Azam TV - PROF. HAMO alivyovunja mbavu za watanzania katika mkesha wa mwaka mpya Mlimani City

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024
  • Wasakatonge New Year’s Eve Comedy Gala ni tamasha kubwa la kimataifa la Comedy lililofanyika katika katika ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam usiku wa mwaka mpya (31/12/2017).
    Baadhi ya wasanii waliotikisa jukwaa hilo ni pamoja na Dogo Pepe, MC Pilipili, Kokoro kutoka Mombasa, Prof. Hamo kutoka Nairobi, Basket Mouth kutoka Nigeria pamoja na wasanii saba chipukizi waliopatikana kupitia usaili uliofanywa na Azam TV

КОМЕНТАРІ • 131

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 6 років тому +10

    Professor Hamo you are so talented one, tatizo ni lugha tu kwa audience ya bongo otherwise ungekuwa kwa Churchill Show watu wangevunjika mbavu

  • @mcmnyalu3123
    @mcmnyalu3123 6 років тому +10

    Hamo! Profesa hamo! Hamo profesa hamo! Nakuelewa sana professor.. I really appreciate you..

  • @ahmedmsangi1653
    @ahmedmsangi1653 6 років тому +4

    hamoo (PROFESSOR HAMO)mi huwa cmaliozagi ck2 bila kuangalia clip zake uyu jamaa namuelewa sana

  • @7thestate777
    @7thestate777 6 років тому +5

    Best Comedian in EA

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 6 років тому +2

    The Best Comedian in East Africa

  • @josephgwandu7085
    @josephgwandu7085 6 років тому

    Huyu jamaa namkubali sana......... One of the best stand-up comedians so far East Africa now. Ukiweka na Pastor Kuria hapo, umemaliza

  • @marwawilliam3648
    @marwawilliam3648 5 років тому

    Nzuri Sana Prof. Hamo, karibu Tena.. Audience tofauti, changamoto mpya

  • @daudishabani9023
    @daudishabani9023 6 років тому +1

    Pamoja kamanda umefanya siku iwe nzuri kwangu,

  • @achienglilian6395
    @achienglilian6395 6 років тому +1

    Hamo you are a great comedian. ..big up bro

  • @auleliamhagama6565
    @auleliamhagama6565 6 років тому +2

    pro amo ni zaid ya talent

  • @isacklwechungura6067
    @isacklwechungura6067 6 років тому +1

    I like you Prof aisee be Blessed and keep it up

    • @fredchaki9591
      @fredchaki9591 4 роки тому

      I understand that man now very talented Kenyan

  • @piusmapondo857
    @piusmapondo857 6 років тому +3

    prof Hamo anaongoza est africa

  • @sospeter2919
    @sospeter2919 6 років тому +18

    Love for +254 please,ndio maana tunasema Kenya ni kama New York WA Tz hamtatuelewa sahi.

    • @jahkeyrenson4400
      @jahkeyrenson4400 6 років тому +1

      Hahaha haki wabongo professa amejaribu kiswaili yake yote😂😂😂

    • @sospeter2919
      @sospeter2919 6 років тому +1

      Jackie Renson True

    • @onlinemateustv1925
      @onlinemateustv1925 6 років тому

      New York Kenya kwa macho yako lakini

    • @movierecapsswahili1042
      @movierecapsswahili1042 6 років тому

      SNA-TV Kenya .... kwenda na ujinga wako.... kama ni Newyork vp kuappriciate most of our things...u always struggle kuwa kama cc
      halafu nyie watu .. hamnaga lolote.... kwendraaaaaa

    • @movierecapsswahili1042
      @movierecapsswahili1042 6 років тому

      SNA-TV Kenya ... Though tunatambua hawa wametuaibisha

  • @samsonkusupa8115
    @samsonkusupa8115 6 років тому +4

    uko deep prof had hawakuelewi

  • @allanshiflle5911
    @allanshiflle5911 6 років тому +6

    in your book kulikua na george carlin

  • @agerpityswai1555
    @agerpityswai1555 6 років тому +6

    Hii show hamo usingekuwepo ingekua nisingekesha nafuatilia maana wabongo kuchekesha bado aisee

  • @sidekideo2567
    @sidekideo2567 6 років тому +1

    Kenyan has the best

  • @rodasengo7771
    @rodasengo7771 5 років тому +1

    Aibu wooooiii!!! Tz tumezubaa tunashangaashangaa mno

  • @kellybaraka7644
    @kellybaraka7644 6 років тому +5

    work on your sound pliz

  • @sallysarch9441
    @sallysarch9441 5 років тому

    Better here than in radio

  • @ericstephenm.844
    @ericstephenm.844 6 років тому +28

    Prof. Harmo ni mkali zaidi ya hapo, Watz bado tupo nyuma sana aisee. English tatizo, hata understanding tu ya mambo ipo chini sana. Audience wanaonekana kabisa hawacatch sawasawa kile Prof anaongea!!!!

    • @hezronaroko6076
      @hezronaroko6076 6 років тому

      tokea mwanzo kaongea kiingereza wewe? au unataka usifiwe nawe umetoa comment

    • @brightonsamuel3577
      @brightonsamuel3577 5 років тому

      @@hezronaroko6076 kiswahili cha kenya km hujawahi kukutana nayo si rahisi kuelewa....ndo kinachoshusha vybe apo

    • @alfredlimu308
      @alfredlimu308 5 років тому

      Upo chini ww kwa mawazo mabovu

  • @shabibujabiri9905
    @shabibujabiri9905 6 років тому +1

    Prof harmo nomaaa

  • @erickossen6378
    @erickossen6378 6 років тому

    you glamoured the show

  • @eliuthamangula1791
    @eliuthamangula1791 6 років тому +6

    HAHAHAHAAHAHAH professa harmo you killed it kama kawaida yako...watz wenzangu kama hujawahi panda ndege hiyo joke ya ndege huwezi shikana nayo..sikiza nyingine

  • @heriaminiel7153
    @heriaminiel7153 6 років тому +5

    Wakenya bana vilaza mpk coment znaonesha

  • @rosesalukan4207
    @rosesalukan4207 6 років тому

    Prof hammo apriciatte u

  • @ntanilanjema04
    @ntanilanjema04 6 років тому +3

    Nashangaa wakenya waliokomenti hapa wanasema watz hawaelew kingereza wakat Prof, Hamo hapo kaongea Kiswahili mwanzo mwisho hv wakenya mna shida na watz ??

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu8812 6 років тому +19

    Kama kingereza cha kenya kinawashinda wa Tz ni aibu sana...prof Harmo ni zaid ya mchekeshaji

    • @hezronaroko6076
      @hezronaroko6076 6 років тому +1

      hey buda, remember its not our lg, we were raised in kiswazi unlike u.

    • @mussahussein3583
      @mussahussein3583 6 років тому

      Then ivi nyinyi wakenya kweli mbele ya wazungumzaji wa kingereza na nyinyi mnaweza mkajitokeza? nibora tu mkanyamaza ili msitirike. yaani mimi hata sku moja siwezi kumfanya eti mkenya ndo awe Role model wangu kwenye katika Kingereza

    • @allankashoro2077
      @allankashoro2077 5 років тому

      We are passive aggressive people who don't understand humor.

    • @iganzeharera4804
      @iganzeharera4804 5 років тому

      @@mussahussein3583 ach kuwa hivyo wakenya wanajaribu actually they are mong the best in Africa pengine uko na chuki nawo

  • @DreamyRelaxationAmbiance
    @DreamyRelaxationAmbiance 6 років тому +1

    Hamo mtoto wetu huyu ameweza sana. I say wengi naona hakuwa wanaelewa jokes zingine . lakini alijaribu sana kutochanganya lugha asije akapoteza wasee sana.

  • @neziali6992
    @neziali6992 6 років тому

    Penda sna prof hamo

  • @abdulrazack.a.shemmelarshe228
    @abdulrazack.a.shemmelarshe228 5 років тому

    Sound was mafuriko but the jokes was spectacular

  • @mngongotv3810
    @mngongotv3810 6 років тому

    kabsa Hamo nomaaaaaa,ila watanzania wamepooza kinoma

  • @johnmhina4822
    @johnmhina4822 6 років тому

    Nakukubali sana Prof. Hamo

  • @raymullah
    @raymullah 6 років тому +2

    The guy z funny

  • @Mwalimu_seleman
    @Mwalimu_seleman 6 років тому +18

    Bongo jibangeni sana kama ndio hivi tutasubiri sana hata sauti haisikiki jamani ni aibu.

  • @nurulight2074
    @nurulight2074 5 років тому +2

    aaah so disappointed in you kenyans who tald u knwing english language means ur very educated ??english is just a language like other language u knw after all learn to value ur own things we r Tanzanian we value our language so much and to us swahili is the best of all languages

    • @johnmaza8721
      @johnmaza8721 5 років тому

      Hicho kiswahili hakisaidii kabisa

    • @momboi2
      @momboi2 4 роки тому

      Kiingereza muhimu pia

  • @fainnamvungi4364
    @fainnamvungi4364 5 років тому +1

    Tatizo sio kiingereza Tz jamaa mbona wa2 wamecheka ama mlitaka hadi wanye...na mbona Yule kutoka Nigeria ngel mwanzo mwisho wa2 wameenda nae sawa...achen hizo

  • @bensonwanjohi7111
    @bensonwanjohi7111 6 років тому +2

    watanzania hamuelewi maneno

  • @Suswaleh
    @Suswaleh 6 років тому +1

    Haha, wallahi tough crowd!

  • @kitoijeremia5794
    @kitoijeremia5794 6 років тому +1

    mm ni mpenzi sana wa Churchill. .wenzetu wapo mbali sana.kule pia jamaa shule ipo

  • @barakaelijosephat6655
    @barakaelijosephat6655 6 років тому

    nc hamo nakuelewe waga xn

  • @makoriithomas
    @makoriithomas 6 років тому

    nice one

  • @sovellohp
    @sovellohp 6 років тому +3

    Comedy ni ngumu kwa mchekeshaji na mchekeshwaji! Ndio maana Jogoo wa shamba hawiki mjini, sio kwa ubaya!

  • @abdallahmchange1370
    @abdallahmchange1370 6 років тому

    Prof Hamo

  • @duaneorwasa9593
    @duaneorwasa9593 Рік тому

    Airplane story borrowed from george carlin

  • @jemutaijoy5700
    @jemutaijoy5700 6 років тому

    Azam improve story na sauti

  • @dhunnunkatchem9019
    @dhunnunkatchem9019 5 років тому

    Nyinyi mnaolalamika sauti, badilisheni Tecno Y3 zenu izo😂

  • @blessedher
    @blessedher 6 років тому +1

    Huyu baba mcheshi sana!

  • @frankgichia7685
    @frankgichia7685 6 років тому +1

    Aaaaaaih wa tz wako chini mpaka mitambo yao iko chini tena kiingereza n shida aaaaah beta angekua apa kenya

  • @janetkerubo6469
    @janetkerubo6469 6 років тому +2

    Haha kwa nini huyo dem amesongeza kitambaa juu

  • @saadtz657
    @saadtz657 6 років тому

    watazamaji wanachangamka ila hawasikiki kwa sababu ya mitambo lakini prof anaeleweka tu na yupo vizuri

    • @rwamborwambo1019
      @rwamborwambo1019 6 років тому

      Saad Farahani Hamo yupo vzr Ila ningependa angekuja MCA TRICKY

  • @sultanafashion1190
    @sultanafashion1190 6 років тому

    😂😂 duh ilikua noma sana

  • @ogangakhadudu
    @ogangakhadudu 6 років тому

    Sautii

  • @kitoijeremia5794
    @kitoijeremia5794 6 років тому

    utaona watu hapo hawamwelewi jamaa ila jamaa show zao nyingi ni hatari..hata walioandaa show hawajabalance....Churchill show ni most creative market kwa comedian..ni house of talent ya comedins..wameona muziki hawawezi ila comedian wamekamatia..check mtu kama prof harm.zedii,njoro, na wwngine wengi

  • @emjay1016
    @emjay1016 6 років тому

    manina sound ya kisenge

  • @mercyzephania5507
    @mercyzephania5507 6 років тому

    tatizo apa ilikua lugha...ila prof..you killed it...!!!

    • @abuuiddi9110
      @abuuiddi9110 5 років тому

      Mercy Zephania nicheki pliz +97477053859

  • @zenahhussein9318
    @zenahhussein9318 6 років тому +5

    English is aproblem in tanzania

    • @hezronaroko6076
      @hezronaroko6076 6 років тому

      ameteta kiingereza????

    • @abuuiddi9110
      @abuuiddi9110 6 років тому

      Zenah Kagai +97477053859 pliz nicheki whatsap

    • @joramnjihia2928
      @joramnjihia2928 6 років тому

      This man is very funny

    • @timezonlinemedia2665
      @timezonlinemedia2665 5 років тому

      Yes it is, kama vle pussy ako inavonuka ilvyo problem in your house😂😂😂😂😂

  • @mpajiramadhan3507
    @mpajiramadhan3507 6 років тому +4

    Huyoo jamaa ni nooma sanaaaaa sema wa tz bado cna ili umuelewe lazma uwe makin nae sanaa tena utumie akili nyingi

  • @okulld
    @okulld 5 років тому +2

    Language barrrier. That audience missed a lot of the humor. The guy is witty.

  • @suewakuria2910
    @suewakuria2910 6 років тому

    hahahahaha hio ngwang ngwang 😄😄😄😄😄

  • @mnatishaggyshaggy9762
    @mnatishaggyshaggy9762 6 років тому

    hamo hao watz hawaelewi kaa rada hawajaelewa

  • @emmanueljohn5162
    @emmanueljohn5162 6 років тому +2

    hapa watz walienda kutoa mimacho tu

    • @mussahussein3583
      @mussahussein3583 6 років тому +1

      Emmanuel John. Kumbe ulitaka tuende kufanya nini pale wee mjinga? kweli wee unaonekana mshamba ulopitiliza.

  • @rachellerachealrakela5938
    @rachellerachealrakela5938 6 років тому +8

    Omg My Tanzanian brothers and sisters you need to pull up honestly,you guys just look soo slow and lost with your understanding capacity plus language barrier oops shida,!!!!

    • @hezronaroko6076
      @hezronaroko6076 6 років тому

      nyie watu shida sana, hv hapo ako anaongea kiingereza? au unataka kiki tu

    • @mussahussein3583
      @mussahussein3583 6 років тому

      Then nyinyi wakenya mnaonekana hamna lugha yeyote, kwasababu kiengereza hamjui na kiswahili kinawashinda pia.

    • @alleytz1059
      @alleytz1059 4 роки тому

      We unashida kwenye ndoa yako

  • @hankabeEhub
    @hankabeEhub 2 роки тому

    This people don’t understand jokes wah

  • @khamisiiddi9321
    @khamisiiddi9321 5 років тому

    Hahaha eti kama huna takwimu

  • @asafu_tz8960
    @asafu_tz8960 6 років тому

    nihatar

  • @charlownomasanamathew5682
    @charlownomasanamathew5682 6 років тому +7

    Tatizo watanzania ni vilanza hawaelewi kingereza so mm naona prof:Hamoo analost tu time yake huko

    • @heriaminiel7153
      @heriaminiel7153 6 років тому +1

      Charlow noma sana Mathew acha unanga ww kwan kngereza ni hela

    • @Alex-ls4hh
      @Alex-ls4hh 6 років тому

      hamo ukienda pale Dar tena.. kiswahili kitukuzwe. You have to meet your audience halfway

    • @hezronaroko6076
      @hezronaroko6076 6 років тому

      we know more than u think

    • @hezronaroko6076
      @hezronaroko6076 6 років тому

      from the begining ameongea kiingereza acha ufala

    • @onlinemateustv1925
      @onlinemateustv1925 6 років тому +1

      Charlow noma sana Mathew mmmmh wa Kenya bwana toka mshindwe kuwa na akili mpaka leo hamtaki kuwa nazo mbona mnaongea upuuuzi

  • @janetkerubo6469
    @janetkerubo6469 6 років тому

    Haha hamo

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 6 років тому +1

    Tz tuko na problems ya vifaa au LA sivyo waratibu wako na shida.

  • @fredrickonchoka7152
    @fredrickonchoka7152 6 років тому

    Language barrier.....

    • @hezronaroko6076
      @hezronaroko6076 6 років тому

      he talked in English or Kiswazi. au unafaindi tu kiki. acheni ubwege wenu

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 6 років тому

    English tangu lini ikachekesha. Ndio mana Mr.Been anausugua tu bora mara mia. Lete kiswaz tukanyage kama fataki mazee.

  • @amirmenza4241
    @amirmenza4241 2 роки тому

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣😍🤣

  • @marygithua
    @marygithua 5 років тому +1

    Boring audience 👎

  • @joakimbrivasitati8911
    @joakimbrivasitati8911 5 років тому

    Watanzania jamani gai that kasimple english n blunder huh

  • @julianaconradi853
    @julianaconradi853 6 років тому +1

    😂😂😂😂

  • @josphatwaqtmgenge8102
    @josphatwaqtmgenge8102 6 років тому

    Watanzania bana!!!!!!.. Hamoo.....hao watu hawaelewi na kingereza.... Boring

  • @evansandrew8778
    @evansandrew8778 6 років тому

    people are hanging THERE...too bad for them LOL!

  • @tomchania5262
    @tomchania5262 5 років тому

    boring audience
    Hamo is tough

  • @mosesetsabo4718
    @mosesetsabo4718 5 років тому

    Wa TZ ni wagumu kuchekeshwa sana.. Kai 🤔🤔

  • @megmimi3410
    @megmimi3410 6 років тому

    Hawa mafala hakuna kitu wanaelewa

  • @luganojacob
    @luganojacob 5 років тому

    Watanzania sio wajinga atuwezi kuchekacha ovyo Kama wakenya