MCHUNGAJI HANANJA AFICHUA SIRI ZA FREEMASON MIEZI YA KAFARA AJALI NYINGI.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 163

  • @LivingAlfons
    @LivingAlfons 9 місяців тому +10

    Huyu mchungaji namkubali xana,anaongea ukweli mtupuuu 👏👏 MUNGU akupe maisha marefuuuu,be blessed pastor

  • @EssauEmanuel-j9r
    @EssauEmanuel-j9r 9 місяців тому +8

    Hekima na busara maarifa na ufahamu mkubwa unapatikana kwenye neno la Mungu.mzee wangu Mungu aendelee kukufanikisha.

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho 10 місяців тому +20

    Huyu mzee Aishi sana,maana anaongea ukweli na kama mtu utashindwa kumuelewa huyu basi tena.🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 10 місяців тому +32

    Mchungaji akiongea ni kama comedy lakini ni bonge la lesson. Nakupenda bure pastor

    • @Wami-Sababisho
      @Wami-Sababisho 10 місяців тому +4

      Na ili watanzania wakuelewe lazima ufanye kama anavyofanya 😂😂, yaani nikiona chochote kuhusu yeye lazima nimsikilize kasemaje. Ana vitu vingi sana vya kuelimisha maana anaongea uhalisia hana siasa.Mungu ambariki sana

    • @evaristmbuya6220
      @evaristmbuya6220 9 місяців тому

      Sophia mambo😊😊

    • @emmanuelsembua4282
      @emmanuelsembua4282 3 місяці тому

      ​@Wami😅o0 3:05 -Sababisho

  • @sixberthcostantini9290
    @sixberthcostantini9290 10 місяців тому +6

    Mchungaji tunashukuru sana kwakutupa elimu ya maisha sisi vijana
    Tunahitaji elim ya maisha kuacha elim ya darasani
    Hivyo uliyoyaongea nisahihi kabisa tunakushukuru sana Mungu akulinde sana sana

  • @SimonLaswah
    @SimonLaswah 4 місяці тому +3

    Namkubali sana huyu mchungaji anachosema ni kweli

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 9 місяців тому +2

    Hananja mm ni muislamu lakini nakufuatilia sana coz unsmtaja mungu na mungu ndio wetu sote.shukrana jazaka allah kheir

  • @gallousgosbert4993
    @gallousgosbert4993 7 місяців тому +3

    Huyu mchungaji huwa namfananisha na yule kijana Godlove

  • @charleslambourne4831
    @charleslambourne4831 7 місяців тому +2

    Ubarikiwe mno. Una kipaji Sana Pia huogopi kuongea ukweli.

  • @ndera_boy_tz_acter4578
    @ndera_boy_tz_acter4578 9 місяців тому +2

    Thanks for give me point my pastor hananja

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 2 місяці тому +2

    " Hapo ni kweli sana mchungaji!! Nov/ Dacember 31 ni siku ya makafara! Mimi yalinikuta dec. 31 kuamkia mwaka huu 2024!! Naishi ulaya na nilitemani kusherehekea na ndugu/ jamii yangu kumbe nilikuwa nimepelekwa mizimuni nife siku hiyo!! Ghafla nilishikwa mbavu na kupoteza fahamu na kufungwa maneno na nikawaona ndugu zangu wakanipa kisu nishikile mkono kushoto ni chinje kitu!! Niliwaachia Mungu wáwahukumu!!

    • @mwakipiano4568
      @mwakipiano4568 2 місяці тому

      Pole Sana ni Neema ya MUNGU

    • @kuschprince3216
      @kuschprince3216 2 місяці тому

      @@mwakipiano4568 Mchungaji haikuishia hapo! Tarehe 17. jan.2024, nilishikwa kabari na wakora hapo Mombasa GPO kwa nyuma! Walikua vijana 4 lakini kwa neema na ujasiri nilioupata kutoka juu, tulipambana na wakakimbia na waliwahi kuiba tu miwani! Baada ya week moja nikwa kijijini (Kilifi/ Malindi county) nilisakamwa ni mwiba wa samaki jioni tukila dinner!! Hali ilikua mbaya sana lakini kwa maombi maumivu yaliacha baada ya week 1/2!! Kwa kifupi mwaka huu niliponea vifo mara tatu, jee hiyo ni kawaida!?!! Na pia kuna mchumba ambaye natarajia kumuowa, jee yaweza kuwa kuna nuksi kwani tulikutana kimwili, kindly advice me!! Naishi Germany!

  • @savemeallah5180
    @savemeallah5180 9 місяців тому +2

    amina amina sana mshauri mwema munguaku samee makosa uliyo yafanya kwanguvu zamwenyezi mungu kaza imaniyako pasta mungu akufungulie kilalaeri amina ❤🎉

  • @PatriciaAkena
    @PatriciaAkena 9 місяців тому +2

    Mimi na mpenda kwa mawaitha..safi kabisa watu uwongea nikama shetani ana mamlaka kushinda mungu

  • @totomuyenjwa-wv6vi
    @totomuyenjwa-wv6vi 10 місяців тому +2

    I appreciate you mchungaji,wewe ni mkweli hata msikitini unaingia, kubwa sisi sote lengo ni moja,kuwa mnyenyekevu,mtiifu, kiasi na toba ❤❤❤

  • @loycep7785
    @loycep7785 9 місяців тому +2

    Ukweli mchungaji Hananja Mungu akubariki mno mno maana unaenda na Biblia mkisema ile kweli na hiyo kweli itwaweka huru
    Hata mimi naungana na wewe mchungaji kwamba siju zote na miezi na miaka iko sawa kwa Mungu
    Isipokuwa ni tabia tu wanadamu tulivyo

  • @saumusulaiman4742
    @saumusulaiman4742 9 місяців тому +2

    Mungu akulinde xn pastor 🙌 🙏 nakuelewa xn unaongea ukweli xn❤

  • @leonardongwae8257
    @leonardongwae8257 10 місяців тому +6

    Nampenda sana uyu mchunganji comedian am watching from Qatar

  • @hkmfurazuberiismael7952
    @hkmfurazuberiismael7952 8 місяців тому +2

    Sio sili mimi n Muslim lkni Huyu Mchungaji nampenda sana ksbb anaongeaga Ukweli sana k,k,t Sipeech zake

  • @catherinemraishe3264
    @catherinemraishe3264 10 місяців тому +6

    MChungaji yuko vizuri sana ana mafundisho sana NAMPENDA SANA KWA KUJUA BIBLIA YOTE KICHWANI BONGE LA MWALIMU WA KILA NYANJA MUNGU AMPE MAISHA MAREFU

  • @aminamjema-kf7qr
    @aminamjema-kf7qr 10 місяців тому +4

    Hongera mchungaji mungu amekupa kipaji sana mistari ya bibilia unayo kichwani pia upo mkweli kuna vitu vya kujifunza na kujua unaishi VP na jamii

  • @ShukraniTulyanje-ql8ud
    @ShukraniTulyanje-ql8ud 10 місяців тому +6

    Nimekuelewa Sana baba hasa kwenye mafundisho ya hatua ya maisha point kubwa.

  • @ireneinnocent4128
    @ireneinnocent4128 9 місяців тому +2

    Hakika mchungaji uko vizuri sana. Hongera baba sichoki kukusikiliza kabisa

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 9 місяців тому +2

    Mtoto faida , shukran mchungaji

  • @LovenesyMhame
    @LovenesyMhame 3 місяці тому +2

    Kwakwer mweny kuelew n aelew nabarikiw zaid mafundish mengn hat mzazi hawez kukwambia❤❤❤

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 10 місяців тому +10

    God bless you pastor

  • @totomuyenjwa-wv6vi
    @totomuyenjwa-wv6vi 10 місяців тому +2

    Tanzania kuna watu weengi wanakukubali zunguka mikoa yote kama kina mwamposa,watu wa dini zote tu/watakufata na kukuona, Godbless you.....

  • @fanuelhenrish2290
    @fanuelhenrish2290 9 місяців тому +2

    Mungu akubariki mchungaji🙏🙏🙏

  • @emanueliwilison178
    @emanueliwilison178 10 місяців тому +2

    Sana Bab tunakuombe tuombee tuvuke Salam 2024 nakupenda pastor hananja

  • @yohanamsagara1999
    @yohanamsagara1999 10 місяців тому +4

    nakukubali sana mchungaji wangu 🎉🎉 unatoa mafundisho ya kwely

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 10 місяців тому +2

    MCHUNGAJI HANANJA: Ubarikiwe sana kwa mahubiri yako yenye kujenga imani ya kweli. Hakika kila muumini yeyote anatamani kusikia somo lako

  • @hilalmahrazi2287
    @hilalmahrazi2287 9 місяців тому +2

    Nakukubali sana mchungaji wewe ni mwana filosofia

  • @EvalineRyoba-gr8xn
    @EvalineRyoba-gr8xn 10 місяців тому +2

    Ubarikiwe endelea kuhubiri neno LA mungu

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 9 місяців тому

    Asante sana dhambi ni dhambi so ukifanya dhambi fanya dhambi bila huruma😊

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 9 місяців тому +2

    Shibe kwannza baba.Mwenyezimungu ndio mwenye kuruzukuuu

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 10 місяців тому +42

    Mm ni muislam lkn huyu mchungaj namkubal sanaaa

  • @dicksondotto958
    @dicksondotto958 10 місяців тому +2

    Asante sana Mchungaji

  • @alinotiwampe7420
    @alinotiwampe7420 10 місяців тому +2

    Mungu atulinde mchungaji hananja Wewe nimkufunzi mziri

  • @RenaldLaswai
    @RenaldLaswai 9 місяців тому +2

    Mchungaji hananja hongera kwakuelimisha jamii

  • @jacksonjoseph2895
    @jacksonjoseph2895 10 місяців тому +2

    Balikiwa pastor

  • @totomuyenjwa-wv6vi
    @totomuyenjwa-wv6vi 10 місяців тому +2

    I appreciate you

  • @hedayajamada7039
    @hedayajamada7039 10 місяців тому

    Yaan Mtumishi tunakupenda sana uwaga hauna ubaguz.i Wewe watu wote ni sawa.. ubarikiwe sana.i

  • @scollantandu2350
    @scollantandu2350 9 місяців тому

    Dah kwakweli mtumishi 🙏🙏

  • @kassimhashi49
    @kassimhashi49 9 місяців тому +2

    Tunakupenda sana

  • @ZainabuIddy-r1o
    @ZainabuIddy-r1o 10 місяців тому +2

    Point nzur sana Mchungaji ❤

  • @عبدالرحمنسالم-ذ8ز
    @عبدالرحمنسالم-ذ8ز 9 місяців тому

    Mchungaji mungu akubariki sn kwa huduma

  • @IsacRobath
    @IsacRobath 9 місяців тому +2

    Estás de parabéns pastor 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @salummgunda9122
    @salummgunda9122 10 місяців тому +4

    Huna baya baba mchungaji🙏🙏🙏

  • @hasankasam5576
    @hasankasam5576 10 місяців тому +6

    Namkubali sana ni true story yani sahihi, anamwamsha alielala,anampa nguvu alie kata tamaa, anamzindua aliedanganyika na anamfahamisha asiyejua kama hajui..

  • @GideonsGBGodfrey
    @GideonsGBGodfrey 10 місяців тому +4

    #HANANJA..Ishi sana baba miaka 650

  • @MTANGACOMEDYTZ
    @MTANGACOMEDYTZ 10 місяців тому +10

    Hananya unachekesha sana ishi miaka buku 😂😂😂

  • @Dominant97
    @Dominant97 9 місяців тому

    Nakubariki Mchungaji wewe kwa Jima la Yesu kristo,nakubali sana mafundisho yako
    Amen.

  • @inocentlema5574
    @inocentlema5574 9 місяців тому

    Huyu mchungaji yuko smart sn🤝

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 10 місяців тому +4

    ASANTE BABA HANANJA, NI KWELI HAKUNA MWEZI MBAYA, ILA SISI TUNAFANYA MAOVU VIPINDI VYOTE, KUFRU, KIBURI, ANASA WIZI NK. TUJIEPUSHE

  • @mauaabasi591
    @mauaabasi591 10 місяців тому

    Hongera
    Sana.kwa.kuwaelimisha.watu.

  • @eben_ezer8853
    @eben_ezer8853 10 місяців тому +2

    Huwa nakuelewa sana mchungaji

  • @mfirimassawe9023
    @mfirimassawe9023 10 місяців тому

    Bba mungu akupe afya Zaid uwe na mwisho mwema na kutuachia urithi was neno hilo

  • @Tito-dc6vy
    @Tito-dc6vy 10 місяців тому +2

    Ahsante.baba.kama.unaniona.vile.mimi.sina.chochote.zaidi.ya.nguo.tuu

  • @AsanteNsamba
    @AsanteNsamba 9 місяців тому

    Ishiii maishaaa marefuu baba hananjaaaa tunajifunzaaa mengii kwakoooo

  • @DeusMbalamwezi-h7t
    @DeusMbalamwezi-h7t 10 місяців тому

    Mungu akupe maisha marefu utupe matunda

  • @ramadhanikigoto
    @ramadhanikigoto 10 місяців тому

    Uko vizuri sana mchungaji

  • @angelsulle7177
    @angelsulle7177 10 місяців тому

    Nalipenda sana Kanisa Katoliki ❤❤❤❤ Bwana Yesu alisimamie thidi ya mbwa mwitu

    • @Aziz-p6s
      @Aziz-p6s 10 місяців тому

      Papa

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 9 місяців тому

      Papa ni Binadamu Kama wewe na mapungufu Kama wewe hiyo ni kofia tu

  • @charlesmbena9121
    @charlesmbena9121 10 місяців тому +2

    A man himself pastor hananja go go go man of God

  • @ellymzera2457
    @ellymzera2457 10 місяців тому

    Hakuna jipya chini ya jua kweli Shukran kwa mafunzo 🇰🇪.

  • @ErnestMshana-q6x
    @ErnestMshana-q6x 10 місяців тому +2

    Rich billionea mchungaji of the world

  • @peterminde4037
    @peterminde4037 10 місяців тому +2

    Dah! Nimejifunza kitu ila nimecheka sana😂😅😂.
    Mchungaji aishi miaka mingi!!

  • @ustadhsaidi3801
    @ustadhsaidi3801 2 місяці тому

    Nam!
    Ni Binadamu ndio hawazigatii Mazungumuzo ya Mch.HANANJA.
    Vijana wengi wanataka maisha ya short cut

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 10 місяців тому

    somo zuri mzee

  • @MaryBiyaki-t4y
    @MaryBiyaki-t4y 10 місяців тому

    Napenda maneno Yako kabisa ❤❤

  • @DanielMtafya-lh8mi
    @DanielMtafya-lh8mi 10 місяців тому

    Pastor to Remember forever in my century.

  • @arjansonmloge5608
    @arjansonmloge5608 10 місяців тому +2

    Kweli siku zote ni sawa na zimeumbwa na Mungu bali tatizo letu ni kutaka kufanya mambo mengi katika muda mfupi! Hatuna subira!

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 10 місяців тому

    Safi sana mzee

  • @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
    @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny 10 місяців тому

    Nakupenda sana mchungaj

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 9 місяців тому

    Mchungaji Hananji kiboko sana.kuelekezwaaaa

  • @RASHIDKOMBO-w8j
    @RASHIDKOMBO-w8j 10 місяців тому

    Mzee safii

  • @casmuiddy7304
    @casmuiddy7304 10 місяців тому

    Safi mchungaji Rich......🔥🔥🔥

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 9 місяців тому

    Mchungaji Hanjani na kuheshimu na nakubali sana dini sio tatizo ila ufahamuuiu

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 10 місяців тому +6

    MM HUYU NDIO MCHUNGAJI WANGU NAMBA 1 , ANATUMIA AKILI ZAKE VIZURI SANA

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 9 місяців тому

    Wawili watapata moto kweli.sababu kijana anaebdelea na masomo lakini binti anaazirika na kutengwa.Dhambi ziko na darajaaa

  • @hkmfurazuberiismael7952
    @hkmfurazuberiismael7952 8 місяців тому

    😂😂😂😂😂😂 Ahwiiiiiiii eti biashara barabalani wanawake wa leo jamani wachokozi

  • @ntobolomasanja9564
    @ntobolomasanja9564 10 місяців тому

    Mch uko vzr

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 9 місяців тому

    Ukisikiliza kwa makini, hapa utagundua ubinadamu is all about common sense... But very unfortunately common sense is not common to everybody. Hapo ndo shida inapoanzia.watu wengi leo hawana common sense ya ku deal na mazingira yao

  • @linetbogonko2868
    @linetbogonko2868 10 місяців тому

    Nimekusikiliza sana.

  • @AwadhiKuziwa
    @AwadhiKuziwa 10 місяців тому

    Keep it bro Good interview

  • @erickgabriel6645
    @erickgabriel6645 9 місяців тому

    Aisee ni kwel tunakunywa sana pombe tukisafiri na gari binafsi

  • @eminix2132
    @eminix2132 10 місяців тому

    Natoka county ya Uasin Gishu asante mjungaji anafahamu maandiko kwelikeli

  • @charleslambourne4831
    @charleslambourne4831 7 місяців тому

    Naombeni namba ya simu ya huyu mchungaji

  • @masudikhatibu9179
    @masudikhatibu9179 10 місяців тому +2

    👍👍🌹😁😁😁

  • @SuzyMukhawana
    @SuzyMukhawana 10 місяців тому

    Mungu amlinde mzeekijana huyo kila kukicha🙏

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 9 місяців тому

    Kazi halali kwa sababu unaweza kupata pesa kwa Short cuts but unadbitiwa matumizi yake hata dadako hurusiwi kumsaidia so pesa ya short cut hatariiiiii😊

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla6622 Місяць тому

    Ktk gari siipendi duniani ni haka ka IST ni kagari ka kifala sana

  • @cadiaOnesmo-hd5lr
    @cadiaOnesmo-hd5lr 10 місяців тому +2

    Shemeji ake babu

  • @michaelseme7730
    @michaelseme7730 10 місяців тому

    Safi sana

  • @matimfuko641
    @matimfuko641 9 місяців тому

    Baruti inapigwa paa na wewe paaa kwaheri😆😆😆😅😅😂😂

  • @Salimsharifu
    @Salimsharifu 9 місяців тому

    Mchungaji siku zote ulikua wapi mpaka twalishwa maepo ya upako bwana

  • @fadhilidanieli1478
    @fadhilidanieli1478 6 місяців тому

    Hahahahah mchungaji nimekuelewa saaaana

  • @Rehema-n8h
    @Rehema-n8h 6 місяців тому

    ❤❤❤❤❤

  • @ndaziharuna4820
    @ndaziharuna4820 10 місяців тому

    Yaani Hananja kiukweli hua huniboi ata nikusikilizaje hingera sana mch

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga 9 місяців тому

    Sawa Sawa mchungaji

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 10 місяців тому

    Nampenda sana huyu mtumishi😅😅

  • @AmmyKurunge
    @AmmyKurunge 10 місяців тому +3

    Baba hananja nahitaj uniombee maana napenda maombi yako