HADI RAHA! ALIKIBA APIGIWA SHANGWE AKIIMBA RUN DUNIA
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Nimerudia tena leo 24.08.2024
Ivyo ndio msanii anatakiwa aimbe kwenye show na sio kupiga makelele tu na kufosi watu washangilie ujinga
Tuko tunaopenda kelele
Kaka umelonga kweli
Halafu kuna mjinga ana mfananisha na wapuuz wapuuz 😂😂😂😂
Nyie huyu Alikiba ni Nyoko🔥🔥🔥 He deserves a crown 👑👑
Jamani Alikiba halinganishwi na msanii mwengine katika nyimbo za wosia tena zenye mguso halisi wa mahaba ❤❤...maisha mema kiba🎉
Isingekuwa sio kwamba mziki unabadilishwa na ukisasa dah alikiba ni mtunzi mzuri na kabarikiwa sauti ,ukitaka kuamini hilo sikiliza nyimbo za zamani za alikiba,kama macmuga,hadidhi, mapenzi yanarun dunia,na zingine nyingi
True
Nimeludia mala ya 7 leo 22/02/2024 Hiyi concert kabixa ilikua ya kawaida Get your Flowers 🌺🌹 Mfalme wetu wa East Africa 🇹🇿🇹🇿👑🥇🪙
Niko hapa leo tarehe 18/04/2024 💪😊 on repeating again and again
Huyu jamaa ajengewe sanamu tu popote nchini serikali wanasbur nn
Kupafom live na kuwaridhisha watu si mchezo 🧐 hasa Kwa bongo flavor..ambayo imejaa auto tunes.
King mnyama sana 🎉
Ni balaa
hiyo nikweli
Ila Kiba anajua kucheza na jukwaa
Maana ya mzik kuongea wenyew ndo hii siyo weka mikono juu 😂😂 alah nimelipa hela yangu bado unambie niruke ruke aweee
Anyone 2025😅
King kiba ni mmoja tu Africa!hujutii kulipia kiingilio kwenye show yake..!#UNYAMA.
Mpigaji wa piano ,wa kidar yani stage yote imeenjoy
Nakubali nikiwa South Africa 🇿🇦
ua-cam.com/video/Sd0uUyteGtM/v-deo.htmlsi=DOsXhOrZtl_wssGC ANGALIA KISANGA
Huyu jamaa ajengewe sanamu tu popote nchini serikali wanasbur nn
The True King of Bongo Flavour ✊🏼✊🏼✊🏼🔥🔥🔥🔥
Lakini pia uvumilivu na vitendo vya karaha viliniumiza, Haya uliyofanya leo ikifika kesho utajibuni nini kiama, Unatema big G kwa karanga za kuonjeshwa👑👑👑🔥🔥🔥
Mfalme huyu Hakika utunzi mzuriii
Mfalme huyu Hakika utunzi mzuriii
King of voice tz,,,,the only one King 👑 see u Nairobi next tm
Nice 1 na hapa ndipo tunapomsahau yule HASIMU wake. Alikiba is real King
Jamaaa anajua live dah ni mnomaaa
Jamaa fundi tumpe maua yake
King of the King
Munyama❤
it's a frag🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Greatest of all time
King kiba is very creative 💪💯💯
King Kiba he got much talent on the stage when singing live
Swala zima la kuimba live muachieni uyu baba amina
Mwanamuziki
Mwenye Muziki wake
Huyu ni kiboko kwa live stage
show imejaa utulivu sn
💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯
Mashairi yasiyo hata na chembe ya matusi😊😊😊
King. Hana mpinzani kwenye anga za live show
Wamjua Christian Bella??
Fundiiiiiii wa live bongo
Hugusikii brooo it was so dopest
GOAT 👑
Bro you killed it on this lit.....
Jamani jamani king ajengewe sanamu
national asset
The king
2024 0n may 04
🔥🔥🔥🔥
Hakuna makelele show live band safi kabsa na watu wameenjoy
Mwamba kweli jamaa
We ni king 👑👑👑 tu ila yupo xmba mtu huko Hy mi kelele kwenye xitej huxikii nyimba wala nn yani vurugu tu
mshkaji yupo vizur
Wapi jamani nimepitwa
❤😂😂🎉🎉
King kiba❤
King of music 🎉🎉
❤
noma sana❤❤❤
King of music 🔥🔥🔥🙌🏾
King him self 🎉🎉🎉🎉
Jamaaa ana jua
Nakukubali alikiba kaka
KingKiba🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿✅
King 👑🔥🔥🔥🙌🙌
Kwa Sasa hii ndo miziki inayo takiwa ya live sio play baki mtu amechomeka frashi eti Ana imba uongo huu ndo uana mziki jamaa alikiba ni no1tanzania
King kiba nakukubar sana,chukua maua yako🎉🎉
Huyu jamaa ni noma sana
The king himself
The great artist 4life ❤❤❤
Pamoja
King kiba 💯
Mwenye bongofleva yake
Ata Mimi naa hinjoh🙏
Unyama mwingi sana 💯
King Kiba🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎶🎶🎵🎵🛠️✅
fundi
Alikiba ako zaidi ya sawa 💯👑
African chrismartin
Jamani king mungu akulinde na akutunze
Till goose-bumps wallah❤
one man army De King Himself 🎉