Bro wewe nikiboko yaoo kabisa unakumbusha nyimbo ambazo nilikiwa naimba kipindi ambacho nilikuwa kwenye shule lamsingi so ongera saaana bro kwenye kazi ya mziki🎵🎵🎵🎤🎤🎸🎻 mimi nakusiliza kutoka drc🇨🇩
Kuamka kwa wenza wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa wimbo wa Utu ni dhihirisho kuwa Huu wimbo ni mkomavu sana na King kapokezwa baraka na wazee . ..gonga like tafadhali shabiki wa King
Ally kiba kiukweli wewe ni mwimbaji na mtunzi mzuri wa muziki.sinderera ni wimbo ambao unasawiri Maisha halisi ya jamii nyingi za kitanzania zilivyopitia hatua mbalimbali coz watu wengi waliamini kuwa Kila binti lazima aolewe na tajiri au msomi mkubwa kumbe . Fasihi inatufundisha kuwa Maisha ni harakati ambayo walio Safi Sana Kwa sasa ni kipindi Tu cha mpito na hata wasionacho mungu Baba kesho Yao watakuwa katika stage ya umaarufu na wataheshimika Tu.Nakutakia mafanikio mema katika bongo flavour
Salute to the King of bongo flavor somo anajua mpaka anakera🔥🔥🔥alafu hiyo Playlist ya huyo Dj ni zaidi ya moto du yani mpaka nashikwa na goosebumps i say.. Vibe la kibabe sana,, love from 254 🇰🇪 Mombasa
@@mussalydforex6726 anajua kuimba na vocal zake ni za ukweli acha wale wa kuongezewa,huyu ni mkali wao sema ameridhika alipo... Angekua mbishi angekua mbali sana
Nakupenda kwa Ajili ya Allah my king Kiba Mungu azidi kukulinda na azidi kukupa Afya njema na kheri nyingi ktk maisha Unajua hadi unajua tena solute nyingi kwako my brother💪
Kila nyimbo ya king kiba ni 🔥🔥🔥 akuna kwiksipai são músicas que sempre vive em alta qualidade na há histórico como ele eu gosto muito de Alikiba on fire
kuna utofaut mkubwa kati ya mziki na nyimbo kiba ni mwanamziki ila wengine wasanii sion msanii yeyote tz hii wakumfikia huyu tukubali tukatae ila najua tumejitengenezea uaminifu kwa wale tunaowapenda ila so dhambi kila mtu ana haki yakupenda k2 anachokipenda ila mm team kiba damu
Bro wewe nikiboko yaoo kabisa unakumbusha nyimbo ambazo nilikiwa naimba kipindi ambacho nilikuwa kwenye shule lamsingi so ongera saaana bro kwenye kazi ya mziki🎵🎵🎵🎤🎤🎸🎻 mimi nakusiliza kutoka drc🇨🇩
NAKUBALI FROM DRCCD
Kuamka kwa wenza wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa wimbo wa Utu ni dhihirisho kuwa Huu wimbo ni mkomavu sana na King kapokezwa baraka na wazee . ..gonga like tafadhali shabiki wa King
Mimi ni wakwanza uku mozambique ,
king hanaga mpinzani asee
Kama kuna siku mtu alikusema vibaya @Alikiba ataomba msamaha tu 🙏.
#Kingkiba unajua Sana 💥💪
Kikweli hamna kama Ali kiba bongo ni kama marehemu Kanumba hamna kama yeye be blessed kiba Mungu akujalie maisha marefu InshaAllah 🙏
Uzuri wa nyimbo za kiba unawezakuzisikiliza ukiwa na mtu wa rika lolote
Kweri
Nikweli kabisa hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana Kiba ww ni king
YES ITAPITA MIAKA 100 KUPATA MWANAMZIKI MWENYE VOCAL RANGE INAYO MATCH NA HUYU MWAMBA 💪💪💪
daah! sometimes mtu anafeel sorry kama ulimsemaga vibaya vijiweni. Umeimba vizuri sana king kiba 👏
🙏 true say
Alikiba pekeake ndio msanii anaweza kuimba sauti ileile ya kwenye audio.yan hata akiimba akapela utasema km anaimba kwenye nyimbo.wengine xx🤣
🤣🤣🤣😂kwel
Ukweli mtupu😂😂😂🙌
Nikweli uyu kak yupo vizur sauti ileile
Uzuri brother hajuagi kulinga nampenda sana love kubwa sana kwa wana😂😂🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Af anatoka mlevi mmoja kanywa wanzuki anajifananisha na Hy mwamba😅
Watulizeee makomwe yaoooo kabisaaa 🤣
Ngoma za mfalme zinaishi utafikiri zimetoka jana saluti kwako king kiba kwa mziki mzuri kings for life👑👑🌎
Saana
King nowma sanaaaaaa ubarikiwe
Ameua...ameuaaaa...ameuuuaaa....ameuuuuuuaaaaaaaaaa.......🙌🙌🙌🙌
King my bing boss🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏aiiishii maisha mafefuuu tunu ni zaadhabuuu tuliyoletewa na mwenyezimunguu tuituzee tunamsamini💯💯💯🙏🙏🔥🔥
Kwenye hii show kina umechangamka sana 🤣🤣 by the way dj alikuwa mzuri sana
Huyu mwamba ana kila kitu na achoboa Zaid Yani hata umsemeje hajali na haringi🤗
wala hajali 💥💥💥💥💥💥
My king milele
Muache kumfananisha king kiba na utopolo mwengine
💯💯💯dj mnoma San apewe kitu kwa bill yangu..ma dj kama Hawa wamebaki wapi kweli back to back nimeipenda sana
Unyama sana,,kiba wa moto kiboko huyu mtoto wa mama kiba God continue giving you energy my brother ♥️♥️🇰🇪
Bongo fleva iko salama kwenye mikono ya kiba
Heshima sana sana kwako Alikiba show umeumiza kinoma noma make hadi meza KUU umeinua MamaSalma hadi nae anakubali#UTU🎵❤🔥🔥
Ally kiba kiukweli wewe ni mwimbaji na mtunzi mzuri wa muziki.sinderera ni wimbo ambao unasawiri Maisha halisi ya jamii nyingi za kitanzania zilivyopitia hatua mbalimbali coz watu wengi waliamini kuwa Kila binti lazima aolewe na tajiri au msomi mkubwa kumbe .
Fasihi inatufundisha kuwa Maisha ni harakati ambayo walio Safi Sana Kwa sasa ni kipindi Tu cha mpito na hata wasionacho mungu Baba kesho Yao watakuwa katika stage ya umaarufu na wataheshimika Tu.Nakutakia mafanikio mema katika bongo flavour
Kachangia damu na kapanda stejini kukiwasha
Namuona mzee jakaya anamwangalia kwa Makini king wa Mziki
Dj ✅ anajua then ni King 👑👑👑 kibaa always ni fundi 🔥🔥
💯 kwa dj,alikiba all time legendary in tanzania
Salute to the King of bongo flavor somo anajua mpaka anakera🔥🔥🔥alafu hiyo Playlist ya huyo Dj ni zaidi ya moto du yani mpaka nashikwa na goosebumps i say.. Vibe la kibabe sana,, love from 254 🇰🇪 Mombasa
Same bro huwa napata goosebumps kwa huyu mchizi wa bongo ali k for real
@@mussalydforex6726 anajua kuimba na vocal zake ni za ukweli acha wale wa kuongezewa,huyu ni mkali wao sema ameridhika alipo... Angekua mbishi angekua mbali sana
@@msilibi yas ameridhika sana kiba ila anajua sans
Ali ni mwanamuziki bora wa muda wote... hongera sana kwa kazi nzuri na zinazoishi. Tutaelewana tu!
Ali ni wengi SEMA kiba ni mmoja tu🤟🤟🤟💯💯🙏❤️👏🤟🤪😜😂😅😆
nani kagundua hii love ya kutosha inatoka kwa wana tena wanaume
"Utu" est la meilleure chanson de l'année 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 👑
Hatari sana king kiba una voice kali sana🔥🔥
Vocal balaa
Nakupenda kwa Ajili ya Allah my king Kiba Mungu azidi kukulinda na azidi kukupa Afya njema na kheri nyingi ktk maisha Unajua hadi unajua tena solute nyingi kwako my brother💪
mbona show tam alafu mwamba hatumii nguvu kama wakina naniliu.....
Naniliuuuuuuuuuu 😂
anajua
Dj anakitengo chake mbingunii🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Hahahaha umeonaeeee
Ali kiba watakuchukia dunia zima ila mimi ♥ nakupenda uko poa sana
Baba yetu ni alhaji ila birthday kwa mziki innalillah mungu turudishe kwenye njia uipendayo
Ur not perfect ,,, stay silence 🤐
@@monahmussamonah6229 good answer 😘
Kila.mtu Aishi yake!!!
Ameandaliwa so angekataaaaje yani mtihani
Uzur WA Ngoma zako ni Kali sanaaaaaa harafu hazina ukakasi
Ach kbs sehem yoyoy unaimb bil uwog
Macha allahh toujours king force a vous dieu t’es protégé
Huyu jamaa anamziki wa kikubwa Sana Latisha Sana mbele ya kiongozi wetu msitafu namuona kainjio party yake uwepo wa king kiba umependezesha haswa
Nyimbo zake unaweza kuzisikiliza hata ukikaa na Baba mkwe 😂😂
Yani we ndo king wengine wanaiga tu
"Mala 10 mwanangu wa cinderella ye hapendagi makiki" onanaaa
This Man has a special love to the fans
Kadogo dats for our sister''Amina'' 254 Kiba's wife wap likes z 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Chalinze ilizizima jomon
Unyamaa
Namuona mweshimiwa kwenye utu amenyosha mikono na inaashiria UTU ni wimbo wa taifa
Hahaaa
Kikweli hata waheshimwa walikuja jukwaani wallah wewe kiba ndo kiboko yao coz nyimbo zako zinaimbwa hata na wazee
Muheshimiw jk, kasikiliza nyimbo zote ila huu utu imemfanya kanyanyua mikono juu💖💖💖💖
Huyu jamaa Mungu kamjalia kipaji congratulation king Kiba wala hata hatumii nguvu lkn watu wanatiii vzr tu
Kwl (kitu kikiwa chako hutumii maguvu mengiii uaminisha watu
Jamaa hata kama mziki ukizimwa sauti yake sasa utasema ndo tayari ashachanganya na beat
Halafu hana bodyguard hata mmoja na life yake inaenda
Mfalme ni mmoja tu hakuna ufalme ndani ya ufalme wote yebabaa
Wote wataimba nakin hapa Kwa king hamna kama yy nyimbo yake haziishi ham
Mwanamme na nusu.mwanamziki Bora wa kizazi kipya
Voice hatar nilichopenda permance ya nyimbo za kale but still wapi go kiba goooo
Kila nyimbo ya king kiba ni 🔥🔥🔥 akuna kwiksipai são músicas que sempre vive em alta qualidade na há histórico como ele eu gosto muito de Alikiba on fire
Mara paah ajichanganye mdabiliusibi mmoja stage moja na Alikiba atapotezwa mbaya na atarudi akasimulie usafini
The King ov Bongo huyu sio wakufananisha na boya yyte bongo
Jamaa anajua anajua tenaaa yupo vzr
This is Genius... More blessings to you King
Unyama
King anatupa rah zhabiki zake
🔥🔥🔥🔥 KING KIBA🙌🙌🙌❤❤❤
Njoo usikilize cover ya nyimbo ya Alikiba itakushangaza ila USISAHAU kukoment
Dj yuko makini sana nimemkubali🎶🔥👑💕
King always uko on top🔥🎶👑🙌
Msanii pekee Wa bongo fleva unayeweza kusikiliza nyimbo zake mbele ya wazazi wako. Kingi kiba
Kibaa ni mmoja tu🙏🎸
Wapi like za king jamani
tunamkubali
TBT za kibabe kutka kwa king🔥🔥🔥🔥
Kikubwa ninachomkubal hana mbambamba live anaimba kma vile yani ni balaaaaaah tupu
Kingkibaaaa magic voice
Vocal hatariiiiiiiii 👍👍👍
Hujawai niangusha KING upogo juu toka wakati uleeee
King kiba..best vocal, best sing..bigup👍🏿🇹🇿
Vocal yake hata Mimi naikubali, hamna msanii anayeimba vizuri live kama Kiba 🙋🙋
KINGKIBA anajua mpaka wachaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥💯✅
Unforgotable memory
kuna utofaut mkubwa kati ya mziki na nyimbo kiba ni mwanamziki ila wengine wasanii sion msanii yeyote tz hii wakumfikia huyu tukubali tukatae ila najua tumejitengenezea uaminifu kwa wale tunaowapenda ila so dhambi kila mtu ana haki yakupenda k2 anachokipenda ila mm team kiba damu
Huyu ni muimbaji tofauti na wengine
Watanzania wako mbele saa hii kisanaa.
They deserve a live band.
CD PLAYBACK ni za upcoming na watoto
Huyu jamaa ni noma
Wejamaaa unanjia zako bhn
Awakuwezi bana waachetu na ngenga zao wakuache miaka mia❤❤❤❤❤❤💥💥💥💥💥💥💥💥
Salute to the king himself....
Mashallah uyo ndio mfalme wetu
Wasalimie kigoma
Alikiba anasauti nzur bila kutumia vyombo lkn inatoka imenyooka atari
Happy birthday mweshimiwa
Msanii wa dunia
Kiba amekuwa kama JOHN CENA
Hivi ni Cinderella ama sindelela?lakini wabongo mbona mnang'oa hivi vitu ndogondogo mbona mtu asimakinike akiandika ?why,why
yani hapo malegend tupu ndo tunaelewa hizo ngoma kali
ukuna wakukupinga mzee
Umetisha kiba salute hakuna kama ww bongo
Kwani ally umeumia mkono
Walikuwa na zoez la kuchangia damu
Ooook kumbe ... Basi nikajua kaumia
Hili jamaa ni jini linalo onekana.by ALLY
I love dis guy💜🎼🤴
unyama mwingi kig
utu jamani😋😋😋😋
Anajua,anajua ,anajua tena
Kiba very nice
King4life
Safi sana ....
Tunakupenda sana tunakuombea mungu akupe maisha marefu bdo tunaitaj kukuona