SIMPENDI H BABA/NIKIKUTANA NAYE NAMZIBUA/HANA LOLOTE - (MARA PAAP WAKAKUTANA😂😂🙌🏾)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 сер 2022
  • SIMPENDI H BABA/NIKIKUTANA NAYE NAMZIBUA/HANA LOLOTE - (MARA PAAP WAKAKUTANA😂😂🙌🏾)
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 924

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 Рік тому +93

    Wooooyoooooooo team Baba Levo tujuane🤣🤣hata mm nitachagua Baba Levo ili nicheke vituko vyake

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 Рік тому +11

    Huyo jamaa mwemye tishet nyekundu ana tamaa sana...

  • @jordaniemusangwa1154
    @jordaniemusangwa1154 Рік тому +9

    Moyo wangu hunafuraishwa sana na h baba kuwa w.c.b afu ana anaonesha lav ya kweli 🥰👌👋👋

  • @jastinsimon5677
    @jastinsimon5677 Рік тому +26

    H. Baba now una trend very proud

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Рік тому +8

    Huyu jamaa wa mwisho daa mhh. Mtihani sana

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Рік тому +26

    Baba wa blue Tshirt leo anaenda kuwaambia wanawe n wajukuu kua kaonana na Diamond Platinumz Simba 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂

  • @bongelabwana7523
    @bongelabwana7523 Рік тому +30

    Hiki kipindi nomaaa sana 🙌💥💥 nimechekaa mpaka nimelia 😂😂😂😂😂 hahahh hahahaha hahahh hahahaha 😂😂🙌💥🙌💥🙌💥💥😂

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Рік тому +26

    H.baba nafikiri Chama Letu la Wasafi wampe Kitengo cha Utangazaji sababu amechangamsha sana Kipindi cha Hivi ni Kweli. Wasafi for Life Baby.

  • @simbawatown2729
    @simbawatown2729 Рік тому +22

    Mungu anawaona yaaani Mzee wa watu mnamuimbisha kweli🤣🤣🤣🤣🤣 pesa mwanaharamu

  • @agakibelden
    @agakibelden Рік тому +5

    From 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪Kenya
    Motown sanya unyamwezi mwingi in the building
    Mambo freshi barida

  • @malimindilla3564
    @malimindilla3564 Рік тому +6

    Napenda sana vpindi kama hivi kwani zinanifanya kusahau ugumu wa maisha, love kwako mwandaaji

  • @daudpius130
    @daudpius130 Рік тому +5

    H baba unaroho nzuri sana ubalikiwe kwa moyo wako huo ila usipende kujiita majina ambayo sio yako

    • @batulimabewa6953
      @batulimabewa6953 Рік тому

      Badala awatambulishe watu jina lake anamfagilia Mond

  • @reganclarence4657
    @reganclarence4657 Рік тому +3

    H. Baba umepiga mia yya mia kamatia umeua.....oyeeeeee H.dangote.🙌🙌🙌🙌

  • @mozespatinam9296
    @mozespatinam9296 Рік тому +15

    H baba hatareee sanaaaa you kill it🔥🔥🔥💪💯

  • @Max-kl8hv
    @Max-kl8hv Рік тому +14

    Wapi like za h Baba🤣🤣🤣🤣🕺🕺Mimi nakupenda Sana H Baba watching from 🇰🇪 Kenya

    • @Kingtiger98
      @Kingtiger98 Рік тому

      Gry ua-cam.com/video/HLqvhu8vj98/v-deo.html

  • @jn_mustonez7842
    @jn_mustonez7842 Рік тому +4

    Leo h'baba amepata niaje, sema fresh jamaa alitaka kuendekeza njaa

  • @pollarlaizzer143
    @pollarlaizzer143 Рік тому +7

    Ebu nipe kwanza mkono ulinioteaje yani umeniotea chifu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Conshamusic
    @Conshamusic Рік тому +8

    Dah! Eti huyu jamaa mchonganishi😂😂😂mchizi wa mwanzo katingwa sana

  • @user-er3cb9mb9m
    @user-er3cb9mb9m 3 місяці тому +1

    If u are still watching 2024 like back much love from Kenya❤😂

  • @emmanuelibrahim9138
    @emmanuelibrahim9138 Рік тому +8

    H'baba umetuwakilisha mwanza safi Sana umeuwa 😁🙏

  • @givembwilo8486
    @givembwilo8486 Рік тому +8

    waliotisha leo ni yule wa kwanza kuhojiwa na jamaa alievaa nyekundu katumia fursa vizuri mno🤣😂

  • @azaniayoub6971
    @azaniayoub6971 Рік тому +7

    You are kind man.... Hakuna hivi ni kweli zaid ya hii mo hujai fanya hivi ni kwel kam hii... More bless H baba😍🙏

  • @hamedatanzani6
    @hamedatanzani6 Рік тому +6

    Baba kajua kujiongeza haamini kama anarudi home na ugali dah maisha haya🤣🤣🤣🤣

  • @shameemrashid5219
    @shameemrashid5219 Рік тому +17

    🤣🤣🤣🤣🤣huyu baba amenichekesha wa tishet blue

  • @allanaluma20
    @allanaluma20 Рік тому +15

    much love H. Baba....u made my day
    I am Allan doing University in Zimbabwe but Origin Tanzania. One love for Country

  • @lazalonzo4607
    @lazalonzo4607 Рік тому +4

    Show ya kinyama sanaaa nimependa H BABA He’s a good actor

  • @appolonation
    @appolonation Рік тому

    WASAFI salama!! Eee kuna swala nataka kukwambi!! Ni tofauti na kipindi. Mimi naitwa Appolo Gideon kutoka Rwanda 🇷🇼. I am Blogger ! Kuna tatizo huku Mshindi Wa miss East Africa Miss Shanitha Paka saaa hajapewa Gari lake alilo shindia mwaka Jana !. Kama inawezekana Mina we mukawauliza walio anda. Mr RenaCallist . Asanteni.

  • @ibraimoselemane17ibraimo29
    @ibraimoselemane17ibraimo29 Рік тому +6

    H BABA estás de parabéns gostei de Show, sanya unyama nimwingi sana

  • @JUSTWANGUI
    @JUSTWANGUI Рік тому +20

    The guy in blue is so clueless it's too crazy 🤣🤣🤣🤣🤣🤣na Ako dar jameni ata mamangu kijijini anajua bongo music kama zote

  • @shd12m55
    @shd12m55 Рік тому +8

    Uyo mwamba atupe raha ya ngoma moja na mond

  • @bahatimtatah5680
    @bahatimtatah5680 Рік тому +4

    Nimecheka hatari ...eti msifie ngoma yako nzuri😄😄😄😂😂

  • @fatmabhai2812
    @fatmabhai2812 Рік тому +16

    Diamond batan, diamond paltam😂😂😂 diamond plantam. Maana apo kwanza ncheke🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Рік тому +14

    Bongo sihami heshima kwako sananya 🔥 Fire you are unstoppable

    • @eliasmaspela6539
      @eliasmaspela6539 Рік тому

      Ina maana baba levo anukii ata kidogo🤣🤣🤣🤣

  • @Ericoh..467
    @Ericoh..467 Рік тому +5

    Yaani kuna watu Tanzania hawajui diamond😂😂😂😂

    • @peterkondo9889
      @peterkondo9889 Рік тому

      Tanzania mbali Daresalam Yan mtu upo dar alafu mond humjui dar

  • @salamasaid8983
    @salamasaid8983 Рік тому +7

    kodi ya nyumba muhimu😂😂😂😂😂

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Рік тому +10

    kaka h baba umeuwa kabisa
    imekuwa interview yamfano kabisa
    umetoa msaada mkubwa sana
    ongelen sana sana sana
    kwa uyu jamaa ambae halishiwa
    chakula cha nyumban kwake
    #AVATASTAR255 🎵👈👈👈👈🙏🇹🇿

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Рік тому +22

    Baba levo fundi majumba💪😀🇹🇿.dogo wa mwanzo anamkukubali fundi majumba.

  • @hagaimadonda9145
    @hagaimadonda9145 Рік тому +7

    Sema mo Town unatisha San na hii show yako.. Ulivokuw unamchongea dogo sas😁😁

  • @Tanzania_habari1
    @Tanzania_habari1 Рік тому +8

    Nimecheka Kisenge Yan🤣🤣🤣🙌🙌🙌

  • @rachelmuhehe7789
    @rachelmuhehe7789 Рік тому

    Umekua na ujana umeshakukataa fanya tu maisha acha usela

  • @christianfelex5078
    @christianfelex5078 Рік тому +10

    Diamond platnam ame tishaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥✌️🤣🤣🤣

  • @josephluvanga5233
    @josephluvanga5233 Рік тому +4

    Jamaa kasema yeye amfahamu hbaba 🦁🦁😁😁😁😁😁

  • @aminijuma9627
    @aminijuma9627 Рік тому +6

    Tatzo tamaa msengee ww mala unga mala kodi ya nyumba utaolewa msenge wewe🤣🤣

  • @bluechawa3492
    @bluechawa3492 Рік тому +2

    Me nimempenda uyo mzee wa tatu amekuwa kweli 😎

  • @shedrackmwaipopo219
    @shedrackmwaipopo219 Рік тому +4

    Kweli watu wanafiki 😂😂😂😂😂😂

  • @makokoaizack2531
    @makokoaizack2531 Рік тому +20

    Daa nmelazimika kurudi Tena ku comment h baba na Sanya niwaambieni tu mapema mkishindwa shughuli mnazo fanya ingieni commedy yaan mna weza sana da nme checka Sana hasa scene ya h baba anaitwa huku na huko alaf pia kuruka kulipa vtu nyie watoto mtatoa watu rogo mjin big up Sana wanagu. Sanya nadhani umeona unaweza ukatumia watu wachache korotete kpnd na uka fanya poa Sana na hata usipo hoji weng h baba mmetishaa

  • @khuzeimazubeir6673
    @khuzeimazubeir6673 Рік тому

    H baba na baba levo roho zenu ni safi kulko mwijaku

  • @felicianboss6953
    @felicianboss6953 Рік тому +1

    Huyo mkaka jaman amejigamba mpaka basi na H.baba 😂😂😂😂huyooo anataka amtext°°

  • @kelbertkiza8233
    @kelbertkiza8233 Рік тому +5

    Daaah nimecheka mpaka basi 😂😂😂

  • @bigboyshukub9207
    @bigboyshukub9207 Рік тому +30

    love to Wasafi from Holland

  • @solangebagal3496
    @solangebagal3496 Рік тому

    Ya Allah ukosefu una tufanya wakati moja ma comedian kwa Ku omba rizki

  • @user-er3cb9mb9m
    @user-er3cb9mb9m 3 місяці тому +1

    Kama ungali unawatch hii video 2024gonga like😂

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Рік тому +12

    H Baba & Baba Revo❤️❤️❤️❤️

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza8117 Рік тому +3

    Loh unamkunja mtu kisa kakuponda. Haaa mimi ndio ningefuguka kabisa kuwa sikupendiiiii😅

  • @sharifashaibu4051
    @sharifashaibu4051 Рік тому +2

    Huyo jamaa mwenye t shirt nyekundu aliamua kutumia fursa vzur 🤣🤣

  • @tee_3nes._
    @tee_3nes._ Рік тому +11

    Uyu Mwamba wa Kodi😂😂😂😂😂

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Рік тому +2

    Binadamu wengi ni wanafki sana 😀😀😀😀😀

  • @praxedaandrewkato7472
    @praxedaandrewkato7472 Рік тому +22

    This man doesn't know between who is diamond platnumz or H. Baba😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @jmkentertainment..8247
      @jmkentertainment..8247 Рік тому

      Fala sana huyu ashindwa na yule mtu aonekana chizi na yuajua huyu ni H baba yy akili yake timamu na hajui Diamond ni yupi na H baba ni yupi fala sana huyu

    • @strong8534
      @strong8534 Рік тому

      Kwanini usiandike tu kiswahili kaka

    • @strong8534
      @strong8534 Рік тому

      Kwanini usiandike tu kiswahili kaka

  • @yassinmiraji2921
    @yassinmiraji2921 Рік тому +1

    Huyo Mzee kanichekesha sn eti Platinomu mara platamu d, ha ha haaaa.…!!!

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 Рік тому

    Eti na kodi ya nyumba muhimu 😀😃😄😁😆😅🤣😂 umeuwaaaaaaaaa

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 Рік тому +4

    JAMAA KAWA MCHWA TENA, CHAKULA, MARA KODI...😃😀😁😂🤣💪

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 Рік тому +5

    Tunakupata sana Motown SONYA unyama sanaana kutoka Australia we love U brother 🙌

  • @youngsimba2054
    @youngsimba2054 Рік тому +1

    Daaaah hiyo maiki ya wasafi imekupendeza unafaa kuwa mtangazaji wa wasafi

  • @jordaniemusangwa1154
    @jordaniemusangwa1154 Рік тому

    H baba mnda si mrefu atakuwa maarufu tena sana apo ndo w.c.b bwana akuna sho ndogo hapo hongera sana h dangote

  • @praxedaandrewkato7472
    @praxedaandrewkato7472 Рік тому +13

    Huyu boy iko na tamaaa they say buy for 10.000K.but still want to get food for 18000 K.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @agakibelden
    @agakibelden Рік тому +3

    Huyo H baba ni generous sana🤩🤩
    Let him continue being on top

  • @azibossladykenny2455
    @azibossladykenny2455 Рік тому +2

    Nimechekaa uyo baba wanguo nyekundo yani anaomba vitu vingi mpak azinguw🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @joyzach8820
    @joyzach8820 Рік тому +3

    🤣🤣🤣🤣🤣 uyu baba inamana amjui kweli mond jamani dhambi 🤣😂

  • @benboyburundi2429
    @benboyburundi2429 Рік тому +27

    Love from Burundi 😂

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 Рік тому +3

    Uyu kaka wamisho asipoangaria ataorewa yaani anatamaa atari😭😭

  • @Userog254
    @Userog254 Рік тому +1

    Huyu mwenye shati nyekundu anaomba mpk anakera, mkwewe anakazi hapa😄😄😄

  • @molomiraj809
    @molomiraj809 Рік тому +3

    Huyu baba kanifurahishi nyimbo za amapenzi😛😀😀😀

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 Рік тому +30

    Aisee kumbe kuna watu hawamfahamu Diamond 😄

    • @jordplatnumz
      @jordplatnumz Рік тому

      Njoo inbox mama

    • @rasvegas8991
      @rasvegas8991 Рік тому

      Ht we kuna watu awakufaham nawapo ndanii ya ukoo wako tz nzima awez dili na mziki

    • @muwezahasani4017
      @muwezahasani4017 Рік тому

      Uongoo t kataniaa xio kwelii hamjuii diamond

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 Рік тому

      @@rasvegas8991 ni kweli hasa kama huna smartphone

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 Рік тому

      @@muwezahasani4017 inawezekana kweli hamjui

  • @jefferasto4160
    @jefferasto4160 Рік тому +5

    Mwanza ulikuwa wap unajipotezea mda bure na kujishushia heshima Leo ona unavo kula madili kila wakat harafu watu ambao akil zao mbovu et diamond ana nyonya watu hv hata ninyi si mnajionea wap alikuwa h baba na now

  • @thomasmartinez786
    @thomasmartinez786 Рік тому +1

    😃😃😃😃🔩ila watu wanashida mtaani sio poa jamaa kachemka anaomba mpaka kodi ya nyumba😃😃🙌

  • @nuraynmakoya803
    @nuraynmakoya803 Рік тому +4

    Baba wa tishet bluu mbavu zangu 😂🤣🤣🤣😅😅😅😅😅😅

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 Рік тому

      Hana lolote h.baba sasaivi alivyo ata sigida ana ila wasafi mashetani kweli🤣🤣🤣

    • @ashamohamed1461
      @ashamohamed1461 Рік тому +1

      6

  • @owenjuniorkravecki7874
    @owenjuniorkravecki7874 Рік тому +14

    From New Zealand 🇳🇿, i am still learnig Swahili

  • @mjungatv8172
    @mjungatv8172 Рік тому +3

    Jamaa wakwanza kanifurahisha Sanaa😂😂😂🔥🔥🔥🙌

  • @jumaseleman5525
    @jumaseleman5525 Рік тому +24

    Cc binadamu tupo wanafki Sana,dogo kamponda H baba kumwona fesi tu fesi kakana duu,nimejifunza kitu

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 Рік тому +1

      Ujumbe umemfikia ;ulitaka kijana akaze,kwani haogopi vitasa?

    • @happyhousekeeper
      @happyhousekeeper Рік тому

      @@ramadhanilukambuzi9760 😀😀😀😀😀 mambo Kaka, Naomba support yako kwenye channel yangu jina
      Hello Happy Tz
      Asante sana 😂😂

  • @lissabihemo3429
    @lissabihemo3429 Рік тому +4

    😅😅 acheni kuzingua watu aisee😂😂😂

  • @shameemrashid5219
    @shameemrashid5219 Рік тому +4

    Huyu jamaa nyekundu haridhiki

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 Рік тому +3

    Jamaaa wa red ana mizinga sana

  • @officialAlAbdul
    @officialAlAbdul Рік тому +9

    Uzuri h baba anazingatia code anavyaa kinachompendeza

  • @mariyamsalalah8204
    @mariyamsalalah8204 Рік тому +6

    😂😂😂😂😂😂😂🏃🏃🏃🏃🏃🏃huyu jamaaa wa pili 😂😂😂😂😂😂

  • @japhetlust5050
    @japhetlust5050 Рік тому +6

    Diamond 🤣🤣🤣 uluzipateje😄😄 wekamche

  • @makokoaizack2531
    @makokoaizack2531 Рік тому +1

    Da jmn h baba kumbe bado kioaji Cha uigizaji hakija potea tangu kpnd Cha jully tax yaaan nme checka Sana kwa comedy zenu pia scene mlvyo z wena utazan zme pangwa kumbe n mmekutana nazo huko huko mtaandaa big up more town sanya watu wanna h baba toka Rock City mail kirumba tuna kusoma Sana pande hizi

  • @alicechambaladainty6851
    @alicechambaladainty6851 Рік тому +6

    Uyo baba 🙌 hana familia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dr.eliasm.chrisant4110
    @dr.eliasm.chrisant4110 Рік тому +3

    Nilichojifunza H Baba watu wengi hawamjui vizuri pamoja na mziki wake…. Japo anajina kubwa.

  • @giftpamelagiftpamela4494
    @giftpamelagiftpamela4494 Рік тому +8

    Pinda mgongo🤣🤣🤣🤣🏃🏃

  • @SamirBSam
    @SamirBSam Рік тому +1

    Mzee amjuwi H baba wala Diamond

  • @SHEDRACKKABOZA
    @SHEDRACKKABOZA Місяць тому

    Mwenye Nyekundu ana Tamaa sanaa

  • @patisondidas6720
    @patisondidas6720 Рік тому +6

    Oya chibu😂😂😂😂😂 dah

  • @nebartmuyagala9545
    @nebartmuyagala9545 Рік тому +4

    Allo nimecheka sanaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Рік тому +2

    HAHAHAHA Uyu magazijuto mwenejina la hesabu aliyogundua pesa sikitoto aisee

  • @AhmedSalah-wm6tq
    @AhmedSalah-wm6tq Рік тому +2

    Daah jamaa kakuta nuksi sana hakuna mcheele

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Рік тому +6

    🤣🤣🤣🤣🤣 nilichojifunza kupitia hiki kipindi usimchukie mtu ambae hajawahi kukosea

  • @umalqasimalhamhami6707
    @umalqasimalhamhami6707 Рік тому +9

    H baba Mm nakupenda saaaaaana ❤❤❤❤❤❤❤

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Рік тому

    H baba yupo vizuri sana bg up kwenu

  • @edinamogela384
    @edinamogela384 Рік тому

    KIPINDI KIMEENDA POA NA MISAADA NDANI, SAFI WASAFI NA H BABA PIA.

  • @praxedaandrewkato7472
    @praxedaandrewkato7472 Рік тому +9

    Buying food for him and still carrying h. Baba diamond 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @lazalonzo4607
      @lazalonzo4607 Рік тому +1

      Still carrying or calling smh 🤦‍♂️