First eleven ni wachezaji 11 kocha hawawezi kuwa timu nzima isipokua ili kazi ya kushiriki mashindano yote bila shida unahitaji kuwa na kikosi kipana,faida ya kuwa na kikosi kipana ilionekans kwenye mechi ya mamelodi baada ya kukosekana kwa kina Aucho na zuzua
Fuatilieni namna Bayern Munich ilivyokuwa unafanya ilo ku dominate soka la ndani, lazima uhakikishe timu zingine hazikai na wachezaji wao wazr, wakati Bayern Munich inawachukua akina Mat humes, kwani haikuwa na mabeki.
Nani atampa kazi huyo ni dalali tu timu zimeishamjua, labda achukuliwe na Pamba, alichemka Yanga, Polis Tz, Coastal na hata Namungo kachemka anabaki anazurula tu kusema Mpiyaaa, sijui ndo lugha gani hiyo.
Ni team inaelekeya kuanguka unajaza wachezaji wenye wameisha kiwango chama ata Simba alikuwa anatoka bench siku moja moja yani awajui ata atacheza fasi gani
Zahera mwehu tu roho mbaya chuki na husda yeye zahera katuletea kindoki pumbavu zake mshenzi tu huyo shishimbi duka amchukue yeye mbwa yeye na shishimbi
Your very intelligent Mwinyi Zahera because you can’t register somebody which you got already someone more than like him
It's not that easy to understand what's happening at Yanga SC right now. Be patient and wait for the results on AUG 8 in the community shield match.
Kama yanga wakikurupuka ndo hivi wanabeba ubingwa waendelee tu kukurupuka zaidi ya hapo sis tuna enjoy💛💚
Zahera umepata timu, kwa heshima tunayo kuheshimu kwa yale uliyotufanyia, acha kuzungumzia usajili wa yanga, fanya kazi ya timu yako ya Sasa.
Alie amini kuwa mwinyi zahera anatafuta kazi agonge like
Tunahitaji kikosi kipana na timu haizuiwi kuchukua mchezaji kutoka kwa mpinzani wako.Hao unaowataja ni wachezaji wazuri pia wala siyo wabaya.
Mkude & Chama political signing
First eleven ni wachezaji 11 kocha hawawezi kuwa timu nzima isipokua ili kazi ya kushiriki mashindano yote bila shida unahitaji kuwa na kikosi kipana,faida ya kuwa na kikosi kipana ilionekans kwenye mechi ya mamelodi baada ya kukosekana kwa kina Aucho na zuzua
Fuatilieni namna Bayern Munich ilivyokuwa unafanya ilo ku dominate soka la ndani, lazima uhakikishe timu zingine hazikai na wachezaji wao wazr, wakati Bayern Munich inawachukua akina Mat humes, kwani haikuwa na mabeki.
Zahera juuu
Haikuhusu tulia Namungo
Coach ur wrong au unawaonea wivu yanga
Zahera huna lolote Rudi kwenu Moira was Tz umekushinda
Huyu kocha anajua mpira. Na ukwelii anaipenda sana Yanga.
Huyu hana lolote aliuza timu. Hivi shishimbi na chama yupi bora.
Huyu jamaa akiwa kocha team inacheza Kama inasinzia flan hivi
Kweli kocha!
Ameshindwa kusajili timu yake ibaki ligi kuuu kaacja ishuke kashusha na Ingine
😂daaah
Nani atampa kazi huyo ni dalali tu timu zimeishamjua, labda achukuliwe na Pamba, alichemka Yanga, Polis Tz, Coastal na hata Namungo kachemka anabaki anazurula tu kusema Mpiyaaa, sijui ndo lugha gani hiyo.
Mbona timu ilimshinda atuache na timu yetu
Ni team inaelekeya kuanguka unajaza wachezaji wenye wameisha kiwango chama ata Simba alikuwa anatoka bench siku moja moja yani awajui ata atacheza fasi gani
Kolo bhana😂😂
Ni kweli kabisa Uyasemayo
Zahera mwehu tu roho mbaya chuki na husda yeye zahera katuletea kindoki pumbavu zake mshenzi tu huyo shishimbi duka amchukue yeye mbwa yeye na shishimbi
Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉
safi kwenye hamna kwahiyo akina debora na akina vale ndo wana uwezo kuliko chama na dube? acheni kupotosha watu huo ni upuuzi usio na maana
o
Uyu jamaa Yuko vzr sana Zahera nakukubali
Kweli zahera umeongea facts sikuona umuhim wa kusajili sajili izi.tumesajili kwa mihemko