🔴
Вставка
- Опубліковано 28 жов 2023
- 🔴#LIVE: DIAMOND AKIWASILI KAHAMA, AFUNGUKA KUTAPELIWA BILIONI 4 - "SERIKALI INAFUATILIA"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
Simba la masimba dangote,gosto muito deste cantor,pesso para vir aque em Moçambique.❤❤❤
This guy is a performer,he killed it at Nairobi Octoberfest 💥💥💥💥💥
Diamond💎 is very hardworking ❤Nairobi was 🔥🔥
NAMKUBALI SAAAANA MH. BABU TALE...ALLAH AZIDI KUKULINDA MKUU WEWTU.....#AMEEN....AMEEN 🤛👌🙌🙌
Anavyo ongea Diamond amekua vzr kiakili yupo vzr ndg yetu kila la kheri amin🤝🤲
Mm nipo mbezi salam zimfikie da dida maana ndoto yngu nilitaman niwe kam yy sombay nilivokosa nikamzaa mtt anaitw dida lovu u so much dida.
Na unataka mtt wako akikua afuate nyayo za dida😂
Diamond ni jamaa anaejituma sana sana big up lion
Yeahman hardwork always paid
🔥🔥🔥 Simba la masimba
Mchaga OG kesho
Diamond Marekani.
Huyu jamaa Noma sana
Simbaaaaa....myamaaaah....!!! By Mr okay 1time
Wa kwanza Leo. Nipen. Maua yanguu
APO KWENYE KUGONGEWA MBONA KIEYEJI 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Akuna kma Diamond platinum 🎤
"Naona vitu vya red" Boss hana wivu anafurahia kuona vijana wake hawashushi brand.. zingatien sana muonekano wazee..kitu hamjui kijana jipende,zingatia muonekano..ni mojawapo ya njia ya kukupa maokoto..blv💊🤏
Diamond ❤❤❤❤🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
Ni mwendo wa private jet tu 🔥🔥🔥🙌
nawakubali wasafi
Vizr san yan nakubali san
Wale wazee wa kuiga muige na hiyo tuwakute ICU😂😂😂
Ila Mungu kuna watu anabariki sana.
Simba unaua sana broo 🎖🎖🎖🎖🎖🎖🎖🎖🎸🎸🎸🎺🎺🎺🎺🎼🎼🎼🎧🎧🎧🎤🎤🎤🎬🎬🥈🥈🥉🥉🎫🎹🎹
🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥
Hera inaongea mond sio maneno tuu. Bravest mond
Guiné Bissau, Tanzânia África is a one
Formidable vraiment
Mwandishi hajui aina za ndege
Gd work my bro,
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌
Sou teu fã a partir de Moçambique, te adoro muito
The hard worker # simba
😊😊😊
Safi Sana mtangazaji..
Sauti ya Chini sana.... Mmechemka
Haina shida sauti kabisa inategemea unatumia cm gani kaka
Pole Kwa mwamba Simba Binafsi Hua Nakubali Haso Zako Kifupi Tu Ni Kwamba haki haipotei bure Relax
we s una boda boda wako mwenzio ana pilot wake
😂😂😂😂😅
Kk mondi samahan ntkulipa billioni 4 zako nlizotapeli
Pole kwa kuzulumiwa ndege yako inshaalla utapata haki yako
Akuna
😊😊😊😊😊
Uongooooooooo
Ximbaaa 🔥🔥 much respect
Dar liniiiiii
🎉🎉🎉🎉
Blood nakukubali sanaaaaa
Dodoma lini
Simba Simba Simba 🎉
Kutapeliwa tena
Respect simbaaaa
Simbaaaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wasafi
katapeliwaa sh ngap
Kweli muongo uyu kenge
Lion
Iyo Chata sio privet jet
Sema shetani acha uongo mfasi wa shetani
Mondi wewe niatari naumesaidia wengi Tanzania saiz tupo vizuri kimziki kwasababu yako nakuombea dua tubaitaji kuona mzikiwako ufike duniani kote naomba enderea kuwaonyesha watoto wadogo kwamba wewe nibaba yao tunakukubali sana tengeneza ki2 ambacho uweke histori kwenye dunia hii wewe sio mtu wakawaida
Simba🦁
MwaMBIE WASAFI BET PESA HAZITOKI
Asante kwa taarifa, tunafuatilia
Yanga s Azam
Baada ya apo bukoba
Huyo boss wenu Chocolate flavour... awadanganye nyie machawa wake...
Tu Support
Nmeona mtu kma kenny
Duu
Hii ni ndege ya shamba 😂
Jmn mm tu nataman nikutane na dida shaibu
Usijali utaonana nae, muombe mungu kwani hakuna kinachoshindikana kwake
Ataacha uongo lini jameni mwambieni atulie
SIMBA bhana😂😂😂
😂😂😂 ndege imepaa
Kwani huyu Tale jimboni kwake anakuwepo lini?
Jana na Leo 😂😂😂😂
Kimemramba simba
Naona mguu mswaki.. 😂😂😂
Jim's irsri
Toto la mama simba dangote😂
Simba punguza tungi mzee
Baby by vkatana
Wanakupigaje 4b easy km ivyo watakuwa wanakujua
Uyo shoga alikua anapiga story na rubani akataka kama kumpa tano ya kuregea rubani akamkwema kidizaini😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Yakukodi ya kununua mbona kujikweza bila ngazii kazi mnayo
Huyu nae kama boya
Chatter plane not a Private Jet 😂
Eti uwanja wa Taifa
ndo jina maarufu la huo uwanja
Ndio unaitwa hivo
Uliza watu wa Kahama
Jna la uwanja wa Kahama unaitwa uwanja wa taifa
Uyu ni muongo wa adjabu Sanaa 🤣🤣🤣
ZUUCHU 😂CHUCH🤣🤣🤣🙌
Uwanja wandege kahama bado ni wa vumbii aibuu kubwa tanzania
That's an airstrip
In other words uwanja wa ndege wa tharula🤣🤣🤣🤣🤣
Upo kwenye maboresho.
Mgodi kupitia mradi wa ufungaji mgodi (Closure) moja ya community related work wanayofanya ni kuboresha uwanja wa ndege wa Kahama.
As you can see, kuna building moja ile mpya wanamalizia kama bado haijakamilika.
Wakati madini yote yanatokea hapo
Aise siku nyerere akiludi atakuta baadhi ya mikoa ata lami haijaungana miaka 60 ya uhulu. Ni uhulu au ni mateso🤐🤐🤐🤐🤐.
Bado hujasema, mpaka useme
Mwijaku alisema documents zote zilikuwa poa Sasa leo kazurumiwa kaa balaa tatizo wasani ndio zenu
Niďunia inawadanganya mtaiyacha ilivo
Boresha mitambo, sauti hafifu
Hiyo immigration counter Mungu wangu weee……. Halafu yule pembeni left kakaa anafanya nn or ndio supervisor wao?
Watu tumepiga pesa wasafi bet hatulipwi
Mamwambia pilot nikiamka ntakushtua daaah Simba bhn
Private jet halafu ina mapanga 😂😂😂😂😂
Maisha ya sifa bado unayo si ndio hayo unayoyaongea leo
Katapeliwa 4B😂😂😂😂😂😂😂
HIZO KAMBA TU NDEGE GANI ALIYONAYO AU ALIYODHULUMIWA HAPO HAKUNA NDEGE WALA NINI?
NDO CONTENT AU NN?KWANN BOSS WENU HATAKI KUHOJIWA NA MEDIA ZINGINE,,,KWA CONTENT GANI,,,,BRAND GANI MNAYOSEMEA.
Weeee zombi
I awo walio mulligan simba hela watujuwi wa Toto wa kigoma
Atoki kigoma anatoka nchumbiji