Azam TV - MR. MASUMBUKO: Kipaji kipya cha comedy kilivyoleta shida Mlimani City
Вставка
- Опубліковано 17 вер 2024
- Wasakatonge New Year’s Eve Comedy Gala ni tamasha kubwa la kimataifa la Comedy lililofanyika katika katika ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam usiku wa mwaka mpya (31/12/2017).
Baadhi ya wasanii waliotikisa jukwaa hilo ni pamoja na Dogo Pepe, MC Pilipili, Kokoro kutoka Mombasa, Prof. Hamo kutoka Nairobi, Basket Mouth kutoka Nigeria pamoja na wasanii saba chipukizi waliopatikana kupitia usaili uliofanywa na Azam TV.
Mr. Masumbuko ni mmoja kati ya vipaji vipya vya uchekeshaj vilivyopatikana kwenye usaili huo
Couldn't understand your language but you are taking names of Indian actors . 😀 what a fun you are doing??? Amazing acting 👍👏👏
He speak Swahili language
Bwkila
Ndo napenda hivi Stand up comedians Wawe wengi bongo.. Sio MC pili pili Tu.. Young talenteds are needed in this stand up comedy industry
Well said bro.. Mc pilipili yy kla day staili ya Kenosha gar
So talented Brooo kama unamkuli like kwake
Hatarii broo salut
nkupendaaaaaa mnoo kakng yaan unawezaaaaaaa kakng
Masumbuko we need to see more of you! yaani ulipopanda jukwani u looked so innocent..yaani umeniacha hoi
Most talented boy big up
Uko fresh brother
Bro umetishaa
big up sanaaaaaaaa👏👏👏👏👏🙌🙌🙌🙌
tisha san masumbuko👍👍👍👍👍👍👍
Masumbuko we hodari acha kabisa
guuudd
Huyu ni star
noma sanaaaa
jamaa anajua sanaa
Haha vizuri sana
Hatari sana yani
big up sana my brother umetisha sana
Tisha xna bro
Sarut sana mzee unajua
Huyu jamaa hata Churchill show anaweza perfom
Safi sana
Luv u broo
bro upo vzur....unawakilisha vema (Senijr).
Qazi nzuri Jombaaa
we fundi mzeeee
Waoh gud comedian
Kipaji kwelii
We hodari kaka
Uko vzrr
Nice sichok kuitazama
umenkonga aseee
Long life 2 u bro
mAsumbuko nomaaa
We jamaa ni shigdaaaa!
Aiseee hi imetulia🤣🤣🤣
Jmn we Nomar
😁we mkaka ahaaa hapana kwakwer umejua kunichekesha
ni shida aise
Huyu Masumbuko hajijui kama anajua sana
apo kwny sengeli ya davido
hahaaa
Jamaa limemaliza show mimi bado nacheka
sanaaaaaa
😁😂😀😀 hahahaa w mwanangu akili huna 😁😁😁😁
nc
Bro wenimukali.....
Nimrkukubali jaamaaa xhda
Masumbuko joji kaka yako hapa geita fanya tuwasiliane
Haya bhn classmate huwa nakuelewa mno....
Nimempenda bure huyu masumbuko
duh.Hiki kweli ni kipaji si mchezo
Jamali nimecheka😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
jamaa kaua
Haaahaaaa jaman
😀😀😀😀😀😀mbavu zangu
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Duuh hatari kweli umesumbua
We jamaa umepotelea wapi, pls usipoteze kipaji chako
Nipo mzee utaniona very soon!
@@husseinmilambo7077 Rudi husseina ( masumbuko) wewe unajua kuchekesha)
hahahahahaha
😂😂😂
Da kk nouma
huyu jamaa ni nouma
hahahah mbavuzangu
😂😂😂😂😂😂😂😂