#MDAHALO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 173

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr
    @0badiaMwasongwe-rt1wr 17 днів тому +1

    Mwalimu Daniel nakuelewa sanaa sanaaa MUNGU akubariki. Ndacha namkubalii akiwa anawapa somo waislamu na vitabu vyao huko hana mpinzani

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 16 днів тому +1

    Moderator ako na upande wa Ndacha pia, kwa mtazamo wangu wa haraka.

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 15 днів тому +1

    Mmh Ndacha kusema Papa ni mwenyikiti wa Umoja wa mataifa huo ni uongo live duuh!

    • @JosephErasto-yp6mh
      @JosephErasto-yp6mh 14 днів тому

      @@nicodemuswidambe5132 Tuambie wewe kuna uongozi unaweza kuanza na Katibu mkuu bila mwenyekiti? Kazi ya katibu inaweza kukamilika bila mwenyekiti?

  • @peterkailibi1278
    @peterkailibi1278 18 днів тому +2

    Barikiwa mtumishi

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA 16 днів тому

    Asante Daniel Una elimu ya Hali ya juu,mwenye akili atakuelewa na anataka kuelewa ataelewa ila mwenye shingo ngumu hataelews

    • @Karagwe
      @Karagwe 16 днів тому

      @@DAVIDMAGHANGA unamsifia bule elimu yake Haina faida kama anafundisha matakwa ya wanadamu na si Mungu

  • @MichaelNtambala-g2r
    @MichaelNtambala-g2r 18 днів тому +6

    Daniel wee kiboko unatoa vitu vizito huyo jamaa bado anababaisha nimewasikiliza kwa makini ni kweli haelewi uchambuzi wako au?

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 16 днів тому

    Ndacha barikiwa Sana mtumishi Daniel ww ni shabiki tu

    • @nicodemuswidambe5132
      @nicodemuswidambe5132 14 днів тому

      @@japhetndoro6533 labda na wewe ni msabato lkn hapa ndacha kachemka!! Daniel kaonyesha kuelewa anachoongea. Tuache kushabikia kwavile we ni msabato.

  • @EmileClaver
    @EmileClaver 18 днів тому +3

    Ndacha nimegundua hujui kabisa

  • @triuneapologeticsevangelis5912
    @triuneapologeticsevangelis5912 18 днів тому +2

    Kuna maandiko mengi ndacha hawezi kuyaelezea vizuri....wakati mwingine nasikitika nikiona venye yeye ni mwalimu mzuri kwa waislamu lakini Biblia inamlemea sana😮

  • @EustaKimoshi
    @EustaKimoshi 18 днів тому +2

    Mwalimu Daniel unajua ukweli, zidi kutoa elimu

  • @alexapamo5901
    @alexapamo5901 14 днів тому +1

    Shida ya Daniel ni kwamba,hatoi elimu,KAZI ni kupinga chochote ambaye ndacha amefundisha.
    Jambo la pili na la maana ni kwamba, Danieli haelewi luga ya unabii... Danieli alitabiri vitu ambavyo vitatokea ulimweñguni.. Hapo kwa mnyama ndio Danieli haelewi kabisa.. 1:56:37

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  14 днів тому

      Unataka niukubali uongo kwamba Papa ndiye mnyama wakati tafsiri inayotolewa siyo ya kweli? Kuna siku yoyote nyinyi Wasabato mliwahi kutoa unabii na ukawa wa kweli? Ipo?

    • @zebrakacole5822
      @zebrakacole5822 11 днів тому

      wewe Mwankemwa nilazma ukamatwe

    • @zebrakacole5822
      @zebrakacole5822 11 днів тому

      @@BAYYINATDMTVutakamatwa wewe Mwankemwa, utiwe mbaroni kwaku potosha ukweli nakufundisha upapa , UTAKAMATWA!!

    • @paulmutuajustus5277
      @paulmutuajustus5277 День тому

      ​@@BAYYINATDMTVMathayo 11
      13 Kwa maana manabii wote na torati walitabiri mpaka wakati wa Yohana.

    • @paulmutuajustus5277
      @paulmutuajustus5277 День тому

      ​@@BAYYINATDMTVMathayo 11
      13 Kwa maana manabii wote na torati walitabiri mpaka wakati wa Yohana.

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 15 днів тому

    Mwenyekiti ndo mpagani wa kwanza.

  • @JosephErasto-yp6mh
    @JosephErasto-yp6mh 15 днів тому

    Mwakemwa anadanganya kuhusu Christmas kwani kwa mjibu wa Biblia Luka 1:26. Mimba ya Yesu inakaa tumboni miezi Tisa sasa je Yesu alizaliwa mwezi wa Ngapi?

    • @tirox-hm7rh
      @tirox-hm7rh 15 днів тому

      Ninaamini kwa kusema Mwakemwa amedanganya maana yake wewe unaujua ukweli. Tafadhali tusaidie Bwana Yesu alizaliwa lini?

    • @JosephErasto-yp6mh
      @JosephErasto-yp6mh 14 днів тому

      @tirox-hm7rh Rafiki Biblia inasema.
      Kumbukumbu la Torati 29:29
      [29]Mambo ya siri ni ya BWANA, Mungu wetu; lakini mambo yaliyofunuliwa ni yetu sisi na watoto wetu milele, ili tuyafanye maneno yote ya sheria hii.
      Sasa Rafiki elewa kiurahisi kwani ni Rahisi Sana kuelewa kuwa.
      Biblia haijataja mahali popote Tarehe halisi ya kuzaliwa kwa Yesu. BADALA yake imekaa kimya ila ni kwamatakwa ya Binadamu alitangaza sikukuu ya kusherehekea jua KUWA ya kuzaliwa kwa YESU ndio maana Christmas ilianza kusherehekewa karne ya 4, Je hapo kabla kwa nini hakukuwa na sikukuu ya Christmas?. Tena unapaswa kujua kuzaliwa kwa YESU Mbinguni malaika waliimba lakini Duniani iliambatana na machinjo makuu

    • @JosephErasto-yp6mh
      @JosephErasto-yp6mh 14 днів тому

      @tirox-hm7rh Nikuulize swali ikiwa Biblia katika Luka 1:26---- imedhibitisha kuwa mimba ya Yesu ilichukuliwa mwezi wa Sita basi lini miezi Tisa ilitimia? Au Yesu alizaliwa akiwa kabichi miezi 6?

  • @JosephErasto-yp6mh
    @JosephErasto-yp6mh 15 днів тому +1

    Mwakemwa anatoa tafasri za kikatoliki haswa lakini lini Alexander alitawala mda wa siku 1260? Ili huyu awe pembe ndogo ya danieli 7

  • @ndeniUrasa
    @ndeniUrasa 18 днів тому +3

    Ndacha sijawahi kukuona ukihubiri injili kazi yako kubwa ni midahalo na waislam sasa umerudi kwa wakristo je ndicho umeitiwa? Nakushauri achana na midahalo hubiri injili japo unaona uko sahihi shetani amekukamatia hapo. Yesu hakushindana alihubiri acha ujuaji usiozaa matunda

    • @LaughKey-f8x
      @LaughKey-f8x 18 днів тому

      Mbona Ndacha anahubiri Kila siku wee ndo hujui angalia mafundisho wakati alikua meru before apate accident

    • @YudaNtemi
      @YudaNtemi 16 днів тому

      Hawezi kuzaaaa matunda walishafeliiiiii

  • @venancemwakibete9763
    @venancemwakibete9763 18 днів тому +1

    Ndacha kwa elimu ya vitu hivyo huna elimu navyo ni mwingi ni mpotoshaji kabisa

  • @JosephErasto-yp6mh
    @JosephErasto-yp6mh 15 днів тому +1

    Mwakemwa anadanganya kwa kusema Papa sio mpinga Kristo badala yake pia ameshidwa kutoka mnyama ambae ni wa ufunuo 17.

    • @nicodemuswidambe5132
      @nicodemuswidambe5132 14 днів тому

      @@JosephErasto-yp6mh Kama wewe umedanganywa na wasabato wenzio labda, nyie ndo wapinga Kristo kwanini hamuweki msalaba si kanisani wala kanisani nyie hamjijui ndo wapinga kristo wa kwanza.

    • @JosephErasto-yp6mh
      @JosephErasto-yp6mh 14 днів тому

      @nicodemuswidambe5132 Rafiki kwani msalaba umeanza kutumika ndani ya kanisa au upaganini kwa warumi? Kumbuka warumi ndio ili kuwa serikali simamizi wakati wa mateso ya Yesu hivyo walitumia msalaba iliyokuwa zana yao ya kutesea ili kumtesa Yesu. Pia kumbuka hata wevi nao waliteswa msalabani na hii inamaanisha msalaba sio "ishara ya ukombozi" Bali ili sisi tuwe na uhakika wa ukombozi WETU ni kwa Yesu kufufuka. Pia Kama wajua niambie historia ya matumizi ya msalaba kanisani yalianza lini?. Hii itakupeleka wakati upagani ulipoungana na Ukristo yaani wakati wa Constantine ndipo msalaba unatumiwa kanisani. Sasa kabla ya hapo walikuwa wanatumia nini?

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  14 днів тому

      Kuna aya yoyote imetolewa Papa ni Mpinga Kristo?

    • @JosephErasto-yp6mh
      @JosephErasto-yp6mh 14 днів тому

      @@BAYYINATDMTV kuna vitu ambayo hutavipata vikiwa vimetajwa moja kwa moja kwenye maandiko BADALA yake tunavipata kutokana na mfungu yanayozungumzia mambo kwa ujumla. Mfano hutapata FUNGU ndani ya biblia likisema moja kwa moja kuwa "Yesu ni nafsi ya pili ya Uungu"* lakini tunaamini hivyo kwa Yesu anao Uungu.

    • @JosephErasto-yp6mh
      @JosephErasto-yp6mh 14 днів тому

      @@BAYYINATDMTV vivyo hivyo kwa swala zima la Mpinga Kristo, Biblia imetumia mafumbo ya kinabii kulizungumzia hivyo inahitajika kuwa ili kulifaham tufumbue mafumbo hayo ambalo sasa ukiisha yafumbua sifa Zote za Mponga Kristo zinabakia kuwa ni Ukatoliki chini ya Papa.

  • @V24hrs
    @V24hrs 18 днів тому

    😂😂😂😂 nimecheka sana

  • @Hanssimpson-ln6zs
    @Hanssimpson-ln6zs 16 днів тому

    kwn siku inaanza saa ngap

  • @JosephErasto-yp6mh
    @JosephErasto-yp6mh 15 днів тому +1

    Mwakemwa naona ni msomi na amesomea ukatoliki wa kupinga Biblia.

  • @uwezoibucwa1637
    @uwezoibucwa1637 18 днів тому +1

    Amani ya Bwana iwe nanyi

  • @YudaNtemi
    @YudaNtemi 16 днів тому

    Ndacha Bonge la LIONGO…. Wadanganye wasabato tu UF17 mwanamke kahaba aliyetajwa hapo sio kanisa soma UF 17:18

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 16 днів тому

    Kwahiyo kwa conclusion Ndacha kakubali mnyama siyo Papa. Kaishia kuomba tu mdahalo wa kuulizana maswali tu ya papo kwa papo. Hii mada ya leo kanyoosha mikono, sasa sijui atafanyaje na wafuasi wake, ataacha hayo mafundisho yake ya papa ndiyo mnyama, au ataendelea kudanganya hivyo hivyo.😂😂😂

  • @AzizihFarijala
    @AzizihFarijala 18 днів тому +1

    Ndacha hasikiki kabisa

  • @uwezoibucwa1637
    @uwezoibucwa1637 18 днів тому

    Mwalimu Danieli uwe makini kufuata misemo ya ndacha maana unakwenda tofauti sana

  • @zebrakacole5822
    @zebrakacole5822 17 днів тому

    Mwalimu Ndacha Mungu akubariki sana, wewe nikinwa chaneno la Mungu la kweli, huyo ndugu yetu Mwankemwa anasikitisha sana😂, hajuwi ukweli amesha lewa mvinyo wakikombe cha Pop, pop ndiye mwenyekiti wawachawi ulimwenguni. Mwankemwa nenda ukabatizwe ku SDA haraka, umepotea mwankemwa, mtoto wa pop

    • @gilbertelking9919
      @gilbertelking9919 17 днів тому

      Dini ya Ellen G .White ndio inakusumbua wew ,wapi kwenye bibilia pameandikwa SDA

    • @YudaNtemi
      @YudaNtemi 16 днів тому

      Umelewa Uongo wa ELLEN WHITE😂😂😂😂.hapo Ufunuo 17 ndacha anasema mwanamke ni kanisa…….Uongo wa waziiiiiii soma Uf 17:18 imeelezwa vzr huyo mwanamke ni nani……NIMEAILISHA KUA MSABATO

    • @nicodemuswidambe5132
      @nicodemuswidambe5132 16 днів тому

      Mwl Ndacha haelewi kitu hapo ila sababu we msabato endelea kumsapoti ila kwa hili hamna kitu. Huwa na mwelewa akiongea juu ya waislamu hapa kachemka!!

    • @nicodemuswidambe5132
      @nicodemuswidambe5132 16 днів тому

      Acha kukashifu imani ya watu. Usitukane kwani wengine nasi tunaweza kutukana imani yako ukajisikia vibaya. Acha!!!

    • @jofreymlowoka7972
      @jofreymlowoka7972 4 дні тому

      😂😂😂

  • @JoakimMacho
    @JoakimMacho 16 днів тому

    Mwalimu Daniel, anafundisha na hasira kweli kweli.🤔🤔

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  16 днів тому

      @@JoakimMacho hasira ziko wapi?

    • @JosephErasto-yp6mh
      @JosephErasto-yp6mh 14 днів тому

      @@BAYYINATDMTV Hasira zako ziko kwenye hisia zako. Rafiki twende taratibu tujifunze biblia na Biblia pekee

    • @jofreymlowoka7972
      @jofreymlowoka7972 4 дні тому

      Mwalimu Dan jitahidi kumudu mazungumzo yako tusikufikilie kuzani unaongea kwa hasila

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 18 днів тому

    Ndacha waislamu hawapo katika chapa ya. Mnyama

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 16 днів тому

    Kuhusu krismasi Ndacha umefundishwa kwanini December, mbona kaeleza wazi? Tabu unataka uliyo nayo tuamini kama kweli!

  • @BAYYINATDMTV
    @BAYYINATDMTV  14 днів тому

    Tukitafsiri unabii wa Maandiko kwa mtindo huo, mbona sifa zote za Mpinga Kristo zinamuangukia Ellen White? Na tayari nilikwisha thibitisha kimaandiko. Kwa hiyo tuna Wapinga Kristo wawili, mmoja ni Papa na mwingine ni Ellen White. Nimekuelewa.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 16 днів тому

    Halafu Ndacha hana utulivu, mwenzake akiongea yeye anasogoa na watu wake, hata hasikilizi. Ana tabia kama ya Waislamu

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA 17 днів тому

    Mwamkemwa Una elimu ya MUNGU ndani yako hata kama hawaelewi kumbuka ni nyumba ilioasi

  • @EspoirNshokano
    @EspoirNshokano 18 днів тому

    Mimi nasikitika sana kusikia kwa mwlm Mwankemwa kusema kama mnyama wa 4 ni Alexander. Sasa na mnyama wa 3 ni nani? Mnyama mwenye pembe 10 ni tofauti na ufalme wa uyunani. Chui mwenye vichwa 4 ni ufalme wa uyunani kweli, lakini mnyama wa 4 ni Roma, katika Roma kulitoka ufalme 10 na baadaye kukatoka ufalme mwingine tofauti na wale 10 wa kwanza, ule ufalme tofauti ni Upapa, siyo papa. Kumbuka upapa ulikuwa na mamlaka ju ya dunia na ju ya serkali za dunia. Ukisema ufalme wa 4 ni uyunani utakuwa umepotosha

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  18 днів тому +1

      Wapi paliposema Upapa ni Ufalme?

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  18 днів тому +1

      Ni mwaka gani Upapa ulikuwa unaitawaka dunia?

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  18 днів тому +1

      Shida moja mnachanganya sana habari za Uroma wa Kikaisari na Roman Catholic kama dhehebu la kidini. Ndiyo maana mnashindwa kufikia hitimisho sahihi katika unabii

    • @EspoirNshokano
      @EspoirNshokano 17 днів тому

      @BAYYINATDMTV yeye alisema ufalme ni Roma na roman empire ndiyo ilizaa upapa. Ndivyo mimi nimesikia

  • @LIZYDUNSTAN
    @LIZYDUNSTAN 17 днів тому

    Daniel haujui kabisa unabii kalale kaka

    • @YudaNtemi
      @YudaNtemi 16 днів тому

      Msikilize ndacha anasema mwanamke ni kanisa anatoawapi hyo tafsiri??????? Soma UF:17:18 ujue mwanamke huyo ni nani biblia imeeleza bayana hapo kanisa haliingiiiii

    • @jofreymlowoka7972
      @jofreymlowoka7972 4 дні тому

      Misunderstanding

  • @ChangaraweMichael
    @ChangaraweMichael 18 днів тому

    Yesu alipokuwa na umri wa miaka 12 Luka 2:42 sasa uo umri ulitokea wapi?

    • @Karagwe
      @Karagwe 18 днів тому +1

      Yesu alizaliwa msimu mpya na mwaka mpya ndio maaana kila hesabu ya miezi na mwaka ilibadilika au hujui hilo

    • @harrisoncharo-qz3vz
      @harrisoncharo-qz3vz 18 днів тому

      @@Karagwe tua andiko tusome

  • @KabikaBienvenu
    @KabikaBienvenu 16 днів тому

    Jambo walimu wote

  • @DimaDaro-ts1kq
    @DimaDaro-ts1kq 18 днів тому

    Ni dini Gani iliwahi kupiga sanamu marufuku kama sio uislamu,kwa hivyo ndacha kama umechanganyikiea ongea lugha Yako ya mama ,sote tumegundua kwamba unasumbliwa na lugha

  • @ismailsanga9190
    @ismailsanga9190 13 днів тому

    Mwakemwa hamuna kitu maana unapinga na hufundishi yaan inaonekana unabii hujui

  • @triuneapologeticsevangelis5912
    @triuneapologeticsevangelis5912 18 днів тому

    😂😂😂hiyo kiburi imekua exposed vizuuuuri

  • @SeifumpeliMpeli
    @SeifumpeliMpeli 17 днів тому

    Hizo picha mnatoa wapi nyie makafiri

  • @gilbertelking9919
    @gilbertelking9919 17 днів тому

    Bora hiyo sheria ipite mana naona wasabato wamezidi kuwa wachochezi ,wanaona kila kitu wanajua ilihali hata Elen G alijifunza kwa wengine

  • @Karagwe
    @Karagwe 18 днів тому +1

    Hakuna tarehe Kwa bibilia

    • @YudaNtemi
      @YudaNtemi 16 днів тому

      Wayahudi wanasema hadi leo Masihi hajazaliwa Si kazi yetu ni kuwatangazia kua ALIZALIWA KWA VYOVYOTE VILE……..

    • @jofreymlowoka7972
      @jofreymlowoka7972 4 дні тому

      😂😂😂😂

  • @KabikaBienvenu
    @KabikaBienvenu 16 днів тому

    Nataka kukuliuliza mwalimu mwamkwema wapi katika bibliya yote kwenye andiko Moja linasema yesu amezaliwa tarehe 25 ya mwezi wa Kuni na mbili?

    • @nicodemuswidambe5132
      @nicodemuswidambe5132 16 днів тому

      We huelewi alisha fundisha hilo. Lipo wazi mbona?? Kama hujaelewa tukueleweshe. Kwani wapi pameandikwa SDA? Hiyo ni hoja ya kitoto. Kwani unaposema mwaka 2024 ulitokea wapi??

    • @nicodemuswidambe5132
      @nicodemuswidambe5132 16 днів тому

      Ndacha huwa nakuelewa lkn hapa mmh umechemka bro!!

  • @HassanSalim-hl8qs
    @HassanSalim-hl8qs 15 днів тому

    Uislam unawauma sana jadilianeni wenyewe makafiri mwatuingiza na sisi Uislam Khabari nyingine?

  • @petromachanga5538
    @petromachanga5538 17 днів тому

    Ndasha anasoma jujuu tu

  • @ndeniUrasa
    @ndeniUrasa 18 днів тому

    Wewe Ndacha muda unaotumia kwenye midahalo ni mwingi Sana utakuja kudaiwa Yesu alihubiri injili na aliepuka mashindano wewe ni kiongozi wa mashindano yasiyo na maana what is your problem

  • @uwezoibucwa1637
    @uwezoibucwa1637 18 днів тому

    Hakika walio chini ya imaya ya Rumi wamtetea rumi kwa kukusudia

  • @DieulaMasika-h8f
    @DieulaMasika-h8f 16 днів тому

    Mupeni mwakemwa maji, amerogwa n'a papa, haelewi chochote.shetani amemwikalia

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 18 днів тому

    Yesu hakuzaliwa december 25 Ndio maana hukuhudhuria Mwankema

    • @harrisoncharo-qz3vz
      @harrisoncharo-qz3vz 18 днів тому +1

      Twambie wewe alizaliwa ama shidayako iko wpa kama malaika wenyewe watakatifu walisherekea siku ya kuzaliwa wewe ninani ushisherekee kuzaliwa kwabwana Yesu christo🎉🎉

    • @johnmayunga4445
      @johnmayunga4445 18 днів тому

      Sema ww alizaliwa tarehe Gani?

    • @PascalMabeyo
      @PascalMabeyo 18 днів тому

      @@johnmayunga4445hawezi kujibu

    • @Karagwe
      @Karagwe 18 днів тому

      @harrisoncharo-qz3vz mtu aliye komaa kiroho Huwa hatoi matusi sawa
      Inamaana wewe bado m mchanga sana kimaandiko hivo jifunze sawa
      Bibilia haina tarehe hiyo na mwez huo na haijatoa maelekezo kuhusu kuitafuta hiyo tarehe Wala mwez
      Sawa
      Kwahiyo usiongeze Wala kupunguza
      Sawa

    • @harrisoncharo-qz3vz
      @harrisoncharo-qz3vz 18 днів тому

      @Karagwe kwako wewe ni matusi kwasababu hutaki kuelewa yesu anasema mkutanapo wawili wataku kwajina langu mm nko kwahivyo christmass tunakusanyika kwahina la bwana yesu kristo uruke juu ushuke jini lazima tusherekee wenye wanambika n wtu w SDA yani wtu w sabato ambao yesu alipokuja dunian walikua na ugumu kuamini hata leo😐😑

  • @triuneapologeticsevangelis5912
    @triuneapologeticsevangelis5912 18 днів тому

    Hicho kicheko cha Ndacha kinaonyesha wazi ile attitude ako nayo kwa protestant na Catholics.yaani ellen G white alipoteza sana

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  18 днів тому +1

      @@triuneapologeticsevangelis5912 Hajui kwamba anadharau imani isiyoweza kudharaulika na wala hawezi kuishinda kwa hojaza Kimaandiko.

    • @triuneapologeticsevangelis5912
      @triuneapologeticsevangelis5912 18 днів тому

      Nilikua nafuatilia sana, lakini wakati alianza kushambulia utatu kwa kifua na kulinganisha na upagani wa kiislamu , utafsiri wake wa Daniel ... Siwezi kuskiza mafunzo yake labda debates na waislamu

    • @triuneapologeticsevangelis5912
      @triuneapologeticsevangelis5912 18 днів тому

      Mungu akubariki sana mwal Daniel kwa mafunzo Yako. Wenye akili wameona hoja

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 15 днів тому

    Ndacha ulizaliwa tarehe ngapi? Na hiyo tarehe uliipata wapi? Huo mwaka uliozaliwa ulianzia wapi??

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  15 днів тому

      Hilo hawezi kujibu anajua kupinga tu

    • @jofreymlowoka7972
      @jofreymlowoka7972 4 дні тому

      😂😂😂 mnatka kusema mzazi wako aliotea tarehe yako

  • @uwezoibucwa1637
    @uwezoibucwa1637 18 днів тому

    Namuuliza mwankemwa utuambie Alexadre alukua mfalme wa wapi
    1 Babele
    2umedi na uajemi
    3Ugiriki
    4Rumi

    • @YudaNtemi
      @YudaNtemi 16 днів тому

      UYUNANI………

    • @tirox-hm7rh
      @tirox-hm7rh 15 днів тому

      Alikuwa mfalme wa Macedonia iliyotawala maeneo ya ugiriki, uajemi na maeneo ya bara hindi

  • @enochonsomu1924
    @enochonsomu1924 17 днів тому

    Uo wote ni unabii na unatimia pole pole

  • @uwezoibucwa1637
    @uwezoibucwa1637 18 днів тому

    Ninawafatilia kutoka USA

  • @petromachanga5538
    @petromachanga5538 17 днів тому

    Ndasha ni makelele tu

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 18 днів тому

    Ndacha yupo sahihi kwa Mwankema hataki kujifundisha yeye kapinga tu na hatoi mandiko ndio maana waislamu hawataki mdahalo naye.

    • @PascalMabeyo
      @PascalMabeyo 18 днів тому

      Ndacha kwa mada hii hadi aibu…kagaragazwa vibaya mno!

    • @celestinshayo7295
      @celestinshayo7295 17 днів тому

      Waislamu hawataki midahalo na Mankemwa ama wanaogopa kufanya naye midahalo ?

    • @petromachanga5538
      @petromachanga5538 17 днів тому

      Helen muongo

    • @YudaNtemi
      @YudaNtemi 16 днів тому

      Ajifunze nini Ndacha anasema UONGO eti mwanamke ni kanisa…..Kasome UF 17:18 ujue mwanamke aliyesemwa hapo ni nani

  • @gilbertelking9919
    @gilbertelking9919 17 днів тому

    Kwani cheti yako ya kuzaliwa mwlm ndacha kimeandikwaje?

  • @uwezoibucwa1637
    @uwezoibucwa1637 18 днів тому

    Sherehe inafanyika mbinguni na malaika pale anapo hokolewa mtu kama hakuna hokovu Duniani mbinguni kuna kuwa kimya
    Habari njema ni neno la wokovu ambalo linahubiriwa kwa watu

  • @petromachanga5538
    @petromachanga5538 14 днів тому

    Ndasha hajasoma

    • @JosephErasto-yp6mh
      @JosephErasto-yp6mh 14 днів тому

      @@petromachanga5538 wewe Kama umesoma au Kama unakubaliana na mwakemwa, tuambie ikiwa ufunuo 17 inazungumzia makaisari ni kwa namna gani makaisari walikuwa "Mama wa Makahaba na Machukizo ya nchi?"

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  14 днів тому

      Kaisari ni kiongozi wa Serikali na Nchi inabeba kisifa cha mwanamke.

    • @JosephErasto-yp6mh
      @JosephErasto-yp6mh 14 днів тому

      @BAYYINATDMTV "nchi inabeba kisifa cha mwanamke" kivipi? Lakini tutumie maandiko

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  14 днів тому

      @JosephErasto-yp6mh kwako ipi ni sahihi: Tanzania and her people au Tanzania and its people. Ipi kwako ni sahihi kati ya sentenso hizo mbili.

    • @JosephErasto-yp6mh
      @JosephErasto-yp6mh 14 днів тому

      @@BAYYINATDMTV Rafiki sahihi hapo ni "Tanzania and her people" swali linalobaki ni hili Je hiyo ni kwa mjibu wa Maandiko au ni utaratibu wa Ulimwengu? Tusitumie hisia wala mtazamo wa waliowengi Bali Tutumie kile kinachotokana na Maandiko

  • @AjAj-v6s
    @AjAj-v6s 18 днів тому

    😢

  • @richardmjema8321
    @richardmjema8321 18 днів тому

    Tupe andiko ikawa jion ikwa asubuhi siku ya kwanza inakuaje sikuiaze sasita

    • @harrisoncharo-qz3vz
      @harrisoncharo-qz3vz 18 днів тому

      @@richardmjema8321 kama utaenda hivyo basi toa saa kwenye simu yako basi

  • @richardmjema8321
    @richardmjema8321 18 днів тому

    Daniel wew unaenda kimwili na unazani wew unauzima kwahayo unayato kijaziba wewe

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  18 днів тому

      Ila mkitaka kutudanganya kwamba Papa ni mnyama wakati hamna andiko tuwakubalie tu ili tuonekane ni wa rohoni?

  • @AjAj-v6s
    @AjAj-v6s 18 днів тому

    Yesu atarudi na cha Kwanzaa atavunja misalaba na hatahuwa nguruwe yesu ni Muslim nyinyj watu wakuonewa huruma

    • @PascalMabeyo
      @PascalMabeyo 18 днів тому

      Yesu ni Mungu siku ya mwisho hawezi kuua nguruwe umedanganywa…nguruwe kawafanya yeye mwenyewe halafu eti tena siku ya mwisho awauwe! hivi inaingia akilini kweli?

    • @harrisoncharo-qz3vz
      @harrisoncharo-qz3vz 18 днів тому

      @@AjAj-v6s sema isa wenu Sio yesu wetu yeye ndie njia na kweli🎉🎉

    • @YudaNtemi
      @YudaNtemi 16 днів тому

      Waislamu wanakula Nguruwe huku wapo kama woteee😂😂😂😂

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 16 днів тому

    Kama Roma ni Papa, je Papa ndiyo alivunja hekalu kule Yerusalemu mwaka wa 70?

  • @uwezoibucwa1637
    @uwezoibucwa1637 18 днів тому

    Akioko alikuwa mwanamke je? aliye panda mnyama na kikombe mikononi mwake mbona mmemsahau

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  18 днів тому

      Muweke wewe. Unafikiri kujichorea picha na kuitafsiri unavyotaka ndivyo itakuwa tafsiri kwa wote?

    • @YudaNtemi
      @YudaNtemi 16 днів тому

      @@uwezoibucwa1637 Mwanamke kahaba kaelezwa vizuri UF 17:18 ni mji Mkubwa…….Ndacha anasema kanisa tatoa wapi hyo tafsiri?????

    • @jofreymlowoka7972
      @jofreymlowoka7972 4 дні тому

      Dan ungemjibu tu kunashida

  • @DimaDaro-ts1kq
    @DimaDaro-ts1kq 18 днів тому

    Kumbe wao kwa wao wenyewe hawakubaliani, innalillahi wa inna ileyhiraajiuwn

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  18 днів тому +5

      @@DimaDaro-ts1kq kama vile madhehebu 73 ya Kiislamu yasivyokubaliana.

    • @harrisoncharo-qz3vz
      @harrisoncharo-qz3vz 18 днів тому

      @@DimaDaro-ts1kq kwani pia nyinyi waslam mwalewana kwenye kusherekea maulidi ama ninyani hauni kudule

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 17 днів тому +1

      Hujui kitu ungejua hata waislamu hawakubaliani hata kidogo ungejua.hata Quran ilichomwa moto ikaandikwa tenaa

  • @DimaDaro-ts1kq
    @DimaDaro-ts1kq 18 днів тому

    Kwani huyo ndacha kweli amewahi shule

    • @harrisoncharo-qz3vz
      @harrisoncharo-qz3vz 18 днів тому

      @@DimaDaro-ts1kq dacha hua mubishi kwenye majadiliano baina ya wakristo kwa wakristo kwasababu mahubiri yao danieli 7 hoo munyama sijui vichwa7🤣🤣

    • @jofreymlowoka7972
      @jofreymlowoka7972 4 дні тому

      Sema hujui tu

  • @Karagwe
    @Karagwe 18 днів тому

    Tarehe ya kubuni mwez wa kubuni

  • @tibwomucharles329
    @tibwomucharles329 17 днів тому

    Mwamkemwa is just possessed. For he is reading verses upsidedown.let him come back to his senses.

  • @YudaNtemi
    @YudaNtemi 16 днів тому

    Mimi nina swali kwa Walimu wote wawili
    Mnyama wa nne wa Daniel 7 ni sawa na Mnyama wa kwanza Ufunuo 13:1-10????????
    NAOMBA KUJIBIWA NA WALIMU WOTE WAWILI.

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  15 днів тому

      Siyo mmoja

    • @YudaNtemi
      @YudaNtemi 15 днів тому

      @ Na wewe ndacha jibu swaliii

    • @YudaNtemi
      @YudaNtemi 15 днів тому

      @ Ndacha haelewi hiloo na akimaliza hapo anamchanganya tena na mnyama wa UF13:11……. mwenye namba 666
      Yaani anasena
      Pembe ndogo….Papa
      Jeraha likapona…..Papa
      666…………………….Papa
      Mimi sijui kutafsiri tu lakini nikiwadoma kila mmoja na wakati wake na sifa zake

  • @JameM-l1u
    @JameM-l1u 15 днів тому

    ua-cam.com/video/gAWDR9lCI4I/v-deo.htmlsi=Tp-1WoJLqA3s5Z0T

  • @deuisalon7248
    @deuisalon7248 18 днів тому

    Hivi mwalimu Daniel kuna vitu muwe mnavitetea viwe na uhalisia japo kidogo. unaposema Yesu alipotahiriwa ndo mwaka mpya ukianza pale umetulia kigezo gani kutoka hiyo tafsiri na unarudi nyuma siku 8 ukapata aliyozaliwa ni tarehe 25 lakini umetumia kalenda yenye mwezi wa 12 ukiwa na siku 31, je kipindi hicho siku zilikuwa ni 31 au 30 kwa mwezi wa 12 kalenda ya kiyahudi. Pia wewe unasoma ufafanuzi kupitia impremanto hivi unafikir watakutajia papa ndo mnyama, mbona n vichekesho nikajua umesoma historia kuhusu wakina Nero 😂

    • @PascalMabeyo
      @PascalMabeyo 18 днів тому +1

      huna lolote wewe ni wale wale wa hellen g.white

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  18 днів тому

      Wewe hujui kwamba kalenda ya Julian isiyo ya Kiyahudi ilikwisha kuwepo tangu mwaka 45 KK?
      Halafu unasema nimesoma fafanuzi kutoka Imprimatur na kwamba wasingeandika kwamba ni Papa, mbona haujamlaumu Mch. Francis Ndacha aliposoma Biblia ya Kiafrika ambayo nayo ni ya Kikatoliki? Uwe fair

    • @jofreymlowoka7972
      @jofreymlowoka7972 4 дні тому

      Oohhh kumbe ni weke nikuweke ukisema uongo na wewe unasemauongo

  • @Karagwe
    @Karagwe 18 днів тому

    Daniel kama uko dar es salaam kwel naomba sana tuonane ana kwa ana ili tufanye mdahalo wa kielimu kuhusu neno la Mungu

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  18 днів тому +1

      @@Karagwe kuhusu mada gani?

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 16 днів тому

      Sema mada ganii??

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  16 днів тому

      @@0badiaMwasongwe-rt1wr wewe ndiye umetaka mdahalo. Unataka tufundishane kuhusu nini

    • @nicoart5063
      @nicoart5063 14 днів тому

      ​@@BAYYINATDMTVwatu wanashangaza sana , wanaomba mdaharo na hana mada 😂

  • @gilbertelking9919
    @gilbertelking9919 17 днів тому

    Kwani cheti yako ya kuzaliwa mwlm ndacha kimeandikwaje?

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  17 днів тому

      @@gilbertelking9919 swali hilo hataweza kulijibu.