Azam TV - PROF. HAMO alivyovunja mbavu za watanzania katika mkesha wa mwaka mpya Mlimani City
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- Wasakatonge New Year’s Eve Comedy Gala ni tamasha kubwa la kimataifa la Comedy lililofanyika katika katika ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam usiku wa mwaka mpya (31/12/2017).
Baadhi ya wasanii waliotikisa jukwaa hilo ni pamoja na Dogo Pepe, MC Pilipili, Kokoro kutoka Mombasa, Prof. Hamo kutoka Nairobi, Basket Mouth kutoka Nigeria pamoja na wasanii saba chipukizi waliopatikana kupitia usaili uliofanywa na Azam TV
Professor Hamo you are so talented one, tatizo ni lugha tu kwa audience ya bongo otherwise ungekuwa kwa Churchill Show watu wangevunjika mbavu
Hamo! Profesa hamo! Hamo profesa hamo! Nakuelewa sana professor.. I really appreciate you..
hamoo (PROFESSOR HAMO)mi huwa cmaliozagi ck2 bila kuangalia clip zake uyu jamaa namuelewa sana
Best Comedian in EA
The Best Comedian in East Africa
Huyu jamaa namkubali sana......... One of the best stand-up comedians so far East Africa now. Ukiweka na Pastor Kuria hapo, umemaliza
Nzuri Sana Prof. Hamo, karibu Tena.. Audience tofauti, changamoto mpya
Pamoja kamanda umefanya siku iwe nzuri kwangu,
Hamo you are a great comedian. ..big up bro
pro amo ni zaid ya talent
I like you Prof aisee be Blessed and keep it up
I understand that man now very talented Kenyan
prof Hamo anaongoza est africa
Love for +254 please,ndio maana tunasema Kenya ni kama New York WA Tz hamtatuelewa sahi.
Hahaha haki wabongo professa amejaribu kiswaili yake yote😂😂😂
Jackie Renson True
New York Kenya kwa macho yako lakini
SNA-TV Kenya .... kwenda na ujinga wako.... kama ni Newyork vp kuappriciate most of our things...u always struggle kuwa kama cc
halafu nyie watu .. hamnaga lolote.... kwendraaaaaa
SNA-TV Kenya ... Though tunatambua hawa wametuaibisha
uko deep prof had hawakuelewi
in your book kulikua na george carlin
Hii show hamo usingekuwepo ingekua nisingekesha nafuatilia maana wabongo kuchekesha bado aisee
Kenyan has the best
Aibu wooooiii!!! Tz tumezubaa tunashangaashangaa mno
work on your sound pliz
Better here than in radio
Prof. Harmo ni mkali zaidi ya hapo, Watz bado tupo nyuma sana aisee. English tatizo, hata understanding tu ya mambo ipo chini sana. Audience wanaonekana kabisa hawacatch sawasawa kile Prof anaongea!!!!
tokea mwanzo kaongea kiingereza wewe? au unataka usifiwe nawe umetoa comment
@@hezronaroko6076 kiswahili cha kenya km hujawahi kukutana nayo si rahisi kuelewa....ndo kinachoshusha vybe apo
Upo chini ww kwa mawazo mabovu
Prof harmo nomaaa
you glamoured the show
HAHAHAHAAHAHAH professa harmo you killed it kama kawaida yako...watz wenzangu kama hujawahi panda ndege hiyo joke ya ndege huwezi shikana nayo..sikiza nyingine
Wakenya bana vilaza mpk coment znaonesha
sure
Prof hammo apriciatte u
Nashangaa wakenya waliokomenti hapa wanasema watz hawaelew kingereza wakat Prof, Hamo hapo kaongea Kiswahili mwanzo mwisho hv wakenya mna shida na watz ??
Tutachoma watz
Kama kingereza cha kenya kinawashinda wa Tz ni aibu sana...prof Harmo ni zaid ya mchekeshaji
hey buda, remember its not our lg, we were raised in kiswazi unlike u.
Then ivi nyinyi wakenya kweli mbele ya wazungumzaji wa kingereza na nyinyi mnaweza mkajitokeza? nibora tu mkanyamaza ili msitirike. yaani mimi hata sku moja siwezi kumfanya eti mkenya ndo awe Role model wangu kwenye katika Kingereza
We are passive aggressive people who don't understand humor.
@@mussahussein3583 ach kuwa hivyo wakenya wanajaribu actually they are mong the best in Africa pengine uko na chuki nawo
Hamo mtoto wetu huyu ameweza sana. I say wengi naona hakuwa wanaelewa jokes zingine . lakini alijaribu sana kutochanganya lugha asije akapoteza wasee sana.
Penda sna prof hamo
Sound was mafuriko but the jokes was spectacular
kabsa Hamo nomaaaaaa,ila watanzania wamepooza kinoma
Nakukubali sana Prof. Hamo
The guy z funny
Bongo jibangeni sana kama ndio hivi tutasubiri sana hata sauti haisikiki jamani ni aibu.
aisee hii aibu azam hapa wamezingua sana
King /Suka vyombo local sana
King /Suka nikiboko sana 👏👏
aaah so disappointed in you kenyans who tald u knwing english language means ur very educated ??english is just a language like other language u knw after all learn to value ur own things we r Tanzanian we value our language so much and to us swahili is the best of all languages
Hicho kiswahili hakisaidii kabisa
Kiingereza muhimu pia
Tatizo sio kiingereza Tz jamaa mbona wa2 wamecheka ama mlitaka hadi wanye...na mbona Yule kutoka Nigeria ngel mwanzo mwisho wa2 wameenda nae sawa...achen hizo
watanzania hamuelewi maneno
Kabisa😂😂
Haha, wallahi tough crowd!
mm ni mpenzi sana wa Churchill. .wenzetu wapo mbali sana.kule pia jamaa shule ipo
nc hamo nakuelewe waga xn
nice one
Comedy ni ngumu kwa mchekeshaji na mchekeshwaji! Ndio maana Jogoo wa shamba hawiki mjini, sio kwa ubaya!
Prof Hamo
Airplane story borrowed from george carlin
Azam improve story na sauti
Nyinyi mnaolalamika sauti, badilisheni Tecno Y3 zenu izo😂
Huyu baba mcheshi sana!
Aaaaaaih wa tz wako chini mpaka mitambo yao iko chini tena kiingereza n shida aaaaah beta angekua apa kenya
Frank Gichia kingereza lugha yako
acha ufala, kwani was he talking in English? don't undermine us.
Wakenya wana shida sana
Haha kwa nini huyo dem amesongeza kitambaa juu
watazamaji wanachangamka ila hawasikiki kwa sababu ya mitambo lakini prof anaeleweka tu na yupo vizuri
Saad Farahani Hamo yupo vzr Ila ningependa angekuja MCA TRICKY
😂😂 duh ilikua noma sana
Sautii
utaona watu hapo hawamwelewi jamaa ila jamaa show zao nyingi ni hatari..hata walioandaa show hawajabalance....Churchill show ni most creative market kwa comedian..ni house of talent ya comedins..wameona muziki hawawezi ila comedian wamekamatia..check mtu kama prof harm.zedii,njoro, na wwngine wengi
manina sound ya kisenge
tatizo apa ilikua lugha...ila prof..you killed it...!!!
Mercy Zephania nicheki pliz +97477053859
English is aproblem in tanzania
ameteta kiingereza????
Zenah Kagai +97477053859 pliz nicheki whatsap
This man is very funny
Yes it is, kama vle pussy ako inavonuka ilvyo problem in your house😂😂😂😂😂
Huyoo jamaa ni nooma sanaaaaa sema wa tz bado cna ili umuelewe lazma uwe makin nae sanaa tena utumie akili nyingi
Language barrrier. That audience missed a lot of the humor. The guy is witty.
hahahahaha hio ngwang ngwang 😄😄😄😄😄
hamo hao watz hawaelewi kaa rada hawajaelewa
hapa watz walienda kutoa mimacho tu
Emmanuel John. Kumbe ulitaka tuende kufanya nini pale wee mjinga? kweli wee unaonekana mshamba ulopitiliza.
Omg My Tanzanian brothers and sisters you need to pull up honestly,you guys just look soo slow and lost with your understanding capacity plus language barrier oops shida,!!!!
nyie watu shida sana, hv hapo ako anaongea kiingereza? au unataka kiki tu
Then nyinyi wakenya mnaonekana hamna lugha yeyote, kwasababu kiengereza hamjui na kiswahili kinawashinda pia.
We unashida kwenye ndoa yako
This people don’t understand jokes wah
Hahaha eti kama huna takwimu
nihatar
Tatizo watanzania ni vilanza hawaelewi kingereza so mm naona prof:Hamoo analost tu time yake huko
Charlow noma sana Mathew acha unanga ww kwan kngereza ni hela
hamo ukienda pale Dar tena.. kiswahili kitukuzwe. You have to meet your audience halfway
we know more than u think
from the begining ameongea kiingereza acha ufala
Charlow noma sana Mathew mmmmh wa Kenya bwana toka mshindwe kuwa na akili mpaka leo hamtaki kuwa nazo mbona mnaongea upuuuzi
Haha hamo
Tz tuko na problems ya vifaa au LA sivyo waratibu wako na shida.
Language barrier.....
he talked in English or Kiswazi. au unafaindi tu kiki. acheni ubwege wenu
English tangu lini ikachekesha. Ndio mana Mr.Been anausugua tu bora mara mia. Lete kiswaz tukanyage kama fataki mazee.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😍🤣
Boring audience 👎
Watanzania jamani gai that kasimple english n blunder huh
😂😂😂😂
Watanzania bana!!!!!!.. Hamoo.....hao watu hawaelewi na kingereza.... Boring
people are hanging THERE...too bad for them LOL!
boring audience
Hamo is tough
Wa TZ ni wagumu kuchekeshwa sana.. Kai 🤔🤔
Hawa mafala hakuna kitu wanaelewa
bwege ww
Whatever that means
let it be as the way u think, was he talking in English? kwani.
nan fala mbwa ww
Watanzania sio wajinga atuwezi kuchekacha ovyo Kama wakenya
Si koza lako tunawaelewa