jamaa aliye pembeni akae kwenye kiti aweke mawe
    Siyo kwambia simpendi Ila huo Ni ukweli unao endana na UENDESHAJI wa Media huwa inatakiwa WATU makini Kama vile ukimcheki Tgway lile Ni jembe na siyo kitoto ama Yule jamaa wa vipindi vya shule alianza Kama haeleweki lakini sasa ana eleweka so mwambieni aache kujiskiliza Sana yeye askilize na watu mabadiliko ni watu ili we yeye pale anapo tarajia

  • @AminaOmary-br8us
    @AminaOmary-br8us 2 місяці тому

    Bongo kila kitu feki ndo utatoboa na ma sample ya kununua

  • @reubenwild4215
    @reubenwild4215 2 місяці тому

    Anajua jamaa

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 3 місяці тому +2

    JAY Z UNA MD??? MTANDAO UPI😊

  • @user-pf9rk6jp4f
    @user-pf9rk6jp4f 3 місяці тому

    Aaaa 😂😂uyu jamaa muongo mpaka j z rihhana

  • @QGmterano
    @QGmterano 2 місяці тому

    Ujue sijawai kuona kitu kwa huyu mtu,,hivi mnamjua duppy

  • @Siddhart7-772
    @Siddhart7-772 2 місяці тому

    Dah!! Saiv atakuwa ameishiwa na ubunifu kaanza kiki zakijinga mbna geniusx66 anahiti kibao kampigia jaymelody na hajisifii na ukiangalia kuna abbah lkn hna misifa…akae kwa kutulia mziki uongee yy anamiziki yahitis za siku mbili hazidumu😅😅aache umama wewe kazi yako trap miziki mingine unakopy sana na nyie hizi interview mtakuwa mnatuungia bando interview zakimama hizi🤔🤔😂😂😂

  • @devisfrank6637
    @devisfrank6637 3 місяці тому +1

    🫡🫡🫡

  • @Dickson93
    @Dickson93 3 місяці тому

    Yaani nikiona coment huko nashangaa sana mnataka aongee nini ndio mda wake huu mnasema wakina master na p walikua hawaongei kipindi hicho kulikua hamna social media ili kujua kinachoendelea lazima utumie bbm na bbm kuipata lazima uwe na brackberry sasa jaman acheni aongee na uzuri kazi zinaongea ndio mda wake huu jamani msitake aongee mnachotaka nyie

  • @izaboymtykwl
    @izaboymtykwl 2 місяці тому

    😂😂😂😂

  • @tuntufyehenry1331
    @tuntufyehenry1331 3 місяці тому +7

    Huyu jamaa shida Muongo Muongo sana hiyo ndio shida yake 😂😂😂

    • @aliabdallahali6995
      @aliabdallahali6995 3 місяці тому

      Ili awe mkweli awe vipi?

    • @tuntufyehenry1331
      @tuntufyehenry1331 3 місяці тому +3

      @@aliabdallahali6995 kizur siku zote hakikitangazi ila kazi ndio zinaongea.
      Hakuna hata siku moja Majani au master jay alisema yeye ni mkali kuliko wengine ila mbona mpaka leo wanaheshimika..!.!.😒

    • @Soundprobeats
      @Soundprobeats 3 місяці тому

      ​@@aliabdallahali6995awe kama wewe kichaa mwenzake

    • @Soundprobeats
      @Soundprobeats 3 місяці тому

      ​@@aliabdallahali6995awe kama wewe kichaa mwenzake

    • @Official-bataboy
      @Official-bataboy 3 місяці тому +1

      Wewe shida yako sio muelewa sababu huamini vya kwako we amini katika uongo