MCHANGO WA SHILOLE KATIKA KANISA LA MASANJA (Feel Free Church)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 чер 2021
  • MCHANGO WA SHILOLE KATIKA KANISA LA MASANJA (Feel Free Church)

КОМЕНТАРІ • 215

  • @elizabethmuia9839
    @elizabethmuia9839 Рік тому +1

    Asante, dada yetu shishi mbiguni hakuna Ndini 🙏

  • @johannes4127
    @johannes4127 2 роки тому +5

    Mungu ni wawote weny mwili

  • @frolencejovenary667
    @frolencejovenary667 3 роки тому +7

    Shilole uko kwenye maombi yangu, You are the best woman, Masanja nakuombea kwa MUNGU akuongoze uendelee kumtumikia, kumpenda and na kumjua zaid

  • @bernardmkuffya5171
    @bernardmkuffya5171 2 роки тому +2

    Dada shilole ni mtu ambae anajali watu sana.kitu alichokifanya hakuna mtu alikwishawahi kufikiria kufanya especially ktk anniversary nyingi tu za kanisa nilizowahi ona na kushuhudia.Shilole ubarikiwe sana na mungu alie hi.amen

  • @PazzahTz9090
    @PazzahTz9090 3 роки тому +4

    Barikiwa sana Pastor Masanja na Shilole mweee jamaan nmevutiwa na hii hakika MUNGU ni baba wa wote Amen.

  • @sifamtasha4291
    @sifamtasha4291 3 роки тому +6

    Ubarikiwe shishi, na Mungu akupe neema ya wokovu

  • @work24onme
    @work24onme 3 роки тому +6

    Eee Mwenyezi Mungu, Shishi ubarikiwe, na uwongezewe palipo punguwa! 🙏
    Kaka Masanja, hongera Kwa majukumu na hatua ulio fikia. Hakika Mwenyezi Mungu ni mkuu 🙏
    NYINYI NI MIFANO YA KUIGWA ❤️

    • @sweetluc2660
      @sweetluc2660 3 роки тому +1

      Shishi huyo ni upendo Mungu akubaliki na kukuongezea zaidi kwenye biashala yako

  • @augustinondabeda7730
    @augustinondabeda7730 3 роки тому +11

    Pastor masanja for what you done to invite all your friends without discrimination. Your the first pastor to do this,.
    I know that some may criticize you but remain with this principle LOVE YOUR NEIGHBORS.

  • @noelambondeka6942
    @noelambondeka6942 3 роки тому +3

    amina sana mungu akutunze shishi

  • @hamishamis9905
    @hamishamis9905 3 роки тому +7

    Shishi humpati mtu zaidi ya nafsi yako elewa dunia tunapita tu😌😌😌

  • @vero57
    @vero57 3 роки тому +4

    Mungu ni mmoja tuu, well done 👏 ✔ 👍 👌 shishi baby

  • @chitec4394
    @chitec4394 3 роки тому +1

    Mafanikio nj Mungu Hakika Shihsi unajua kumtafuta Mungu Ubarikiwe

  • @dottokulwa9145
    @dottokulwa9145 3 роки тому +2

    Asante dada

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 3 роки тому +3

    Masanja ubarikiwe mtumishi 🙏 endelea kuwavuta wote, hesabu huyo kaisha fika hapo kwa jina la YESU

    • @adimmpole9439
      @adimmpole9439 3 роки тому

      We Dada unachekesha huduma ya mwamposa uliiponda na kushabikia afugwe alafu ya masanja unaishabikia San tu na kwa mbwembwe huo ni unafiki Dada angu badilika kwa kwel

    • @adimmpole9439
      @adimmpole9439 3 роки тому

      We Dada unachekesha huduma ya mwamposa uliiponda na kushabikia afugwe alafu ya masanja unaishabikia San tu na kwa mbwembwe huo ni unafiki Dada angu badilika kwa kwel

    • @tinkudey5928
      @tinkudey5928 3 роки тому

      Emen

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 6 днів тому +1

    Ameeeen.

  • @agnesmanimba8548
    @agnesmanimba8548 3 роки тому +3

    Mungu akubark dada

  • @FRANSKALITUSI4937
    @FRANSKALITUSI4937 3 роки тому +2

    Very good mtumish wa MUNGU

  • @NaitwaChongx
    @NaitwaChongx 3 роки тому +5

    Nimesoma comment nyingi! Nimegundua kuwa kunawatu bado imani haijawaokoa ila imewaweka vifungoni! Mungu pekee ndiye anajua kamwe usije hisi upo sahih sana Na ukamuhukumu mwingine! Kumbuka pia unaweza ukahisi unamtetea Mungu kumbe Mungu kashakuacha mda kwasababu huna UPENDO kama yeye alivyo!! Pastor People will not understand you early but i tell you keep going this is private revalations and Gods loves all of us!

    • @mhubiritv1621
      @mhubiritv1621 3 роки тому +1

      Mungu akusaidie sana

    • @simonkitoy7304
      @simonkitoy7304 3 роки тому +1

      Hongera shilole na Masanja kweli tunaona kwa vitendo what it means by feel free Church ...

    • @teresiaraurent3803
      @teresiaraurent3803 3 роки тому +1

      Kwel kabisa

  • @williamwiston450
    @williamwiston450 3 роки тому +1

    Mungu awenawe

  • @mzalendowaasili1727
    @mzalendowaasili1727 3 роки тому +22

    Nimegundua shilole anarafiki wengi wa kiume ndo maana anafanikiwa kuliko wanawake , wengi ni ma snitch

  • @Marylimo
    @Marylimo 2 роки тому +1

    Wooow barikiwa shsh

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 3 роки тому +2

    Welldone Shishi.

  • @hawakibambe8678
    @hawakibambe8678 3 роки тому +1

    Eti oyoooo! Nmependa huyu pastor haki kweli hiii free

  • @jenifajuma5395
    @jenifajuma5395 3 роки тому +3

    Safi Sana shishi

  • @daycareconsultant870
    @daycareconsultant870 3 роки тому +2

    Good✔

  • @zurfapahenge8802
    @zurfapahenge8802 3 роки тому +1

    mchungaji 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @evaristamos4537
    @evaristamos4537 3 роки тому +2

    Umepata shemasi !!!

  • @drelpmacsinc7786
    @drelpmacsinc7786 3 роки тому

    blessed shishi

  • @shirazmdimu7615
    @shirazmdimu7615 3 роки тому +7

    Ukitoka hapo kanisani utamke shade tena

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 3 роки тому +9

    Asalaam alaykum kanisani

  • @danielmwasi5450
    @danielmwasi5450 3 роки тому +3

    Mungu tusaidie ,Sana'a zimezidi Mungu amekimbia,,,,usilete mshahara was mbwa nyumbani mwa bwana

    • @rosemuhando709
      @rosemuhando709 2 роки тому +1

      Mbwa hapo ni nani,? Tambua kuwa vyote alivyovitakasa mungu usiviite najisi, kwa maana cornelio nadiya aliyeupendeza moyo wa mungu kwa sadaka zake akakumbukwa japo ilikuwa mpagani,,mbwa kama wewe unavyomwita shilole,, basi kama wewe, hujaona umuhimu wa mungu kumtolea sadaka shilole ameuona!!!••••••

    • @danielmwasi5450
      @danielmwasi5450 2 роки тому +1

      @@rosemuhando709 dada rozi sisi tuliookoka hatutakiwi kuyafanya yasio ya Mungu, huwezi kusema salamaleku kanisani hiyo ni michanganyo ,halafu kuleta chakula kanisani hiyo siyo sherehe, Yesu anasema mtu hawezi kuishi kwa mkate tu, bali kwa kila neno litokalo kwa bwana ,watu wa Mungu mmepotoka

  • @ab3ab313
    @ab3ab313 3 роки тому +1

    Amen nakupend bure Shishi bebi❤❤❤

  • @servantjosiahtv3129
    @servantjosiahtv3129 3 роки тому

    INJIRI KWANZA.. BALIKIWA SANA MASANJA..

  • @mohdali2408
    @mohdali2408 3 роки тому +3

    Umepotea

  • @markodaniel2662
    @markodaniel2662 3 роки тому +15

    Wakristo wenzangu, hapo sio kanisani kwa masanja, bali ni kanisani kwa Yesu Kristo. Tujuwe kiuongea .

  • @arthurmapunda3652
    @arthurmapunda3652 3 роки тому +2

    Saaafi

  • @nt44media7
    @nt44media7 2 роки тому +1

    Kansani asalam aleikum

  • @PazzahTz9090
    @PazzahTz9090 3 роки тому +4

    Daaahhh Jambo jema hili nahisi wengi watatakiwa kukaa mbali na udinii....

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 3 роки тому +1

      Dini yenu. Ila yetu hairuhusu kuingia katika sehem ambazo si za ibada ya dini yetu. Na misikiti haingiliwi na watu ambao si waislam

    • @ramadhanimahongole8764
      @ramadhanimahongole8764 3 роки тому +3

      @@bjzee1981 tatizo din ya kislam ina mashariti mengi kama mganga wa kienyeji

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 3 роки тому +1

      @@ramadhanimahongole8764 . Masharti ya Mwenyezi Mungu. Ndio mana tumekatazwa ushenzi

    • @ramadhanimahongole8764
      @ramadhanimahongole8764 3 роки тому +3

      @@bjzee1981 mmungu hana masharit yasiyokuwa na mbele wala nyuma, anachotaka yeye kutoka kwako ni moyo safi tu basi.hayo masharti yoote mnayopangiwa siyo amri zake ni wanadamu waanzilishi wa imani hiyo waliamua kuwa madikteta kwa waumini wao ndo wakalisisha vizazi na vizazi hadi wewe kuamin

  • @tamaraseff.9707
    @tamaraseff.9707 3 роки тому +1

    Shish baby.congrats sanaaaaa

  • @sikukuuchuo3093
    @sikukuuchuo3093 3 роки тому +3

    Kuna muda yafaa ujitambue umetoka wapi na waelekea wapi .Ni msiba mkubwa sana.

  • @hoseamligula8092
    @hoseamligula8092 3 роки тому +1

    Khaaa jamani

  • @jumjumanderson9715
    @jumjumanderson9715 3 роки тому +2

    Ok hongera kwa kushirikiana kwa njia yoyote bila kuzingatia dini. Ila pengine mahali pagumu kuelewa ni hapo pa kuleta wageni ambao si Wakristo (hawaamin Kufa kwa Yesu Msalabani) katika altar, that is my major concern. Would anyone politely enlightened me on this, ni sawa??

    • @RichardPhilipo1
      @RichardPhilipo1 3 роки тому +4

      Biblia haitufundishi kuwatenga wasiomwamini YESU.
      Unadhani tukiwatenga wasiomwamini Yesu, watawezaje kumjua na kumwamini? Tulipoambiwa kuwapenda jirani zetu (Mark 12:31), hatukuambiwa tuwapende wanaomwamini YESU pekee bali ni WOTE.
      Kumbuka YESU ni wa Wote. Be blessed!

    • @jumjumanderson9715
      @jumjumanderson9715 3 роки тому +3

      Nichek whatsup ndugu tuongee tu vizuri tuelimishian tu kwa upendo wa kazi ya Mungu... +254 712 982 711

    • @nenenelly7619
      @nenenelly7619 3 роки тому +1

      @@RichardPhilipo1 asant kaka

    • @RichardPhilipo1
      @RichardPhilipo1 3 роки тому

      @@jumjumanderson9715 sawasawa kaka

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 3 роки тому +7

    Shashi Food juu Kwa Juu
    Maisha ni Safari Wacha tusafiri iLa kila Mtu Anafika kwa Muda wake.

  • @abdalahmohamedi1806
    @abdalahmohamedi1806 3 роки тому +9

    Shilole amekuja kuchukua dili la kupika hapo

  • @tumboabdallah7178
    @tumboabdallah7178 3 роки тому +2

    Dada umepotea sana kiki u nazotafuta zimepitiza

  • @dacruzfabrice6481
    @dacruzfabrice6481 3 роки тому +2

    Baba levo Yupo wapiii😂😂😂😂

  • @s0phialwassa574
    @s0phialwassa574 3 роки тому +2

    Safi sana shilole

  • @selinaselin8928
    @selinaselin8928 3 роки тому +3

    Tz watu kama hawa wangekuwepo udini usinge kuwepo mashallah

  • @batildamahundiofficial9400
    @batildamahundiofficial9400 3 роки тому +1

    Ameren

  • @reaganlyimo6259
    @reaganlyimo6259 3 роки тому

    Duh

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 3 роки тому +5

    Yani uislam wa wasanii ni KAZI bure

    • @zalhathasaid2060
      @zalhathasaid2060 3 роки тому +1

      Kwan muislam uyo mana sielew

    • @abdulkareemseif1892
      @abdulkareemseif1892 3 роки тому

      @@zalhathasaid2060 anavodai ni muislam .kwani huoni maclip yao siku ya ramadhani

    • @florenciamwambalaswa3965
      @florenciamwambalaswa3965 3 роки тому

      @@abdulkareemseif1892 mmmh waislam mnamambo au nae khafirii hamcherewi munguu huyuu aturehem kwakweli

    • @abdulkareemseif1892
      @abdulkareemseif1892 3 роки тому +1

      @@florenciamwambalaswa3965 kuna mambo akitaka kuyafanya atakua Tu kafiri wala sio uongo,,,km akiamini ukristo ni Sawa na uislam amekufuru

  • @joshuaadon5210
    @joshuaadon5210 2 роки тому

    Mambo haya

  • @dotnathalazaro8078
    @dotnathalazaro8078 3 роки тому +3

    Penda sana shilole

  • @mwl.timothysangayoni2137
    @mwl.timothysangayoni2137 3 роки тому +1

    😂😂😂🙆🙆😲😲

  • @allymbaruku6930
    @allymbaruku6930 Рік тому

    Wasaniiiiiiii

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 Рік тому

    Uko poa

  • @gastomwalyaje2048
    @gastomwalyaje2048 2 роки тому +1

    Kwakweli Mungu ndiye ajuaye tu yote

  • @lugendodaudi5510
    @lugendodaudi5510 3 роки тому +1

    Kwani huyu bado co DC

  • @kahema_steven
    @kahema_steven 3 роки тому +1

    Natamani siku moja nije niabudu mahari hapo

  • @hamisimfaumenamwewe193
    @hamisimfaumenamwewe193 3 роки тому +4

    Sifa za Allah anapewa kiumbe Yesu.

  • @wangonamuhange8218
    @wangonamuhange8218 3 роки тому +6

    Shishi wewe ni mtu

  • @hafidhali3020
    @hafidhali3020 3 роки тому +9

    Unalisha washiirikina ili wapate nguvu zaidi za kumkufuru Mungu?walati kuna mayatima hawajuwi wale nini .dhambi hii ulioitenda hapa utakwenda kuikuta kesho. Kwa Allah

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 3 роки тому +2

    Wewe shilole mhhhh

  • @jerryjuma1339
    @jerryjuma1339 3 роки тому +7

    asalamalekum kanisani wapi na wapi? wewe masanja na hilo kanisa lako???

    • @shau78
      @shau78 3 роки тому +4

      asalamalekum maana yake ni amani iwe nanyi. simply

    • @habibahabiba7128
      @habibahabiba7128 3 роки тому +1

      Ni lugha tu jaman

    • @emmiradorjunior3153
      @emmiradorjunior3153 3 роки тому +1

      Hujui wewe.....salamu ni salamu tu.

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 3 роки тому +1

      @@shau78 wambie,hizo zote nisalamu hakiharibiki kitu

    • @omaryonga1776
      @omaryonga1776 3 роки тому +1

      Hiyo ni Salamu dogo

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 3 роки тому +5

    Dini za kidilidili tayari na wewe masanja una kakanisa kako kakusukumia maisha safi saana na wewe mjinga hiyo salam unaileta humu sijui hata unataka nini wewe kama unaenda kwa usanii wako nenda dini yetu ya uislam haina mahusiano na hiyo nenda kivyako

    • @bodernmejohn1210
      @bodernmejohn1210 3 роки тому +2

      Kwan nyie mna mungu wenu

    • @AbdulAbdul-pr9qe
      @AbdulAbdul-pr9qe 3 роки тому

      @@bodernmejohn1210 yes of course

    • @johnzacharia2308
      @johnzacharia2308 3 роки тому

      Umesema Kweli ndugu, hamna mahusiano Kati ya waabudu majini na wanaomwabudu MUNGU aliye hai, yaani YESU KRISTO, kwahiyo upo sahihi ila shishi nimwungwana na neema ya wokovu itamfuata haijalishi usanii wake lakini kamtolea MUNGU aliye mwumba atabarikiwa

    • @selemankishema5780
      @selemankishema5780 3 роки тому +1

      @@johnzacharia2308 do!!! Hii kali labda nikujulishe sie tunamuabudu aliewaumba yesu, majini na kila kitu tunavyovijua na tusivyovijua sasa kama wewe unamuabudu elieumbwa au kilichoumbwa na mungu basi jiandae na kuishi motoni milele

    • @AbdulAbdul-pr9qe
      @AbdulAbdul-pr9qe 3 роки тому +2

      @@johnzacharia2308 😂😂😂😂 mbona hata mie nipo hai kwahiyo naweza nikawa Mungu wenu? Yesu dume na mie dume, yesu katahiliwa na mie nimetahiliwa, yesu kazaliwa na mie nimezaliwa yani tumetofautiana machache sana

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 роки тому +4

    Mh! dini hizi,,,,,,,,huyu ndio TB Joshua wa Tanzania!!

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 3 роки тому +1

    Shishi atafika Mbali sana!

  • @ashrafbwana6392
    @ashrafbwana6392 3 роки тому +3

    Surprise I thought shishi is a Muslim

  • @barakakidugutu944
    @barakakidugutu944 3 роки тому +5

    Yan nyie wachungaji Freemason hlo kundi la Bwana Yesu mnakolipeleka mtakuja kujuta siku yaujio wa Bwana wetu Yesu Kristo,

  • @gwakisanoah2538
    @gwakisanoah2538 3 роки тому +1

    Ama kizazi hiki kinapenda kulakula, yaani mithili ya nguruwe! Chakula kanisani? Na ibada mnafanya saa ngapi? Mara keki, wali, bigijii, biskuti na sasa biriani heeee! Kwa mizaha hii tabu hazitakoma. Fanyeni ibada nyie binadamu.

  • @ndakozeramion5604
    @ndakozeramion5604 3 роки тому

    Uko mjinga wew

  • @abelialsen5383
    @abelialsen5383 3 роки тому +2

    Mbarikiwe sana! Ila hiyo salam kanisani sio mahala pake, hata kama inamaana nzuri

    • @deograciakashaigili5973
      @deograciakashaigili5973 3 роки тому +1

      Angebarikiwa saa ngapi sasa na waumini kama.asingesema mbèle ya madhabahu.. Hiyo ni sadaka. Sadaka inatangazwa madhabahuni pa Bwana na ndio maana Masanja anawaambia waumini wanyoshe mkono wambariki. Kwa Imani MUNGU amembariki sana pale.

    • @habibahabiba7128
      @habibahabiba7128 3 роки тому

      Ulitaka iweje nae ni muislam, alaf ni swala LA lugha tu, ni Arabic, kwani kusema glory to God mbna ni kidhungu lakini tu naona ni Sawa inapotamkwa

    • @abelialsen5383
      @abelialsen5383 3 роки тому

      Ni kweli ni luga tu! Ila inatumiwa na waislam ni sawa na kusema bwana yesu asifiwe msikitini utaeleweka kweli

    • @wisperfect5320
      @wisperfect5320 3 роки тому +1

      Siyo mahali pake vipi kwanin yeye kamuita kanisan wakat ni muislam au hujui kilichompeleka maana hajaenda kusali

    • @teresiaraurent3803
      @teresiaraurent3803 3 роки тому +1

      Ile ni salam tu wala haina shida

  • @angelmunduli3391
    @angelmunduli3391 3 роки тому +2

    Kuanzia leo nakula kwa shishi tuu

  • @magesamoses9114
    @magesamoses9114 3 роки тому +1

    hakuna kanisa hapo

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 3 роки тому +2

    Pesa Inatafutwa guys, Huyu Binti yupo hapo Kimaslahi ya Brand, Kaona Matanzania ni Madishi ayazugie kidogo😂😂

  • @hamisimfaumenamwewe193
    @hamisimfaumenamwewe193 3 роки тому +3

    Huna Dini wewe. Muhuni tu. Bwana Yesu asifiwe mmeipata wapi?

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia 3 роки тому +2

      kwan wewe kinachokuuma nn, YESU hakuja kwa ajili ya wenye haki n
      bali alikuja kwa ajili ya wenye dhambi kama hao

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 3 роки тому +1

      Kwaiyo anamaanisha shishi Zambi zimemjaa

    • @mankamrema72
      @mankamrema72 3 роки тому +1

      Huna hat haya bora shishi sio ww shetan mweny mguu mmoj hat maji ya bure hujawai toa

    • @hamisimfaumenamwewe193
      @hamisimfaumenamwewe193 3 роки тому

      @@mankamrema72 Ubora wake nn?

    • @nilansaid2927
      @nilansaid2927 3 роки тому +1

      Sasa unataka kuwafundisha wakristo kuhusu dini yao? Wakristo wana Mungu wao na imani yao tofauti na dini nyingine na miungu mingine

  • @Alihamdulil
    @Alihamdulil 3 роки тому +1

    Wallah Uko mjinga sana falaaaaa mjinga weee huna hata haya mjinga fala wewe mjinga hunatahaya huna wislimu wowote na Allah akunusuru kwakweli ila natambuwa hujakwenda Skool ni Quran ni normal éducation huna , hujawahi hata sikumjaa kwenda kupeleka masjid mjinga

  • @nhobolasilasi1871
    @nhobolasilasi1871 3 роки тому +3

    Ujinga ulio kisili saana

  • @paulheavyrain9584
    @paulheavyrain9584 3 роки тому +1

    Sijui n mungu gani anayeabudiwa hapo. MUNGU sio wa michanganyo. Acha utani. Mungu haziakiwi. Go and invest in something else

  • @halimaleila2323
    @halimaleila2323 3 роки тому +1

    Marikiwa.san