MWINYI ZAHERA YANGA WANAKURUMBUKA KWENYE USAJILI/CHAMA DUBE HAWANA UWEZO WA KUCHEZA YANGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 31

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 3 місяці тому +2

    Your very intelligent Mwinyi Zahera because you can’t register somebody which you got already someone more than like him

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 3 місяці тому

      It's not that easy to understand what's happening at Yanga SC right now. Be patient and wait for the results on AUG 8 in the community shield match.

  • @zuberimohamed43
    @zuberimohamed43 2 місяці тому +1

    Kama yanga wakikurupuka ndo hivi wanabeba ubingwa waendelee tu kukurupuka zaidi ya hapo sis tuna enjoy💛💚

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 2 місяці тому

    Zahera umepata timu, kwa heshima tunayo kuheshimu kwa yale uliyotufanyia, acha kuzungumzia usajili wa yanga, fanya kazi ya timu yako ya Sasa.

  • @JumaMigezo
    @JumaMigezo 3 місяці тому +2

    Alie amini kuwa mwinyi zahera anatafuta kazi agonge like

  • @issaselemani491
    @issaselemani491 2 місяці тому

    Tunahitaji kikosi kipana na timu haizuiwi kuchukua mchezaji kutoka kwa mpinzani wako.Hao unaowataja ni wachezaji wazuri pia wala siyo wabaya.

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 2 місяці тому

    Mkude & Chama political signing

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 2 місяці тому

    First eleven ni wachezaji 11 kocha hawawezi kuwa timu nzima isipokua ili kazi ya kushiriki mashindano yote bila shida unahitaji kuwa na kikosi kipana,faida ya kuwa na kikosi kipana ilionekans kwenye mechi ya mamelodi baada ya kukosekana kwa kina Aucho na zuzua

  • @makabemwita4843
    @makabemwita4843 2 місяці тому

    Fuatilieni namna Bayern Munich ilivyokuwa unafanya ilo ku dominate soka la ndani, lazima uhakikishe timu zingine hazikai na wachezaji wao wazr, wakati Bayern Munich inawachukua akina Mat humes, kwani haikuwa na mabeki.

  • @djnyosoofficial305
    @djnyosoofficial305 3 місяці тому

    Zahera juuu

  • @MichaelSangula
    @MichaelSangula 2 місяці тому

    Haikuhusu tulia Namungo

  • @thomasdimme7899
    @thomasdimme7899 2 місяці тому

    Coach ur wrong au unawaonea wivu yanga

  • @boscomalangalila
    @boscomalangalila 2 місяці тому

    Zahera huna lolote Rudi kwenu Moira was Tz umekushinda

  • @BennBenn-es5fi
    @BennBenn-es5fi 3 місяці тому

    Huyu kocha anajua mpira. Na ukwelii anaipenda sana Yanga.

  • @abdallahidrisa710
    @abdallahidrisa710 3 місяці тому +1

    Huyu hana lolote aliuza timu. Hivi shishimbi na chama yupi bora.

  • @vertasmtenga2982
    @vertasmtenga2982 2 місяці тому

    Huyu jamaa akiwa kocha team inacheza Kama inasinzia flan hivi

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 3 місяці тому

    Kweli kocha!

  • @amosicommedy6917
    @amosicommedy6917 2 місяці тому

    Ameshindwa kusajili timu yake ibaki ligi kuuu kaacja ishuke kashusha na Ingine

  • @makabemwita4843
    @makabemwita4843 2 місяці тому

    Nani atampa kazi huyo ni dalali tu timu zimeishamjua, labda achukuliwe na Pamba, alichemka Yanga, Polis Tz, Coastal na hata Namungo kachemka anabaki anazurula tu kusema Mpiyaaa, sijui ndo lugha gani hiyo.

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 3 місяці тому

    Mbona timu ilimshinda atuache na timu yetu

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 3 місяці тому

    Ni team inaelekeya kuanguka unajaza wachezaji wenye wameisha kiwango chama ata Simba alikuwa anatoka bench siku moja moja yani awajui ata atacheza fasi gani

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 2 місяці тому

    Ni kweli kabisa Uyasemayo

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 2 місяці тому

    Zahera mwehu tu roho mbaya chuki na husda yeye zahera katuletea kindoki pumbavu zake mshenzi tu huyo shishimbi duka amchukue yeye mbwa yeye na shishimbi

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 3 місяці тому

    Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉

    • @DoreenMlay-e8g
      @DoreenMlay-e8g 2 місяці тому

      safi kwenye hamna kwahiyo akina debora na akina vale ndo wana uwezo kuliko chama na dube? acheni kupotosha watu huo ni upuuzi usio na maana
      o

  • @speciallvoice8091
    @speciallvoice8091 3 місяці тому

    Uyu jamaa Yuko vzr sana Zahera nakukubali

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 3 місяці тому

    Kweli zahera umeongea facts sikuona umuhim wa kusajili sajili izi.tumesajili kwa mihemko